Nape amvaa Tundu Lissu Bungeni kuhusu kumwita Rais Samia Mzanzibari

  Рет қаралды 38,914

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Ай бұрын

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amemvaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kwa kukosoa baadhi ya mambo akkisema kkwamba mambo hayo yamefanywa na Rais Samia kwasababu ni Mzanzibari.
Waziri Nape ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo ameeleza kuwa alitegemea chama chake kimkemee.
Akizungumza Mkoani Manyara siku chache zilizopita Tundu Lissu alisema kama kusingekuwa na muungano Rais Samia Suluhu Hassan asingekuwa Rais wa Tanzania.
"Bila miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Samia Suluhu Hassan asingekuwa anafukuza Wamasai, anafukuza sababu ya kuwa na muungano" ameongeza

Пікірлер: 496
@rashiditembo1574
@rashiditembo1574 Ай бұрын
Jamani watanzania wanauelewa,tukubari katiba ya Zanzibar inamapungufu,lisu amefafanua katiba ya Zanzibar,Mheshimiwa Nape Msikilize lisu vizuri,Ukishindwa kumuelewa basi
@joezeno8
@joezeno8 Ай бұрын
Nape ni Chawa wa Samia
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t Ай бұрын
Ameni na ndivyo ilivyo ukweri ni mchungu
@oscarmsigala6548
@oscarmsigala6548 Ай бұрын
Huyu Jamaa huwa anakurupukaga na KUPAYAUKA PAYUKA tu,CCM imemkemea yule aliyesema TUKIWAPOTEZA Police msiwatafute ? Yule aliyewaripoti Mawaziri kuwa wanalipa Watu kumtukana Rais Chama chake kimekemea ? Atuambbie kwanza hatua ambazo Chama chake kimechukua.Kuandamana na kufanya Mikutano ni Haki ya Vyama vya Siasa iliyposainiwa na vyama vyote siyo CCM peke yake.Kama anadhani Lisu amekosea AENDE MHAKAMANI KUMSHTAKI AONE atakavyopigwa KUMBO ya mita milion 10.Hana Hoja ya Msingi.
@kisasichona7065
@kisasichona7065 29 күн бұрын
😅😅😅😅​@@joezeno8
@richimuniko3578
@richimuniko3578 29 күн бұрын
Nape Wewe ni shida ktk taifa letu unaweza kusikilizwa na wapuuzi wasiokua na akili. Goli la mkono.
@Darian2550
@Darian2550 Ай бұрын
Alietaka twende Zanzibar kwa passport siyo mbaguzi?
@TwoBrother-tc2cu
@TwoBrother-tc2cu Ай бұрын
Zanzibar ina passpot yake muungano tu ndio umeiondosha sio jambo geni
@Darian2550
@Darian2550 Ай бұрын
@@TwoBrother-tc2cu tumeshaungana, sasa passport ya nini ndg? Kurudisha passport ni kuvunja muungano.(japo muungano wenyewe siupendi kbx)
@TwoBrother-tc2cu
@TwoBrother-tc2cu Ай бұрын
@@Darian2550 kuungana sio sababu yakutokuwepo passport ,ikiwa ni nchi mbili basi kila moja ibaki na utambulisho wake na utaifa wake ikiwepo na hiyo serikali shirikishi kama zilivyo nchi nyengine zilivyoungana
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 Ай бұрын
@@Darian2550kaka Acha tu Mimi Siupendi Kabisa Muungano hawa wazanzibar kuna namna niwabaguzi sana bana
@ustawiwetu
@ustawiwetu Ай бұрын
​@@TwoBrother-tc2cuMuungano una faida kwenu Wazanzibari
@vicentdaud2632
@vicentdaud2632 Ай бұрын
Nape naona anabwabwaja tu badala ya kwenda kwenye hoja ya msingi....acha uchawa mzee...infact mzee lisu yupo sawa
@wanguwangu34
@wanguwangu34 Ай бұрын
Huyu nape tatizo ni elimu ndogo maana ndiyo shida ya kuteuliwa kwa kazi usiyoijua, anasema mtu kaitwa mzanzibari kwani siyo mzanzibari, nchi hii tuombeane sana maana karibu yote wanayosema chadema ni kweli na upande wa pili wantetea uovu hii ni mbaya sana, haki huinua taifa.
@alanmwijarubi
@alanmwijarubi 29 күн бұрын
Zanzibar inaishi, Tanganyika ilikufaje?
@laupetpet7779
@laupetpet7779 Ай бұрын
Tundu lisu tunampenda chadema tunaipenda wewe piga kelele CCM tumeichoka bandari yetu iko wapi😊
@hafidhsaid2011
@hafidhsaid2011 11 күн бұрын
Ipo magogoni...inaonesha wewe hata Dar huijui. Hebu panda basi ufike DAR kidogo ndio uulize masuali ya kama mlevi
@user-xt3pq4hb2r
@user-xt3pq4hb2r Ай бұрын
Mwizi akiibiwa anakuwa mkali kwelikweli
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 Ай бұрын
Tujiulize watz raisi wa kutoka bara ana uwezo wa kutoa hata kiwanja cha 20 kwa 20 pale zanzibar sasa huo muungano ni upi yaani bara ni cha wote znz ni changu ni changu
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Ай бұрын
Wazanzibari hawautaki Muungano, huu sio Muungano ni Tanganyika kuitawala Zanzibar kwa mabavu.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk Ай бұрын
insha ALLAH utafika mwisho. tatizo waislamu ni wengi wengekua wachache kama sudani saizi umekwisha na usingekuwepo.
@magnust.camingsoon9669
@magnust.camingsoon9669 Ай бұрын
We mbona unataka kuweka hudini wakati wenzio wanataka maliziano ya kueshimuana Hacha huo hupumbavu wa hudini
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Nape msijifanye mnawapenda wazanzibari mbona kwenye uchaguzi karume anasema mnaiba kura na ccm haijawahi kushinda.Tendeni haki acheni unafiki.Samia ni mtanzania na ni rais wetu.
@kirariwilanya1850
@kirariwilanya1850 Ай бұрын
Hatimae Ccm wameanza kulia,hapo kwa nape sijaona hoja Bali kelele tu.alafu ningependa wote wanao mshambulia Lisu waseme Lisu ni muongo na watupe ukweli wao
@SimbaNaali-fw3zz
@SimbaNaali-fw3zz Ай бұрын
Yupo sahihi tundu lissu hata baba wa taifa aliyasema
@polloz77
@polloz77 25 күн бұрын
Hayupo sahihi kabisa kosa lake ni kutaja huyu mzanzibar ni ubaguzi kabisa.Mana Samia ni president wa Tanzania kiwa na heshima
@Fred-Ma
@Fred-Ma 20 күн бұрын
​@@polloz77Nataka nikutumie Video Mama akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 Ай бұрын
Ukweli unauma Hamtaki kukosolewa Unachotetea ni tumbo lako tuu Acha kutudanganya chawa wewe
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b Ай бұрын
Nyinyi kama mnaheshimu katiba mngeuza bandari kwa lazima?
@bakarikombo6279
@bakarikombo6279 20 күн бұрын
Safi waziri Nape
@alexmahenge9408
@alexmahenge9408 27 күн бұрын
Chadema wanawekeza sana kwenye elimu. Yaani utagundua tofauti kubwa sana katika hoja za pande tofauti😊
@profs.a5412
@profs.a5412 Ай бұрын
Kwanza cc tunaitaka Tanganyika yetuuuuu, mbona unakuwa mkaliii . 😂
@WinfridaCreitus-bf3zn
@WinfridaCreitus-bf3zn Ай бұрын
Nape bana, naona unapiga kelele tu, Mbona Lissu ameongea point sana. Tunakulaani wewe natutakutenga wewe si Lissu. Eti kwa uungwana!
@richimuniko3578
@richimuniko3578 29 күн бұрын
Nape Mungu akuzime Wewe nakizazi chako chote mchonganishi wa kwanza ktk taifa letu ni Wewe . Sasa msikie msomi alivyo kujibu unahisi hukwenda shule umejibiwa kisayansi Domo limekushuka mchonganishi mkubwa goli la mkono tumekuchoka nape
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 Ай бұрын
Lissu you are right!!!!!!!
@user-ie3lw9eb6p
@user-ie3lw9eb6p Ай бұрын
Jinga la mwanaume lenye halina shukran
@laurencematitah7046
@laurencematitah7046 Ай бұрын
Ni mzanzibari ndio kwani uongo? Watanganyika, tunanufaika vipi na huo muungano? Mbona ukinunua bidhaa Zanzibar kuleta Tanganyika unatozwa kodi? 2. mbona mtanganyika hawezi kununua ardhi Zanzibar? 3. mbona hakuna Mtanganyika aliyewahi kuwa rais wa Zanzibar? TUNATAKA KATIBA MPYA msituchanganye
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y Ай бұрын
Nape Nnauye anatetea Tumbo lake Kubwa hakuna lingine Tundu Lissu anatetea nchi na Tanganyika yetu inayouzwa huku tukiangalia kwa mcho kwa kisngizio cha jinamizi la muungano.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
Homa za kipumbavu kabisa. Nyerere hajasema kama alivyosema Lissu ambae ni kilema mkimbizi. Wazanzibar hawakutaka kuiondoa nchi yao ndani ya muungano huu tofauti na Nyerere aliyekubali kuiua Tanganyika. Sasa unamuungaje mkono Nyerere ambae ndie chanzo cha kuididimiza Tanganyika??
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t Ай бұрын
Jamani watanganyika tudai katiba yetu km sisi watanganyika,na katiba ya muungano wetu wa kati wa hizi nchi mbili Tanganyika na Zanzibar hapo haki itakuwa imetendeka
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Ай бұрын
Ni kweli yeye ni Mzanzibari,lkn pia ana nafasi ya Utanzania pia, sasa je tuambie huo Utanganyika uko wapi?
@user-qo7uv2zc3g
@user-qo7uv2zc3g Ай бұрын
Aiseee tumbo linaangamiza taifa hili hii takataka hata hijawahi kuchaguliwa kuwa mbunge ilpoka kwa nguvu inaongea utumbo huu unaouma hivi jamani ndo kilichompeleka bungeni? Bora ile bastola ingefetuka afe kuliko kuwa lichawa kiasi hiki
@munongomeshili7612
@munongomeshili7612 Ай бұрын
Je kuwafukusa wamaasai ngorongoro ndiyo Rais wa Tanganyika!!!
@AmosSniper
@AmosSniper Ай бұрын
Kwan Samiya siyo Mzanzibar
@ezekielnyamika9536
@ezekielnyamika9536 27 күн бұрын
Kwani Zanzibar wanasemaje kuhusu muunangano?
@SuleimanGhaduwe
@SuleimanGhaduwe 26 күн бұрын
Nakubaliana na alicjokizungumza nape kuhusu lisu sio sawa kabisaa lisu kuzungumza hayo wakati yeye amerudi na kulipwa kwa uongoz wa mama
@masoudsalum
@masoudsalum Ай бұрын
Lissu amenukuu katiba ww unapiga domo tu hilo ndio tatizo la ccm hata mstaafu Devid msuya amewamaliza chadema ni wazuri kwa hoja
@kaswahilijrtz4680
@kaswahilijrtz4680 Ай бұрын
Jaman nape ivi umemwelewa lisu? Lisu kanukuu katiba katiba ndo inasema na siyo lisu.mtanganyika hawezi kumiliki mali za zanzibar
@HafidhiHaji-ip7vw
@HafidhiHaji-ip7vw 27 күн бұрын
Uko sawa Sana Mh nape
@polloz77
@polloz77 25 күн бұрын
Humekosea Bro hapo hahupo sawa kabisa we need Africa united siyo utengano Tanzania ni mfano kwa Africa Next time utasema mbona viongozi wengi ni Wachagga? Neno la kusema ni mzanzibari ni wrong at least useme Raisi wa Tanzania kafanya hivi na hivi siyo kisema ni mzanziba wewe ni kiongozi We love mama yetu Samia suluhu Love my country Tanzania
@user-fg6xi3xu6t
@user-fg6xi3xu6t 27 күн бұрын
Toka wew nape hatukutak kabisa fisad
@sidachomela7871
@sidachomela7871 29 күн бұрын
Nape Ongea ukweli
@LucasMarau
@LucasMarau Ай бұрын
Ww amuna kitu unacho sema Bora ata uondolewe bungeni uache kelele sawa
@mvuvikinda
@mvuvikinda Ай бұрын
Amesema ukweli katiba mpya
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 27 күн бұрын
Lisu unatufaa sana sana mungu akupe maisha marefu
@shukurukwake7447
@shukurukwake7447 14 күн бұрын
Huyu Nape Anamatatizo ya Akili kati yako na Lissu Nani Mpuuzi wa Kupuuzwa 😅😅😅
@ramamjema8391
@ramamjema8391 Ай бұрын
Sio kwamba wanaompinga lisu sio wote ambao hawajui ukweli,Lisu amesema ukweli bali kuna watu wamezoea uongo na wanaufanya ukweli.
@geraldbabu-oy9rj
@geraldbabu-oy9rj 29 күн бұрын
Hongera sana waziri nape haya maneno wenye masikio tusikie
@omanbarka1588
@omanbarka1588 27 күн бұрын
Kumbe na wewe ni chawa tu
@evancengoi5429
@evancengoi5429 Ай бұрын
MH Nape chama chake mbona nichama kama chama chako ambacho wanachama wenu wanasema wawapoteze wanachi wanao unga mkono upinzani mbona hujaliongelea hili mkuu? jambo jingine sio kuzika cha chaupinzani issue hapa ni je? Muungano unamanufaa pande zote mbili? jingine kwani Mama Samia sio mzanzibari? Mbona nimesikia Spika akitaja au wasidizi wakisema mbunge kutoka zanziba uliza swali la nyongeza?
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 Ай бұрын
Hivi viongozi wetu hamwezi kujibu hoja kwa uelewa mnapiga porojo tu Nilitegemea level ya Waziri angeweza kujibu vitu kwa uelewa Hivi Nape ulimsikiliza Lissu vizuri kweli Katoa na ushahidi wa Katiba ww unajibu porojo Kwani hakuna mzanzibari kweli nchi hii Bora niiache tu CCCM toka 1977 kunapoelekea sioni mwanga Ni ubabw tu
@AmusedForestBridge-zo6ox
@AmusedForestBridge-zo6ox Ай бұрын
Nyinyi mnagongantu meza utekelezaji hakuna ukweli unauma lisu anasema ukweli99%
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Ай бұрын
Kwahy Nape anataka kusema unapofadhiriwa na mkuu wa nchi cheo huwez kumkosoa ht kama kuna makosa huo sio utaratibu km kuna makosa lazima yazungumzwe ninyi ndio wale tunawaita wachumia tumbo
@NathanChuma-cz2vb
@NathanChuma-cz2vb 28 күн бұрын
😂😂😂😂😂Me nachekaga tu hii nchi bana dah😀😀
@beatusmajumbi7125
@beatusmajumbi7125 Ай бұрын
Kufanya mikutano ni matakwa ya katiba sio samia,kemea ufisadi wa ccm sio lisu
@victaboy7273
@victaboy7273 Ай бұрын
Kwan Tundu lissu aliruhusiwa na nani kuongea? Kwani siyo haki kuongea? Sisi mnatuambia tukitenge chama! C mtuulize kwanza nini Maoni yetu? Lissu tumemuelewa sana
@felixmluge3211
@felixmluge3211 Ай бұрын
Nape suti ya bure tu.....chujio lako la kusikiliza na kuelewa bado ni tatizo....Nina wasi wasi na na ww kwenye eneo la kusikiliza na kumuelewa mtu kama Lissu...😇
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 Ай бұрын
Lissu yupo sahih kwan rais ni Mzanzibar au Mtanganyika? Katiba ibadilishwe raia wa kawaida wafaidi muungano na syo watawala pekee
@revocatusmadundo7980
@revocatusmadundo7980 29 күн бұрын
Nape , lakini kwani mh.Samia si mzanzibar? Unadhani angesemaje?
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 Ай бұрын
Lisu oyee Wape vidonge vyao, hawapendi kukosolewa, ukiwakosoa umewatukana😅
@thomassenguo3851
@thomassenguo3851 Ай бұрын
Tunaiyona Zanzibar inavyo endelea kainch kadogo lakini tunagawana pesa za misaada sawa na pesa zinazoka t bala ni akili hiyo mali zetu zinauzwa zao haziuzwi niakili hiyo mtu akisema mbaguzi pumbavu hawa tumesha wachoka mwisho wao ndio huu
@user-uq5vm2ge4q
@user-uq5vm2ge4q Ай бұрын
Sasa tundu lisu kakosea wapi mbona wazir ana paniki 🤪🤪🤪
@oscarmsigala6548
@oscarmsigala6548 Ай бұрын
Anabweka kwelikweli anajua hana uwezo wa kumchallenge Lisu,na hilo ndilo linamuuma kwelikweli,sasa amebaki kupiga MAYOWE tu hata wenzie wanamuna huyu jamaa vipi ?
@polloz77
@polloz77 25 күн бұрын
Kitaja huyu ni mzanzibar at least angesema Raisi Samia suluhu au Raisi wa Tanzania not mzanzibar next time hataleta ukabila
@Fred-Ma
@Fred-Ma 20 күн бұрын
​@@polloz77mama anajitambulisha hivyo mwenyewe... Kaangalie KZbin channel ya SK Media umsikie mama akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar
@frank01tz
@frank01tz Ай бұрын
Kwani Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zanzibar? Kwanini Wazanzibar wawe na ruksa kumiliki ardhi Tanganyika ila siyo ruksa Mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar?
@user-be6yx1ck8c
@user-be6yx1ck8c 29 күн бұрын
Jamani ukweri ni kwamba watanika wananyanyaswa zambari
@teddysanga1840
@teddysanga1840 Ай бұрын
mnafiki mkubwa wewe huna lolote alikunyosha mjomba magu
@hawakazimoto2949
@hawakazimoto2949 Ай бұрын
Rais Samia mstaarabu sana kiukweli kumtukana ni dhambi. Kukosoa ni sawa sio kutukana tuu kutwa nzima jamani
@user-hl9xu4vo1q
@user-hl9xu4vo1q Ай бұрын
Kwakua amelipwa pesa zake ndio akiona mambo hayaendi sawa anyamaze kimya!! Hivi kama sisi wanajimbo la mtama tuesabu tuna mbunge!! Hi nchi ngumu sana
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p 13 күн бұрын
Hiii kwa raisi samia ni mmakonde
@jimmymushi2357
@jimmymushi2357 Ай бұрын
Usilinde kiti kaka kizazi chako hakitakuwa bungeni sema ukweli mzee
@user-sy2mp7mm8u
@user-sy2mp7mm8u 29 күн бұрын
Elimu ni bora kuliko hoja ya bila Elimu!
@princhiuskalogosho1804
@princhiuskalogosho1804 26 күн бұрын
Huu Muungano gani ambao nchi moja haipo??
@samakisamaki3226
@samakisamaki3226 Ай бұрын
Kwani haki ya mtu kikatiba ni msaada? Nape tunajua kama upo sio lazima useme yasiyofaa
@petermkumbo5094
@petermkumbo5094 Ай бұрын
Kelele nyingi kuliko hoja.
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go Ай бұрын
Zanzibar wala hatutaki Muungano ila hawa CCM jamani kwann munatulazimisha duh 😢 Wazanzibari tunataka nchi yetu ❤
@jovinusrwegoshora3206
@jovinusrwegoshora3206 Ай бұрын
Nape tambua tunaakili kwa hiyo mh siyo mzanzibar
@novathmsanyamsanya7702
@novathmsanyamsanya7702 Ай бұрын
Kweli nape ni ropo ropo😅
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 Ай бұрын
Nape usifikiri unaongea na wajinga!!!
@habinezaabubakar4200
@habinezaabubakar4200 20 күн бұрын
Muungano hauna faida yoyote
@bonnykahema2390
@bonnykahema2390 24 күн бұрын
yani nappe bana hanaga cha maana achoongea haalfu kinyonga sana hanaga msimamo
@williamdonald9185
@williamdonald9185 Ай бұрын
Yaani nape huwezi kujibu hoja zaidi ya kupiga kelele
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 29 күн бұрын
Nape bwege kweli nani ana kwelewa na kelele zako
@gasparkimati545
@gasparkimati545 26 күн бұрын
Nape kwni kuandamana sio haki? Bado hujamjibu lisu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 29 күн бұрын
mbona Lissu anaongea kwa hoja kwann nape nae asijibu kwa hoja?!bongo bna!
@GodfreyTarimo-je4xo
@GodfreyTarimo-je4xo Ай бұрын
Katiba mpya ndo Jambo la kwanz tunatak katiba mpya nape una jipy
@AbdulqadirChamakope
@AbdulqadirChamakope 26 күн бұрын
Huyo Tundu Lisu, inafaa Akamatwe !
@philemontemi4469
@philemontemi4469 28 күн бұрын
Sio kweli Mr nape
@antonyibrahim5949
@antonyibrahim5949 28 күн бұрын
Lisu yuko sahii,maana wazanzibari wanapata fursa ya kununua arthi Tanganyika ila sisi watanganyika wao hawana haki ya kumiliki arthi zanzibari
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Some time lisu kwa hili yupo sw jibun hoja sio porojo
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 29 күн бұрын
Huyu nape vip?!kwan rais mtanganyika?!dah!siasa zetu bana!
@salimualmasi7944
@salimualmasi7944 Ай бұрын
We Nape Kwani Kwani CC Kuna Mzanzbari na Mtanzani Mpemba Mmakonde Tunamakabila Kibao Kumuita Raisi Wetu Ni Mzanzibari liko Wapi kosa?
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 22 күн бұрын
Hapana tafakari kwa mapana mm ni mzaram,ila kwa mfano raisi mchaga halafu mm nisimame kwa sababu raisi ni mchaga sio WA pwani ndio maana amefanya hili,hapa Kuna tafakuri Pana msichukulie kishabiki kwa mwenye akili Pana Hana maana sehem aliyotoka tuu Kuna mpaka udini na ukanda lkn amelidhihirisha kwa kificho
@profs.a5412
@profs.a5412 Ай бұрын
Hunaaa akiliiiii weweee😅
@BakariBuma-lr2rw
@BakariBuma-lr2rw Ай бұрын
Watu wanataka katiba tume mbona uzungumzii iyo
@georgesolos344
@georgesolos344 29 күн бұрын
Wapenda vyeo utawasikia tu
@musamhaya5319
@musamhaya5319 29 күн бұрын
Wewe ndiyo mpuuzi nyie wezi tu,tunamuunga mkono lisu mungu amulinde aendelee na kasi hiyo ,hongera lisu hao ccm wezi tu
@innocentkamuntu8041
@innocentkamuntu8041 Ай бұрын
kwani alisema uongo ameuza Bandar zetu,naona nape ujieliwi kabisa
@abbymwessamachumu8626
@abbymwessamachumu8626 26 күн бұрын
Mmeshiwa kabisa CCM, mwisho wetu wa kuvimba hayo matumbo
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 28 күн бұрын
Katiba ya Tanzania na Katiba ya Zanzibar
@williamkeko9244
@williamkeko9244 Ай бұрын
Mh.Nape Mama ni Mzanzibari huwezi pinga Kwa lolote Kwa sababu wazanzibari hawataki muumgano na ili ujidhihirishe mbona yule mbunge aliyetaka passport za kuingia Zanzibar hakuonesha mgawanyo ,acha ulevi wew Kwa sababu ni kwamba anayoyafanya huyo Rais hayajakukuta Kwa sababu mnafanya wote
@kendry_rix1899
@kendry_rix1899 Ай бұрын
Basi amsamehe alikosea sio mzenji ni mkenya
@user-ut2fo1hi9i
@user-ut2fo1hi9i Ай бұрын
Wew huna hoja kwanin Samia siyo mzanzibar, unasiasa za kizamani, huwezi kuwa na mapya
@ramamjema8391
@ramamjema8391 Ай бұрын
Police kulinda wananchi sio hisani ni wajibu wao kwa mujibu wa katiba.
@user-vq3zu8ne9b
@user-vq3zu8ne9b Ай бұрын
We kuja kua na akili bado sana
@josephmanzi-sh9mx
@josephmanzi-sh9mx Ай бұрын
Nape hongera. Isimu Muungano
@msafirithomas7751
@msafirithomas7751 Ай бұрын
Ila si mzanzibari kweli?
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 23 күн бұрын
Huyu hata hoja hana daaah..!!😂😂😂
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 Ай бұрын
Ukweli unauma Lissu umepigaje hapo 👍
@genesmnganya5744
@genesmnganya5744 Ай бұрын
Comments zinaongea mambo mengi. Timizeni wajibu wenu!
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 27 күн бұрын
Sera ya uwekezaji na kuvutia wawekezaji zinatengeneza nyufa au kifo cha muungano na kifo cha ccm. Tumieni wtz kuleta maendeleo sio wawekezaji Nyerere aliyaona hayo kuwa ni mabaya .Dalili ninazo ziona hapa hazina afya kwa taifa letu kama tusipobadili sera hizo
@AmosSniper
@AmosSniper Ай бұрын
Ww huna uwelewa wa Nnchi hii kumzid Lissu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Ай бұрын
Hawa dawa yao ni kwenye box 📦 la kupigia kula watanganyika wote safari hii ndio chansi yetu pekee futa CCM kula zote kwa CHADEMA au vyama vyote vya siasa Tanganyika viungane na watashinda mchana kweupee 😂😂😂
@joezeno8
@joezeno8 Ай бұрын
Nape ni Chawa wa Samia
@omanbarka1588
@omanbarka1588 27 күн бұрын
Yawezekana nappe ni chawa 😂
@user-tl1nz7qx2l
@user-tl1nz7qx2l 29 күн бұрын
Mambo mazuri hampigi makofi kunavitu mnalazimisha
Pray For Palestine 😢🇵🇸|
00:23
Ak Ultra
Рет қаралды 31 МЛН
ELE QUEBROU A TAÇA DE FUTEBOL
00:45
Matheus Kriwat
Рет қаралды 20 МЛН
Historia ya Ephagro Msele anayedaiwa kuawa na mkewe
6:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 3,6 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 52 М.
INTERVIEW ya Lissu YATIKISA NCHI, Amwaga SIRI MBAYA, Dunia YASIMAMAAAA!!!
1:00:19
Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"
16:37
The Chanzo
Рет қаралды 146 М.
President William Ruto arrives for Madaraka celebrations
7:01
KTN News Kenya
Рет қаралды 88 М.
Wezi WAKAMATWA ARUSHAA....UWIII....Ona KINACHOTOKEAAA!!
20:48
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 69 М.
NEW CALEDONIA | A New Insurgency?
14:07
Prof James Ker-Lindsay
Рет қаралды 79 М.