Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege
Пікірлер: 324
@mosesmhina99803 жыл бұрын
tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote
@khalfanifarisy73983 жыл бұрын
Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)
@mariamjuma29083 жыл бұрын
Kwa hiyo kuimba ni dhambi au
@richardsikazwe91973 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@danielofcars2920 Жыл бұрын
Tu ungane tu
@kennethkasese1933 Жыл бұрын
@@khalfanifarisy7398 11
@miltonmachage24623 ай бұрын
Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo
@ifakisetumbaboy37496 ай бұрын
Amen 1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani?? 2 Tembea Na Jesus haleluya Amen. 3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena. 4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya
@modesteessau80323 жыл бұрын
Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe
@rosemneney324421 күн бұрын
Ni kupondana tu hamfundishi kumcha Mungu ni wivu tu unawasumbua
@ombenimathias52753 жыл бұрын
Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....
@rizikimshindo21773 жыл бұрын
Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa
@dieudonneniyokwizera31243 жыл бұрын
Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale
@stevenomanga46373 жыл бұрын
Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,
@ombenimathias52753 жыл бұрын
Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense
@twinkleeddy9263 Жыл бұрын
Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako
@metridamihama30873 жыл бұрын
Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua
@piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын
Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana. Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana
@jimmlnsn41233 жыл бұрын
Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule
@ELIPHAZAMON-ex9zc6 ай бұрын
Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache
@bestkatunzi28242 күн бұрын
soma vizuri utamuelewa@@ELIPHAZAMON-ex9zc
@saudakabogo3 жыл бұрын
Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman
@nellisongodfrey58473 жыл бұрын
Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli
@traffedrdc35853 жыл бұрын
Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste. Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo. Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille Amina
@FurahaEliya-df5fo Жыл бұрын
Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....
@lukakyauke32583 жыл бұрын
Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9
@irakozefrancine46113 жыл бұрын
He can preach indeed.. God bless him
@user-ni1vi3oh5p6 ай бұрын
Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu
@josephsibale42833 жыл бұрын
Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .
@simionlutebuka29142 жыл бұрын
Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake. Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari. Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake. Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.
@yohanamgomambeyale94993 жыл бұрын
SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .
@gadielshedaffa33333 жыл бұрын
Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel
@furahamwemera45703 жыл бұрын
Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!
@celestinoluis13262 жыл бұрын
Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe
@pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын
Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu
@atukuzwegwayovye85042 жыл бұрын
Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.
@msamgunda7684Ай бұрын
Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.
@martinkisha63073 жыл бұрын
Pastor machachari Sana
@williamuphilipo74473 жыл бұрын
Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana
@mrambaalphonce21643 жыл бұрын
Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira
@ewhite28063 жыл бұрын
Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno
@isokoyubugingoofficial6263 жыл бұрын
Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia
@irenesimon91073 жыл бұрын
Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki
@user-sy3qw2zk1b3 ай бұрын
Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.
@glorydenis51113 жыл бұрын
Unaimba vizuri Ila mchungaji. Ila acha kuwaponda waimbaji wengine Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa
@lawrencehezronmwakalebela27383 жыл бұрын
Hujamuelewa mchungaji
@WitnessSamson-qc9ie3 ай бұрын
Hujaelewa alichomanisha
@Wamisangi3 ай бұрын
Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.
@user-cc3vs5di6y4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan
@mariamchimbombwe25712 жыл бұрын
What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji
@yohanamgomambeyale94993 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE
@isayajuliuskaombwe46752 ай бұрын
Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻
@fredkitigwa4363 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mch. Maghembe.
@kawayarajabu34463 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@user-jl1db6lc1w3 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor.
@phubusa2022 Жыл бұрын
Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!
@mgoledaudi60513 жыл бұрын
Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏
@mrsdeborahurio3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!
@micamathew25953 жыл бұрын
Mchungaji Bwana akubariki sana!!!
@paul.shilagi65373 жыл бұрын
Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa
@franaelisumari51083 жыл бұрын
Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.
@carolynadhiambo25433 жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu
@tusubilegemtafya55323 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishii...
@lukasemmanuel46143 жыл бұрын
Ubarikiwe
@IreneWatson32 жыл бұрын
2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani. 2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana. 2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.
@patientlazaro69303 жыл бұрын
😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏
@khalfanifarisy73983 жыл бұрын
Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.
@agnesminja96123 жыл бұрын
Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu
@johanesjohn84713 жыл бұрын
🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi
@johnfaustinechannel7463 жыл бұрын
Ni kweli
@soloartist_ivanvespalusind16093 жыл бұрын
Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!
@nesielias3173 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutukumbusha
@sifaelkikoti31413 жыл бұрын
Wawooohoo najifunza vingi sana kwako
@FlorenceKirigo3 ай бұрын
Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys
@phinawatwego72603 жыл бұрын
Amina mchungaji. Sasa hivi kuna kazi.
@madirishasimon96923 жыл бұрын
Asante mtumishi wa bwana nimebarikiwa
@sospeternzengo17153 жыл бұрын
Mwachie Mungu mwenyewe ndo ahukumu cyo kusema waimbaji hivo kwani neno la bwana halipo na wangapi wanasikiliza nyimbo hizo na wanabarikiwa na kuokolewa kupitia mapambio
@mathiasstephano81653 жыл бұрын
Hajamhukumu mtu ila anazungumza ukwel, maana kunabaaz yanyimbo zingine zinaibwa kanisani hadi unahisi nimekosea kuja kanisani Mfano Nacheza kidole..... Huu nawenyewe tusemaje?? Kelekele hahaaa.. Tambilamoyo cjui mann yaan dah!!! Tumelichafua kanisa (amos 6:5, muhubili 7:5)
@mathiasstephano81653 жыл бұрын
Kunanyimbo za sifa zingine zikiimbwa had kweli unahisi kubarikiwa Zinabariki Zinafariji Na kugusa mioyo ya watu
@bestkatunzi28242 күн бұрын
@@mathiasstephano8165hata zamani hizo nyimbo zilikuwepo,.hata sasa nyimbo nzuri zipo sema ndio hazina umaarufu, kuhukumu et sasa hakuna nyimbo nzuri Sio kweli na ni dalili ya kujihesabia haki
@mkushiinafricatvonline33093 жыл бұрын
Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa
@tumainielia57503 жыл бұрын
Hatari sanaaaa aiseee dah
@user-pt1sc4hc1kАй бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@EnockObed7 ай бұрын
Good I like that 🙏🙏
@esteredward69803 жыл бұрын
Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel
@stevenomanga46373 жыл бұрын
Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba
@adamukiula7892 Жыл бұрын
Amina sn my pastor
@christineabel96383 жыл бұрын
Really blessed
@davidomari86603 жыл бұрын
Ww ni mtumishi Mungu
@josiahbota89833 жыл бұрын
Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.
@sarahmathias10673 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia
@samuelmdota84523 жыл бұрын
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.
@hannapatrick4817 Жыл бұрын
Asante baba yangu Magembe
@JoelyMtewele3 ай бұрын
Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa
Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi
@user-cl9tl5zn2y6 ай бұрын
Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.
@sakinaamoc94543 жыл бұрын
mungu akutunze
@sangalothmusicking42923 жыл бұрын
Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.
@samsonnzisabira7683 жыл бұрын
Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!
@jojianaskibura31903 жыл бұрын
Mungu atusaidie kwa sababu mapya yanakuja akina Moses Kulola walihubiri kwa kutembea lakini hawa wanapanda vyombo mbali mbali wanakaa guest wakienda kuhubiri na mambo mengi yameendelea na suti wanazovaa sio za wakati ule. Hivyo vyombo vya muziki ilikuwa ngoma tunapiga tu wenyewe Mungu ametuletea vyombo mbali mbali tunamshukuru. Ila kwenye utunzi wa nyimbo Roho mtakatifu atusaidie kanisa na kila mwimbaji ahimizwe kuombea huduma yake.
@isayajuliuskaombwe46752 ай бұрын
kwani hapo anapoimba ivyo vyombo havipingwi,Mungu azidi kumpandisha huyu mzee aendelee kuwa mwalimu wetu kupitia Kristo Yesu🙏🏻
@januaryjanuary2685 Жыл бұрын
I'm blessed
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Safi sanaaaaaa
@malindisamwel41443 жыл бұрын
Ameeee barikiwa sana
@focuseric41093 жыл бұрын
Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!
@floramajor33813 жыл бұрын
Umeona anachekeshaaa
@elizafumbuka86683 жыл бұрын
Kabisa
@srkkishimbo15583 жыл бұрын
Ok. Ila hata kuhubiri ni Sanaa pia
@johnayubusaidi45143 жыл бұрын
Mchungajo magembe. Natamani utembee Tanzania yote ulifundishe kanisa maana hatujauona utukufu wa hekalu la Kwanza.
@danynishimwe8183 жыл бұрын
Eee kwasasa okomvu hauna hâta cembe ya utam 🇧🇮
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Umenitazamisha juu zaidi
@emmanuelnollo5022 Жыл бұрын
Haaahaa be blessed legend
@aisonnjabula66622 жыл бұрын
Injili iliyohai safi sana baba
@faustinhaule75623 жыл бұрын
Safi Sana pastor
@mbithejustus246 Жыл бұрын
Alleluia ni kusifu
@alamusictz3 жыл бұрын
Amina sana barikiwaaaaa
@chariteucoun26073 жыл бұрын
Poleni sana jamani !
@susanmburati85193 жыл бұрын
Mtumishi Kanisa inataka kurudia mungu wa kweli
@mechackmarwa57892 жыл бұрын
Amina pastor
@LevisOdongiАй бұрын
Hadi mimi pia
@myself41283 жыл бұрын
Ni aibu Tupu sikuhizi.kona Rose mpaka wakakaliwa na mapepo sababu ya mauno utadhania wazaire! Mungu hachezewi hivo huku watu wakikwazika!!
@willisonelija71622 жыл бұрын
Ameen mchungaji jamani mimi nabarikiwa sana na maneno ya mchungaji huyu japo sijui kanisa lake lilipo
@twinkleeddy9263 Жыл бұрын
Lipo majumba sits njia panda segerea
@nikodemmwahangila33343 жыл бұрын
Leo you tube ipo kipindi hicho vilikua havipo Lakini vinanda vilikua havipo. Magita dram Leo Mungu ameongeza maalifa saaana tutaona mengi lakini vyote nikwajili ya utukufu wa Mungu hatuwezi fanana. Mungu atusaidie tunamtaka Bwana
@stevenomanga46373 жыл бұрын
Nikweli kabisa Baba,, labda kama hawapendi hawa waimbaji wa leo,, pia kila zama na watu wake,, sio lazima wote tuimbe kama zamani,, sasa huo wimbo wa rozi muhando nibembeleze Yesu unashida gani,, huku ni kujihesabia haki nakuona yeye ndo yuko sawa kuliko wengine,, tatizo la mzee wetu magembe yuko aggressive sana,, injili ni upendo
@isaacbangaya83543 жыл бұрын
Mdundo sio tatzo tunaangalia nyimbo imebeba ujumbe gan ndo mtumish anachoongelea