Kabisa sijaelewa. Huyo dada kavaa Kama Yuko Baar. Chagua watu wakuimbanao. Maana kwakubadirisha mwanadamu ningumu. Ukikosa Bora uimbe mwenyewetu yaaan huyo dada nainjiri yako. Kaharibu Sana aibu🧐
@MamaBambala19 күн бұрын
Wewe pascal ni msanii ulianza vizuri lkn ni walewale,wewe tafuta pesa na ukiendelea hivyo mungu akukemee.
@yekoniatv546618 күн бұрын
Afadhali kavaa vizuri kwa nyakati hizi Uyo mama kajitaid kuvaa kwa heshima👏👏👏
@MamaBambala19 күн бұрын
Nikwa nini unakataza kucheza wakati ww mwenyewe unanengua na kucheza pamoja na hao waliojipamba.,nilikuamini sana lkn muuuuuh
@Pendopasilika19 күн бұрын
Jamani ku wapi huko kunengua kwa mtumishi mbona kacheza kawaida sana Tena wote wamecheza vizur
@Rashid-vm1fk19 күн бұрын
@@Pendopasilika ukihubili Neno liishi
@DavidKey-cw8pg20 күн бұрын
Mungu akutienguvu
@Rashid-vm1fk20 күн бұрын
Atakuonaje na hilo wig kichwani?
@GoodMusic-hn4nu19 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila nyie watu
@Rashid-vm1fk20 күн бұрын
Ijapokuwa ulisema kwamba tunakurupuka kuongea, ila ukisema kitu ambacho hukiishi ni sawa na bure,umekemea sana mapambo pamoja na mavazi ya kujisitiri lakini cha kushangaza unakubari kuingia studio na mwanamke ambaye amevaa kama anakwenda bar,sasa unatuonyesha tujifunze nini sasa,muonye kwanza huyo aacha hayo makolokolo
@SuzyMuhando-yf8do20 күн бұрын
Kaka paschal umeniangusha sana kwa huu wimbo hujanibariki kabisa unapotea hubiri na ishi unachotufundisha na sio inafundisha usicho ishi huyo mwanamke na mawigi rangi midomo yani nimeishia kulia tu kwa uchungu
@EsitaDavid2-wp1uf20 күн бұрын
Ndugu ,SHIDA sio kufundisha SHIDA ni kuyaishi.Mungu amlinde MTUMISHI wake anafundisha sana ,AMPE KUYAISHI ANAYOYAKEMEA .
@barakamwasumbi164620 күн бұрын
Njaaa ni mbaya , wengi wanashindwa kuyasimamia hayoo SABABU ya tumbo
@wasongaedina795220 күн бұрын
Samahani Naomba nikujibu Uwezi kumwendea Mwenye dhambi pasipo kumpenda na kuanza tu kumkemea hawezi kamwe kusikia ni lazima umpende kwanza ndiyo umwonye mapambo ni mbaya na Wokovu aulazimishwi Wasipo badilika Uwezi ni Mungu tu
@charleserasto374920 күн бұрын
Mbona nguo nzuri tu hazina shida , wanadamu bwana Mungu atusaidie. Barikiwa mtumishi