SHEIK MBOGO ARIPUKA NA USTADHI SHAFII MAADA YA DR SULLE KUTUMIA PETE NA MAJINI KAMA NABII SULEIMAN

  Рет қаралды 1,002

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

Ай бұрын

TUMEPATA WASAA WA KUPATA ELIMU KUTOKA KWA MHADHIRI SULEIMAN MBOGO KUHUSU WAISLAMU KUMFUATA NABII SULEIMAN KATIKA TIBA NA MANABII WENGINE

Пікірлер: 15
@BaruMasimango-zo2se
@BaruMasimango-zo2se Ай бұрын
Mashallah👌👌
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 Ай бұрын
Mohamed akifundusha watu wake ju yakumfuata yeye kama mtume alisema mnifuate tu lakini hatamimi sina ukweli namfuta nani. Kumaniisha mungu wake hakua na imani nayee aliweka watu tu kwa Chama yake sio kwa mwenyezi mungu.Yesu ndie bwana na njia tu nikumpitia yeye.poleni lakini ndivio ilibyo
@jamalkishangu
@jamalkishangu 7 күн бұрын
Wahadhiri ni muhimu mjitahidi kuhifadhi Quran moyoni pamoja na tafsiri yake. Ukihifadhi Quran kwa lugha ya kiswahili pekee hiyo haitoshi. Lakini pia mjitahidi kuisoma Quran kwa kwa lafdhi yake. Kuisona Quran kwa lafdhi ya kinyamwezi, kifipa, kisambaa au lugha tofauti ni makosa. Jitahidini msome.
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
mwisho tumufuate yesu kristo tuajane na mambo mengi
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 Ай бұрын
Mimi Mkristo lakini nampongeza..Sheikh Mbogo...Sheikh Mazinge..Sheikh Kinyogori...Sheikh Dr Sule..Sheikh Mwaipopo...Hawa ni mabingwa(CHAMPIONS of Islam) wa kiislamu
@salehemimbi1895
@salehemimbi1895 Ай бұрын
Mbogo wewe,ni mshirikina,ukiamini majini Shafii yuko sawa
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr Ай бұрын
Kwenye Biblia imetabiliwa nazani ni TIMETHEO 4:4 WATAACHA KWELI YA MUNGU NA KUFUATA HADITHI ZA UWONGO.
@ramadhanmgumba3680
@ramadhanmgumba3680 Ай бұрын
M sioni 7b ya kuwatukana mashekh kwa7b kukhtilafiana walianza wana vyuoni wakubwa hawa wanaendeleza tu Ubu tuwaheshim mashekh zetu jaman kwa7b ukianza kwa huyu mbogo, shafii na dr sule wote wanafanya kaz kubwa katka uislamu kwa wanaofuatlia mijadala ya waislamu na wakristo watakuwa wamenielewa
@IdrissaMoussa-tx7jy
@IdrissaMoussa-tx7jy Ай бұрын
Sisi wa Islam tunamufata Muhammad ww hatumufate wamitume wengine ila tunawamini. Kama vile malaise wa ichi zingine tunawamini kama ni ma perezident sio wa ichi yetu.
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 28 күн бұрын
Oa wake 11 kama Muhammad
@salmaghalib5474
@salmaghalib5474 Ай бұрын
Manno yako huna hata maana
@salehemimbi1895
@salehemimbi1895 Ай бұрын
Halafu mnashindwa kufundisha dini watu waijue sawa sawa,umekaa tu majini majini. Hakuna vitu vingine vya kuelimisha?
@salehemimbi1895
@salehemimbi1895 Ай бұрын
Wewe mbona haujatumia majini utajirike kama Sule na majini yake,umekaa na kutoa povu tu hapo
@allyway999
@allyway999 Ай бұрын
Huyu jamaa anatoa haya ya Quran kulazimisha sija soma mimi lakini najua kwenye quran kuna history geography science na alafu ukisikia faten Mila za nabii iblahimu Sasa unataka kusema mpaka jinsi yakuswali iblahm ilikuwa ni swala tano wakani Mtume wetu kapewa yy swala tano we vepe wew you talk no sense ukisikia mila iliyo maanishwa hapo maanayake alikuwa muislam na muamin na alikuwa simshirikina kama unavyo yaka wewe ndio lengo la Aya iyo we vepe
@allyway999
@allyway999 Ай бұрын
Shke inanidi tukufundishe sis wanafunzi Sasa maana unataka kubisha vitu ambavyo hata mtoto anaelewa Sasa nasemaje kama ilivyo Allah anasema tufuate quran na sunna za Mtume Muhammad sio tumfate Sulaiman au kwavile aliwatumia Majin ndo kumg'ang'ania ivyo yaan wewe Akili zako Azina akili kabisa
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 21 МЛН
MSIMSHAMBULIE DR SULLE UHAKIKA WA ELIM YA MAJINI HUU HAPA INATISHA No2
44:55
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA
57:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 12 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН