Miundombinu Uwanja wa Ndege Msalato yafikia asilimia 54, kufanyiwa majaribio ya kurusha ndege Oktoba

  Рет қаралды 1,871

UTV Tanzania

UTV Tanzania

2 ай бұрын

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) imesema ujenzi wa uwanja cha ndege cha kimataifa wa Msalato unaojengwa jijini Dodoma umefikia asilimia 54 katika miundombinu ya barabara na asilimia 21 katika miundombinu ya ujenzi huku ukitarajiwa kufanyiwa majaribio ya urushaji ndege mwezi Oktoba 2024 na ujenzi wake ukitarajiwa kukamilika mwaka 2025.
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Mussa Mbura ameyasema hayo wakati wa ziara ya Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Viwanja Vya Ndege (TAA) ya kukagua utekelezaji wa ujenzi wa uwanja huo.
Imeandaliwa na Ahmad Ally || Mhariri @moseskwindi

Пікірлер
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 103 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 154 МЛН
UJENZI UWANJA WA NDEGE  MSALATO WAFIKIA ASILIMIA HIZI - BASHUNGWA
7:25
Daily News Digital
Рет қаралды 4,5 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 103 МЛН