"Nenda"Mama Hongera Kazi iendelee.. Maendelea Daima,utaratibu ukifuatwa mambo yataenda Vizuri..Kariakooo❤❤❤❤❤
@user-sk1yd4pw1v4 күн бұрын
Ataki machawa
@elijahfresh59852 күн бұрын
Mama hajawahi kufanya biashara kwa hy haelewi watu wanazungumzia nn. Lakini kiukweli sera, taratinu na sheria hazilengi kumsaidia mfanyabiashara afanye kazi katika mazingira mazuri. Yani kila mtu iwe TRA, halmashauri, Fire, Polisi, Nemc, Osha na taasisi lundo zote zinategemea kula kwenye hizihizi biashara. Rushwa imekua kubwa na siku hizi kama polisi wanaiomba kwa mtutu wa bunduki na hakuna mtu anawakemea. Sasa kwa namna hii biashara inakua na changamoto nyingi.
@JafariHamisi-gu4ef4 күн бұрын
Hongera sana raisi wetu samia
@RaT84935 күн бұрын
We love you Mama 🎉, yani I wonder how can't you perform unapokuwa na boss mzuri kama hivi, au ndo mipango tuu ya watu kusabotage , Mama hongera na kaza buti 2025 tupo na weeewe , Mama kasema kweupe kabisa Kuhusu Wachina waouza kama sisi wazawa
@OmallyMkinde3 күн бұрын
Kwa tuliokuelewa mama❤ kazi iendelee💯
@FredrickKabura-gd7hgКүн бұрын
Mama Tuko nyuma yako tunakuombea ila pia jiombee mwenyewe kesha ukiomba usiingie majaribuni.
@mussamsakamali39305 күн бұрын
Mama komaa hivyo hivyo.
@omarybakunda25545 күн бұрын
Hongera sana Raisi wetu
@MickyMgeri4 күн бұрын
Kkoo kuna biashara hakuna siasa nyoosha maelezo,chukua hatua za msingi sio bla bla.
@SelemanAlly-lz4sb4 күн бұрын
Hongera mama 2025 ni wwe
@Nijuzetzdigital3 күн бұрын
hakuna mfanyabiashara anaegoma akiwa hajui kitu kwann anagoma
@lilangasayi16895 күн бұрын
Hao watu uliowateua wakusaidie ndiyo hao wanaofanya wananchi wakuchukie wewe kutokana na utendaji wao mbovu,weka sahihi
@mohammadoman89635 күн бұрын
Sasa simfunguke na ninyi wafanya biashara kumweleza mh rais ukweli kinachowahangaisha kama ni kodi si mseme tu kweli ili watumbuliwe viongozi wanaoendesha kuliko gomagoma hiyo itawasaidia nini
@user-hd5bg8qw1b4 күн бұрын
SIKUHIZI HAWATUMBULIWE BALI WANAHAMISHWA,VIVA JPM JEMBE LA ULIMWENGU
@mufaddalmoawalla85224 күн бұрын
Ahsante sana mama,hongera sana sasa tutukuwa n uhuru tulikuwa kama tumefungwa.jela
@davidrweyemamu9384 күн бұрын
Ahsante sana Mheshimiwa rais hili nilishauri muda mrefu kuhusu wamachinga kuuza bidhaa za wenye maduka makubwa ili kukwepa kodi!
@ramadhanchenga4606Күн бұрын
Mama watu wana sema kodi zipo juu t.r.a ww unasema siasa duh
@jedidahbintidaudi82415 күн бұрын
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, then assign to your team. Review PERFORMANCE- this needs to be in the field like she is saying and also in the books. You have to be extremely SERIOUS Jafo. Kariako na kwengine kote malalamishi ni yakweli..hao wakisema hawajui wamegomea nn mie sina uhakika. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
@GodfreyOsward5 күн бұрын
Woga bwana, wajuzi wa mambo siku zote, ni kuzama kwenye mzizi. Mgomo wa kariokkoo kabla ya huu. Mfanyabiashara alisema kwa TRA wanajua pesa hawajui hesabu. Kiini cha kelele unazosikia Ziko hapo. Kwa mzani ambao ni hesabu haviko sawa. Kwa Maana nyingine ni kama unatumia nguvu kuchukua kingi. Ambacho kinasabisha watu kukiuka matumizi ya risiti. Tukisemazana kama wadau kodi zitafurika. Shida ni pale upande mmoja kumiliki maarifa ya biashara huku hata genge hajawai kufanya. Sisi tuna nidhamu ya uoga. Mwl Nyerere aliomba msamaha kwamba kama ni Yeye alifanya watanzania kuwa waoga. Katika mazingira ya migomo raia wako haraka kusema hakuna shida kwa kuhofu.
@AbdilahiMriri5 күн бұрын
Shikamoo afande wangu shikamoo Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani naomba umma wa Tanzania mtuombee sana Dua zenu nyingi zinahitajika sana enyi halaiki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamani ndugu zangu jamani.
@BartonMwakyejo5 күн бұрын
Madai yao mbona yalikuwa waz siasa ipo wapi
@EmmanuelChrispin-bo5xh4 күн бұрын
@@BartonMwakyejo cheif b yeye ndio anatuletea siasa
@ShesheJahsh4 күн бұрын
@@BartonMwakyejo kwani ww hujui kua kariakoo hawatoi risit Sawa wanaandika bei ndogo
@apolinarymboya32314 күн бұрын
Kweli mama machinga alipi.kodi afu wanazuiya walipa kodi kufanya kazi wakijengewa machinga complex akakai.sasa wakionekana kariakoo ata mikowani wamejazana barabarani ushuru awalipi wengine wanalipa ushuru halmashauri ikayazingatiye piya mama❤
@imallya65135 күн бұрын
Hapo nimekukubali mama swala la wageni kurusiwa kufany biashara kama mwenyeji sio sawa maduka kila kona za mikoa wahindi haswaa warudishwe wote kariakoo
@Worldunite5 күн бұрын
Siku hizi watching,wadosi walishapitwa na wakati
@magorymara55155 күн бұрын
Kufanya kazi na wageni ni lazima uwepo wao ndo unasababisha watu kusafiri kutoka nchi jiran kuja kufunga mizigo kariakoo teyari kuna mtandao mkubwa biashara ndani ya kariakoo kitu ambacho kinaifanya kariakoo iwe busy sasa mkijichanganya kisa mnataka kuwafurahisha watu hayo majengo yenu yatabaki matupu na abiria wa kutoka nchi jirani watapungua na isistoshe wanaolala mijin wengi ndo hao wageni j'e kod za majengo mtazikusanya kwa nani asiengiza pesa
@ShesheJahsh5 күн бұрын
Elewa anachoongea ndio otoe comment, hajakataza wageni kariakoo
@nickson34735 күн бұрын
GEN Z WAKIAMKA UTAKOMA , OLD BRAINS CAN NOT MATCH NEW IDEAS AND CAN NOT CHALLENGE YOUNG BRAINS
@alzawahirabdallah22994 күн бұрын
Hakuna kwetu gen z
@DewGroupTech4 күн бұрын
K@@alzawahirabdallah2299
@HASASON4 күн бұрын
Unaongea pumba tu, kafanye kazi pumbavu wewe unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni? Hao vijana wanaojituma na kufanikiwa huko mitaani walipewa pesa na nani?
@RamadhaniMachenje2 күн бұрын
Safi sana mama yetu wa taifa
@saeedally2685 күн бұрын
Sio mzanzibar tatizo watendaji wake na yeye sio mkali mbona magufuli alipokuwepo alikuwa moto tatizo kila kitu hapo ndo mnafeli tatizo mama kawarejesha mafisadi ambao magufuli aliwatowa tuje kwa mama mbona vyakula juu tatizo mb juu mbona viongozi ambao walikuwa wanawasaidiya wananchi mfano uenezi makonda katolewa tatizo kuwasaidiya wananchi nyie hamujui ccm hawataki wanyonge wasaidiwe wanataka watu kama akina nape makamba makala ambao sio watendaji wazuri hawajali pili wakati wa magufuli uliona kila kitu sawa kuanzia vyakula mb watu wanasikilizwa lazima kwa samia wataleta tafrani sio mnamsifu mtu wakati kila kitu juu hawajali wananchi hawasikilizwi kwa sasa hivi watu wakisema mnasema kwa sababu mzanzibar tatizo utendaji mfano samia angekuwa rais wa zanzibar wangesema hatufai kama ilivyokuwa kwa karume shein mwinyi angalieni samia na magufuli yupi vitu vilikuwa rahisi yupi alikuwa anasikiliza anatatuwa kero toka magufuli afariki umeme umekuwa shida vyakula shida mb shida wananchi hawasikilizwi hilo ndilo tatizo lazima mujue hivyo juzi nilikuwa zanzibar ndo kwetu lakini kuna watu bado kwa samia hawazioni shida kueni na akili wakati wa magufuli vyakula mpka zenji bei rahisi ebu msikilize yule mama wa donge alivyokuwa anamwambia mkuu wa mkowa ayoub mbona wakati wa magufuli vyakula vilikuwa rahisi mwisho
@husseinmkanga77944 күн бұрын
Kweli kabisa tatizo Mama kazungukwa na mafisadi na wanasema wao ndio watampitisha kwenye kamati kuu chama kwahiyo atashinda tu uchaguzi ujao ndio maana hasikilizi wananchi. Kwahiyo sasa wanataka kuzuwia wamachinga ili tuwe tunakabwa mitaani. Magufuri alikuwa kiongozi hawa wapo kwa kuchuma Mali. Hata nakubali wakati wa Magufuri upande wa nzanzibar na bara kote maisha yalikuwa Afadhali ndio maana tuliona hata nzanzibar wananchi walilia sana kifo cha Magufuri.
@kefamwakipesile2755 күн бұрын
Sawa kama kuna siasa wewe endelea na hao TRA kufanya operation zao ipo siku utajua,mimi niko huku keko ambako wakongo,wazambia ,wamalawi na kila wageni wanafikia huku tukipiga nao story wanasema kwamba wansumbuliwa. Ukienda bandarin magazine ya watu wanaibiwa vitu vya ndani vyote. Sasa kama utatuma watu wako wa siri alafu wanakupa majibu kama hayo ujue wanakudanya. Mama nakuomba kama unatuma watu wako ebu waambie waje petrol station ya oilcom ya hapa VETA alafu utajionea
@russia12535 күн бұрын
😮 mama tuma watu wakanunue vitu usikie kama awaja kamatwa na Tra nakuwaambia risiti azitoshi 😢 kenge hao
@MohammedGabaye5 күн бұрын
Machinga kazi munayo mamae
@khamishemedi85175 күн бұрын
MAMA Allah akulinde unajitahidi kuweka sawa but wachache wenye kuelewa unachokusudia kwenye taifa letu
@abednego38764 күн бұрын
Kwa lipi hasa!
@SuleimanMussa-x5i3 күн бұрын
Muna mchukia kwa xababu ni mzanzbar ndugu zenu kila miaka mitano wanatuletea wanajeshi wana tua zanzbr mama ss wazanzibar tuna taka mzanzbar mpya Zanzibar moja mamlaka kamili tuna kuangalia watoto wko wa kizanzibar mama yetu hii ni nafas alio kuletea mungu kutufanya wazanzibar tuwe na mamlaka kamili mama yetu mpendwa @@abednego3876
@user-df7xo5nu9z5 күн бұрын
Kwakwel jafo yuko vizr sbb utendaj wake ukoje tunaamini hili ni jembe na atamaliza mzozo
@AwardHakimu5 күн бұрын
Binafsi namkubali hanaga sifa sifa za kijinga au mihemko
@hashimuuhehwa13204 күн бұрын
Huyu mtu Urais sio saizi yake kabisa 😮😮
@PhilipoMwita-wc1ku5 күн бұрын
Jamni jamani huyu mama duh
@user133754 күн бұрын
Umeelewa kuwa wanaume ndo wanauwezo eeee😮
@Sidrasidra6364 күн бұрын
😂😂😂watanzania hamnaga umoja masikini yooooh wenzenu wame wauza😂
@kalengashoppingcenter11085 күн бұрын
Kwahili nakupongeza❤
@robertzingu98895 күн бұрын
Sasa bibie Rais Samia Suluhu Hassan kwani hujui kuwa siasa iko kila sehemu ya maisha ya mwanadamu? Na ukumbuke tu serikali yako ikileta siasa tu kwenye maisha ya watu, basi ujue na wewe utapigwa vitasa vya siasa mpaka ukome!
@abednego38764 күн бұрын
Kwaio kariakoo watu wanagoma hawajui wanagoma nini ?? Mungu wangu 😅😅😅
@RamadhaniMadanga-ne7jk5 күн бұрын
Nimetuma mashushu kwasiri Kwa viwanabiashara😢😢😢😢
@salumchema50985 күн бұрын
Safiiii
@gilbertmchai24904 күн бұрын
Kwanza huyo mkuu wa mkoa hatumuelewi. Biashara Tanzania imeanguka kwa asilimia kubwa sana wageni sasa hivi hamna. Ni maumivu matupu
@ikulunimahalipatakatifu76424 күн бұрын
SASA MAMA NAKUELEWA KUNA WAHUNI WANATAFUTA PA KUTOKEA, , MIMI KADI YANGU NAITUNZA
@lazarombuze97764 күн бұрын
Hao uliowatuma nao watumie watu kwa siri wawachunguze
@J4Mnokote4 күн бұрын
Usipokua makini wafanya buashara watatumia sana udhaifu wako , Kumbuka kila mwamba ngoma huvutia kwake😂
@jedidahbintidaudi82415 күн бұрын
Wee Jafo usituangushe..angalia kwa jicho la hali ya juu..w/biashara pia wanamwazo chana,,washirikishe muweke mikutano WASKIE. tembelea mikoani pia jmni
@onespour71895 күн бұрын
Hivi siasa ina nini,,,mpaka wanasiasa hawaikubali
@dulasele-ud8cw4 күн бұрын
Mama uyo wazili wako anaetumia karolaiti ndo anazingua;
@EmmanuelChrispin-bo5xh5 күн бұрын
Hakuna siasa mama kwani ukweli ukowazii
@ShesheJahsh5 күн бұрын
Ukweli gani wote tupo kariakoo hamna duka linalo toa risiti full ukinunua mzigo wa mil 5 risit inaandikwa mil 1 au laki nane, ww nitajie Nani anaandika bei yote kwenye rist kama sio kukwepa kodi ni nini?
@bahatielias64435 күн бұрын
@@ShesheJahshlazima wafanye hivo bcz ya utitiri wa Kodi,wewe simfanya biashara hivo hujui vingi
@ShesheJahsh4 күн бұрын
@@bahatielias6443 Sawa vizur kama unakiri hawatoi risiti Sawa ila hiyo sio suluhisho la kupunguza utitiri wa kodi, wote sis tupo kariakoo Kuna mpak rist ya kuonyesha njiani na ya kuacha transport ile ya njiani unardisha dukani
@birianination70974 күн бұрын
@@bahatielias6443 Utitiri gani, uwizi tuu
@BarakerZeonlist4 күн бұрын
@@ShesheJahsh HII YOTE INATOKANA NA KUWA KODI KUWA NYINGI KODI HAIANGALII FAIDA INAANGALIA MAUZO
@user-et8wy1us9t5 күн бұрын
Mama sio kweli machinations wananunua kwa hao hao?wachina wengi,wahindi,ndio balaa??mama mabos wankimbia kodi
@victaboy72735 күн бұрын
Simuelewi mama
@dennisezakiel33805 күн бұрын
Huo muungano sio
@FerickKazori-rt5cw4 күн бұрын
Vizuri ila msing ushaanza bomolewa
@checkchannel38764 күн бұрын
Mh. Rais naona unamwamini sana Waziri wako wa fedha, lakini nae ni tatizo! Tena bomu kwelikweli! Hawezi kufikiri kwa kina namna ya kuiendesha nchi kiuchumi, na hivyo hawezi pia kukushauri wewe na baraza zima la Mawaziri ipasavyo. Ninajua na kuamini pia kuwa hii migogoro nae ni moja ya sababu.
@user-kk6gj7cw3h4 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@MohamedSaidnassor5 күн бұрын
Humu mbeya siasa zipi zinafuatwa jamani
@msafiriomary8934 күн бұрын
Wanakudanganya watu wako hakuna siasa bari ni rushwa za TRA
@mamlomamlo90644 күн бұрын
Bishara ya transporter nayo ni vurugu tupu kariakoo na mtaa wa amana ilala
@jamilahjamilah41575 күн бұрын
Rais hapo umepatia jafu k koo ataiweza mkuu wa mkoa na yy ana siasa yg
@HajiKlein-so1rk5 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑
@YoussefAzhar-qi4rrКүн бұрын
M
@Nijuzetzdigital3 күн бұрын
Utendaji mbovu na kodi kubwa hujui???? Unajua hakuna mtu ambae hakodolewi na hakosei, hoja za wafanyabiashara toka yalipofanyika maazimio ya nyuma kupunguza baadhi ya kodi hayakufanyiwa kazi.
@wilsonandlea86145 күн бұрын
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@zawadix95744 күн бұрын
Ukweli 😅😅😅😅
@mfaumeally44765 күн бұрын
Wadanganyika mpoo?
@AleiHadji-js3ed5 күн бұрын
Kweli mama Samia nakukubal kisa mzanzibari wanataka wakuzinguwee
@feisalkhamis94455 күн бұрын
Sio kweli hakuna siasa mnazingua
@ShesheJahsh5 күн бұрын
Wote tupo kariakoo risiti hakuna anaye andika Sawa mzigo mteja anatoa mil 5 rist inaandikwa 1-5 huo ndio ukweli
@user-qg3nu1kv2n5 күн бұрын
@@ShesheJahsh ina maana we pia ni miongoni mwa wanaoiibia serikali yetu 😂😂😂
@feisalkhamis94455 күн бұрын
@@user-qg3nu1kv2n bro mm ni mzanzibar lkn bimkubwa anazingua kijinga yni
@ShesheJahsh4 күн бұрын
@@user-qg3nu1kv2n huo ndio ukweli
@HASASON4 күн бұрын
Wezi ninyi wafanyabishara cha ajabu mnajifanya mmeshika dini majizi makwepa kodi
@avitusmichael55 күн бұрын
Uliowatuma huenda walikudanganya ila ukweli upo wazi
@ramadhanichuma79255 күн бұрын
Wamempanga bimkubwa 😂😂
@febby83083 күн бұрын
Mwiguru punguza makodi mai nimagumu kupituliza
@mohammededy70865 күн бұрын
mama Simama ivo cc wa mtaan tunajua Kwann wanafanya ivo kwnn shda matusi ubaya hauishi kwako mama una maduwi wing sana ila MUNGU akusimamie
@user-sk1yd4pw1v4 күн бұрын
Ukiwa kama kijana uchawa aukufai
@GivenMgani4 күн бұрын
Mmh
@lovemusicnoreen91855 күн бұрын
WAKO HURU SANAA WACHINA ALAFU MAKWAO WANAUMIZA WAGENI HASWA WATU WEUSI
@magorymara55155 күн бұрын
Hatuwez kubadilisha ukweli ni ngum kufanya biashara wazawa peke yake kule China wabongo wamejaa wanafanya hivyo hivyo biashara ndogo nasi China tu Dunia yote ndivyo ilivyo na kufanya kwao biashara kuna effect nyingi kama kulipa kod ya majengo ya kulala na ya biashara pamoja na kununua vyakula hiyo inachangia mzunguko kuwa mkubwa
@iddysonyo13565 күн бұрын
kumbe hata viongozi wasiasa hawaiyamini siasa
@gilbertkalanda93545 күн бұрын
Nimecheka
@MasterOil-qm6vw5 күн бұрын
Usimueke mtu kwenye?kazi ambayo wamjua haiwezi atakuangusha weka pembeni watu wapo na ambao hawatakuangusha
@GreezyMaker4 күн бұрын
Mitano tena
@user-sk1yd4pw1v4 күн бұрын
Acha uchawa
@benardmwinuka69484 күн бұрын
Mtu katolewa kafara
@HASASON4 күн бұрын
Malamiko mengi ya wafanyabishara ni ya kipumbavu hawataki kulipa kodi halali na tukienda kununua bidhaa risiti wanazotupa ni za uongo na wizi, msiwasikilize wabaneni vizuri walipe kodi inavyotakiwa
@dulasele-ud8cw4 күн бұрын
We boya unazingua simu umenunuliwa na baasha wako ndo unaleta zalau kavae eleni;
@lovemusicnoreen91855 күн бұрын
TRA HAKUNA SIASA TRA NI KWELI WANASUMBUA
@ShesheJahsh4 күн бұрын
@@lovemusicnoreen9185 ukiuza hasa ww andika risit Sawa na ela unayo pokea Kwa mteja uone kama utasumbuliwa
@nin63244 күн бұрын
TRA hawajawahi kusumbua mtu ila nyie msiotaka kulipa kodi ndio mnasumbua kazi kurubuni maofisa tuu. Lipeni kodi halali muone kama kuna mtu atawasumbua. Mfanyabiashara ananunua gari la milioni 200 halafu kwa TRA anasema huo mwaka amepata hasara au mnadhani maafisa hawatumii akili??? Kwa TRA unasema hujauza bidhaa wakikuambia tuoneshe bidhaa ulizoingiza zimeisha... kumbe zote umewapa machinga na hawajaota EFD. Maofisa TRA wana akili kama mchwa na kwa taarifa yako wanajua mbinu zote za ukwepaji kodi
@wilsonandlea86145 күн бұрын
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@mosesnyelo13805 күн бұрын
Nchi yoyote duniani lazma ilipe kodi, kwanza unaweza kuta una lalamika na huna hata biashara
@wilsonandlea86145 күн бұрын
Hujui unachokizungumuza ila tetea ugar wako
@mosesnyelo13805 күн бұрын
@@wilsonandlea8614 malalamiko hayawez kukutoa ulipo kikubwa nku pambana, mbona wafanya biashara wengine hawa lalamik
@husseinmkanga77944 күн бұрын
@@mosesnyelo1380Tatizo sio kulipa kodi hizo kodi zinafanya nini? Ilikuwa raha kulipa kodi wakati wa Magufuri kwa sababu tuliona mafanikio yake.