HISTORIA, UKWELI MAISHA YA MTANZANIA MFANYAKAZI GOOGLE ALIYEFIA MAREKANI, “ANAJIANDAA NA HARUSI”

  Рет қаралды 34,492

Millard Ayo

Millard Ayo

4 ай бұрын

Пікірлер: 63
@user-us5yt1vq2n
@user-us5yt1vq2n 4 ай бұрын
Kaka yetu jiran yetu tuta kukumbuka daima mungu akupe makaz mema ya milele chanika mtaan kwako kume poaa mpaka aisimuliki asee pumzika kwa aman brother 😢😢
@muhammadsaidabdulla5573
@muhammadsaidabdulla5573 4 ай бұрын
Tumepigwa pata potea apo. Wamerekami kwa kuuwana wanajulikana. Huwo ni mchongo.
@vero57
@vero57 4 ай бұрын
Usikute kasukumwa jamani, watu wana wivu sanaa, pole sana family na friends, rip
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 4 ай бұрын
Inasikitisha sana... There was a big future ahead of him. RIP 😔
@renfridKamanda
@renfridKamanda 4 ай бұрын
Mungu akulaze mahari pema pepon mdogo wangu nakusubili ufike nikupumzishe
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kiswahili kigumu aliteleza mwenyewe na alikuwa amelewa angalieni video za jana ziko wazi
@mnesoboy4338
@mnesoboy4338 4 ай бұрын
Waiting
@yohanalodo
@yohanalodo 4 ай бұрын
mbona kama sielewi mtu anadondokaje kwenye boti mwenyewe... hapana waseme ukweli wabaya ni watu...waseme ukweli hao wazungu.
@BrownHuncho-jt6oi
@BrownHuncho-jt6oi 4 ай бұрын
kaka ao ndo wazungu buna mtu ana aanguka tu afu anaokotwa maiti 😅😅😅 wazungu bhna afu anafanya kazi goggle
@homeandaway2811
@homeandaway2811 4 ай бұрын
​@BrownHuncho-jt6oi inasikitisha sana siku zote wanaanguka weusi tu ,hii sijui mara ya ngapi nasikia vifo vya watanzania, wakenya n.k walikuwa kwenye boti,, wanatalii na wengine, sijawahi kuelewa vyema ila Mungu anajua,tumuachie yeye.
@BrownHuncho-jt6oi
@BrownHuncho-jt6oi 4 ай бұрын
😂😂😂 ao ndo wazungu bhna sisi tutabaki kua weusi tu
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 4 ай бұрын
Sote marejeo ni kwa Allah hakuna kitakachobaki isipokuwa nuru ya molla wetu mlez kama alianguka mwenyew au alisukumwa kwa makusud yote Allah ndie mjuz na hafichiki na chcht kwan habar zetu zote za ss wanaadam kwa yale tuyafanyayo yawe mazur au mabaya yote anayajua. Allah amrehem kijan mwenzetu mtanzania mwenzet amsamehe makosa yake amuhifadh mahali pema pepon Amiiiin. Sote marejeo ni kwake Allah mtukufu hatuna pa kwenda
@user-uh6om4yr8j
@user-uh6om4yr8j 4 ай бұрын
Amen
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 4 ай бұрын
Kwa record hii huyu ni genius. Kwenye boat hakukua mtaalamu wa kuokoa? How?, Law suit inahusika hapo😮😮
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 ай бұрын
Wazungu wanaubaguzi mnoo hawapendi mtu mweusi awe juu wanataka tufanye kazi chafu tu na sio maofisini.rip bro
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
Mmmh
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 ай бұрын
Ukiwa ulaya utaelewa Ila Kama upo bongo hutoelewa kabisa
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 ай бұрын
Ulaya marekani kila kona kamera zimezunguka so tukio Kama hili lazima kuwe na pruvu tu everything is pruvu dear
@SurprisedBicycle-lw8jx
@SurprisedBicycle-lw8jx 4 ай бұрын
😂😂😂inauma sanaa mungu atusaidie tuu🙏🙏🙏
@brendashao36
@brendashao36 4 ай бұрын
Uwiii inaumaaaa
@user-lg3ru3vd2g
@user-lg3ru3vd2g 4 ай бұрын
RIP BRO
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 4 ай бұрын
Walimsukumia kwenye maji au alidondokea kwenye maji na je hapakuwa na ulinzi wala waokozi kwenye hiyo bot
@shadrackgwamwanza4987
@shadrackgwamwanza4987 4 ай бұрын
Wamemfanyaje tena mtanzania mwenzetu😢
@olivernyange2349
@olivernyange2349 4 ай бұрын
Jmn polen wooot watanzania
@nordinebaraca4635
@nordinebaraca4635 4 ай бұрын
Kwa staili hii nitachelewa kuelewa kifo cha kijana mwenzangu.
@user-fe2zi9py1j
@user-fe2zi9py1j 4 ай бұрын
😥🙏🙏
@athumanfuko199
@athumanfuko199 4 ай бұрын
Kweli ng'ombe wa masikini hazai
@luisojr3480
@luisojr3480 4 ай бұрын
Kabisa yaani bro
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
Mmh!! Mbona inafikirisha sana.🤔
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 4 ай бұрын
Alikuwa amelewa Sana na kuogelea hawezi.
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 Jamaniiii.😭😭😭
@jaqlinecharles4126
@jaqlinecharles4126 4 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 umejuaje
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 ай бұрын
Inamaana hao woteee kwenye boti hakuna anaejuwa kuogelea akamuokoa? Sio kweli Mungu atawalipa kama kweli
@ummySheikh72
@ummySheikh72 4 ай бұрын
Inawezekana walimuuwa na kumtupa
@angelavayinga914
@angelavayinga914 4 ай бұрын
💔💔🙏🏻
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 4 ай бұрын
Pole sana familia , ukifanya kazi na wenzetu kuwa sana makini ..
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 4 ай бұрын
Dah nimeumia Sana kuona kijana mwenzangu smart na ndevu nzury anafariki kwa utata eee Mungu MPE pumziko la Milele Amen😢😢😢
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 4 ай бұрын
Jamaa alkuwa na bahati ,kufanya Kaz Google siyo kchezo
@user-pr9mx6pd8p
@user-pr9mx6pd8p 4 ай бұрын
Sana and smart too
@user-xd4lu1xl6c
@user-xd4lu1xl6c 4 ай бұрын
Atakuwa kasukumwa
@richarddavidmk
@richarddavidmk 4 ай бұрын
Uchunguzi zaidi Una hitajika
@shashatours6454
@shashatours6454 4 ай бұрын
Mbona hakuna video
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 4 ай бұрын
Wakishagundua wa tuletee hizo mbinu.. Marekani sio
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 3 ай бұрын
Huyu ni wa pili kuangukia mtoni mwingine muhaya naye aliangukia mtoni ladt year ukouko USA mbonà hatuelewi au mnatuulia ndugu zetu
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 ай бұрын
Uongo mwingine jamani wazungu washindwe na MTU mweusi hawa hawajawahi kutupenda ,kwani video ya alivyojirusha au kuanguka iko wapi?
@rosemsafiri7568
@rosemsafiri7568 4 ай бұрын
Majuzi tu hapa alihojiwa na milady eti Leo kafa jmn jmn 😢rip kijana mpambanaji
@Malkey4real.Alleytha_d330
@Malkey4real.Alleytha_d330 4 ай бұрын
Watakufa wegi
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
Wote tutarudi kwetu mbele yetu nyuma yake 😢
@moshihunter
@moshihunter 4 ай бұрын
Maji ni hatari Kama hujui kuogelea ni Sekunde tu unazama chini moja kwa moja, muhimu kujaribu kuchukua tahadhari kwa kila jambo unalofanya, pengine jamaa alikaa pembeni kabisa kwa boti yenye kasi akateleza au kilevi kimechangia uwezo wa maamuzi
@vero57
@vero57 4 ай бұрын
Sasa alivyo tumbukia walishudwa kumpa yale maboya ya kujisaindia kuto kuzama??? Au mmoja wao alishudwa kumuokoa ?????..
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 4 ай бұрын
Kwaiyo alikuwa hajui ata kuogelea wakamuona au walimkaba kisha wakamtupa majini
@davisjuma5887
@davisjuma5887 4 ай бұрын
kunauwalakini kifo chake y aakunge pekeyake
@consolataconsolata1250
@consolataconsolata1250 4 ай бұрын
Watanzania kila kitu kikitokea lazima mtu ahusike? Mmeambiwa kateleza. Video zinaonyesha alivyokuwa amekaa kwenye Pembe ya boti wenzie wanamwambia aangalie na hata mwingine alitaka kumfata kumrudisha ndani ili asianguke bado mnasema kauliwa. Polisi wa Marekani hawana cha kusema ni ajali kama sio ajali. Kateleza mwenyewe hakuna aliyemuua. Acheni fikra mbaya.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Vonsolata hata uwaeleweshe vipi ni bure kama maelezo hawaelewi na picha pia? Au Kila mtu atafsiriwe na kwa lugha yake wenyewe kama kiswahili kimekuwa kigumu
@jaqlinecharles4126
@jaqlinecharles4126 4 ай бұрын
Vidéo ziko wapi?
@user-pg6dr3mo5t
@user-pg6dr3mo5t 4 ай бұрын
Mbona unatetea sana au na ww miongoni mwao lazma tuseme damu nzito kuliko maji kaa kwakutulia ndio nyie watumwa wanchi zawatu😏
@consolataconsolata1250
@consolataconsolata1250 4 ай бұрын
@@jaqlinecharles4126 kaangalie kwa Mange
@consolataconsolata1250
@consolataconsolata1250 4 ай бұрын
@@user-pg6dr3mo5t Haya fatilia basi. Wasimuue hiyo miaka 10 aliyofanya kazi wamuue Leo ? Tatizo unafikiri sheria za Marekani ni kama za bongo. Kama kuna mtu angehusika angeshakamatwa hakuna aliye juu ya sheria kwa taarifa yako. Ila siwezi kuendelea kubishana na wewe
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 4 ай бұрын
Hakusukumwa bwana alilewa bwiii
@user-gs5yi5lf5v
@user-gs5yi5lf5v 4 ай бұрын
Masikin mtu kwao ugeni sio kitu chema,siku imeifika mauti ya meifika siku yk Kila mtu atakufa yy ametangulia tu
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 16 МЛН
Your Enemies Shall Be Ashamed & Disappear: Powerful Warfare prayers with Archbishop Duncan-Williams
1:18:12
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 24 М.
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН