Kaka yetu jiran yetu tuta kukumbuka daima mungu akupe makaz mema ya milele chanika mtaan kwako kume poaa mpaka aisimuliki asee pumzika kwa aman brother 😢😢
@muhammadsaidabdulla55734 ай бұрын
Tumepigwa pata potea apo. Wamerekami kwa kuuwana wanajulikana. Huwo ni mchongo.
@vero574 ай бұрын
Usikute kasukumwa jamani, watu wana wivu sanaa, pole sana family na friends, rip
@joycekisamo48964 ай бұрын
Inasikitisha sana... There was a big future ahead of him. RIP 😔
@renfridKamanda4 ай бұрын
Mungu akulaze mahari pema pepon mdogo wangu nakusubili ufike nikupumzishe
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kiswahili kigumu aliteleza mwenyewe na alikuwa amelewa angalieni video za jana ziko wazi
@mnesoboy43384 ай бұрын
Waiting
@yohanalodo4 ай бұрын
mbona kama sielewi mtu anadondokaje kwenye boti mwenyewe... hapana waseme ukweli wabaya ni watu...waseme ukweli hao wazungu.
@BrownHuncho-jt6oi4 ай бұрын
kaka ao ndo wazungu buna mtu ana aanguka tu afu anaokotwa maiti 😅😅😅 wazungu bhna afu anafanya kazi goggle
@homeandaway28114 ай бұрын
@BrownHuncho-jt6oi inasikitisha sana siku zote wanaanguka weusi tu ,hii sijui mara ya ngapi nasikia vifo vya watanzania, wakenya n.k walikuwa kwenye boti,, wanatalii na wengine, sijawahi kuelewa vyema ila Mungu anajua,tumuachie yeye.
@BrownHuncho-jt6oi4 ай бұрын
😂😂😂 ao ndo wazungu bhna sisi tutabaki kua weusi tu
@user-lq6kr2gl7n4 ай бұрын
Sote marejeo ni kwa Allah hakuna kitakachobaki isipokuwa nuru ya molla wetu mlez kama alianguka mwenyew au alisukumwa kwa makusud yote Allah ndie mjuz na hafichiki na chcht kwan habar zetu zote za ss wanaadam kwa yale tuyafanyayo yawe mazur au mabaya yote anayajua. Allah amrehem kijan mwenzetu mtanzania mwenzet amsamehe makosa yake amuhifadh mahali pema pepon Amiiiin. Sote marejeo ni kwake Allah mtukufu hatuna pa kwenda
@user-uh6om4yr8j4 ай бұрын
Amen
@KiongoziMwandamizi4 ай бұрын
Kwa record hii huyu ni genius. Kwenye boat hakukua mtaalamu wa kuokoa? How?, Law suit inahusika hapo😮😮
@merrynancesimon15624 ай бұрын
Wazungu wanaubaguzi mnoo hawapendi mtu mweusi awe juu wanataka tufanye kazi chafu tu na sio maofisini.rip bro
@dayana5513story4 ай бұрын
Mmmh
@merrynancesimon15624 ай бұрын
Ukiwa ulaya utaelewa Ila Kama upo bongo hutoelewa kabisa
@merrynancesimon15624 ай бұрын
Ulaya marekani kila kona kamera zimezunguka so tukio Kama hili lazima kuwe na pruvu tu everything is pruvu dear
@SurprisedBicycle-lw8jx4 ай бұрын
😂😂😂inauma sanaa mungu atusaidie tuu🙏🙏🙏
@brendashao364 ай бұрын
Uwiii inaumaaaa
@user-lg3ru3vd2g4 ай бұрын
RIP BRO
@braystuskibassa38424 ай бұрын
Walimsukumia kwenye maji au alidondokea kwenye maji na je hapakuwa na ulinzi wala waokozi kwenye hiyo bot
@shadrackgwamwanza49874 ай бұрын
Wamemfanyaje tena mtanzania mwenzetu😢
@olivernyange23494 ай бұрын
Jmn polen wooot watanzania
@nordinebaraca46354 ай бұрын
Kwa staili hii nitachelewa kuelewa kifo cha kijana mwenzangu.
@user-fe2zi9py1j4 ай бұрын
😥🙏🙏
@athumanfuko1994 ай бұрын
Kweli ng'ombe wa masikini hazai
@luisojr34804 ай бұрын
Kabisa yaani bro
@shyfettymtunda46194 ай бұрын
Mmh!! Mbona inafikirisha sana.🤔
@aloycekiwia86134 ай бұрын
Alikuwa amelewa Sana na kuogelea hawezi.
@shyfettymtunda46194 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 Jamaniiii.😭😭😭
@jaqlinecharles41264 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 umejuaje
@dorcaskidoti2494 ай бұрын
Inamaana hao woteee kwenye boti hakuna anaejuwa kuogelea akamuokoa? Sio kweli Mungu atawalipa kama kweli
@ummySheikh724 ай бұрын
Inawezekana walimuuwa na kumtupa
@angelavayinga9144 ай бұрын
💔💔🙏🏻
@ikulunimahalipatakatifu76424 ай бұрын
Pole sana familia , ukifanya kazi na wenzetu kuwa sana makini ..
@paulabelleghe4514 ай бұрын
Dah nimeumia Sana kuona kijana mwenzangu smart na ndevu nzury anafariki kwa utata eee Mungu MPE pumziko la Milele Amen😢😢😢
@eliuskamwelwe10184 ай бұрын
Jamaa alkuwa na bahati ,kufanya Kaz Google siyo kchezo
@user-pr9mx6pd8p4 ай бұрын
Sana and smart too
@user-xd4lu1xl6c4 ай бұрын
Atakuwa kasukumwa
@richarddavidmk4 ай бұрын
Uchunguzi zaidi Una hitajika
@shashatours64544 ай бұрын
Mbona hakuna video
@mbuyaelyaoni62664 ай бұрын
Wakishagundua wa tuletee hizo mbinu.. Marekani sio
@lakiabalozi56333 ай бұрын
Huyu ni wa pili kuangukia mtoni mwingine muhaya naye aliangukia mtoni ladt year ukouko USA mbonà hatuelewi au mnatuulia ndugu zetu
@kanankirannko61744 ай бұрын
Uongo mwingine jamani wazungu washindwe na MTU mweusi hawa hawajawahi kutupenda ,kwani video ya alivyojirusha au kuanguka iko wapi?
@rosemsafiri75684 ай бұрын
Majuzi tu hapa alihojiwa na milady eti Leo kafa jmn jmn 😢rip kijana mpambanaji
@Malkey4real.Alleytha_d3304 ай бұрын
Watakufa wegi
@dayana5513story4 ай бұрын
Wote tutarudi kwetu mbele yetu nyuma yake 😢
@moshihunter4 ай бұрын
Maji ni hatari Kama hujui kuogelea ni Sekunde tu unazama chini moja kwa moja, muhimu kujaribu kuchukua tahadhari kwa kila jambo unalofanya, pengine jamaa alikaa pembeni kabisa kwa boti yenye kasi akateleza au kilevi kimechangia uwezo wa maamuzi
@vero574 ай бұрын
Sasa alivyo tumbukia walishudwa kumpa yale maboya ya kujisaindia kuto kuzama??? Au mmoja wao alishudwa kumuokoa ?????..
@IbnuAlly-cg2gn4 ай бұрын
Kwaiyo alikuwa hajui ata kuogelea wakamuona au walimkaba kisha wakamtupa majini
@davisjuma58874 ай бұрын
kunauwalakini kifo chake y aakunge pekeyake
@consolataconsolata12504 ай бұрын
Watanzania kila kitu kikitokea lazima mtu ahusike? Mmeambiwa kateleza. Video zinaonyesha alivyokuwa amekaa kwenye Pembe ya boti wenzie wanamwambia aangalie na hata mwingine alitaka kumfata kumrudisha ndani ili asianguke bado mnasema kauliwa. Polisi wa Marekani hawana cha kusema ni ajali kama sio ajali. Kateleza mwenyewe hakuna aliyemuua. Acheni fikra mbaya.
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Vonsolata hata uwaeleweshe vipi ni bure kama maelezo hawaelewi na picha pia? Au Kila mtu atafsiriwe na kwa lugha yake wenyewe kama kiswahili kimekuwa kigumu
@jaqlinecharles41264 ай бұрын
Vidéo ziko wapi?
@user-pg6dr3mo5t4 ай бұрын
Mbona unatetea sana au na ww miongoni mwao lazma tuseme damu nzito kuliko maji kaa kwakutulia ndio nyie watumwa wanchi zawatu😏
@consolataconsolata12504 ай бұрын
@@jaqlinecharles4126 kaangalie kwa Mange
@consolataconsolata12504 ай бұрын
@@user-pg6dr3mo5t Haya fatilia basi. Wasimuue hiyo miaka 10 aliyofanya kazi wamuue Leo ? Tatizo unafikiri sheria za Marekani ni kama za bongo. Kama kuna mtu angehusika angeshakamatwa hakuna aliye juu ya sheria kwa taarifa yako. Ila siwezi kuendelea kubishana na wewe
@zaytunhijja67714 ай бұрын
Hakusukumwa bwana alilewa bwiii
@user-gs5yi5lf5v4 ай бұрын
Masikin mtu kwao ugeni sio kitu chema,siku imeifika mauti ya meifika siku yk Kila mtu atakufa yy ametangulia tu