walokuja hapa kwa ajili ya mama zuchu tafadhar naomba tujuane 😊😊😊
@rosemahenge90716 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-bo1xl6ec6n6 ай бұрын
😂😂😂😂
@Ashleyqueen0016 ай бұрын
Niko hapa😂
@luhajufilmstanzania6 ай бұрын
😂😂😂tumeuzwa
@aishaabdullah8376 ай бұрын
😅😅😅😅😅 Atari sana
@neemanziku54034 ай бұрын
Yan Makonda hata wakupe ujumbe wa nyum ba kumi yan tunakupenda tena tunakuombea chukua maua🎉🎉
@allykayanda69305 ай бұрын
Nilichogundua huyu Hadija kopa hapa niwamchongo tuu,hanachakuongea,mzugaji tuu hapo 😂😂😂,lakin hongera sana kwakusikiliza kero za watu mwenezi wetu
@mariamrema61125 ай бұрын
Pambana baba na mungu akutie nguvu tetra wanyonge na wasio na haki baba
@andreauisso32256 ай бұрын
Hiiii inchi bwana Mungu atusaidie hivi tangu tumepata huru wameshindwa kuwapatia wana nchi wanacho hitaji
@sevelinsilinu56216 ай бұрын
kwahiyo wewe tangu umezaliwa unachohitaji ni hicho hicho hujui kama mahitaji yanabadilika hizo ni akili mgando
@mohamedothman57926 ай бұрын
Na sijui watashughulika na waTZ wangapi kwa style hii Futuhi
@andreauisso32256 ай бұрын
😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂@@sevelinsilinu5621
@feelNice-vi3lo6 ай бұрын
Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu
@nuruhabasimainya6 ай бұрын
Paul makonda mungu akutunze
@radhiamalla94285 ай бұрын
Mzee katisha Sana gonga like kwaajiliyako, nataka eneo sitaki hela Safi kabisaaaaa👏👏👏👏
@sijartv95545 ай бұрын
Sitaki pesa
@janetchinga6956 ай бұрын
Masikini mzeee😢😢 polesana
@raheematanzania28166 ай бұрын
Kelo nyingine nahisi hata Makonda hajazaliwa😂😂
@mohdmakame45526 ай бұрын
Nmecheka San kuona hii comment 😂
@hansynasery63996 ай бұрын
mzee kichwa smart sana😂😂😂
@lunangabenjamin31216 ай бұрын
😮wow wa africa tuna maisha marefu dah mzee,ulianza,ulisumbuliwa njo nazaliwa duniani mpaka loe hujapata haki yako.mpaka ukakata tamaa.yaani uliuwawa ila kifo kikakukataa.pole sana.
@chusseboywcb28086 ай бұрын
Millard naww umeanza uhuni sasa mama zuchu kaongea wap????mzee umeniumiza moyo sanaaa😭😭😭😭😭
@hafsahmassemoh35986 ай бұрын
Tena mm nilivyo poteza mda kuangalia yte 😢😢😢😢😢amenikera ujue 😂😂😂😂😂😂
@chusseboywcb28086 ай бұрын
@@hafsahmassemoh3598 kasha anza kupoteza mvuto wa habali kisa kashiba
@neemawilliam84156 ай бұрын
@@hafsahmassemoh3598ngoja niachie njian
@chusseboywcb28085 ай бұрын
@@hafsahmassemoh3598 habali zake zimekua zakiboya
@thomasmsuya-ui5kh6 ай бұрын
Matukio arusha
@Chettymlambalipsi-lb9km6 ай бұрын
Namsuburi mama zuchu aongee ata sijamuona😂😂
@user-os6sc7is5h4 ай бұрын
Kopa wafamishe kwamba nyinyi wote kule kwenu Uku kwenye samaki wa siwa 😂😂😂❤❤❤
@surusuru19946 ай бұрын
Nakubedea❤❤hapotu kaka kaz vury
@DavalsonMarlony6 ай бұрын
sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja
@johnbernad39906 ай бұрын
Hoja yako nzuri sana lakini unachafua lugha ya Kiswahili unapoandika kamilisha maneno siyo mkatomkato
@DavalsonMarlony6 ай бұрын
@@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha
@joycemuhoja47296 ай бұрын
Bi Hadija mbona uko kishari hujapendeza si vizuri ata kidogo
@afredyohana3566 ай бұрын
Usaniii huu wa ajabu
@jeremiahngoka49806 ай бұрын
Mkome na mporwe ardhi kbs.Bado mnavaa manguo ya kijani ya hicho chama cha dhuluma.Pigweni sana tu
@omanoman20446 ай бұрын
Wallah mtihan makonda kashakuw msilim maashaallah am ni kibarakashia tuy
@AhmadaHassan-gy5uj6 ай бұрын
Sio kama kazugia hiyo balagashia kwa kuwa yupo kwa waislam wengi
@omanoman20446 ай бұрын
@@AhmadaHassan-gy5uj ndo kuzugia kwenyew huko kwa sababu ni kwa waisilam
@fbensony6 ай бұрын
Barakashia ndiyo usilam😅
@omanoman20446 ай бұрын
@@fbensony som vizur hiyo meseji wa TZ MNAPENDA KUKURUPUKA TUY KUJIBU
@ouldaidallah46705 ай бұрын
ni vazi la asili kumbuka hayati Mrema
@user-wd2bc7bf5x6 ай бұрын
huyu baba oohh jamani pole sanaa mzee daah😢😢😢
@salimakuyela78135 ай бұрын
Kama umefurahi hadija kopa kushushuliwa gonga like hapa ili kumuaminisha sura ya ushari ndio amekataliwa kuongea 😅😅😅😅
@zatchardzknestor6 ай бұрын
Mama zuchu anakierehere
@hajihassan54336 ай бұрын
Mzee ana akili sana maana angetaja hela angepewa 20,000 yake hapo hapo.
@saloomidd10845 ай бұрын
Ni mjanja ana mahesabu
@sebastiansalamba3136 ай бұрын
Huyu makonda mmemchelewesha kumpa cheo kingine Cha utendaji ni zaidi
@norahgingi56426 ай бұрын
Ongera Sana mwenezi wangu mwenyezi mungu ambariki raisi wetu mitano tena ccm oyeeeeeeee
@ladooladoo12855 ай бұрын
Amina
@mwajumamwajuma554 ай бұрын
😢
@zainabmaulid96376 ай бұрын
Hili biki kama sura yake kama kima hee halitubii tu hee bibi jiheshimu umri ushaenda jua linazama tena
@husseinkitingi81865 ай бұрын
Hii ndo njia aliyoianzisha magufuri Allah amuongoze inshaallah
@hamisimsosi62376 ай бұрын
Muheshimiwa makonda kila la kheri kwa kazi kubwa unayoifanya kupitia hii naikumbusha selikali kuwa migogolo ya aridhi inazidi kuongezeka kila kukicha kwa hiyo ningeishauli selikali iwe ajenda ya kitaifa kila Kona watu tunalalamika kudhulumiwa aridhi aksante😭😭😭😭😭😭😭
Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini
@jalaryababilasi15626 ай бұрын
Mnasaidiwa kero afu mkitoka hapo mnasema makonda ni muuaji makonda chapa Kaz kaka nakupenda xan
@benardbwakitare-wj1hr6 ай бұрын
Mbona wenye matatizo ni ccm hivi nchi ina watu kweli
@user-hi5pg4vp2u6 ай бұрын
Huyo Dada mwenye kidoti nampendaga sana nilimuonaga lugoba.
@user-mh5wj1vs7v6 ай бұрын
Nishida
@user-rs4vz2vt9z6 ай бұрын
Diamond usije ukasema hujaona,umeona Zuchu akiwa mzee atakuaje?,chezea mitandao wewe?????.😅
@barakamjunangee95596 ай бұрын
Umenifurahisha san
@Mumewangu6 ай бұрын
Mama zuchu kalewa mpaka kalewa lewa zuchu akimuona mama take atasema he mamaeee. Diomond kichwa chini
@mussammanga77916 ай бұрын
Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae. MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.
@emmanuelmatogolo58696 ай бұрын
😂😂😂😂
@rosemahenge90716 ай бұрын
Acha makasiriko 😂😂safisha nafsi yako kwanza uache kuhukumu watu pumbavu
@chuggaboy98776 ай бұрын
Nenda kamfanyie daawah sio kumnanga mtu huku…!
@mussammanga77916 ай бұрын
@@rosemahenge9071 Hukumu unaijuwa. Apo nimemtakia mema arudi kwa Mola wake au kwakuwa wewe ni mtu wa motoni unataka muingie nae pamoja?
@mussammanga77916 ай бұрын
@@chuggaboy9877 Iyo peke yake daaawa nimemkumbusha kwamba muda tuliyopewa na MwenyeziMungu ni mfupi. Na MwenyeziMungu ameuwapia wakati.
@user-ig7tb1cf8z6 ай бұрын
Vkomled mziki wa huyo mzee ndiyo tatizo la kushughurikia, achana na akina Mbowe, mama mwenye nywele ananichanganya mzima kweli.
@maniamba.tz_6 ай бұрын
Mama mwenye Nywele ni Adija Kopa msanii mkongwe 😂😂😂
@popiya23686 ай бұрын
Mzee kaongea vizuri sana
@mamiyfeiy6 ай бұрын
Sana tuu amejua kujielezea
@dorcaskidoti2496 ай бұрын
Mama Khajida kama misukule yaaani yuko bwajabwaja sijui kalewa😢
@hajihassan54336 ай бұрын
Anatudhalilishia imani yetu ya Uislam. Haitegemewi Muislam tena Hajjat halafu awe tim tim hivi ingawa yupo kibaruani lakini vibarua vyenye staha vipo.
@FatimaAli-of4gh6 ай бұрын
Kumbe na wewe umeliona😂😂😂
@nancychesang95676 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@zuwenasalim27946 ай бұрын
Mama yangu bi Hadija ananyosha kidole kama tuliokuwa shule ya msingi swali huelew teacher mkali unanyoosha unashusha
@user-xh5vl6eh6i6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂uyo kama nilikuwa mimi yani nimejua kucheka jamani 😂😂😂😂😂😂 ndo mana napenda kupitia comment za watu
@hamiduchingi26726 ай бұрын
Darasa lanne ilo mzee nabado upovizuli, sasa awa awtoto wasasa wanatusumbua etikisa tu wanabachela zao, kingereza awajui kusoma awjui kingereza munatusumbua watu wenye tuliojikatia tamaa naiinchi😢😢
@user-hx8yd9gp2qАй бұрын
Makonda nakibarakashia
@isayamapela20876 ай бұрын
Ujauja hutakiwa
@athumankaswaga6056 ай бұрын
Huyu mama Zuchu- muda wote tu kapiga K-vant😅😅😅😅😅
@user-ey9sb2zp8u4 ай бұрын
Nkajua Khadija Kopa a.k.a mama Zuchu ataongea kumbe ziiii 😂😂😂😂😂😂 ila millady ayo
@user-pm8oy3yq7g5 ай бұрын
Talatibu fupa lilimshinda fisi mbwa utaliweza❤
@leokamil62846 ай бұрын
Nchi hii inamamluki wanafki mahasidi Mungu anawaona
@user-vo7yp5gj7x6 ай бұрын
Mzee mashallah anajua kuongea
@sabihaibrahim1436 ай бұрын
nimeona kopa linajidekeza kama mtoto likijua litatumia uwenyeji kupewa maiki 😂😂 linarembuza haa
@eligiusedmund31876 ай бұрын
4:20 umeskiaje ayo najibu kwa Mzee wetu CCM mna drama sana
@omarkhamys98186 ай бұрын
Samahanini waungwana!!! Huyu khadja kopa iyo minywele kama mgonjwa!!!!
@afredyohana3566 ай бұрын
Mnawakusanya watu kwa magari kutoka maeneo mbalimbali
@thaddeojude75116 ай бұрын
Nenda naww ukakusanywe...kama vip
@radhiasalum71566 ай бұрын
Uyo mama zuu kapngwa hapo.hhahaa ccm bwana
@user-tk8nn2tu3u5 ай бұрын
Ni mzaramo wa bagamoyo huyo itakuwa na yeye wamemdhulumu
@felixkamkala33036 ай бұрын
Mama Samia Suluh afanye mabailiko ya Haraka sana Ma Dc na RC na ikiwezekana Hawamu hii asiangalie Mavyeti wafanye uchambuzi kwa viongozi Wazalendo
@user-ct5yt9zp1u6 ай бұрын
Kopa kichwa wazi nakuzubaha sana kama kafika dare Salam leo 😂😂
@gideonchipepo84056 ай бұрын
I C😅😅❤❤❤😅❤❤❤❤C❤❤😮❤❤😮😮❤😅❤❤❤❤😮❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊❤❤❤❤😊❤❤❤😊❤❤😮❤😅😅❤❤😮❤❤❤❤
@gideonchipepo84056 ай бұрын
😊😅❤❤😊❤
@gideonchipepo84056 ай бұрын
❤❤❤
@gideonchipepo84056 ай бұрын
❤😮❤ 4:33 ❤❤❤❤ 4:37 ❤😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@gideonchipepo84056 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 4:51 ❤❤❤❤❤❤😊❤❤❤ 4:58 ❤ 5:00 ❤
@uwimana65336 ай бұрын
Huyo hadija mbona kama kituko mtumzima, hovyo umri umekwenda akili kamakisoda 😂😂😂
@mangofish90795 ай бұрын
Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.
@Worldunite5 ай бұрын
Hadija kopa umeshazeeka mnoooo sasa dada yangu
@jeffhard57736 ай бұрын
Mnajitekenya wenyewe harafu mcheke wenyewe
@christinefuraha15135 ай бұрын
Swala la Bima tegemezi
@adilhabib89886 ай бұрын
Khadija kopa
@chifbrown15686 ай бұрын
Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁
@freduallughano23016 ай бұрын
We mama zuchu,eti ndio uongozi du tanzania kwisha kabisa unamuitaje mtu mzima hivyo ambaye kakuzidi miaka 30?mnaharibu sana maadili katika jamii.
@saloomidd10845 ай бұрын
Inaonekana wanajuana kwenye harakati zao ndio maana amejiamini kumuita hivyo,mbona wengine hajawaita hivyo
@zatchardzknestor6 ай бұрын
Makonda ubarikiwe
@onesmomwakasege52156 ай бұрын
Mbona mama zuchu kachakaa ivyo ivi anasaminiwa nakushauliwa kweli
@mariamarywenslaus29386 ай бұрын
Babu kakazana kupokonya maiki😂😂😂😢😢😢
@shariffmcleja95336 ай бұрын
Khadija kazeeka sasa😂
@user-qz5xv5if2u6 ай бұрын
Makonda naomba uje kigoma kaka
@sebastiansalamba3136 ай бұрын
Matatizo Kila kona
@user-zo5sx5ko5s19 күн бұрын
Makonda tunaomba huwende kisiju jamani watu wanateseka
@allyadam73556 ай бұрын
Greenwood wa getafe
@kaaakwakutuliaa51796 ай бұрын
ivi diamondi kazama vip pale
@user-bx3kl4hn6j6 ай бұрын
Hao ndio ccm wanatengeneza tukio alafu wao wenyewe ndio watatuzi wa ilo tukio
@leokamil62846 ай бұрын
Si ndio mijinga mingine inadanganywa kucheza movie za kijinga very stupid hawa
@ekkymumba85666 ай бұрын
Watu wanahisi wanamshtakia Magufuri 😭😢
@Nalitumpaboy-dm4tk6 ай бұрын
Makonda anajaribu kuwa kma anko magu lakin wap
@bulunjamalimikulwa48766 ай бұрын
@@Nalitumpaboy-dm4tknikulingana na position yake alokuepo, lakin angekua mkuu zaidi pasingetosha
@billgussy60996 ай бұрын
maigizo hadi kwenye maisha ya watu
@EshaHamd-ed9yv6 ай бұрын
Huyu Mama ulevi ndio chai yake sishangai msulule WA Khadija Kopa unatoka wapi
@khatibal-zinjibari69566 ай бұрын
Akiwa Bagamoyo Paul Makonda Kavaa Kofia!!!!
@leokamil62846 ай бұрын
😅😂😂
@ahmadamohamed19076 ай бұрын
Lishalewa hilli huoni hata.sura yake
@khatibal-zinjibari69566 ай бұрын
KOFIA YA NYERERE ZANZIBAR NA YA MAKONDA BAGAMOYO Uislam ulianza Zanzibar kabla ya Bagamoyo alikovaa Kofia Makonda. Lakini alipokwenda Zanzibar hakuvaa Kofia. Kinyume chake, Nyerere alivaa Kofia aliyopewa Makunduchi, alikozaliwa Mufti Hassan bin Ameir al-Shirazi aliyepigania Uhuru wa Tanganyika kabla ya Nyerere kupokelewa na Mufti Hassan kujiunga na Tanganyika African Association. Lakini baada ya Uhuru, Nyerere alimsaliti na kumfukuza Mufti Hassan kurudi kwao Zanzibar. MWONGOZO WA WAISLAM Allah amewakataza Waislam kutowafanya AULIYA Mayahudi na Wakiristo. [Qur'an; 5:51].
@hamisiabubakari56506 ай бұрын
Viongozi wetu waserikali mnayasikia nakuyaona haya migogoro ndyo imekuwa sehem ya maisha yawatu tubadilike ili tuishi kwa usawa
@neamusic26016 ай бұрын
Kwani kalewa au..
@fatmasaid35365 ай бұрын
Mama mtu mzima hayo manywele angejitanda kama anavojitanda kawaida angependeza tu
@frankmasuke77504 ай бұрын
Hawataki kujifunza bado.., mbna wanasheria walielekeza kama nikero wapeleke sehemu gani??
@user-nq2np6de6l6 ай бұрын
Sifa ya kiongozi ni kuwa mpole pale panapotakiwa na kuwa mkali pale panapohitajika ila Si kuwa shipa na udikteta
@ONJAHWorldwide4 ай бұрын
SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...
@YoshuaSeverino6 ай бұрын
Awanyoshe kwanza, hao maafisa ardhi ni wababaishaji sana, kila kona ni migogoro ya ardhi, afisa ardhi wamefanya nini ili kutatua migogoro hiyo?
@shangweyussuf6405 ай бұрын
Warogeni!!!
@rahmaissa4 ай бұрын
Muwe mnacha usenge 😢 unatuandikia mama zuchu alaafu hamnaa kitu mbwa kabisa 😏😏
@Abu-Hamza2546 ай бұрын
Huyu mama wa Zuchu kachizika nini,mama mzima muislamu atembea kichwa wazi
@SilaMinanda6 ай бұрын
Shetan huyu mama
@user-cn5qh4qr3j6 ай бұрын
Utalatibu haufuatwi hivi shida nyingi zitabaki bila kupatiwa ufumbuzi
@fidemgonja19666 ай бұрын
Imeisha ivyo😅😅😅
@user-jv1ch4tr8q5 ай бұрын
Makonda alivo pendeza na kofia
@albertvalentino1306 ай бұрын
Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "
@rajabumalilo18756 ай бұрын
Huyu ni milard ayo au milado ayi😅
@shadowmedia76446 ай бұрын
Acheni mihemko upande wa pili ccm ndo chama bora kinachoongoza kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzifanyia kazi sio chairman wananchi hata amuwapi haki yao ya kuchagua kiongoziii mpya au mwenyekiti wa chama alafu unaleta maandamano
@mbarakkhalid1176 ай бұрын
Mbamtaja mama zuchu ili watu waangalie na hata hajaongea maumbwa nyiye
@rehmakondo6 ай бұрын
Kwahii comment yko simalizi kuangalia😂
@MrTop-wj7no6 ай бұрын
@@rehmakondo😂😂😂😂
@selemanikilupy14686 ай бұрын
@@rehmakondodaah na mm nimetoka
@rehmakondo6 ай бұрын
@@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣