Kutazama Pat 01 bofya link hii 👇👇 kzbin.info/www/bejne/hoSlaKttispjorc
@emmanuelsalila15575 ай бұрын
O😅l
@HusnaMtitiko-yt4ru5 ай бұрын
@@emmanuelsalila1557😂😂😂bwabwa tu huyu hamna kitu hapa
@EliseyMassawe-tc6ns5 ай бұрын
Uyo anaekaa apo sio mtu ni mamba
@BushrifuKasseko5 ай бұрын
ll
@magrethibrahim96365 ай бұрын
Aan haki za watu haki huwa zinapotea bure kukosa ufuatiliaji
@josephinejoachim58475 ай бұрын
Kwakuwa tumesha jua vizuri havidumu basi ndugu zangu watanzania wapenda haki, tuungane kwa pamoja tumuombee mh makonda mwenyezi mungu ampe maisha marefu.
@dorahmushi-we6ts5 ай бұрын
Kweli anahitaji maombi...
@edwinlyimo56115 ай бұрын
Tutazidi kukuombea Mungu akulinde na maadui zako, kweli unasaidia wanyonge,Wakati umefika upande cheo kuwa waziri wa Mambo ya ndani,wizara hiyo imepoa Sana tofauti na enzi za Mrema,Makonda chukua hiyo wizara Sasa,
@thomaslali7055 ай бұрын
Zoezi hili liwe endelevu kwa mikoa yote
@rosenaheka51375 ай бұрын
Amuepushe na hila zote za shetani na asimame na wates wake na ampe kibali
@Benny318m5 ай бұрын
@@thomaslali705 Ni kila mkoa wakuu wake wanahitaji kujifunza
@farusaimon34905 ай бұрын
Huyo Mama ni kiboko yao! Hongera sana mwalimu Beatrice-Mwenyezi Mungu akulinde na urejeshewe haki yako! Viva Mr. Makonda!
@rabsonmichael97205 ай бұрын
Mama yupo makini sana.
@rehemamollel95485 ай бұрын
Mwalimu wangu jmn nampenda njiro secondary moja
@rehemamollel95485 ай бұрын
Yupo makini hadi kwenye ufundishajii jmn njiro sec 2oo9 hadi 2012 tunamuelewa vizuriii
@farusaimon34905 ай бұрын
@@rehemamollel9548 Hongereni sana kwa kuwa na Mwalimu makini. Ni wachache mno wenye ujasiri kama huu. Fuateni nyayo zake, kwa ajili ya kujitetea na kuwatetea wengine wanaodhrumiwa.
@Angelkilawe5 ай бұрын
Anaakili uyu mama anafaa kupewa uwana sheria❤❤❤
@BraisonMeela5 ай бұрын
Mhe. Makonda You deserve this position your excellence. Umekuja wakati muafaka ktk mkoa was Arusha. Mungu akubariki
@TwalibuSalimu5 ай бұрын
Huyo abarikiwe sn
@TwalibuSalimu5 ай бұрын
Mtetezi wa wayonge nchi zimama
@chalemofaraji87975 ай бұрын
Makonda makonda Allah akuweke na kukulinda makonda 🇬🇷🇬🇷🇬🇷🇹🇿
@joelpreachingsmuiruri51885 ай бұрын
Mhesimiwa Makonda truly an ambassador of the kingdom of God.Much love from Kenya Bro
@AlAl-sd9pl5 ай бұрын
Mama Samia ikikupendeza mpe mkoa mwalim beatrice. Yuko vizuri Sana anaejielewa vizur sana
@PendoMatemba-sn4zx5 ай бұрын
Hata Mimi narafiki Hilo, 🙏🙏
@winfridambwambo98305 ай бұрын
Kabisaaaa
@missarepafra39735 ай бұрын
Beatrice Sio mwalimu Kwa ustadi wake wa Ku handle issues anapaswa kuwa katika nafasi kubwa ili kuweza kuwasaidia na wananchi wengine wasiokuwa na sauti, uwezo wala ujasiri na utulivu kama wake yeye huyu mama. Nimempenda jinsi alivyo verry commited na pia yuko humble lkn powerful.
@JoyceMwita-e3w5 ай бұрын
Mwanaume anae mmiliki Beatrice amshukuru Mungu na amuombee sana kwa Mungu maana duh hata mm ni mwanamke ila nimempa saluti da Beatrice ❤❤❤
@aristidesvedasto78555 ай бұрын
Hakika kabisa
@emyfaustin76185 ай бұрын
Nakuunga mkono
@peninabernardo25045 ай бұрын
Yani ni ana akili sanaaaaaa🙌🙌🙌ualimu unaficha kipawa chake kwakwel
@HijiraHussein4 ай бұрын
Anajua anajua anajua anafaaaaaaa Huyu dada Beatrice mungu akupe maisha marefu
@JohnEleuter5 ай бұрын
Daaaahh RC makonda mungu akulinde Sana kwa Kaz nzuri na tamu unayoifanya
@HamidaHamisi-ej8kz5 ай бұрын
Makonda Acha wasikupenda Tukikupenda sisi wanaichi Na Mungu Wetu inatosha Makonda wetu. Mungu wetu Akulinde kiongozi wetu
@emmanuelbernard95525 ай бұрын
Mpaka raha sana,hii kitu inanilia sana bundle lakn sijali ❤
@fatumamilimo73365 ай бұрын
tupo wengi😂😂😂
@MariaIsaya-y2y5 ай бұрын
Hongera madam Sana kwa ujasiri mama angu
@MariaIsaya-y2y5 ай бұрын
Hongera madam Sana kwa ujasiri mama angu
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv5 ай бұрын
Wala hata MB haziumii
@salomewandya72575 ай бұрын
Usijali dear yajayo yanafurahisha
@emmanuelbernard95525 ай бұрын
Mwl. Beatrice tazama muujiza wa Mungu.Walikudhalilisha sana pindi ulipokuwa ukiwafuata maofisini kwao.Leo Mungu kawadhalilisha nawao mbele ya Dunia.Mpaka aibu kweli.
@BeullahBujah-lk3sx5 ай бұрын
Mungu ni mwema kwake.
@annamaronga52825 ай бұрын
Mwalimu wangu wa physics jmn
@ilakozasembumende19755 ай бұрын
Mwalimu anafaa kuwa waziri wa elimu au katiba na sheria yuko vizuri sana. Ikiwa umewahi kufuatilia haki yako kwenye hizi manispaa utaelewa maumivu ambayo mwalimu B kapitia. Uwiii yaan dodoma mnispaa walichonifanyia Mungu anajua walichukua plot nba zangu wakampatia mwingine na offer ninazo mkononi na hati wamempa mwingine na kesi yangu wakaiamua ivo ivo wakanipa kiwanja kingine sehemu walio idharau wao
@CarolynoissoFamel3 сағат бұрын
Mungu azidi kukulinda makonda
@MrTop-wj7no5 ай бұрын
Daah huyu mwalimu kiboko😂😂😂🙌🏼🙌🏼 MKUU WA MKOA unatakiwa umsogeze hapo ofisini nae atakusaidia kuwatatulia matatizo watu wengine ana Akili sana
@enockmaige89365 ай бұрын
Mungu akutunze kwaajili yetu Makonda akulinde akupiganie akufiche katika mbawa zake ambapo wabaya hawawezi kukufikia.
@tabithasamson81235 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mkuu wamkoa makonda uko vizuri mungu akutangulie endelea kutenda haki
@susananyasani65265 ай бұрын
Super Mheshimiwa Makonda kwa kazi nzuri Arusha kutetea wanyonge asante
@emmanuelbernard95525 ай бұрын
Naona tabasamu kwa mbali kwa Mwl. Beatrice.Mungu kamuonesha mwanga.Zaidi ya watu wakatili wenye roho mbaya watesaji.
@ShrifaTnzani5 ай бұрын
Pole kaka makonda mungu akutangulie
@jalinachilala84655 ай бұрын
Star wangu mimi Tanzania 🇹🇿 ni makonda jaman Yarab mlinde huyu kijana mwenzangu kwa kazi kubwa anayo ifany🙏
@elisesiastephen17755 ай бұрын
Mungu akubariki Kiongozi Mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda Hakika Mungu akubariki sana kwa kusaidia wanyonge wanaoonewa na watumishi wa serikali Wanafanya Serikali itukanwe na usiaminike kwaajili yamatendo yao maovu Mana Samia amekuamini lakini Mungu ameruhusu uje utusaidieee Sinama na Mungu akubariki kwakusikiliza wanyonge Libarikiwe tumbo lililo kuzaaa Unezaliwa kwakusudi la Mungu Ubarikiwe kuingia kwako nakutoka kwako
@imranhassan99945 ай бұрын
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟 ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani... ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...
@SheillaJaffery5 ай бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa mkuu wa mkoa kazi yako ni njema unatenda haki
@ambrosealbogast7925 ай бұрын
The Great Makonda! Hakika u mtetezi wa Wanyonge. Big up sana
@annahngururi65955 ай бұрын
Habari mr.makonda.Mungu akupiganie katika kutetea haki za watumishi. Mimi pia nina shida za kiutumishi naomba unisaidie na mimi........wuuuuuiiiiiii
@esthersissamo11205 ай бұрын
Mungu akulinde Mkuu wetu Arusha tunashukuru sana kwa kuletewa jembe kazi kazi tu Mungu akupe afya njema na maisha marefu asante sana.Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake.
@kilianamapunda31705 ай бұрын
Makonda Makonda Mungu Akupe maisha
@AnnazachaZacha5 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa Paul Makonda Mwenyezi Mungu wakulinde daima
@happyfrank99195 ай бұрын
Hongera sana Mh. Makonda kwa kujua na kutambua majukumu. Munngu azidi kukuweka.
@123228795 ай бұрын
Mungu aendelee kumlinda brother Makonda…Kudos kiongozi.
@mbonijabut14055 ай бұрын
Pole mwalimu wangu makonda miaka mia baba
@ElishaKasambo-yu5jt3 ай бұрын
Very advanced problems solving skills,be blessed by Almight
@lucymgeni23575 ай бұрын
🎉mamaa upewe uongoxi unakityuu.... Una fact zimeshina
@irynrobert71875 ай бұрын
Hongera sana Mwl Beatrice.... na Mwenyezi Mungu aendelee kukupigania Mkuu wa mkoa Makonda 🎉
@mussahancy65915 ай бұрын
Nakushukuru sana Mh Rais Dr Samia mama yangu kwa kutuletea Makonda
@MoteswaLekwasa5 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda salute kwako na viongozi wengine waige mfano wako. Mama Samia aksante kwa kumpa Makonda nafasi hii ni moja kt ya viongozi wanaokiheshimisha chama cha Mapinduzi pia wewe.
@MrKiwanjaupdates5 ай бұрын
Jamaa anaonekana anaroho mbaya sana aisee, just imagine pesa niyaselikali na mtu anaidai serikali, na ameshinda case ni issue ya kuidhinidha tu malipo ila mtu analukaluka tu
@williammary67825 ай бұрын
Makonda mungu akulinde sana na akuepushe na mabaya
@JullyEdward5 ай бұрын
Duuu,yaani Mimi naona Makonda anafaa awe raisi kabisa kazi anaiweza❤️❤️❤️
@AllyFeruuzАй бұрын
NINA HOFU WATAMFANYA KAMA JPM KUNA WAKONGWE HAWANA HOFU YA MUBGU
@happinessmsengi64085 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu sna,sisi tunakuombea sna.yn Mhe.hao waliomadarakani kunyanyasa watumishi wanyonge ndio zao sna,wapo watumishi kibao wamefukuzwa kaz kwa uonevu tu km wa mwl.Beatrice na wengine HD kuacha kazi kwa kuchoka na huo uonevu.Mungu akutunze sanasana
@sebastianmusyebi-yv1hm5 ай бұрын
Hakika makonda MUNGU akuongezee nguvu na maisha marefu
@YusuphuPaulo5 ай бұрын
Mwenyezi mungu akulinde kaka Paulo makonda mungu itazame kilasiku ya mtotowako huyu
@goodluckndunguru9955 ай бұрын
KAZi ya mwalimu haiishii darasani Tu ,uwezo WA kujieleza NI nyongeza ya KAZi yake pia ,hongera sana mama yangu beatris
@RobartGidion5 ай бұрын
Brother Makonda pambana haki za Wana Arusha Mungu akupe maisha marefu mno
@RobartGidion5 ай бұрын
Bro Mungu azidi kukupa busara zaidi
@dorahmushi-we6ts5 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki na kukuinua Makonda mhshmw
@EmanuelMalisa-c8n21 күн бұрын
Nimekuelewa sana brother wangu makonda natamani kukuona
@MeleaChiluka5 ай бұрын
Mungu akulinde siku zote mheshimiwa mtenda haki ya wanyonge hakika mungu yupo pamoja nawe siku zote daima nakuombea siku zote utokapo na unavyoludi wewe ni mtetezi wa wanyonge by doctor Steve chihwalo
@Olafkaria1235 ай бұрын
Mh Makonda mungu akuzidishie miaka mingi ya uongozi kwa kweli wewe ni kiongozi wa kuigwa
@alphonceo35715 ай бұрын
Hongera Jirani zetu kwa mfumo wenu kutatua maswala ya Uma kwa uwazi. muungano wa Afrika mashaki inastahili kuiga haya
@LittaMushi5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ Brother Makonda...Mtoto wa MUNGU ndani ya Arusha.... Barikiwa ushangae kaka
@elizaberthpius45115 ай бұрын
Wanatiaga huruma hawa wapigaji wakibananishwa,,,Mungu amlinde Makonda for us
@estakapufi75825 ай бұрын
Izo pesa za ml. Wameshagawana hao sasa wanajichanganya haki ya mtu haipotei itachelewa ila mungu halali kabisa, mungu mlinde makonda wetu.
@remtulanassary5 ай бұрын
Pole sana hon MAKONDA.. kiukweli unapambana kimkoa ila pia inaonekana System ni mbaya hata ya watumish wa Kiserkal, na ndo wanaoharbia had Chama. Pambana MAKONDA
@GetrudaMamiro5 ай бұрын
Safiiiii mamaaaaaaa, matapeli wengi sana. Kazi kula vya wanyongeeee.
@ChrisElectrical-ck4mc5 ай бұрын
Nilikuwa sikupendi ila sasa sina namna....Mungu akulinde mh Makonda
@piusmdoe32004 ай бұрын
Mimi pia,sasa wewe ni wa upande wangu.
@LeonardMussa-c4o4 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde dhidi ya maadui.Makonda Mungu akufunike na mbawa malaika wake.Makonda Mungu akulinde kwa jina la Yesu pamoja na damu ya Yesu iliyomwagika pale msalabani iwe pamoja nawe.Makonda Mungu akuepushe na ajali zote na aendelee kukupa afya njema ili uendelee kuwatumikia wananchi.Makonda Mungu akulinde kabisa kutoka pande zote za dunia hii mashariki, magharibi,kaskazini na kusini.Makonda Mungu akubariki sana pamoja na familia yako kwa ujumla?Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa!
@JuliusLomanya5 ай бұрын
Makonda sikuwa nakupenda but now nakupongeza Sana Kwa KAZI nzuri Sana unayo ifanya Arusha aisee mungu akubariki sana
@halimahemediwaziri26305 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki sana
@nevistours5 ай бұрын
Wasipokupenda wao tukikupenda sisi wanyonge na Mungu inatosha
@WaibiFrederick5 ай бұрын
Very interesting indeed. Thank you for this grassroot participatory leadership programm of assisting the needy. Thank you very much.
@salomewandya72575 ай бұрын
Mwalimu Beatrice yupo vizuri sana hapo mmeyakanyaga,hongera Makonda
@mshukumangi4 ай бұрын
Pole RC Makonda. Kazi ni ngumu ila Mungu akuongoze.
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Makonda Alipelekwa Arusha kwa sababu yeye Anastahili😂❤
@Naw895 ай бұрын
Ni kweli kabisa yani hapa kafika mahali salama kabisa
@Naw895 ай бұрын
Huu mji ndio maana Allah anawapa mitihan kwa sababu wanadhulumiana mno
@FrumenceBoniphaceMasero5 ай бұрын
Mungu Bariki makonda
@izrajoseph14065 ай бұрын
Very smart mwalimu Betris
@oam14l5 ай бұрын
Hongera Mwalimu Beatrice!
@PendoP-t8g5 ай бұрын
Mimi ni mchaga lakini nasema wasukuma mitano tena, I see magufuli spirit in makonda
@salomewandya72575 ай бұрын
❤❤❤
@kingelieshabani72352 ай бұрын
Mweshimiwa MAKONDA una kazi ngumu sanaaaaa Mungu aku wezeshe tena na zaidi
@agnessmduma75815 ай бұрын
Usjali Mtumishi wa Mungu hata kama hawakupendi Mungu na sisi wanyonge tukikupenda inatosha. Wewe ni zaidi ya kiongozi ni Mtumishi wa Mungu
@hermenegildempawenayo2795 ай бұрын
Samia, mupe kazi Beatrice, makonda mungu akupe maisha malefu
@josephimbwambo5 ай бұрын
Makonda mungu akuongeze umri usaidie wanyonge njoo kwetu same
@joelpreachingsmuiruri51885 ай бұрын
Mhesimiwa Makonda,my favourite.Man of the people,to the people n of the people
@HumphreyKarua5 ай бұрын
Hi Rc mako da ongera jwa utendaji wako Aruxha ni jiji la dhuruma sana sasa Zrusha inanyooka dhidi ya watu wachache kunyanyasa wanyonge
@AllberthaIgango2 ай бұрын
Asante mwanasheria mungu akulinde kwa uaminifu
@leoniakimati34345 ай бұрын
May the power of Holy Spirit guide brother,Kwa akili za kibinadamu huwezi Fanya hii kazi
@silvanotongeni84505 ай бұрын
Watanzania wanaonewa sana na hawana mtetezi na bahati mbaya wanaoteuliwa kuwatetea bado wanawakandamiza. Acha makonda afanye kazi yake kama kutenda haki ni kosa wana arusha tutasimama naye
@theonasmkoba61215 ай бұрын
Damu ya Yesu ikulinde Makonda
@leonarddimdoy62375 ай бұрын
Huyu Mama ni Genious
@JosephYagodoka5 ай бұрын
Jamani mheshimi wa makonda kwa kweli unapambania haki za wanyonge hongera sana mungu azidi kukuogoza katika mamuzi sahii piga kazi kaka makonda
@DionisiaBaynit5 ай бұрын
Nakupenda Sana makonda Mwenyezi Mungu akubariki sanaa na akutunze baba
@magrethmbangama11995 ай бұрын
Hao ndo watumishi wanaumizana wenyewe kwa wenyewe mtu ana haki hamtaki kumlipa utafikiri anatoa mfukoni kwake Roho mbayaa tuu.
@salomewandya72575 ай бұрын
Saana watu wana Roho mbaya
@PendoPatrick-eo5ej5 ай бұрын
Hongera sana mh makonda baraka za mungu zikuzunguke kila wakati na popote unapo kuwa♥️♥️🙏
@shakaurembo4775 ай бұрын
Mwanafunzi wa magufuli Kazi nzuli 🎉🎉🎉❤
@selector7284 ай бұрын
Nzuri sio nzuli
@HabibaBb-d3s4 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu sana kaka yangu
@tausikiyabo63025 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ndio atakulipa Makonda
@hamudshabani78015 ай бұрын
Umefanya kazi nzuri ya kutatua shida za watu na huo ndio uongozi thabiti Na neno la Mungu lasema hiv 2wakoritho 9:6-7 Lakini nasema neno hili apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu Kila MTU na atende kama alivyokusududia moyoni mwake si kwa huzuni wala kwa lazima maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
@SelesiusGration-rq7sb5 ай бұрын
@makonda nguvu moja forever
@jumanesaidi76352 ай бұрын
Mama ungepata Makonda ingawa moja ktk kila mkoa, dhuluma ingepungua, na Mungu angeshusha Baraka zake nyingi kwa nchi. MUNGU AKUBARIKI.
@Evanssimba-pi6mw5 ай бұрын
Mkuu wa mkoa Wa Arusha mh; Makonda Mungu akulinde kwa kuwatete walinyimwa haki haki ya Mungu auna baya Duwa za wanyonge zitakulinda na mabaya
@stellarogath18765 ай бұрын
😂😂😂pole sana kaka yangu Makonda, 😂😂😂 vitu vingine Hawa watumishi Mungu anawaona. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukutunza.
@yohananchimbi17565 ай бұрын
Mkuu hao watu wa ELIMU ni tatizo Tanzania nzima,wanawanyanyasa sana walimu
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Yaaani kweli kbsaaa
@ellyitete9385 ай бұрын
Kweli
@pastordenischanneltanzania53245 ай бұрын
Wapatikane,akina, Mkuu kama Makonda, CCM itakate sana. acheni kumpiga vita Makonda
@rebeccabayo29885 ай бұрын
Mungu akufiche
@allymwashambwa59204 ай бұрын
very good Mr makonda
@benedictmillinga42975 ай бұрын
Nitumie nafasi hii kumpongeza Rais kwa kumteua Makonda kurejea katika mfumo wa serikali. Na hii imeleta tumaini jipya ya kwamba Serikali sio shida, shida ni baadhi ya watendaji tu. Binafsi nisisahau kumshukuru Mungu kwa ajili ya kuwa na kijana kama Makonda. Naomba viongozi wengine hebu jaribuini kutamani kutenda kama makonda na ndani yenu muwe na hofu kidogo ya Mungu na Mungu atawafanikisha sana. Hivi fikiria ni watu wangapi wanamuombea heri makonda kwani anafanya yote si kwa aliopewa kwa ajili yetu sisi wananchi na sio kwa ajili yake. Tuige tu. Niombe viongozi wengine hakuna sababu ya kumpiga vita. Mtenda haki mmoja Mungu wa Mbinguni humlinda sana kuliko hata maelfu. Hivyo ieleweke hakuna mkamilifu manzuri yake mtembee naye na mshikamane naye. Kipo kitu cha thamani ndani ya Makonda kitumiwe kwa manufaaa ya Taifa letu.
@itzsnazzyjazzy4725 ай бұрын
Madam Beatrice hoyeeeeee uko very madam inshallah utapata haki mwaya
@NdeshaPaul-uz9bw5 ай бұрын
Makonda hakika nakutakia heri na baraka na Mungu azidi kukubariki. Sasa tunakuomgrzea jina linguine MPENDA HAKI
@HamisiGatuso4 ай бұрын
Makinda upo sawa mungu akubarik
@ZuhuraHamadi-py4cu5 ай бұрын
Mwalimu Beatrice omba sana pepo na roho ya kudhurumiwa ikutoke ,kemea zuruma juuyako,wazurumu wasikuone
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Huyo dada angefika mbali,uzuri haki ya MTU haipotei inachelewa tu
@hellendaniel38095 ай бұрын
Mpaka hapo anaomba. We huogopi?? Huyu dada ana Mungu aiseee
@fatimahants15265 ай бұрын
Pole kwako kazini mkubwa mheshimiwa makonda, haya ni majukumu makubwa sana
@abedysteven49305 ай бұрын
Jaman 2liokuw 2nasubr part 2 kama mm gonga like mana huu mkasa mzur!!🤣🤣🤣🤣
@israelkisaila84014 ай бұрын
😂😂mimi natamani ingekuwa move iende mpaka part 20😂😂😂😂 Beatrice kìboko😂😂