MashaAllah 🙏🙏🙏🙏ukimtanguliza Mungu atakuinua in the most unexpected way.
@EmmanueliZani-ur9bi2 ай бұрын
Hiyo kazi inafaa sana. Asante.
@user-mw7xl2zc8f2 ай бұрын
Huyu ndo DC Sasa sio yule tunamuona ktk mbio za mwenge tu👏👏🤝
@MoinaminaAmina-qh1jb12 күн бұрын
Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho
@japhetlinus38912 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@ezrakiduko6135Күн бұрын
Wanaofeli wanakurupuka bila kutumia watalaam
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
kaeni tu mjini na kupiga mizinga ya MB kufuatilia Umbea mitandaoni, fursa ziko nyingi huku shambani
@rehemaothuman37647 күн бұрын
Tunapataje namba za wausika amcosi au madame hapo
@johson5752 ай бұрын
😊😊😊
@salmabasil3852 ай бұрын
Na hiyo fursa Unaingiaje je lazima uwe ni mkazi wa njombe au?
@Zanga932 ай бұрын
Amna ni wewe tu kuwekeza
@user-uu6pg2pi2p2 ай бұрын
Hyo ni kwelii jamanii ukikifuatilia vemaa inatoa Sana hyoo
@justice6072 ай бұрын
Ingia shambani huitengeneze hiyo mill. 8😅😅
@hekimaluvanda53372 ай бұрын
Kumekucha 🎉🎉🎉🎉
@AizackKalenge-ro5rc15 күн бұрын
Dada Utasaidiaje nyumbani kwenu uliko toka -Rungwe,Wewe ni mkuu wa wilaya wa mfano,Kwanini usipate Uwaziri?
@Chuma-vk4jgАй бұрын
❤
@AishaBethod2 ай бұрын
Mm hilo nimeliona nikweli
@KisendiNyanda932 ай бұрын
Millard nawe umefikia huku???
@braystuskibassa38422 ай бұрын
Nipo mkoa wa Njombe mimi ni ngumu saana kuamini
@kelvinliheta97692 ай бұрын
Uwamini nn sasa
@hawaelymaricca76022 ай бұрын
Usieamini ni mvivu
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Kwa sisi tunaolima ni ngumu kuamini
@lakasid38602 ай бұрын
@@MiriamAbdallahkwaiyo wewe unalima ila hupati faida sio
@aminiajabiri29492 ай бұрын
Na mimi nataka naomba namba ya sim
@JumaMigezoАй бұрын
DC kasema heka 1 inatoa gunia 180 adi 200 uyu mama ambae ni mkulima anasema heka 1 inatoa gunia 120 mpaka 130 😂😂
@manchalijob96002 ай бұрын
Tatizo ra africa hiri uongo mwingii jpm ndio arikuwa ananyooshaa sasa wewe kopa jichanganye ire kwako waone wenyeji utapata ukweli
@celestinermantenga24632 ай бұрын
Hata hivyo kwa mkuu wa wilaya umepata hasara, aliye nacho huongezewa.
@mariamsemwa2262 ай бұрын
Hapa tumepigwa nakitu kizito kwa eka moja milion 8 😂🙌nabei zenyewe hazielewekagi
@user-uo8xw9kr4b2 ай бұрын
Labda Mungu alitaka tu kumuinua kiumbe wake angalau kidogo kwa hiyo akamuonyesha hiyo neema
@mamodelmam2 ай бұрын
Jaribu kuwa na mawazo chanya. mwenyew kashakwambia faida yake ndo iyo! ww ulokaa nyumbn kwako unataka ubishane nae. Aya endelea kusema wamekupiga
@OchoaHomeDecor_Ай бұрын
Hayo ni mawazo mgando Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube... Hilo ni tatizo Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30 Shida iko wapi?
@MwanjiNzala-mo5ni14 күн бұрын
Sijui.hiyo.ekari. imetoa. Gunia.300 labda
@joyceKingu2 ай бұрын
Dada umefanya la maana kufanya hiyo project.
@charlesolomi95142 ай бұрын
Wakilima wote ivo gunia itafika 50,000
@omarymkwizu93662 ай бұрын
Hii kitu imekua na upendeleo Sana wengi tumeachwa.
@jacobmichael18962 ай бұрын
Mbengu inapatikana wapi?
@DominicKani-ri9le2 ай бұрын
Rorya BBT mumefika wajameni wengine tuko tayari.ugumu ni mkuu wetu wa wilaya usani umezidi mama president mbadilishe hakumfai huku mpereke mjini
@sir_ENOCKMACHA2 ай бұрын
Mkuu wenu wa wilaya ni nani
@sharifamsuriАй бұрын
hicho kiazi kinachukua muda gani kuanzia kupandwa hadi kuvuna?
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
Siyo kweli
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Kwa Hela Moja Nina mashaka
@trueman96412 ай бұрын
Kwanini?
@OchoaHomeDecor_Ай бұрын
Watu wanafanya wanafanikiwa nyie mmekaa mnapiga porojo hapa Ndiomaana watanzania na waafrika wengi ni masikini haswaa
@MagrethNjavike-hy2en2 ай бұрын
Inawezekana sangita inazaa sana
@alextercisio2 ай бұрын
Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe .. Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars
@Soon8152 ай бұрын
Huku ni 20 dollars
@lakasid38602 ай бұрын
Sasa nyie huko kwenu bei ndio ipo juu huku gunia moja ni 15 mpaka 20 dollars
@godfreymushi69662 ай бұрын
Hhaaaa haya 😂😂😂
@user-uu6pg2pi2p2 ай бұрын
Sio porojo au uongoo ni UKWELIII,, nipo niombee hapa
@omanoman20442 ай бұрын
Mungu wangu nipe namba tutafutane huko njombe tulime wallah
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
@@omanoman2044unadanganywa kwa heka moja yaani mita sabini kwa sabini hapana
@saidimwanyiro51472 ай бұрын
Unalima??
@maishabakari29192 ай бұрын
Naomba namba yako ya simu
@edsonnelson44642 ай бұрын
Viazi vyenyewe ni vitamu, vina unga???
@KeisiMwasanyikaАй бұрын
Tuhungeni na sisi tupo njombe msanyo uku lugalawa
@tatujamadary80282 ай бұрын
Je nilitaka mbegu nitaipataje
@ivomhagama97962 ай бұрын
Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.
@veromwanji2 ай бұрын
Niulizeni Mimi
@ivomhagama97962 ай бұрын
@@veromwanji haya nakuuliza nambie ndugu
@ivomhagama97962 ай бұрын
@@veromwanji Au nipe namba unielezee vizuri
@MwanjiNzala-mo5ni14 күн бұрын
Hat kama.bei 50 labda angesema matzo jumla.m8.ila sio.faida.
@RenaldaMunishi5097 күн бұрын
@@MwanjiNzala-mo5nimbona hata huyo mama kasema faida mil 8 hadi9? Kwahyo na yeye anatudanganya?
@gogozitodumelannzi52 ай бұрын
huyu mama napafahamu kwake nitamuuliza
@devothakassimu82892 ай бұрын
Tunaomba mtufikie mkoa wa songwe, wilaya ya ileje, umalila
@WilbertChambilo-yl1kc2 ай бұрын
Acheni porojo hizo jmn kaah
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Kwa heka moja faida milioni 8 hapana tumepigwa na nondo kichwani
@anoldjose77932 ай бұрын
@@MiriamAbdallah umeona ee😂😂
@ayoubmwangonji23572 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 matapeli
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
@@anoldjose7793 kwa mimi mkulima haingii akilini, kwa heka moja yaani mita sabini Kwa sabini sio kweli
@CasmirKiwale2 ай бұрын
Watu walime
@DANYMHEMA-zo3cq2 ай бұрын
Kipimo vp au
@gabriellaizer99252 ай бұрын
Acha uongo Mheshimiwa tafadhali
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Mita sabini kwa sabini jamani au zaidi hii si kweli
@shyfettymtunda46192 ай бұрын
Hivyo viazi ndani ni vya njano au vyeupe???
@EddahBure-te7ft2 ай бұрын
Vyeupe
@shyfettymtunda46192 ай бұрын
@@EddahBure-te7ft Hivyo wala chipsi hawavipendi sana.Wanapenda viazi vya njano ndani.
@EddahBure-te7ft2 ай бұрын
@@shyfettymtunda4619 eti eeh bas mm bora kiazi nione kikubwa tu ndo napenda sijui kama vina njano au laa ngoja ntaanza kuchunguza
@ZawadiKazungu-qp8uwАй бұрын
Na Kenya Je
@dorcaskidoti2492 ай бұрын
🥴🥴🥴🥴🥴🤐🤐😷😷
@muniraahmed6242 ай бұрын
Naijua hii😂😂😂
@EliauMtishbi-os5ky2 ай бұрын
Wapeni Vijana mikopo ya kuanzia
@EddahBure-te7ft2 ай бұрын
Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️
@Ibrahim-ne3in2 ай бұрын
Panya kweli nyie
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Huu ni uhuni
@walinaziontime73002 ай бұрын
Hizo Bei ni nyundoo 🤣🤣🤣🤣 mnajitangazia biashara
@ayoubmwangonji23572 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@japhetlinus38912 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@CasmirKiwale2 ай бұрын
Ilikuaje bro..niandikie mawasiliano yako
@CasmirKiwale2 ай бұрын
Ilikuaje kaka.. niandikie mawasiliano yako
@CasmirKiwale2 ай бұрын
Niandikie mawasiliano yako
@japhetlinus38912 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@bina25572 ай бұрын
Kupata hasara haimanishi kwamba hautafanikiwa kwa. Mara nyingine
@japhetlinus38912 ай бұрын
@@bina2557 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..