🎉,rudisha haki ya watoto marehemu janira kama unamuogopa allah kna kufa kuna kuulizwa sijui mtajibu nini mbele ya allah
@SaadIssa-c9o6 ай бұрын
Mashallah sheikh Barahiyani mungu akulipe kila kheri kwa kuelimisha ummah,hakika wewe ni mmoja wa waasisi wa kututowa kwenye bid'aa mashallah baraka Allah fiyk
@IbrahimuSaid-z7e6 ай бұрын
Mambo kama haya yanasababisha kero hekma huna Shekh wangu Sasa hiyo kauli ya aluta continue kwa waislamu wanzako waliokuletea hoja Turudi Kwa Allah na Mtume Allah akuongoze
@khamisabdallah6 ай бұрын
Allah akuhifadhi uzidi kutupambania na Siku Moja ukweli utakuwa bayana.
Hv wewe yanayosemwa unayaelewa au we watizama mapicha tu
@Nuru_ya_sunnah.official6 ай бұрын
kwani wewe hujui kua hii ni hakki na hii ni batil? tumia ubongo
@hassanmsumari12006 ай бұрын
Wewe pambana nayo iyo shirki wap acha wapambane ...Hata wewe una haki ya kupambana na shirk ..mtu yoyote atakae potosha lazima arekebishwe.
@saidingoma54166 ай бұрын
Ila ungemheshimu kwa kumwita Sheikh Muhammed Idd
@musarashid-xw1qm6 ай бұрын
Mashallah allah akuhifadhi salim abdurahim barahiyani paka siku yakiyama kwenye hili bakwata wamepoteza wafasi wao wengi jamii yakiislam tananzaniya ukipita mtaani unasikiya wanasema answary wako sawa asili jambo linaitilafu lakini answar jamii inaikubali kwenye msimamo wakimataifa allahu alam?
@ahlusunna89326 ай бұрын
MAASHAALLAAH ALLAH AKULIPE AKUPE AFYA UZIDI KUTUZINDUA HAKIKA UMETUTOA MBALI TULIKUWA VIPOFU HAWA BAKWATA WALITUPOTEZA SANA. NIMESIKIZA ALMOST CLIP NYINGI ZA KUMJIBU HUYU MZEE HAKIKA HAKUNA ALIEJIBU HOJA ZAIDI YA MATUSI ,KEJELI NA UONGO. ALLAH AZIDI KUKUPA NGUVU SHEKH WETU UZIDI KUPAMBANA NA WATU WA BAATWIL DUNIA YA SASA IMEBADILKA WATU HAWAPELEKWI PELEKWI TENA TUMEZINDUKA. NIWASHAURI WENGI WETU HUMU TUSIKIMBILIE KUCOMMENT KAMA HATUJAKUBALI KUSKIZA CLIP NA TUKAILEWA KULIKO KUJA NA MANENO YA HOVYO HUMU NDANI INADHIHIRISHA UFINYU WA UELEWA WAKO. KAMA MTU UNA HOJA JIBU HOJA TUACHE KUPELEKWA PELEKWA
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
N,a Ba do muko kwenye kiza mpaka mujibu hojja za abuu idd
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
Wewe uliwahi ona wapi Wahabi akubali kakosea au hajui jambo au asiwe na jaziba katika maongezi yake?
@athumanimahunda65416 ай бұрын
Nyinyi Wahabi ibilisi amewavaa
@sports007tv46 ай бұрын
Sasa bakwata wanakupeleka na huyo sheikh wako anakufanyaje hpo kma sikukupeleka na mwez wenu wakalenda muliouandaa siku mukifanikiwa kwenda saudia nenden mukaulize kua sisi watanzania ni sawa kufata mwez wa Saudia muskie mutakavo jibiwa nyie munaburuzwa tu kujiita watu wa sunna na wala sunna hamna hya mtume alifata mwez wa kimataifa kma wakwenu mtume hakuugawanyisha waislam bali aliwaweka waislam wte kitu kimoja sasa nyie mukafata mwez wakimataifa kma sikugawa waislam ni nini embu litazamen hlo na wazee wenu huko nyuma walifungaje embu waulizen hawakua na barahiyan wao wakuwapeleka
@ahlusunna89326 ай бұрын
@@sports007tv4NILISHAURI HAPO JUU KWENYE COMMENT YANGU KUWA USIJARIBU KUCOMMENT KAMA HUJASIKIZA ALICHOKIONGEA SHEKH BARAHIYAAN VIZURI ALLAH AMUHIFADHI. ALAFU UNAONEKANA HATA HISTORIA YA WATU WA SUNNA HUIJUI, HATA MWEZI USIPOONEKANA SAUDIS NA UKAONEKANA NCHI NYENGINE BASI AHLU SUNNA WANAFUNGA AMA KUFUNGUA KUTOKANA NA MWEZI KUONEKANA. ACHENI FITNA NA MAJUNGU NYINYI WATU WA BAATWIL HILI NDIO TATIZO LENU MNAPENDA KUKURUPUKA BILA KUSKILIZA ALICHOKIONGEA SHEKH BARAHIYAN . NA TUMEOMBA MASHEKH WENU WA BIDAA WAJIBU HOJA KIELIMU SIO MANENO YA MIPASHO MNADHIMMA KUBWA KWA MOLA ENDAPO MUKAIJUWA HAQI LAKINI BADO KWALETA UBISHI BASI MUUTUU BIGHAYDHWIKUM( kufeni kwa chuki zenu ila haqi itazidi kusemwa ila muache baatwil mufate njia ya sawa.
@ShayfUmande6 ай бұрын
Jaazaka allah khayra kwa busara ilipotumia
@khatibumsekeni3226 ай бұрын
Masheikh mkae mpatanene wote sisi ni ndugu
@SamirKaba-u1c6 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu muelimishe Muhammad idi ujinga nake uyo ana mapia ulimwengu wote siku ni moja
@MgeniSaid-fp3wg6 ай бұрын
Kweli nawe ni miongoni mwa wajinga nani kakwambia dunia nzima siku ni moja
@KomboAli-p1l6 ай бұрын
Hata Mimi naamini siku ni moja duniani, hivi nikuulize tokea ianzishwe hii kalenda ya kizungu ulishawahi kusikia Tanzania na marekani na nchi nyengine duniani Kuna siku tofauti?
@jumanamgugu23376 ай бұрын
@@MgeniSaid-fp3wghahahaha hii sasa Kali ya mwaka kwahyo Kuna siku mbili tofaut
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
@@KomboAli-p1l Kasome elimu jiografia utaelewa achana na kalenda, Soma ujue mabara yote na tabia zake na kisha anza kufuatilia masaa kila nchi na kanda zao utaondokana na ujinga huo. Dunia ni moja na mwezi ni mmoja lakini wakati unaandama kwetu kunawengine kwao ni mchana na wengine wamelala na wengine ni asubui kwani hata hilo bado hamjui shida yenu sijui ni nini bandugu, Au mpaka tuanze kuwapa mifano ya nchi,na tofauti ya masaa au siku na tarehe pengine mnaweza kutoka usingizini.
@HemedSerious6 ай бұрын
Wewe mm nakuona juha sana shida sio siku moja Tatizo usiku na mchana ukiwa tofauti tu watu hawawezi kufunga sawa acha ujinga ww mwehu iyo hoja itakudhalilisheni mamwehu😊
@mkude6 ай бұрын
ALLAH akupe AFYA NA UMRI MREFU
@NasibuJuma-e6u6 ай бұрын
Jazaka llahu khaira
@uledihassan60656 ай бұрын
Allah akulipe kheri sheikh Salim Barahiyyani
@aminaosman33153 ай бұрын
,àllah atawazalilisha kila aliyehusika kuwadhulumu yatima na kumshtaki mwezi a ramadhani Hakim WA haki NI Allah atawazalilisha wote walioshiriki katika zulma ishaallah
@NuryaMusa3 күн бұрын
Masufi naghurafi matwariqa mnataab😂 wallah
@ramosjohn37936 ай бұрын
Allah akupe afya na umri mrefu inshaallah
@Adamubwango6 ай бұрын
Shekhe tunakushukulu kwa kutetea haki ya wislamu tunakuombea kwa mung akupe Maisha marefu Dunian na Maisha mema kesho akhela aamii
@osos90736 ай бұрын
Mwezi ukipatwa saudia tukapigiwa simu inajuzu kuswali
@mohamedkhamishamad6 ай бұрын
Mashaallah shekhe mungu akulind
@Aminahlamranl420-hw2ie6 ай бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akuhifadh
@jumanneally41806 ай бұрын
Allah akuhifadhi na akupe nguvu na akulipe,INSHAALLAH ALLAH atuongoze wote
@athumanimahunda65416 ай бұрын
Ili azidi kuwapotosha Waislamu
@Aboodjan4-6 ай бұрын
Waopotosha ni hao watu wa bidaa wakata viuno, wasiofuata mafundisho ya mtume s.a.s@@athumanimahunda6541
@mohamedmuya49656 ай бұрын
Viongozi wa dini ya kiislamu wengine wana elimu kubwa ya dini, lakini inaonekana wazi elimu haikuwazidishia kitu isipokuwa kibri na kuwagawa wafuasi wa dini. Suala la mwezi si jambo la kukaa na kuleta mgogoro kila mwaka, na kufikia kuwagawa waislam katika nchi moja. Masheikh wana watu wao, Bakwata wana wao na Hawa nao wana wao. Ikiwa nyinyi kweli ni waislam mnaoweza kushikamana na kamba ya Mwenyezi Mungu, iweje ishindikane kukaa pamoja Kwa jambo hili ili kuwaunganisha waislam? Mbaya zaidi wafuasi pia wamekubali kugawika huku kila likitetea sheikh wao. Hii ni mbaya sana. Nakumbusha tu Kushikamana na Kamba ya Allah ya! " La ilaha illa Allah" Sote tumepewa akili lkn tuweke dhima Kwa viongozi wetu na kudumiaha kujadiliana katika khitilafu na kutoa fatwa". Masheikh najua mnapambania pepo lakini kibri cha elimu kitawakosesha pepo.
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
Hakuna mwezi wa mataifa katika uislam wala sio suna ya mtume MUHAMMAD S. A. W, wala maswahaba zake hawakuwai kufunga swaumu zao kutegemea mwezi uandame Tanzania ndio wafunge, Hata nchi ya Saudia wao hawafuati mwezi wa Tanzania hata ukiandama Tanzania wao hawana habari nao, Anae bisha atoe ushahidi lini Saudia wamepiga simu kuuliza ikiwa huku kwetu mwezi umeandama ili wao wafunge, Pili Saudia sio nchi inayofuata sheria za kiislam, Sema hawajamaa mawahabi na uongozi Wa Saudia ndio asili yao na wale ndio wafadhili wao na ndio maana wanawafuata tu kibubusa bila ushahidi Wa aya au hadithi.
@masjidhamzainstitute88906 ай бұрын
Wewe uliye Na ilimu Pana tweke sawa
@hassanmsumari12006 ай бұрын
Kwani wewe ndo unae toa Pepo soma dini uelimike
@Bombwejr186 ай бұрын
@@abdullahmasakata170 kwani wao saudia nani? Unafata sheria ya dini inavosema au unafata dini inahitaji nn hao saudia ndo watu wa hovyo kwa sasa dini kama ikitaka hvo Acha iwe saudia wao ndo nani wao s watu kama watu wengne na wana mahaba yao sio kila muda wako sahihi ikiongeleka haki tuifate hoja ujibiwa kwa hoja sio maneno matupu sio wao kama hawafati sisi tuwafate wao tutafata vile dini inasema baasi
@sports007tv46 ай бұрын
@@abdullahmasakata170umeongea vzur sana kaka hao sio mwez wa Tanzania ukiandama Yemen tu hawaufati
@jumadinya37966 ай бұрын
Mashaallah ALLAH akuhifadhi
@jafarmlawa96276 ай бұрын
insha'Allah akhy
@MwajumaRamadhan-qi4wi6 ай бұрын
mashaallah shekh kwa kututoa togotogo
@izmamuizmamu65216 ай бұрын
Mashallah Allah amuhifadh sheikh barahiyan
@AllyAmini-ny9pv6 ай бұрын
Allaahumma Aamiin
@nabiljumaothman59126 ай бұрын
Allah akulipe kheyri
@msarama54066 ай бұрын
1:17 Allah akuhifadhi sheikh salim
@mootelahamongus6336 ай бұрын
Jazaaka Allaahu Khyra
@MbanoMrage6 ай бұрын
Maashallah safi sana tutatangaza bila shaka
@ashrafbunu23716 ай бұрын
Allah akihifadhi
@noot-oe2mw6 ай бұрын
Shukrani sana
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
ALLAH AkBAR
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Wallahi huyu sheikh barhiyaan mungu amuongoze kwa sababuanasema Muhammad did hjui jggrafia ilhali yeye ndie hajui jografia anajichanganya kwa kusema mwezi ukionekana hapa Tanzania marking ni asubuhi tarehe 28 kwahivyo wamaurekani hawawezi kufunga mwanzohuo ni urongo unasema wamarekani watakuwa ni mchana wa 29 shabbat na swaum ni mchana na kwa mtazamo wenu mwezi unapo one kana hukmu yake inaenea ulimwengu mzima kwa hivyowamarekani wafunge mchana wa 29 shaaban ambapo ramadhan imeshaingiya amawafanye nini ukisemawaendelee kula watakuwa wanakula mchana wa ramadhan ukisema wajizuilie kula itabidi wake walipe jee hii ni sheria gani unyoilta kwenye dini ya mwenye ezi mungu huku ni kuitiauzito uislamu kwa sheriaisiyo tekelezeka na ilhali mwenye ezi mungu ameifanya nyepesi kwa hivyo Muhammad idd anajua jografia vizuri hata kuliko wewe na mwisho ukasema wazuoni wanasema sikuu ni ile ile ni wanazuoni gani hao unaosema wewe walisema hivyoina maana hawajui muundo wa dunia ulivyo huu ni kuurudisha nyuma Sacha kuropokwa jibu hojja za abuu idd
Muhammed Iddi hana hoja za kisheria na tulishamzoea, daima anapambana na haki kwa hoja za kiakili na kamwe hakuna mwenye nguvu za kuiangusha haki ambayo imejaa ushahidi wa hoja za kielimu kwa hoja zake za kiakili .
@Nuru_ya_sunnah.official6 ай бұрын
maa shaa Allah piga kazi mzee acha vodomo domo vipige kelele
@LovelyBrain-wz7si6 ай бұрын
Mashaallha Allha akulipe shekhe wetu
@ismailsoud36346 ай бұрын
Haki ni neno la kiarabu, kwa kiswahili ni KWERI . ASILIMIA KUBWA ya wengi katika Mashehe wame hajjiru fi haki ( wameuhama UKWERI na sio ukweri tu ila wamemuhama pia na Mola wao. Insha Allah nitakuja Tanga Ana salimu min salimu falam min ahadullah. Tukutane waislamu tuongee.
@NanahHassan-cd2vl6 ай бұрын
Allah Akuhifadhi Sheikh wetu
@mohamedkhamishamad6 ай бұрын
Asalam alekum shekhe una busar san maneno yako mtamu san mashaallah
@musarashid78736 ай бұрын
Maneno Matamu Kwa kuangalia mwezi wa Saudia tu Vp Wa Oman Au Indonesia au Tz ,Siku Moja mfatilie na mwezi wa Oman au Morocco 😂
@ahlusunna89326 ай бұрын
@@musarashid7873ndugu unaonekana umekurupuka kujibu bila kufanya research ya tuhuma zako. Jaribu kufatilia jambo kabla hujaingia kwenye dhambi ya uongo. Shekh Saalim barahiyan msimamo wao wanafata mwezi wa kimataifa haijalishi utokee nchi gani basi watu wa sunna watafunga na kufungua hata utoke oman tu basi watautangaza. No RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK. Tutafute elimu ndugu
@user-xf9or5cv1d6 ай бұрын
Mashekh hivo mnavyo fanya kubishana si vizuri mnashe kwa na madini mengine
@sulemanealisaide2176 ай бұрын
Mashallah
@AliHassan-fy6zk6 ай бұрын
Sote waislam kaeni chini mujadiliane kwa kauli moja
@muktarkassim66476 ай бұрын
Tatizo SI siku tatizo ni Nyakati za ibada .. ikiwa wakati ya swala haijafika huwezi kufata wakati wa msikiti mwengine mpaka ya kwako ifike ndio Aqimi swalat
@baraka12376 ай бұрын
Kuwenii na Mungu ANAYEJIPAMBANIA na so WAKUPAMBANIA .
@AhmedAhmed-ff6dp6 ай бұрын
Ustadh umeulizwa swali jibu mwezi ukishikwa america sisi Tanzania twaeza swali swalah ya mwezi kushikwa mchana
@khamismaulid83476 ай бұрын
Sheikh amesema point ni kutangaza mwezi Na jibu tutangaza.
@ShawwalSRamadhan6 ай бұрын
Ewe Allah usie shindwa na chochote tuonyeshe haki kwa uwaz ifike siku tuuone mwez watanzania wote kabla ya kalenda
@huseinomary8086 ай бұрын
Alhamdulilah Allah akuhifadhi Alm
@salehwaziri50626 ай бұрын
Ukosawa sheikh
@alhabibymasoud34456 ай бұрын
سبحان الله
@abusalmadangaadam7086 ай бұрын
Sheikh allah akulipe na akupe afya njema uzidi kutupa faida
@malongoisack58116 ай бұрын
Maashallah Napenda namna anavyoongea kwa utulivu
@mrafm72856 ай бұрын
Shekhe pambania Sunna na sisi tuko pamoja nawe
@husseinsaid80216 ай бұрын
Na pia sheikh Barahiyani Sema kwa Dalili?
@hamisiramadhani35386 ай бұрын
Shekh naomba kufahamu je? Mwezi ukionekana Tanzania wakapewa taarifa wasaudi wata ufuata
@othmanabeidy44606 ай бұрын
Kweli shekh Mimi ni kijana Lakini nakubaliana na wewe
@SaidJuma-ru7vm6 ай бұрын
Msikilize mwenzako Kassim mafuta
@ahlusunna89326 ай бұрын
Umesoma kichwa habari na anayoyaongea shekh? Sasa mafuta kafata nini hapa?
@mohamedswaleh67786 ай бұрын
MsIkize ww ss atuuxu
@hasanseif71306 ай бұрын
Endelea kukandamiza mwisho wao upo karibu
@rajabawadh16356 ай бұрын
Shekh piga nyundo anae ona anaumia afe
@cheapunderage82286 ай бұрын
Naam kabisa akhy
@mohamedkhamishamad6 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
@mahimbiomary65976 ай бұрын
Allah akujazie mema ck yako yamalipo Inshaallah
@OmaryBakariOmary-ts3mf6 ай бұрын
Allah akuhifadh shekh
@abdallahally72056 ай бұрын
Wewe sheikh pole sana elimu ya dini huna
@cheapunderage82286 ай бұрын
Mnamatatizo sana..kwnz sikiliza vzr anacho kiongea kwnz licha ya elim kuongea tu kwake unajua km huyu ni elmu mkubwa nyinyi mnababaisha maneno ata kuongea awajui yn kwny kupangilia maneno
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
Muulizeni shekh wenu kwamba Saudi Arabia nao hufuata mwezi wa mataifa? Mfano ukiandama Tanzania wao Saudi Arabia watafunga? Vipi kuhusu enzi za mtume MUHAMMAD S .A. W jee walikuwa wanafunga kufuata mwezi wa mataifa Mfano mwezi ukiandama Hispania wao Maka na Madina walikuwa wanafunga? Au jee huu mwezi wa mataifa ni suna ya nani? Tuambieni ili tusiwe watu wa bidaa kama ninyi bandugu.
@muktarkassim66476 ай бұрын
Siku ni Moja ila Ibada Inaingia kwa wakati wake
@muktarkassim66476 ай бұрын
Saudia time ni mmoja ila kama wakati wa Ibada haijafika...tunasubiri ifike....hatuwezi kutegemea Ibada ya msikiti mwengine wakati sisi Ibada ya wakati haijafika....kwa ivoo tatizo SI siku tatizo ni Nyakati za ibada
@hassanmakata22746 ай бұрын
Maashaallah jazaaka llahu khaira
@fabimbilinyi25296 ай бұрын
Gd
@majidiabdi4246 ай бұрын
Sheikh Uko SWAHIHI Mwandamo ni Mmoja tu - Usiku wacheo Ni Mmoja - Vituo Vya Mwezi Ni 28 Vikimalizika Unarudi ktk kituo chake CHA KWANZA - funga yaingia Mara Moja kama Mimba - Na inakatika Mara Moja kama kuzaliwa kwa Mtoto - JONGEZENI
@AliJussa6 ай бұрын
Tumepewa vipawa vya ufahamu ili tutafakari na kupima jema na ovu, hapa aliposema tofauti kuanza kufunga inatia shaka kuona haiwezekani waislam wote kufunga siku moja, kuna habari za mwezi nyingi sana na utekelezaji wake sio kwa pamoja, mfano mwezi kupatwa eneo dogo tu je dunia nzima isali sala ya kupatwa kwa mwezi?
@Zuwenamachela6 ай бұрын
Labda nikuulize wew ndyo mwez ni mmoja je mwandamo wewe mzee unataka kuleta vurugu katka nchi hii uislam ni Amani jua kuwa huna mamlaka ya kutangaza mwezi katka nchi ya Tanzania kisheria na hata kiserikali ngoja utiwe mbaroni wew usijivunie umaarufu ulonao watakusweka ndani na huku upo katika baatwil Babu we hembu tulia acha visirani elezea hojjah syo kushindana huna hojjah ya kisheria hata moja Sasa mzee mche Allaah una umri mkubwa San saiv usije ukaharibu Amal zako mwishoni
@Zuwenamachela6 ай бұрын
@@AliJussandyo hyo ni hoja kubwa mno katika haya mas'ala maana swala khusuufulqamar inategemea mwez Kama vile kufunga na kufungua na dhulhijjah hizi ni Ibadah zinzotegemea mwezi na zote mtume kazitangaza Sasa je mfano mwezi ulipopatwa Madina akatangaza watu waswali swala ya khusuuf alikusudia dunia nzima iswali swala hyo au alikusudia sehemu ile ilipotokea sababu ya swala hyo ?
@Zuwenamachela6 ай бұрын
@@AliJussakwahyo ni lazima tufaham maana ya mwandamo vzuri ukiandama sehemu waliokaribu na mwandamo huo ndyo hupaswa kufuata Kama vilevile kweny swala ya kupatwa kwa mwezi sema tunachohtaji kujua ni masafa yapi kisheria mwezi ukiandama tunakuw tumo au tunakuwa hatumo bc
@Zuwenamachela6 ай бұрын
@@AliJussaSaudia Arabia syo wajinga kwann wao hawafungi kwa mwezi wa nje ya Saudia vilevile Yemen Oman mwezi huuhuu tulonao juzi Yemen na Saudi Arabia wamefunga tofauti inamaana sisi Tanzania niwaelewa Zaid ya Mambo ya mwez kuliko Saudia na Yemen? Huyo aache kuwazuga watu na mijitu nayo imekaza tu Yan we Tanzania ni Answarusunnah kuliko Saudia😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@yusufubashiriyusufubashiri28496 ай бұрын
Ww mzee mujiga sana unatuaribia ndini
@NasibuAlban6 ай бұрын
Hujui dini wewe
@omarymohamedi-ex8mw6 ай бұрын
Hta kuandik awezi kwanz
@ahlusunna89326 ай бұрын
Kweli muislamu anaweza mtukana mzee kama huyo mjinga? Subhaanallah hii inadhihirisha wewe Yusuph huna adabu na pia hujasoma dini. Shida yenu nyinyi watu wa bidaa mumeendekeza matumbo mbele badala ya dini ya Allah. Shekh endelea kuwachapa bakora tuko nyuma yako.
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Shekh tuko pamoja sana
@shukurually87696 ай бұрын
Kwanini sisi tunaufata mwezi unaonekana saudia nawakati saudia hawafati mwezi wa nje ya kwao?
@r.m.a75706 ай бұрын
Kwel dunia n sku moja na imeumbwa sku moja je hatulion hl
@AbrahamanSaidi6 ай бұрын
Ni kweli hana jipya ni yale yale aliyojibiwa na Shekh Qasimu Mafuta
@hamidudigogo58636 ай бұрын
KWAJIRI ya Allah pambana sema wakuogopwa Allah Hawa bakwata wapo KWAJIRI ya uganga na matumbo Yao JAMBO LINGI KWANI KUFUNGA ANALAZIMISHWA anae taka yafunge atapo tangaziwa na yule asie taka KUFUNGA hafungwi kwamba Wala hapigwi shida Hawa bakwata wao ndio hutangaza batrii Kila siku
@cheapunderage82286 ай бұрын
Sahiha tan akhy
@costerhoshan67556 ай бұрын
Swaddaqta yaa sheikh
@harithmwinyi7996 ай бұрын
Sheikhe allah azidi kukupa ujasiri namsimamo huohuo mana sijui wanatafuta nini hawa bakwata
@athumanimahunda65416 ай бұрын
Sisi tunataka Shekhe ajibu hoja zilizotolewa kwenye vitabu alivyotoa Shekhe Abuu Iddy
@yusufubashiriyusufubashiri28496 ай бұрын
Ww mzee mm nakushagaa
@NasibuAlban6 ай бұрын
Shangaa nn soma dini
@ahlusunna89326 ай бұрын
Allah akuongoze bwana yusuphu sote tumetoka huko huko kwenye kutetea maulidi na visomo ila leo tumeijuwa haqi Allah atakuongoza na wewe.
@GadafiRashidi6 ай бұрын
ALUTA CONTINUE FULL STOP
@AdijaTunda-c8u6 ай бұрын
Shukran
@shabanimussa42696 ай бұрын
tunasikia ulkula ml 200 za msikiti wapongwe angalia sana
@ingodwetrust18526 ай бұрын
Hivi issue ya Mil200 aliyosema Kassim Mafuta ni kwel?
@Omar_Abdulrahim6 ай бұрын
Mpka sasa hajaleta ushahidi wowote ni mtu wakuzulia mashekh uwongo
@NasibuAlban6 ай бұрын
Soma dini acha fitna
@ingodwetrust18526 ай бұрын
@@Omar_Abdulrahim nijulishe kama kwel au la
@ingodwetrust18526 ай бұрын
@@NasibuAlban kwaio nan fitna au hujui iyo kazia Mafuta kaisemea sasa nani ni fitna
Anaitwaje maana neno marehemu linatokana naneno kiarabu twambie weweanaitwaje
@NasibuAlban6 ай бұрын
Soma dini acha ujuaji na uchambuzi
@RashidHaroun-c2j6 ай бұрын
Shekhe mpira na mwezi wapi na wapi
@haddgome46826 ай бұрын
Tupo pamoja shekhe
@muddycantona62866 ай бұрын
Shekh huwezi kumjibu coz unajua unapotosha watu
@RamadhaniShemweta6 ай бұрын
Sheikh allah akulipe kwenye haki usimuogope mtu hao niviumbe usiogope mtu yoyote wakuogopwa ni allah wao akina nani kwani
@nassermohamed61746 ай бұрын
Ukiangalia hapa unajua kuna utoto tu...
@mohamedhamismagoraonlinetv4596 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/bGWWf5qeZZl9d8ksi=wrwmXucGRWFS92MK SERIKALI IINGILIE KATI SUALA LA MWEZI
@MuhammadHamisi6 ай бұрын
Wewe mzee unamshahara unaopewa si bure acha ujinga
@farhathassan71786 ай бұрын
😂😂😂😂masufi wamepata kiboko yao sasa, aluta continua
@SharifRashid-g1j6 ай бұрын
WEWE NIHANISI BARIYANI
@hassanmsumari12006 ай бұрын
Soma dini ya Allah uijue huu sio mpira ustukane
@ahlusunna89326 ай бұрын
@@hassanmsumari1200shekhe watu kama hawa wajinga tuwaombee kwa Allah awaongoze maana ujinga wao unaweza wafikisha pabaya Allah awazindue akili zao. Watu wa bidaa hawana hoja zaidi ya matusi sasa hapa katukana ndo inadhihirisha hawa watu wameshindwa kuelemika ila hatutoacha kuwaelimisha mpaka waelewe sisi pia tumetoka huko huko.
@mussajuma92816 ай бұрын
Huyu shehe anajua anachokifanya. Anaenda kiilm zaid , hakika haki ikija batili huondoka. Wanaoendelea kushikilia bida'a mwisho wa siku wasiseme hawakuambiwa
@suleimanissa10196 ай бұрын
Mtajuana wenye hamushikubisha hasaa
@jumaajunior79146 ай бұрын
Huyo ndio sheghe Abdarahim mikate
@mohamedhamismagoraonlinetv4596 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU. kzbin.info/www/bejne/eJ-1mpWQac5-hKMsi=29NLMGK22NsBklh9
@fakifaki52466 ай бұрын
Ni vyema kama ungejibu hoja, hatutaki longolongo!
@kingofthefamily6 ай бұрын
Watoa comment tuna shida saana
@mababa-tv..s.z.b.49056 ай бұрын
Kuna watu wengne akili ni finyu pengne mpaka wanakufa watua hivohvo ila tunawaombea mungu awape mwanga huyu mzeee anaongea madin sana hata mm nisiye kuwa na kundi na sijasoma namuelewa anachomaanisha vzur mnoooo
@majidiabdi4246 ай бұрын
Mimi Nilimwelewa Tangu 1998 Nkifundisha ktk shule yake ya ARAFAH msambweni Pamoja Na Huyu MAFUTA anae SAHAU alipotolewa Na huyo Sheikh BARAHIANi - Allah wetu Mlezi alitukataza kusahau Fadhila Tunazo fanyiwa - WEWE MAFUTA ifate hio AYA - acha zako
@mohamedkhamishamad6 ай бұрын
Nikweli
@Zuwenamachela6 ай бұрын
Hakuna anachoongea huyo ni mpotoshaj kwa kukosa ufahm wa kisheria ikiwa Saudia wenyewe wanafunga kwa kutofautiana inamaana Answarusunnah wa Tanzania niwaelewa Zaid kuliko Answarusunnah wa Saudia😂😂😂😂😂😂😂 hyo ni hojjah kubwa saaaan kilicho Baki ni ushabik tu Allaah atuongoze Ameeeeen
@Zuwenamachela6 ай бұрын
@@majidiabdi424lazma tufaham hojjah mezan kwann Saudia wenyew hawafuati mwez mpka wauone katika zone zao tukijua sababu utata utakuwa umeisha
@msarama54066 ай бұрын
@@Zuwenamachela tambua huyu ni msomi wa sheria sio mjinga kama unavyodhani
@is-haqomar9686 ай бұрын
Kuwa na viongozi kama mohd iddy ni janga kwa ummah
@AbdulkarimShosi6 ай бұрын
Jibuni hoja acheni porojo
@mbaroukkhalfani92446 ай бұрын
Unafiki mwingi kazi kutugawa waislamu badala ya kuwaunganisha
@hassanmsumari12006 ай бұрын
Hata anaevuta bangi tuunganishwe nae??
@abdullahmasakata1706 ай бұрын
@@hassanmsumari1200 Poleni kama huu ndio uislam wenu, Kasoma ujue uhalisia wa dini sio itikadi za watu na maneno yao. Mtume MUHAMMAD S. A. W hakuwai kuwa hivi.