TAZAMA : NDUGAI AMPIGIA SIMU LEMA SIMU KUMUOMBA MSAMAHA KIMYA KIMYA

  Рет қаралды 173,793

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZbin : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...

Пікірлер: 161
@Rodelite11
@Rodelite11 Жыл бұрын
I have a lot of respect in Mh. Lema. He’s a great man.
@tanescocompany-gy2th
@tanescocompany-gy2th Жыл бұрын
Very Very Broght Brother Lema God Bless You Umeongea Vitu Flaani Hivi Kuhusu Hao Manabiii Aiseeeh
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu Жыл бұрын
Oya Lema, ningekua walau nina confidence robo ya uliyonayo ningekua mbali. Keep on going bro
@veronicanabina3380
@veronicanabina3380 Жыл бұрын
Asante sana baba ukweli ni mzuri
@richardmagaka9525
@richardmagaka9525 Жыл бұрын
Huyu Lema ni mtu wa Mungu kwelikweli na Mungu atazidi kumbariki
@innocentmsoka7805
@innocentmsoka7805 Жыл бұрын
Amina lema barikiwa sana Utukufu wa Mungu Mkuu Ukafunuliwe kwako umesema vema nabii yule ni tapeli tu
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Vikoba mlaaniwe na mzidi Kulaaniwa tena hasa hao wahesabu pesa mnakula pesa za wamama wasiojua hesabu vizuri 🙋🙋
@mwanabucheyeki226
@mwanabucheyeki226 Жыл бұрын
Sasa hivi yuko Vizuri ki fikra tofauti na zamani! Yote anayoongea yana uhalisia katika maisha!
@christophermwanjoka7406
@christophermwanjoka7406 Жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri sana.Msimamo wako mzuri sana
@josphatmwandele8860
@josphatmwandele8860 Жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka
@bibitwinsbibidd7677
@bibitwinsbibidd7677 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuhekimisha
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 Жыл бұрын
God bless Lema, The true Man in the society of Tz
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 Жыл бұрын
Yeah, that's for sure.
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Mungu yupo hai na anafanya kazi usiku na mchana na huyo gugu hapo arusha lazima atatoka mwenyewe
@adamamani8816
@adamamani8816 Жыл бұрын
Umejaaliwa sana kuongea ila unayoyaongea sio kweli ni sifa tu unatafuta
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
@@adamamani8816 ulitaka anyamaze kisa nyiye mnajaza hayo matumbo na hela za watoto wa masikini mlaaniwa wewe acha kabisa kujibu commenti za watu endelea kuchumia hilo litumbo lisiloja
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 Жыл бұрын
Keep it up Brother
@fredyshirima8594
@fredyshirima8594 Жыл бұрын
Much respect commander ✌
@verasikawa6382
@verasikawa6382 Жыл бұрын
Umesema kweli muheshimiwa lema
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Minakuerewa Sana nabii wamungu anakututumia aamina
@nesphorycharles9371
@nesphorycharles9371 Жыл бұрын
Dah big up broo u'a bright man!!
@bashobabaraka706
@bashobabaraka706 Жыл бұрын
Big up broo
@FaustineKingu-w8d
@FaustineKingu-w8d Жыл бұрын
Uko vizuri bado tunakuhitaji bungeni
@christophertarimo3044
@christophertarimo3044 Жыл бұрын
Lema nabii
@pureleathershoes8066
@pureleathershoes8066 Жыл бұрын
Huyu mwamba anatema point sana. Viva Lema.
@florafilbert3288
@florafilbert3288 9 ай бұрын
Lema nlikuwa namwelewaga tokea zamani mtu wa Mungu sana God bless you
@EliyacostantinoPius
@EliyacostantinoPius Жыл бұрын
This guy is genious ila usipokuwa makin..Hutaelewa
@alfredmarti3131
@alfredmarti3131 Жыл бұрын
Siyo wengi wanaona hiyo. Yupo mbele hata huu utata wa boda boda
@zanarttz4335
@zanarttz4335 Жыл бұрын
kwa kuongea sawa si kutenda na tunahitaji matokeo si kashifa
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 Жыл бұрын
Walio aminishwa no ni yes na yes no, hawawezi mwelewa kabisa. Na faida kubwa kwa tawala zote za ccm Nchi hii ni kuendelea kutawala wajinga na sio kuongoza welevu wa mambo.
@ernesttomas85
@ernesttomas85 Жыл бұрын
Safi
@robertmwagala8280
@robertmwagala8280 Жыл бұрын
Good vision Mr Lema.
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu Жыл бұрын
Points sana hapo kwenye kukopesheka, dhamana zinakera sana
@leonardramiye8207
@leonardramiye8207 Жыл бұрын
Lema is a nice person in arusha
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Umesema ukweli lema
@wanyamadan7105
@wanyamadan7105 Жыл бұрын
Financial institutions must have taken a point from Lema, very noble advice
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын
Lema yuko vizuri
@festoasanga5572
@festoasanga5572 Жыл бұрын
Kweli huyu jamaa nimtam saana daaaa wana Arusha mlimpata huyu mwamba hadi natamani kuhamia uko
@isayaanthon7063
@isayaanthon7063 Жыл бұрын
Lema nakuelewa sana sana
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Mungu anamuonyesha anaaibika job ndugai
@olivernyange2349
@olivernyange2349 26 күн бұрын
Lema hebu kidogo kama unaomba Mungu akusaidie akuondolee hiyo weekness ya kuongea sana kuna vitu ni siri
@hssanrubota3891
@hssanrubota3891 Жыл бұрын
Tungepeta watatu kama hawa nafikiri watu masikio yangezibuka
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg 12 күн бұрын
Lema na heche nawaamini sana siku wakihama naacha kufatilia
@sizaadolph2287
@sizaadolph2287 Жыл бұрын
Nmependa maneno yq mheshmiwa
@herbertbathlomeo4650
@herbertbathlomeo4650 Жыл бұрын
Well said
@mirajilimited8563
@mirajilimited8563 Жыл бұрын
..Kabla haujajinyonga nenda kwanza kwenye ibada mshilikishe Mungu kwa Maombi then kumbuka kujinyonga au kitendo cha kuua ni dhambi kubwa sana 🔥 unamjua aliekuumba kwanini ujiue au umpoteze binadamu mwenzako wakati unaamini ukimwomba anakupatia..... TOKOMEZA SHETANI USIJIPOTEZE EWE NI SHUJAA WA MUNGU!....BALOZI MIRAJI TZ
@florafilbert3288
@florafilbert3288 9 ай бұрын
Genius
@daudibuyanza-sv8qz
@daudibuyanza-sv8qz Жыл бұрын
Ni kweli Mr lema
@meddymushmaz551
@meddymushmaz551 Жыл бұрын
Tatizo hatukuelewi,,tunaona kazi unayofanya nikudsifia Kikwete my friend
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Kikwete pamoja na udhaifu wa ki binadamu zama zake kulikua na unafuu wa maisha mzunguko wa shilingi ulikuwepo
@eaglecrown6470
@eaglecrown6470 Жыл бұрын
Huwa simuelewi mtu ambae anamchukia na alikuwa anamchukia magufuli Kwa kweli MUNGU anisaidie Sana wenda ufahamu wangu ni mdogo🤔🇹🇿🙏🏿
@suleymanjuma4309
@suleymanjuma4309 Жыл бұрын
Kwa vile unaejielewa nimekupenda
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 Жыл бұрын
Ulikua basi humfahamu magufuli halisi , huyu ndie katili aliyewahi kutokea, labda kama unapenda dhuluma huyo atakua mtu sahihi kqako kumoenda,
@GoodluckMushy
@GoodluckMushy 3 ай бұрын
Ww c mwehu
@israelnjohn8070
@israelnjohn8070 Жыл бұрын
Lema kaongea Mambo ya maana kabisa asante bradhar huo ni ukweli usiopingika
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Naomba tuusikie na upande wa pili. Story nzuri ni ile yenye balancing
@ezrakaturitsaofficialtz7873
@ezrakaturitsaofficialtz7873 Жыл бұрын
Ni kweli tupu unazungumza
@tobiaspaul9203
@tobiaspaul9203 Жыл бұрын
Lema nakukubali
@bethuelkonyuniofficial7930
@bethuelkonyuniofficial7930 Жыл бұрын
Lema for Arusha and arusha for lema Temepwaya sana kwa miaka mitano
@paulshirima4561
@paulshirima4561 Жыл бұрын
All is true
@joshuakazimoto2607
@joshuakazimoto2607 Жыл бұрын
Nakubal akili kubwa
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Жыл бұрын
CONGRATULATIONS MR LEMA
@sadiqkumbata4144
@sadiqkumbata4144 Жыл бұрын
Mungu atakufanyia wepesi mdogo wangu utaenda mbali.rangi ya kijani tunaiaga kabisa na nyumba walizogawana zitarudi tu
@mihamboseleli2877
@mihamboseleli2877 Жыл бұрын
kweli kabisa nibora ucheze mchezo kuliko kikoba
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
✌👊
@selekiwande3386
@selekiwande3386 Жыл бұрын
Akiri kubwa
@hefsibahunkie7376
@hefsibahunkie7376 Жыл бұрын
I understand this brother,,,inahitaji utulivu kumuelewa
@amosjoseph-bj9eb
@amosjoseph-bj9eb Жыл бұрын
S seezdsz in esse
@godsgiftgreat4752
@godsgiftgreat4752 Жыл бұрын
LEMA UKO VIZURI SANA
@mtumishiendwell-sd2pp
@mtumishiendwell-sd2pp Жыл бұрын
Sauti ya mtu aliaye nyikani
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Wachungaji matajiri waumini masikini hii imekaa vibaya sana.
@sizaadolph2287
@sizaadolph2287 Жыл бұрын
Daaaah huyu lema anasema ukweli mtupu
@elibarikkiakyoo
@elibarikkiakyoo Жыл бұрын
Tuungane tumfanye awe next president 🤔nilimwana toka zaman
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب Жыл бұрын
Ngoja niendelee kutazama ntaelewa tuu kwa lazima
@mihayoandrew
@mihayoandrew Жыл бұрын
Nimekuelewa.lema
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 Жыл бұрын
Duuh!kuna watu wenye vipaji vya kuongea!!!
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
omba msamaha kwa wale waliopoteza maisha yao kwa kuvamiwa kwa ujambazi wako kisha uwe mtu safi
@emmanuellaston5446
@emmanuellaston5446 Жыл бұрын
Alikuteka wewe?Acha huo umama
@pennygibson4542
@pennygibson4542 Жыл бұрын
Yy ndo aliwauwa
@pennygibson4542
@pennygibson4542 Жыл бұрын
????
@RestutaLeo-xq7rf
@RestutaLeo-xq7rf Ай бұрын
Yeye ndo aliwaua au na yy alikuwemo kwny wauliwao mungu akamuokoa, waambie hao ccm wenzako huo ujinga
@barakakibona-bq7my
@barakakibona-bq7my Жыл бұрын
👌
@Joh-j9s
@Joh-j9s Жыл бұрын
Yani unayongea ni ukweli mtupu.😂😂
@nejamsalo9287
@nejamsalo9287 Жыл бұрын
Acha kutuzingua bana mbona hukusema hayo siku zote
@yawepetro2049
@yawepetro2049 Жыл бұрын
Hakuna mungu apo sili unapewa navigogo wa ccm unajifanya umeoteshwa
@honestmsigwa920
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Hakuna nabii hao ni wapiga pesa TU.
@zachariahariohay359
@zachariahariohay359 Жыл бұрын
Chizi
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 Жыл бұрын
Ma-Bobmalay
@msauzbusiness558
@msauzbusiness558 Жыл бұрын
We lema nawe uwaga kaongo kaongo xn
@mihayoandrew
@mihayoandrew Жыл бұрын
Unasema.kqeli.nayaona
@mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
@mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 Жыл бұрын
Mbona amuogelei ng,ombe kuuzwa naselekari zawatu watoa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 6 ай бұрын
AKILI KUBWA HII JAMANANI
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 Жыл бұрын
wanaoguwa utawajua tu comments zao lazima watukane au wawe kinyume ata kwenye ukweli
@hussainmaulatz6758
@hussainmaulatz6758 Жыл бұрын
Lema endelea kuipelekea serikali pumzi yamoto ili maendeleo yaende kwa haraka pia tunampongeza RAISI SAMIA kuruhusu haki ya kikatiba inayofanya wapinzani kuzungumza mazaifu ya serikali ili kusogeza maendeleo.
@alfrediaugustino1026
@alfrediaugustino1026 Жыл бұрын
Ukweli mtupu waambie hao wachungaji mchwara
@adammbuba7230
@adammbuba7230 Жыл бұрын
Kichwa chako kimeyumba
@GoodluckMushy
@GoodluckMushy 3 ай бұрын
Kma cha mamako
@usalamaedward1189
@usalamaedward1189 Жыл бұрын
Utamuelewa Lema ukiwa na akiri kubwa ya kufikili sio mihemko
@MgabeMsalaba
@MgabeMsalaba 2 ай бұрын
we lema unacho taka ni nìni
@joyceMwaikusa
@joyceMwaikusa 18 күн бұрын
😂😂
@chiriccmabobo8746
@chiriccmabobo8746 Жыл бұрын
😅
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Kuwa Spika Tanzania kustaafu ukala "good time" ni bora kuliko kubaki madarakani.
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Жыл бұрын
WEWE USILIMU UMESHAONA UKAFIRI SIO DINI KUVUA NGUO WAKE ZA WATU NA KUDHUMU MASKINI MOTO UNAWASUBIRI MAKAFIRI
@priscairene4605
@priscairene4605 Жыл бұрын
Huu.ndo.ungwana.amefanya.vzr.ndugai.kuomba.msamaha
@gracemima5234
@gracemima5234 Жыл бұрын
Huyu anafikiri yeye ni Mtoto wa Mungu. Alisema alimuombea MAGUFULI kufa na akafa utafikiri yeye ataishi milele. . Alisema Samia atakufa na bado hajafa. Ndungai Kama ameomba musamaha kwa huyu fisi basi hana maana. Huyu anabidi kuomba musamaha kwa watanzania, kwa lugha yake mbaya kwa huyu mwizi amekosea sana. Ni mtu muchafu mwenye lugha mbaya.
@zakayomasingoti9238
@zakayomasingoti9238 Жыл бұрын
Una macho lakin huon..una masikio lakn husikii una ubongo mkubwa akiri kijiko
@isayasoingeilukumay8122
@isayasoingeilukumay8122 Жыл бұрын
👍
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 Жыл бұрын
kwanini watumishi wa mungu wengi wanaishi mjini tu hawapeleki huduma vijiji na huko kuna kondoo wa bwana
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Жыл бұрын
Hiyo michezo ya kubahitisha.ndo laana.
@maxmedia8506
@maxmedia8506 Жыл бұрын
Kikundi cha watu kumi kinakopeshwa laki tano
@osianjaphet9072
@osianjaphet9072 Жыл бұрын
Kuna kipande mmekata
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Lema unaongea sense sana
@victorymaiba1648
@victorymaiba1648 Жыл бұрын
Lema uko vizuri
@neemasanare3474
@neemasanare3474 Жыл бұрын
Hahahahahahahha
@fridalazaro3208
@fridalazaro3208 Жыл бұрын
Wewe kweli unatakiwa kuwatoa walio ingia huko maana ukiwa na shida wewe mchungaji anakuombea kutatua shida zako lakini mchungaji akiwa na shida wanamchangia hawamuombei hivi kweli hapo Pako sawa!!!!?
@elibarikkiakyoo
@elibarikkiakyoo Жыл бұрын
Jiulize break-down ikiingia mtaron inatokaje
@zanarttz4335
@zanarttz4335 Жыл бұрын
shida ni mawazo mbadala kwa mfano hata kwa jamii ndogo isaidie TUONE
@Mfanyilavangi
@Mfanyilavangi Жыл бұрын
Lema unatumiwa na jo Davie
@hamisndusu3625
@hamisndusu3625 Жыл бұрын
We unatumiwa na nani?
@Nufaila442
@Nufaila442 Жыл бұрын
Tuambie uliahidiwa Shilingi ngapi ili uwe mbunge??? Tujue walikuwa wanawanunua kwa bei gani Pesa za walipa kodi
@kamugishakaroti2569
@kamugishakaroti2569 Жыл бұрын
Ya uakika
@selinatogolai3314
@selinatogolai3314 Жыл бұрын
Wewe toka urudi unat engeneza uadui kwak ila mtu kwanini usirudi kwa amani tu unafany a uadui nakila mtu kw anini mwenzio tundu lisu karudi kwa amani tu wewe maneno men giiiiiiiiiiiiiiii acha bwana tunataka amani bwana
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,6 МЛН
GOODBLESS LEMA AELEZA KUWA PAUL MAKONDA ANAJUA BENISAA NANE ALIPO
7:36
BREAKING: LEMA Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea!
48:51
Global TV Online
Рет қаралды 258 М.
GOODBLES LEMA AMPIGIA OLE SABAYA NA KUMTAKA AACHE KUTESA WATU
3:14
Chadema Media TV
Рет қаралды 403 М.
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 578 М.
LEMA ASIMULIA KILICHOMKIMBIZA NCHINI / AMSHUKURUB RAIS KIKWETE
20:04
HAKUNA MATUSI AMBAYO ADHABU YAKE NI KIFO!
25:35
SK Media Online TV
Рет қаралды 18 М.
KWANINI WABUNGE WALIKWENDA DUBAI? AIDA KHENANI WA CHADEMA AIBUA JAMBO
29:40
SK Media Online TV
Рет қаралды 182 М.