SAKATA LA SUKARI KAA LA MOTO BODI YA SUKARI YA HOJI, SUKARI ILIYOINGIA BILA KIBALI IPO WAPI?

  Рет қаралды 2,549

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Mkurugenzi wa bodi ahoji meli iliyoingiza sukari bila kibali ilipo
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari nchini Kenneth Bengesi amehoji kwa kuuliza kwamba sukari iliyoingizwa nchini bila kibali ipo wapi, hili limekuja baada ya Umoja wa Wazalishaji wa Sukari Tanzania (TSPA) kuzungumza na waandishi wa habari Julai 1, 2024.
Akizungumza kwa niaba ya wazalishaji wa sukari nchini, Ammi Mpungwe alisema baada ya kuona mpaka Desemba hawajapata kibali wao kama kampuni ya sukari Kilombero wakamua kuchepusha meli iliyokuwa inapeleka sukari mahali nyingine kwa kuwa wao ni wakubwa kwenye masuala ya sukari wakaleta tani 4,500 mwezi wa kwanza wakiwa wanangojea kibali wakipata wahalalishe.

Пікірлер: 10
@zuperpeace
@zuperpeace 3 ай бұрын
Bakh... akisha jiingiza biashara yeyote ile, lazima upepo uchafuke. Iwe mkate, maji, juisi, majengo, sukari au boti. Ana ubinafsi na malengo ya kuitawala ile biashara.
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 3 ай бұрын
Sukari ya nje ibaki na nembo za nje. Mlaji ajue kwamba anatumia sukari ya nje. Hakuna kuifunga kwenye vifungashio vya viwanda vyetu.
@MsambaNestory
@MsambaNestory 3 ай бұрын
Pamoja na hayo kwanini nje ikose sukari ,acheni kudanganya umma mnatakiwa kuwajibika itel haiwezi kutuuzia sukari kama SI madili yenu
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 3 ай бұрын
Takukuru mbona hamuingilii kati shaka la sukari maana ni kama Kuna sintofahamu ya dhulma!
@GeraldKashinje
@GeraldKashinje 3 ай бұрын
Ni vigezo gani vilizingatiwa kuwapa itel kibali? Na kwa nini wao ndo waliruhusiwa kuleta tani nyingi vile kuliko wengine?
@willsoniissaya
@willsoniissaya 3 ай бұрын
Nakwanini tuuziwe sukar kwabei yajuu nawakati nchi zinazo tuzunguka wanauza sukari kwabei yanchi 1900 2500 mnapambana kutuumiza arafu mnajiona wasafi mnatuumiza
@willsoniissaya
@willsoniissaya 3 ай бұрын
Mnajitetea uku mnatuumiza jubu oja
@willsoniissaya
@willsoniissaya 3 ай бұрын
Myaka sitini mnafanyanini mnashindwa kuwezesha viwanda vyandani mambo yakiwa magumu mnatoka na propa gana zen msione kama sisi niwajinga
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Swali la kijinga
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 40 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 107 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 12 МЛН
BAGAMOYO SUGAR; KIWANDA CHENYE TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU ZAIDI TANZANIA
26:39
Yuan for the money: China stimulates its economy
26:55
The Economist
Рет қаралды 4,7 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 40 МЛН