"MKURUGENZI UPO KITAMBI KIKUBWA WATOTO WANAKAA CHINI" MAGUFULI AMBANA DC, MTOTO AMSHANGAZA

  Рет қаралды 273,169

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 152
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.
@charlesnyao8970
@charlesnyao8970 9 ай бұрын
Mob love from Kenya. Keep resting in peace JPM
@asheryngaiti5549
@asheryngaiti5549 4 жыл бұрын
Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake
@madiyaahmad7453
@madiyaahmad7453 4 жыл бұрын
Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤
@joycemaregesi4189
@joycemaregesi4189 4 жыл бұрын
Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote
@shanifesto9037
@shanifesto9037 4 жыл бұрын
NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.
@robertsuna
@robertsuna 4 жыл бұрын
Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 жыл бұрын
Too much respect JPM utampenda
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu jpm
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 жыл бұрын
Man of action!!
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
@brobabuu3973
@brobabuu3973 4 жыл бұрын
Amen
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
@@brobabuu3973 🙏🙏🙏
@fredrickfresters3610
@fredrickfresters3610 4 жыл бұрын
Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 4 жыл бұрын
kwa kweli Amos hehehehehehe
@madammanka2731
@madammanka2731 4 жыл бұрын
Tena unajinyea ukiwa umesimama hatari hii jamani
@retstyuternchimbi6379
@retstyuternchimbi6379 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@fredrickfresters3610
@fredrickfresters3610 4 жыл бұрын
Hahahahajaa kweli
@brobabuu3973
@brobabuu3973 4 жыл бұрын
Mambo mengi yamerahisishwa. Kazi kwetu kuchapa kazi.
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 жыл бұрын
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 4 жыл бұрын
Ameen ishawah
@shunshmc8868
@shunshmc8868 4 жыл бұрын
Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏
@exalttarimo5083
@exalttarimo5083 4 жыл бұрын
My president my choice
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 9 ай бұрын
😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 3 жыл бұрын
Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani
@harounlyakunga4982
@harounlyakunga4982 4 жыл бұрын
Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 4 жыл бұрын
Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama
@madammanka2731
@madammanka2731 4 жыл бұрын
Huyo ni jiwe wewe usisahau tena
@doctorwamapaatz6571
@doctorwamapaatz6571 9 ай бұрын
I MISS YOU DADY💚
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA
@abrahamsamwel7955
@abrahamsamwel7955 4 жыл бұрын
Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg
@rosemarymsangi3960
@rosemarymsangi3960 4 жыл бұрын
Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
RC wa Morogoro aanze gym
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 жыл бұрын
Matumbo yatafungwa mkanda
@juneahir-by7hd
@juneahir-by7hd Жыл бұрын
mkurugenzi poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@agnesvintan1538
@agnesvintan1538 4 жыл бұрын
Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti
@rahimamkumbo3238
@rahimamkumbo3238 4 жыл бұрын
Ww ni Rais wa dunia
@raulmagige2698
@raulmagige2698 4 жыл бұрын
Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena
@mathytz25
@mathytz25 9 ай бұрын
Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu
@user-rv3it6oh8i
@user-rv3it6oh8i Жыл бұрын
mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana
@arnoldarnold6271
@arnoldarnold6271 5 ай бұрын
Rest in peace sir
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 9 ай бұрын
Rip magufuli
@abdiriirashid7717
@abdiriirashid7717 Жыл бұрын
Rip sir the best president in Africa
@patrickissakalenga589
@patrickissakalenga589 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 жыл бұрын
Kaah yani mkurugenzi amekoma😢😀😀
@mimitijara4806
@mimitijara4806 3 жыл бұрын
Wil mss u alot big ddy
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 4 жыл бұрын
Mashallah rais wetu adi raha jmn
@madhuru2554
@madhuru2554 3 жыл бұрын
R.I.P.Mr.President Kazi ya Mungu Haina Makosa.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 3 жыл бұрын
Mungu akulehemu kwakweli
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!
@bikozikomo9496
@bikozikomo9496 4 жыл бұрын
Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas
@teresaonduko4443
@teresaonduko4443 4 жыл бұрын
Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya
@goldshukri86
@goldshukri86 4 жыл бұрын
SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 жыл бұрын
Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 4 жыл бұрын
Nakupendaga bure
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 жыл бұрын
Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda
@karimmkejina980
@karimmkejina980 4 жыл бұрын
Ahahaha
@josephmanyama435
@josephmanyama435 4 жыл бұрын
Inaitwa chap kwa haraka hiyo
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 4 жыл бұрын
inabidi vinginevyo kutumbuliwa kunakuhusu
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
huenda kajikuta katamka bila kujijua
@madammanka2731
@madammanka2731 4 жыл бұрын
@@bjzee1981 akifika kwa wenzie anawauliza hivi nilisemaje pale
@moudyngereza
@moudyngereza 4 жыл бұрын
Thats my president...
@johnkariuki2907
@johnkariuki2907 4 жыл бұрын
Mzee Safi sana
@hassanjumabajwala1862
@hassanjumabajwala1862 4 жыл бұрын
Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa
@user-tr7ou5li1x
@user-tr7ou5li1x 8 ай бұрын
❤❤❤
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 4 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali
@neemahaji5766
@neemahaji5766 3 жыл бұрын
Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏
@somanet_tech
@somanet_tech 4 жыл бұрын
Sawa baba
@emmanuelbugabu115
@emmanuelbugabu115 Жыл бұрын
Upumzk salama
@jonathankaranja5857
@jonathankaranja5857 Ай бұрын
Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.
@ksmally1985
@ksmally1985 4 жыл бұрын
Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa. Wahusika angalieni hilo
@fidelisiboniphacekatole1139
@fidelisiboniphacekatole1139 4 жыл бұрын
Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo
@abdihq4228
@abdihq4228 4 жыл бұрын
Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie
@mauyahamisi7525
@mauyahamisi7525 4 жыл бұрын
Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend
@akidanyanje9072
@akidanyanje9072 3 жыл бұрын
Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...
@siwonikewilliam9146
@siwonikewilliam9146 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@tawfiqmbagwa9407
@tawfiqmbagwa9407 4 жыл бұрын
Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?
@anawa4326
@anawa4326 3 жыл бұрын
Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa
@cecilemkandama5051
@cecilemkandama5051 4 жыл бұрын
Makufuli dhaaaaaa
@alenyema7738
@alenyema7738 9 ай бұрын
Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake
@dastanmrope162
@dastanmrope162 3 жыл бұрын
R I p kiongozi
@samakisamaki3226
@samakisamaki3226 4 жыл бұрын
wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 3 жыл бұрын
Inauma sana
@Donyo-rh8do
@Donyo-rh8do 21 күн бұрын
Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni
@OjukuSiwila-br3kn
@OjukuSiwila-br3kn 4 ай бұрын
😢😢😢😢
@hamzamohamed5007
@hamzamohamed5007 4 жыл бұрын
piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi
@FashionJr1
@FashionJr1 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/h4uti4Ova51lo6M Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂
@gracemisokalya1061
@gracemisokalya1061 4 жыл бұрын
Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno
@johnkapesula122
@johnkapesula122 3 жыл бұрын
Laaaah masikini, jembe limelala.
@johnkapesula122
@johnkapesula122 4 ай бұрын
Laaah jemadari R.I.p
@halimasalim5477
@halimasalim5477 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 roho inauma
@jumajuma6970
@jumajuma6970 3 жыл бұрын
Kirausiefum
@mkalimala3564
@mkalimala3564 4 жыл бұрын
Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload
@abelialsen5383
@abelialsen5383 9 ай бұрын
J.p.m pengo lako halitazibika
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 9 ай бұрын
Magufuri wetu maskini tunakumiss
@user-kp7zz9qp2j
@user-kp7zz9qp2j 8 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@chrismrisho8321
@chrismrisho8321 Жыл бұрын
😁😁😁
@stanleymakambi8304
@stanleymakambi8304 4 жыл бұрын
Shule yangu mwinyi kitambo sana
@richardelias3952
@richardelias3952 4 жыл бұрын
Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali
@ShijaNtolela-rh9rk
@ShijaNtolela-rh9rk 8 ай бұрын
atakumbukwa
@bajunihilali95
@bajunihilali95 4 жыл бұрын
Hahahaa maguuuu
@kissdubaleewabibi812
@kissdubaleewabibi812 4 жыл бұрын
Kuliwa
@nicholausmushi44
@nicholausmushi44 4 жыл бұрын
Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi
@rizikionesmo8314
@rizikionesmo8314 4 жыл бұрын
Aloo
@highonebalo8289
@highonebalo8289 4 жыл бұрын
Baba Mungu akupe maisha hadi useme mwenyewe sitaki tena!!!
@aishaathumani2254
@aishaathumani2254 3 жыл бұрын
Du
@misungwikids563
@misungwikids563 4 жыл бұрын
Hahaha na ole wako uile
@mrbenedicto5660
@mrbenedicto5660 4 жыл бұрын
kzbin.info/door/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
@josephpetermaganga2907
@josephpetermaganga2907 Жыл бұрын
Mwamba kabisa
@PaulMelikizedeki-py1ke
@PaulMelikizedeki-py1ke Жыл бұрын
Mwamba
@lazarmakombe7009
@lazarmakombe7009 4 жыл бұрын
Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli
@zemgotanar5264
@zemgotanar5264 4 жыл бұрын
Pore baba kwa kutujari wote
@selector728
@selector728 4 жыл бұрын
Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari
@badboy2577
@badboy2577 4 жыл бұрын
Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi
@user-jk4kw8jr4v
@user-jk4kw8jr4v 9 ай бұрын
I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 4 жыл бұрын
Raisi hawa niwatambili
@jmnafaka9451
@jmnafaka9451 4 жыл бұрын
WHOZU NAE AFUNGUKA KUHUSU KUMFUMANIA TUNDA 💥🔥💥 LINK Hii hapa 👇👇 kzbin.info/www/bejne/o2qUZn2IqpmLedU
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 13 МЛН
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 717 М.
Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga Mjini
3:47
Amanitz News
Рет қаралды 2,1 МЛН
HD VIDEO: JPM alivyotangaza kuwasamehe Babu Seya na Papi Kocha
3:49