No video

#MNATUCHANGANYA

  Рет қаралды 407,328

NY TV

NY TV

3 жыл бұрын

Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege

Пікірлер: 324
@mosesmhina9980
@mosesmhina9980 3 жыл бұрын
tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote
@khalfanifarisy7398
@khalfanifarisy7398 3 жыл бұрын
Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)
@mariamjuma2908
@mariamjuma2908 3 жыл бұрын
Kwa hiyo kuimba ni dhambi au
@richardsikazwe9197
@richardsikazwe9197 3 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@danielofcars2920
@danielofcars2920 Жыл бұрын
Tu ungane tu
@kennethkasese1933
@kennethkasese1933 Жыл бұрын
@@khalfanifarisy7398 11
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 3 ай бұрын
Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo
@ifakisetumbaboy3749
@ifakisetumbaboy3749 6 ай бұрын
Amen 1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani?? 2 Tembea Na Jesus haleluya Amen. 3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena. 4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya
@modesteessau8032
@modesteessau8032 3 жыл бұрын
Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe
@rosemneney3244
@rosemneney3244 21 күн бұрын
Ni kupondana tu hamfundishi kumcha Mungu ni wivu tu unawasumbua
@ombenimathias5275
@ombenimathias5275 3 жыл бұрын
Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....
@rizikimshindo2177
@rizikimshindo2177 3 жыл бұрын
Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa
@dieudonneniyokwizera3124
@dieudonneniyokwizera3124 3 жыл бұрын
Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale
@stevenomanga4637
@stevenomanga4637 3 жыл бұрын
Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,
@ombenimathias5275
@ombenimathias5275 3 жыл бұрын
Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense
@twinkleeddy9263
@twinkleeddy9263 Жыл бұрын
Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako
@metridamihama3087
@metridamihama3087 3 жыл бұрын
Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын
Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana. Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana
@jimmlnsn4123
@jimmlnsn4123 3 жыл бұрын
Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule
@ELIPHAZAMON-ex9zc
@ELIPHAZAMON-ex9zc 6 ай бұрын
Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache
@bestkatunzi2824
@bestkatunzi2824 2 күн бұрын
​soma vizuri utamuelewa@@ELIPHAZAMON-ex9zc
@saudakabogo
@saudakabogo 3 жыл бұрын
Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman
@nellisongodfrey5847
@nellisongodfrey5847 3 жыл бұрын
Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli
@traffedrdc3585
@traffedrdc3585 3 жыл бұрын
Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste. Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo. Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille Amina
@FurahaEliya-df5fo
@FurahaEliya-df5fo Жыл бұрын
Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....
@lukakyauke3258
@lukakyauke3258 3 жыл бұрын
Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9
@irakozefrancine4611
@irakozefrancine4611 3 жыл бұрын
He can preach indeed.. God bless him
@user-ni1vi3oh5p
@user-ni1vi3oh5p 6 ай бұрын
Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu
@josephsibale4283
@josephsibale4283 3 жыл бұрын
Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .
@simionlutebuka2914
@simionlutebuka2914 2 жыл бұрын
Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake. Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari. Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake. Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.
@yohanamgomambeyale9499
@yohanamgomambeyale9499 3 жыл бұрын
SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 3 жыл бұрын
Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel
@furahamwemera4570
@furahamwemera4570 3 жыл бұрын
Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!
@celestinoluis1326
@celestinoluis1326 2 жыл бұрын
Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe
@pastorjamesmajaliwa7843
@pastorjamesmajaliwa7843 3 жыл бұрын
Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu
@atukuzwegwayovye8504
@atukuzwegwayovye8504 2 жыл бұрын
Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.
@msamgunda7684
@msamgunda7684 Ай бұрын
Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.
@martinkisha6307
@martinkisha6307 3 жыл бұрын
Pastor machachari Sana
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 3 жыл бұрын
Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana
@mrambaalphonce2164
@mrambaalphonce2164 3 жыл бұрын
Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira
@ewhite2806
@ewhite2806 3 жыл бұрын
Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno
@isokoyubugingoofficial626
@isokoyubugingoofficial626 3 жыл бұрын
Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia
@irenesimon9107
@irenesimon9107 3 жыл бұрын
Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki
@user-sy3qw2zk1b
@user-sy3qw2zk1b 3 ай бұрын
Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.
@glorydenis5111
@glorydenis5111 3 жыл бұрын
Unaimba vizuri Ila mchungaji. Ila acha kuwaponda waimbaji wengine Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa
@lawrencehezronmwakalebela2738
@lawrencehezronmwakalebela2738 3 жыл бұрын
Hujamuelewa mchungaji
@WitnessSamson-qc9ie
@WitnessSamson-qc9ie 3 ай бұрын
Hujaelewa alichomanisha
@Wamisangi
@Wamisangi 3 ай бұрын
Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.
@user-cc3vs5di6y
@user-cc3vs5di6y 4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan
@mariamchimbombwe2571
@mariamchimbombwe2571 2 жыл бұрын
What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji
@yohanamgomambeyale9499
@yohanamgomambeyale9499 3 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE
@isayajuliuskaombwe4675
@isayajuliuskaombwe4675 2 ай бұрын
Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻
@fredkitigwa436
@fredkitigwa436 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mch. Maghembe.
@kawayarajabu3446
@kawayarajabu3446 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@user-jl1db6lc1w
@user-jl1db6lc1w 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor.
@phubusa2022
@phubusa2022 Жыл бұрын
Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!
@mgoledaudi6051
@mgoledaudi6051 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Mchungaji Bwana akubariki sana!!!
@paul.shilagi6537
@paul.shilagi6537 3 жыл бұрын
Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa
@franaelisumari5108
@franaelisumari5108 3 жыл бұрын
Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.
@carolynadhiambo2543
@carolynadhiambo2543 3 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu
@tusubilegemtafya5532
@tusubilegemtafya5532 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishii...
@lukasemmanuel4614
@lukasemmanuel4614 3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@IreneWatson3
@IreneWatson3 2 жыл бұрын
2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani. 2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana. 2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 3 жыл бұрын
😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏
@khalfanifarisy7398
@khalfanifarisy7398 3 жыл бұрын
Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.
@agnesminja9612
@agnesminja9612 3 жыл бұрын
Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu
@johanesjohn8471
@johanesjohn8471 3 жыл бұрын
🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi
@johnfaustinechannel746
@johnfaustinechannel746 3 жыл бұрын
Ni kweli
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 3 жыл бұрын
Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!
@nesielias317
@nesielias317 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutukumbusha
@sifaelkikoti3141
@sifaelkikoti3141 3 жыл бұрын
Wawooohoo najifunza vingi sana kwako
@FlorenceKirigo
@FlorenceKirigo 3 ай бұрын
Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys
@phinawatwego7260
@phinawatwego7260 3 жыл бұрын
Amina mchungaji. Sasa hivi kuna kazi.
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa bwana nimebarikiwa
@sospeternzengo1715
@sospeternzengo1715 3 жыл бұрын
Mwachie Mungu mwenyewe ndo ahukumu cyo kusema waimbaji hivo kwani neno la bwana halipo na wangapi wanasikiliza nyimbo hizo na wanabarikiwa na kuokolewa kupitia mapambio
@mathiasstephano8165
@mathiasstephano8165 3 жыл бұрын
Hajamhukumu mtu ila anazungumza ukwel, maana kunabaaz yanyimbo zingine zinaibwa kanisani hadi unahisi nimekosea kuja kanisani Mfano Nacheza kidole..... Huu nawenyewe tusemaje?? Kelekele hahaaa.. Tambilamoyo cjui mann yaan dah!!! Tumelichafua kanisa (amos 6:5, muhubili 7:5)
@mathiasstephano8165
@mathiasstephano8165 3 жыл бұрын
Kunanyimbo za sifa zingine zikiimbwa had kweli unahisi kubarikiwa Zinabariki Zinafariji Na kugusa mioyo ya watu
@bestkatunzi2824
@bestkatunzi2824 2 күн бұрын
​@@mathiasstephano8165hata zamani hizo nyimbo zilikuwepo,.hata sasa nyimbo nzuri zipo sema ndio hazina umaarufu, kuhukumu et sasa hakuna nyimbo nzuri Sio kweli na ni dalili ya kujihesabia haki
@mkushiinafricatvonline3309
@mkushiinafricatvonline3309 3 жыл бұрын
Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa
@tumainielia5750
@tumainielia5750 3 жыл бұрын
Hatari sanaaaa aiseee dah
@user-pt1sc4hc1k
@user-pt1sc4hc1k Ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@EnockObed
@EnockObed 7 ай бұрын
Good I like that 🙏🙏
@esteredward6980
@esteredward6980 3 жыл бұрын
Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel
@stevenomanga4637
@stevenomanga4637 3 жыл бұрын
Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba
@adamukiula7892
@adamukiula7892 Жыл бұрын
Amina sn my pastor
@christineabel9638
@christineabel9638 3 жыл бұрын
Really blessed
@davidomari8660
@davidomari8660 3 жыл бұрын
Ww ni mtumishi Mungu
@josiahbota8983
@josiahbota8983 3 жыл бұрын
Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.
@sarahmathias1067
@sarahmathias1067 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia
@samuelmdota8452
@samuelmdota8452 3 жыл бұрын
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.
@hannapatrick4817
@hannapatrick4817 Жыл бұрын
Asante baba yangu Magembe
@JoelyMtewele
@JoelyMtewele 3 ай бұрын
Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa
@robertw.zyunga9599
@robertw.zyunga9599 Жыл бұрын
He is the best pastor
@espoirmlondani-ue2fm
@espoirmlondani-ue2fm 9 ай бұрын
Amin nimebarikwa
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 2 жыл бұрын
Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani
@irenesimon9107
@irenesimon9107 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@nicholauslaurent5454
@nicholauslaurent5454 3 жыл бұрын
Hahahahahahahaha, akakubembeleze babu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nancykaseko
@nancykaseko 23 күн бұрын
😅 cha ndomboroo
@winniewairimu3822
@winniewairimu3822 3 жыл бұрын
Baba barikiwa saaaana
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 3 жыл бұрын
Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi
@user-cl9tl5zn2y
@user-cl9tl5zn2y 6 ай бұрын
Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.
@sakinaamoc9454
@sakinaamoc9454 3 жыл бұрын
mungu akutunze
@sangalothmusicking4292
@sangalothmusicking4292 3 жыл бұрын
Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 3 жыл бұрын
Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!
@jojianaskibura3190
@jojianaskibura3190 3 жыл бұрын
Mungu atusaidie kwa sababu mapya yanakuja akina Moses Kulola walihubiri kwa kutembea lakini hawa wanapanda vyombo mbali mbali wanakaa guest wakienda kuhubiri na mambo mengi yameendelea na suti wanazovaa sio za wakati ule. Hivyo vyombo vya muziki ilikuwa ngoma tunapiga tu wenyewe Mungu ametuletea vyombo mbali mbali tunamshukuru. Ila kwenye utunzi wa nyimbo Roho mtakatifu atusaidie kanisa na kila mwimbaji ahimizwe kuombea huduma yake.
@isayajuliuskaombwe4675
@isayajuliuskaombwe4675 2 ай бұрын
kwani hapo anapoimba ivyo vyombo havipingwi,Mungu azidi kumpandisha huyu mzee aendelee kuwa mwalimu wetu kupitia Kristo Yesu🙏🏻
@januaryjanuary2685
@januaryjanuary2685 Жыл бұрын
I'm blessed
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 жыл бұрын
Safi sanaaaaaa
@malindisamwel4144
@malindisamwel4144 3 жыл бұрын
Ameeee barikiwa sana
@focuseric4109
@focuseric4109 3 жыл бұрын
Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!
@floramajor3381
@floramajor3381 3 жыл бұрын
Umeona anachekeshaaa
@elizafumbuka8668
@elizafumbuka8668 3 жыл бұрын
Kabisa
@srkkishimbo1558
@srkkishimbo1558 3 жыл бұрын
Ok. Ila hata kuhubiri ni Sanaa pia
@johnayubusaidi4514
@johnayubusaidi4514 3 жыл бұрын
Mchungajo magembe. Natamani utembee Tanzania yote ulifundishe kanisa maana hatujauona utukufu wa hekalu la Kwanza.
@danynishimwe818
@danynishimwe818 3 жыл бұрын
Eee kwasasa okomvu hauna hâta cembe ya utam 🇧🇮
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 3 жыл бұрын
Umenitazamisha juu zaidi
@emmanuelnollo5022
@emmanuelnollo5022 Жыл бұрын
Haaahaa be blessed legend
@aisonnjabula6662
@aisonnjabula6662 2 жыл бұрын
Injili iliyohai safi sana baba
@faustinhaule7562
@faustinhaule7562 3 жыл бұрын
Safi Sana pastor
@mbithejustus246
@mbithejustus246 Жыл бұрын
Alleluia ni kusifu
@alamusictz
@alamusictz 3 жыл бұрын
Amina sana barikiwaaaaa
@chariteucoun2607
@chariteucoun2607 3 жыл бұрын
Poleni sana jamani !
@susanmburati8519
@susanmburati8519 3 жыл бұрын
Mtumishi Kanisa inataka kurudia mungu wa kweli
@mechackmarwa5789
@mechackmarwa5789 2 жыл бұрын
Amina pastor
@LevisOdongi
@LevisOdongi Ай бұрын
Hadi mimi pia
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Ni aibu Tupu sikuhizi.kona Rose mpaka wakakaliwa na mapepo sababu ya mauno utadhania wazaire! Mungu hachezewi hivo huku watu wakikwazika!!
@willisonelija7162
@willisonelija7162 2 жыл бұрын
Ameen mchungaji jamani mimi nabarikiwa sana na maneno ya mchungaji huyu japo sijui kanisa lake lilipo
@twinkleeddy9263
@twinkleeddy9263 Жыл бұрын
Lipo majumba sits njia panda segerea
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 3 жыл бұрын
Leo you tube ipo kipindi hicho vilikua havipo Lakini vinanda vilikua havipo. Magita dram Leo Mungu ameongeza maalifa saaana tutaona mengi lakini vyote nikwajili ya utukufu wa Mungu hatuwezi fanana. Mungu atusaidie tunamtaka Bwana
@stevenomanga4637
@stevenomanga4637 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa Baba,, labda kama hawapendi hawa waimbaji wa leo,, pia kila zama na watu wake,, sio lazima wote tuimbe kama zamani,, sasa huo wimbo wa rozi muhando nibembeleze Yesu unashida gani,, huku ni kujihesabia haki nakuona yeye ndo yuko sawa kuliko wengine,, tatizo la mzee wetu magembe yuko aggressive sana,, injili ni upendo
@isaacbangaya8354
@isaacbangaya8354 3 жыл бұрын
Mdundo sio tatzo tunaangalia nyimbo imebeba ujumbe gan ndo mtumish anachoongelea
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 4,7 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 11 МЛН
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 24 МЛН
🎸🎹🥁 WAPIGA VYOMBO MAKANISANI HAWAJAI ROHO MTAKATIFU REV. MOSES MAGEMBE
4:18
MISUFINI CHRISTIAN CENTER TV
Рет қаралды 7 М.
Rev: Moses Magembe, wachungaji, Wanafata marupu rupu ,,kanisani,,
31:15
Edward mathias TV
Рет қаралды 53 М.
UCHAWI WA KISUKUMA UKO HIVI-REV MOSES MAGEMBE
11:25
NY TV
Рет қаралды 77 М.
# WAOMBAJI WA ZAMANI TULIKUWA HIVI#-REV;MOSES MAGEMBE
8:34
MUNGU ANA MKE? MCH NDACHA VS MAZINGE
16:52
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 2,5 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 4,7 МЛН