Waongo waongo acheni kubumba hizo picha c kweli hata kidogo Mungu anawaona
@MafoleGlady2 ай бұрын
Mungu ndo ajuwe apoo sis atuna mengi tumesema Sana Ila ss tuna niachia mungu ndomuweza wa yotee
@Zubaiba2 ай бұрын
Kwann yy haogei ,Hadi ww umuogelee?
@erastoshirima2 ай бұрын
hii ni edit
@ChandeMaulid2 ай бұрын
Nijambo zuri sana kwetu kusikia hivyo pia kimeleta amani yamoyo lakini hadi tumuone ndy tupate raha ya arusha tulizani wametufanyia kimyakimya kama kawaida yao sisi tunashukuru sana mungu amlinde huko alipo asatee
@songeza2 ай бұрын
Daah hakuna c kweli jamani angalieni vzuri hizo picha duuuh enu mwachieni mtoto wa mwanamke na familia yake mmeificha isiseme kitu ereh mungu simamia hili
@AnatoriaRwabatwa2 ай бұрын
Acha kutudanganya sisi watu wazima tuna akili zetu yeye aongee mwenyewe
@NgassaSupila2 ай бұрын
😮
@saidalmarjibi61122 ай бұрын
Ukimya ni hekma/: hizo picha sio mpya /
@mvunge71082 ай бұрын
Ni kweli itakua kupewa mwaliko rasmi ku settle deal ya ngorongoro huko
@clauschaula20502 ай бұрын
Acheni kutuchanganya.Kuna picha inaonekana anaendesha boti ya starehe Mwanza na nyingine inaonekana yupo Dubai na viongozi.Tuamini lipi?
@johnmalale38602 ай бұрын
Watu wenyewe ni sanamu;!? Mbona hata kutikisika, na kuongea hamna,?! Hii danganya toto;!
@AsiaasiaAsiaasia1232 ай бұрын
Arud bas mana hatuna imani sana na hizo habari tulilizwa sana Kwa maguful
@FrancoisElesambo2 ай бұрын
Bongo yabo izi picha niza zamani sana, tunazijuwa
@FrancoisElesambo2 ай бұрын
Mimi siamini kwa picha, ndaamini kwa sauti yake Yeye mwenyewe akiongea kutwambia kama ipo tusiulizi, ndo ndaitika, Ndugu zangu politique iko ngufu sana
@christophershuma6232 ай бұрын
Yuko aliko anafanya kazi binafsi?
@rukiawagaba20802 ай бұрын
Mungu mkumbwa Amina
@YaeliJoseph2 ай бұрын
@@rukiawagaba2080 mh, mi nashindwa nisemeje jamani 😭
@HalimaAbdallah-zb2qr2 ай бұрын
aseme mwenyewe tumsikie kamanda wetu
@RukiaTanzania2 ай бұрын
Yaleo lakini
@DianaUlomi-n4r2 ай бұрын
Asant mungu baba wa mbingun zidikumtunza mtetezi wawanyonge
@estambuya39012 ай бұрын
Unaupenda sana unyonge! Umekwisha.
@devothachitamu15282 ай бұрын
Acheni hayosi kweli😂
@songeza2 ай бұрын
Pia kama unaushahidi kamili ongea nae mpigie we mwandishi acha hizo umesinevu nini
@samuelchiumia90542 ай бұрын
People worries ni kwasababu amekaa kimya sana,watu wanavyomjua Makonda nakutaka sifa na kazi zake nzuri ,tungesikia.Ni jambo zuri sana hilo analofanya huko.People want to see Makonda.
@djfaraji2 ай бұрын
Mnazingua mala yupo visiwani mala sijui wapi tumechoka hatutaki picha mbona amtuelewi acheni ujinga mjue
@thadeusmateru13562 ай бұрын
Jamani Ccm raha Mkuu wa mkoa kaendaughaibuni likizo. Huenda analipwa kuhakikisha Dubai inamiliki Ngorngoro
@JacklinSwai2 ай бұрын
Sasa jamani, kwanini mnamsemea,wananchi wanataka aseme mwenyewe ili waamini kuwa kiongozi wao yupo salama,sasa mkimsemea bado unawapa mashaka.
@DavidKagulu2 ай бұрын
Yupo Dubai anakula nae mgao wa kuuza ngorongoro, Ili akirudi akawahadae vizuri wananchi wa Arusha,na jinsi mijitu baadhi ya Arusha inamshangiia makonda makonda atafanya Nini Sasa
@yousufyousuf59632 ай бұрын
Acheni uwongo mbona munapinda pinda tu hamsemi ukwel kama makufuli
@PreciuosFundikira2 ай бұрын
Binafsi siamini mpaka nimuone hamjui nijinsi gani tunaumia watanzania makonda ongea badi jamani wengine hatujawahi kukuona ila utendaji wako uliotukuka ndy unaotufanya tukupende sana
@ThomasSankara-bj4lk2 ай бұрын
Ndugu mtangazaji, please uwe unazisoma posti za wasikilizaji please bwana
@estambuya39012 ай бұрын
Makonda na waarabu! Mnategemea nini, makonda kashapewa asali mtajua hamujui! Anasema nini kuhusu bandari zetu. Tumieni akili jamani.
@mvunge71082 ай бұрын
Alienda kuuza mbuga zetu huko
@OsiaMwakapalila2 ай бұрын
Makonda ndiye angesema Kwa kututoa wasiwasi kuliko kumsemea
@MagdalenaKitoma-md3kp2 ай бұрын
Bado kweli mmetuambia yupo sawa famyen mpango hata tumsikie akiongea kwamba yupo Dubai aseme mwenyew
@soltv82682 ай бұрын
Usiingize uongo kwenye issue ambayo ni serious🤔🤔🤔, baadhi ya picha ni za zamani na nyingine ni Editing, acha ujinga
@lilymunanka7642 ай бұрын
Hivi visima hivyo visingechimbwa vinginevyo? Mmmmhhhh
Viongoz wetu hovyo kabisa..njaa utauzaje raslimali kwa waarabu.
@RachelKinasha2 ай бұрын
Tunataka tusikie sauti yake mwenyew
@djfaraji2 ай бұрын
Mnajialibia lindeni blandi yenu
@onlyyoujesus82322 ай бұрын
Uongo huo. Kaimu wake anadai yuko likizo, wewe unasema haya. Kaeni kimya mpaka tumwone live.
@johnmalale38602 ай бұрын
Mbona hizi picha hata hazitikisiki;! Wala kuongea,
@PreciuosFundikira2 ай бұрын
Kama nikweli mbona haonekani kwenye midia nasio tabia yake kuwa kimya
@MukhtarBurah2 ай бұрын
KUMBE HUYU MAKONDA NI FISADI KUMBE SIO MZALENDO YUPO PAMOJA NA WARABU KUUZA NCHI YETU KUMBE NAE KIBARAKA KAMA VIBARAKA WENGINE TUU KUMBE UNATULA KISONGO YANI PESA KIDOGO TUU MNAUUZA NCHI YETU PUMBAVU ZAKO SISI WARABU WA NINI WARABU NI VIBARAKA WA MAREKANI SISI HAWA WARABU NI NJAA KALI K...KWA NINI MMEMUZIA MBUGA YETU HUYU MWARABU ANAENDELEA KUIBA MADINI YETU HAPO NGORONGORO KWELI SISI WATANZANIA HATUNA AKILI KUNABABAIKA SANA NA HIZI RANGI ZA USHOGA ...TUMBUMBULUKE BASI VIONGOZI WETU PESA AINA MWISHO HUTU NA UZALENDO KWANZA....
@ymohammed9632 ай бұрын
We mungo sana wewe
@KS-iw7qv2 ай бұрын
Editing
@christinainnocent31842 ай бұрын
Sio kweli acha kutudanganya weee umetumwa wewe. Makonda sio wa kukaa kimya hivyo stop fulling people