Video hii ya BIDEN akimpuuza na kumbagua mpiga kura Mmarekani Mweusi yazua hasira mtandaoni

  Рет қаралды 49,400

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

9 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 688
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 7 күн бұрын
Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u 6 күн бұрын
Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 5 күн бұрын
Huyo Allah ana ubora gani?
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 5 күн бұрын
Utakuja kujua inshaallaah 😢
@officialsalim3955
@officialsalim3955 5 күн бұрын
​@@vincentcharles4385Chunga maneno yako...
@AliamryBakar
@AliamryBakar 7 күн бұрын
Kama unaamini sote ni wa Mungu mmoja gonga like
@francejuya1248
@francejuya1248 7 күн бұрын
Sisi na wazungu ni tofauti kabisa sisi ndio Wana wa Muumba wa kweli SEMA tumepoteza asili kupitia dini
@cryptoboy-5
@cryptoboy-5 7 күн бұрын
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
@Awatee
@Awatee 7 күн бұрын
​@@cryptoboy-5jidanganye siku ukifa utajua vzr
@Awatee
@Awatee 7 күн бұрын
​@@francejuya1248hakuna mzungu wala china sie sote ni wa Mwenyezi Mungu lkn wazungu wanajiona wao wajuzi
@zuricakes6817
@zuricakes6817 7 күн бұрын
@@cryptoboy-5 sasa hapa dini imeingiaje? Watu waliozoea kwenda kwa waganga utawajua tu!😅
@carolmuchiri9921
@carolmuchiri9921 7 күн бұрын
Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡
@kassimabussa6583
@kassimabussa6583 7 күн бұрын
Nikweli kabisa wazungu hawawezi kutupenda kamwe inatia uchungu huyo binti
@jeanpierrekwizera6400
@jeanpierrekwizera6400 7 күн бұрын
Nikweli haujakosea
@minazsaid2470
@minazsaid2470 7 күн бұрын
Never happen
@abuusufian6506
@abuusufian6506 7 күн бұрын
Siyo wote
@salumchande2702
@salumchande2702 7 күн бұрын
Kwaiyo jaymondi anabaguliwa kumbe😂
@user-ly9lp2ed4m
@user-ly9lp2ed4m 7 күн бұрын
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 6 күн бұрын
Yaani nilikua nasikiaga ubaguzi leo nimeuona live
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 күн бұрын
Aki nimeumia roho 😢😢😢
@user-es7jn7cp5d
@user-es7jn7cp5d 7 күн бұрын
Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane
@moseskulola6913
@moseskulola6913 7 күн бұрын
Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 6 күн бұрын
Wazungu hawawapendi hata waarabu sio muafrika tu
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 5 күн бұрын
​@@user-dx6dm6lh1i🎉🎉🎉🎉kabisaaa
@fahadhassan1714
@fahadhassan1714 7 күн бұрын
Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome
@DaudiHamisi-un2uu
@DaudiHamisi-un2uu 6 күн бұрын
Kweli huwa wanajishauwa sana
@andrewokbazil1018
@andrewokbazil1018 7 күн бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 6 күн бұрын
Sasa eti ata Biden mwenye upungufu wa kumbukumbu analeta ubaguzi duuh. Mbona rais mwenyewe mgonjwa jmn
@HamadKhamis-l9e
@HamadKhamis-l9e 7 күн бұрын
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
@frocoissango8973
@frocoissango8973 7 күн бұрын
Acha kwenda kwenye makanisa na misikiti yaho kwaza
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 6 күн бұрын
​@@frocoissango8973Makanisa yao yako wapi?
@KASSIMMHILU-oh5ch
@KASSIMMHILU-oh5ch 6 күн бұрын
Kinachotakiwa ni kujikomboa kifikra Kwanza...Ukipenda kusaidiwa ujiandae na kibaguliwa
@jumashedafa
@jumashedafa 7 күн бұрын
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 7 күн бұрын
Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala
@rajah9328
@rajah9328 7 күн бұрын
Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 7 күн бұрын
Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns
@allahisone6386
@allahisone6386 7 күн бұрын
VIPI GEN-Z KESHO WATAKIWASH🔥?
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 7 күн бұрын
@@allahisone6386 hapana Kesho ni sikuku ya sabasaba
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 7 күн бұрын
Gikomba nyie weziiiii sana 😂😂😂😂
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 7 күн бұрын
@@Officialjidaa-sn9cs ndo akili yako imekutuma ivyo
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 7 күн бұрын
@@Brunotarimo10 si kweli Kwan uongo
@HappyatHome-bn8wm
@HappyatHome-bn8wm 7 күн бұрын
mbaguz huyu jamaaa. ameisha
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 4 күн бұрын
kabisa
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o 7 күн бұрын
Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana
@wallaceexpert4081
@wallaceexpert4081 7 күн бұрын
Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 6 күн бұрын
Yani i feel her pain mim peke nimeumia utadhan ni mim kampa mfadhaiko mbele za watu…. Ila na wao wakome
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 6 күн бұрын
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
@andrewokbazil1018
@andrewokbazil1018 7 күн бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,, una historia yake
@GiftAbduly
@GiftAbduly 6 күн бұрын
Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾
@hanifa9153
@hanifa9153 6 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@AmusedCatfish-hd8wo
@AmusedCatfish-hd8wo 5 күн бұрын
Nipo Dubai mwaka 7 sijaona Hilo
@abdulrazackabbas2634
@abdulrazackabbas2634 5 күн бұрын
Tembea kweny matamasha sio upo dubai unalal kwenye kochi siku nzima
@GiftAbduly
@GiftAbduly 5 күн бұрын
@@AmusedCatfish-hd8wo hayajakukuta tulia
@GiftAbduly
@GiftAbduly 5 күн бұрын
@@abdulrazackabbas2634 mwambie huyo haya mamb yapo ukisikia mwenzio unaona n uzishi likikukuta sasa
@AbumishAbu-cz9su
@AbumishAbu-cz9su 5 күн бұрын
Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 5 күн бұрын
Kabisa tuna roho ya upendo❤
@user-kx5oc7nt5p
@user-kx5oc7nt5p 3 күн бұрын
Daah, kweli bhana hawa watu hawatupend. Imenihuzunisha
@pauldotto7868
@pauldotto7868 7 күн бұрын
Kwa kweli imeniuma hadi machozi
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 7 күн бұрын
Hata Trum mbaguz na hata huku kwetu pia kuna ubaguz wabongo hujifanya wako juu na wapemba na wao usiseme waunguja tuko kimya tunawatizama tu
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 6 күн бұрын
Yaah ,its not their home, Africa is, Africa is the paradise, Black is beauty always.
@mohammedkombo9798
@mohammedkombo9798 5 күн бұрын
Very Sad 😢, Namkumbuka Jk Nyerere alisema… wazungu ni….ma….bwa! Kwa kweli
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f 7 күн бұрын
Ndo mjioneee uko waaafrika mnaojipendekeza na wazungu eakati wala hawawapendi
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 7 күн бұрын
Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f 7 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 6 күн бұрын
​@@MathewNathan-yb2bzlazma uwatetee mashoga wenzako
@SaidiAmiri-qv5ed
@SaidiAmiri-qv5ed 7 күн бұрын
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
@raissafabien4285
@raissafabien4285 4 күн бұрын
😢😢😢😢Be strong my girl✊✊and be courage. We will win as the black😍
@christophermsekena616
@christophermsekena616 7 күн бұрын
Baguzi halitoboi this time
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 6 күн бұрын
Hata huyo trump mbaguzi waamerika their in trouble 😂
@digital21.13
@digital21.13 4 күн бұрын
Nyoooo. Kutwa kuzungumzia uchaguz wa Marekan.. Wa Tanzania aaah
@AbdulraufSalum
@AbdulraufSalum 7 күн бұрын
Na yy kafat nn apo
@hopechidera
@hopechidera 7 күн бұрын
🤣🤣🤣hapo sasa,hata nami najiuliza hivo...
@star_wizard2792
@star_wizard2792 7 күн бұрын
😂😂😂 kapata alichokifuata
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 7 күн бұрын
Is not a first time from him
@crisndembwele4016
@crisndembwele4016 5 күн бұрын
Ilibidi sisi tuwachukie wazungu na tuwabague ila kuna mahali wametuwahi ila katika kuumbwa sisi tumebarikiwa sana trust
@WazirBoy-fe5ew
@WazirBoy-fe5ew 7 күн бұрын
Hapo nuksi kaanza hicho kibibi kichawi , kushoto mwa huyu msichana, innalillah wainna illaihu raajiun" msiba mkubwa kwa joe
@frankvianey2438
@frankvianey2438 7 күн бұрын
Aisee sns mpo vizur sana
@user-yk8em1bh8g
@user-yk8em1bh8g 6 күн бұрын
Mimi hata nkiambwa jckie kama upo nyumban lakn cjsahau mimi n Nan 😂😂😂😂
@fetychina3969
@fetychina3969 6 күн бұрын
Dah!nimejisikia vibaya sana
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 7 күн бұрын
Kababu kasenge haka!
@hanifa9153
@hanifa9153 6 күн бұрын
Ucjali kana kufa tu kesho kakaktane na adhabu za mungu kibri chote kitaisha😢😢😢
@abuukajembe-to6sd
@abuukajembe-to6sd 7 күн бұрын
Mungu anawaumbua 2
@MahdouMomba
@MahdouMomba 6 күн бұрын
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao. "If one day the Europeans praise me, know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
@santinoplacid7571
@santinoplacid7571 6 күн бұрын
tutafanyaje sasa wakati ndio wametufanya tuwategemee kwa kila kitu😢😢
@MahdouMomba
@MahdouMomba 6 күн бұрын
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
@RamaMikidad-vm3we
@RamaMikidad-vm3we 7 күн бұрын
Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha
@ziggysamson5956
@ziggysamson5956 6 күн бұрын
Takwambia Nini Kaka Sky mbona uku Capetown na sisi uzuni namadjozi vimetujaa,Allah Amchukue na Hamlaze mahali pema motoni
@MzeeNdaloo
@MzeeNdaloo 7 күн бұрын
Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa R.i.p magufuli
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 7 күн бұрын
Shenzi huyu mzee 🚮
@hellennehemia9269
@hellennehemia9269 7 күн бұрын
Yaan ingekua ni Mimi,huyo mbibi kwanza ningemtia ngumi ya uso ..
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 6 күн бұрын
Ndomana uwislam umenyosha tutasimama kwenye swala hija aijalishi we mzungu au mweusi .na mbora katika cc anaefanya mazuri kwa Allah
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 6 күн бұрын
Uislam ndo haki
@josephkiwale374
@josephkiwale374 6 күн бұрын
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 6 күн бұрын
@@josephkiwale374 hao mashoga wazungu wamezid ubaguz mashetani hayo
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 6 күн бұрын
Kweli mschana kajisikia vibaya sana, inasikitisha sana amemdhalilisha kiukweli, mwanzoni nilimpenda Biden, ila kwa hili simpendi tena.
@hkaniugu
@hkaniugu 5 күн бұрын
Waafrika wenyewe hawapendani
@alexmahenge3817
@alexmahenge3817 6 күн бұрын
4:16 Hafai kua Rais tena Hana Maana kwa kizazi Cha sasa. Nimemfuta Kuanzia sasa. Aibu imrudie Biden mara 100
@ramadhaninyangasa7275
@ramadhaninyangasa7275 6 күн бұрын
Anayempenda Allah tu ndio kafaulu, Allah hambagui mtu ila kwa madhabi yake usipotubu
@AliyyAli-ii1uz
@AliyyAli-ii1uz 7 күн бұрын
Skay kaka nafurahi sana unavo tupa vitu va kudunia nikuambietu hawa wazungu sio watu kabisa
@mamy8220
@mamy8220 6 күн бұрын
Kuna kaka aisema ivi vitu walimutukana kaka wawatu nimelia sana 😢😢 ubaguzi upo 😢
@eestermos9933
@eestermos9933 7 күн бұрын
Dah inauma sana
@user-zp6kv3ir3v
@user-zp6kv3ir3v 4 күн бұрын
Too bad for us as Africans and our race of people in USA
@bakarikaoneka1080
@bakarikaoneka1080 5 күн бұрын
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo: 1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi. 2. Wasome kwenye disciplines tofauti 3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti 4. Watengeneze wanasiasa wengi 5. Waongeze idadi yao nk
@Divinelinna
@Divinelinna 7 күн бұрын
😂😂ndo sawa si afazali trump anaye sema kweli nakuonyesha hazarani lakini uyo Biden munafkiiii ohooo
@Ryannkae
@Ryannkae 7 күн бұрын
Mimi uwa nawaambia aleyefanya wanzi na kuhonyesha uma au ajipendekezi huyo ndo mtu mzuri ata ukiwa job sisi weusi tukihona wanatushekea first day juwa aukai apo bro wanahesabu weeks tu na wakufukunze ila ukimkuta anafunga sura juwa unakaa pakanzi kama hakufukuza siku hile ya kwanza kunja kutafuta kanzi juwa umedumu apo atokutowa kame kabda mwenyewe ukatoke
@Divinelinna
@Divinelinna 5 күн бұрын
@@RyannkaeKabisaa
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 7 күн бұрын
Si warudi kwao Africa
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 күн бұрын
Wapi?
@abelimwakijungu1226
@abelimwakijungu1226 7 күн бұрын
Jielimishe!
@hopechidera
@hopechidera 7 күн бұрын
Kufanya nini...
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 7 күн бұрын
Hao wazungu wenyewe sio asili yao huko
@user-sc5gt6gs3s
@user-sc5gt6gs3s 6 күн бұрын
Inauma ila mm nikizani mtu akiwa na umri uyo sasa anajuwa kama akuna tofauti wa mtu na ungine kumbe ukubwa njinga 😢😢
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 6 күн бұрын
Du!nimemuonea huruma huyu dada Jamani 😮😮 bora nilizaliwa Africa kwenye asili yetu.
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 7 күн бұрын
aisee kaka wewe ni mbunifu Sana kwenye Sanaa umeiwasilisha vizur Sana
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 4 күн бұрын
Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢
@nobleafrika
@nobleafrika 7 күн бұрын
Ni muda sasa watu weusi warudi AFRIKA ✍️✍️✍️✍️
@zuricakes6817
@zuricakes6817 7 күн бұрын
Kufanya nini? huku huku tutabanana nao tu. Mpaka kieleweke
@hopechidera
@hopechidera 7 күн бұрын
​@@zuricakes6817 🤣🤣🤣
@nobleafrika
@nobleafrika 7 күн бұрын
@@zuricakes6817 😁 ila wewe
@furahamwangosi3896
@furahamwangosi3896 7 күн бұрын
@@zuricakes6817😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yirgayemyirgah7820
@yirgayemyirgah7820 7 күн бұрын
Wabaki ukouko wakija uku watatuharibia nchi zetu na mambo yao ya ajabu #Gun violence
@hermanKajiru
@hermanKajiru 6 күн бұрын
I think the black American people should think twice of how to support the politician. It is so sad.
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 6 күн бұрын
Ila Luto ni mweusi zaidi kuliko huyu dada, be care African 😢
@ramadhankhatwib8561
@ramadhankhatwib8561 3 күн бұрын
Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 6 күн бұрын
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
@Awaasha-cn6bx
@Awaasha-cn6bx 10 сағат бұрын
Ndio mana sijawahi jipendekeza kwa hawa watu huwa nawabagua kabla ya hata hawajanibagua😊
@noelkaale5952
@noelkaale5952 6 күн бұрын
Yaani hawa watu weupe bado sana wanatuona Sisi sio watu lkin chaajabu kabisa hawa viongozi wetu wa afrika ni kama mbwa wakitupiwa tu mifupa ni kutingisha mikia big up sana magufuli,Gaddafi,Mandela na wengine pumzikeni kwa Aman nyie ndio viongozi mlikuwa mnajielewa
@wtnyambizi9876
@wtnyambizi9876 6 күн бұрын
OMG I feel Her huu ni ubaguzi sema kama kajaribu kuuficha flani hivi
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 6 күн бұрын
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
@hustlerchembes786
@hustlerchembes786 6 күн бұрын
Vizee vimezeeka vinaenda kufa ndomana havijali watu sey no to rashizim lachesism
@tumaininalaila2865
@tumaininalaila2865 6 күн бұрын
Asife moyo hii ndo dunia na dunia always haina usawa usawa upo kwa Mungu pekeyake
@abaabelard9668
@abaabelard9668 7 күн бұрын
Inaumiza sana😢
@tensotv
@tensotv 6 күн бұрын
Daah so sad.. nimelia sana
@user-nz8ly5sr3o
@user-nz8ly5sr3o 7 күн бұрын
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 7 күн бұрын
Wazungu toka lini wakawàpenda watu weusi 😢😢
@pauldotto7868
@pauldotto7868 7 күн бұрын
BINTI HUYO NI MZALIWA WA USA HANA HATIA...
@shijamohamed369
@shijamohamed369 7 күн бұрын
@@pauldotto7868 maji na mafuta hayachanganyiki atafute asili yake na akaishi
@star_wizard2792
@star_wizard2792 7 күн бұрын
😂😂😂 apunguze shobo kwani lazma aende kubeba Bango la biden angeendelea na shughuli zake
@user-zc1hq7dz6t
@user-zc1hq7dz6t 7 күн бұрын
😂😂😂😂😂​@@star_wizard2792
@kimodomusic9760
@kimodomusic9760 7 күн бұрын
Ngoja niendelee kuishi kwenye nchi yang nifanye sanaa Zang has hizi habari za kwenda nje ya nchi ni hatali 😢😢😢😢
@zuricakes6817
@zuricakes6817 7 күн бұрын
Uko nchini kwako hubaguliwi? Tena afadhai ubaguliwe na mgeni kuliko kubaguliwa nchini kwako. Nchini kwako ukiwa huna pesa ndefu unaonekana muhuni tu.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 7 күн бұрын
Ata nchini kwako ni wabaguzi sema ninyi mmezoea ubaguzi wa rangi tu. Wewe mtanzania ukienda dukani kwa mtanzania mwenzako, halafu muda huo huo akaja mzungu kwenye duka hilo, mzungu atasikilizwa na kuhudumiwa wa kwanza hata kama wewe umemtangulia kufika. Mkienda nyumbani kwenu ndugu zako wenye hela ndio wanaonekana wa maana zaidi, wewe usie na hela wanakubagua na kukuona huna umuhimu au una umuhimu mdogo sana. Hata baba yako unakuta anabagua watoto, anapendelea watoto wenye mafanikio halafu wale wasio na kitu anawaona takataka
@superhemed7590
@superhemed7590 7 күн бұрын
Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 6 күн бұрын
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 6 күн бұрын
Waafrica acheni kujipendkeza kwa wazungu mwisho wake ndio kama hayo yanayowakuta
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 6 күн бұрын
Ubaguz Kwa watu weus hawishi 😢kote mataifa ya watu weupe SS tupo huku tunaona thamani zetu lkn hatuondoki ngo'oo watubague mpk
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 7 күн бұрын
Daah😢😢😢😢😢
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 7 күн бұрын
Machoko yatakuja hapa kumtetea choko mwenzao
@josej9888
@josej9888 6 күн бұрын
Turudi African tujenge African yetu, lah sivyo tutaendelea kubaguliwa kwasababu hatuna umoja.
@DottoMussa-ro6rw
@DottoMussa-ro6rw Күн бұрын
poleni wamarekani maana mnaongozwa na mwehu,,mara akili zinakuja mara zinapotea,, ndio maana anakuwa anaganda Ganda hovyo km lisanamu la nguzo za mitumba
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 7 күн бұрын
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye Kwa mtazamo huu Mimi naamini Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
@Omarimsimbazi
@Omarimsimbazi 7 күн бұрын
Alafu bado viongoz wa kiafrica wanaenda kuchukua misaada na kujikomba komba kwa wazungu , watu wao tu japo ni weus wanabaguliwa je sisi ambao hawatuhusu wanatusaidiaje? Daah amakweli kazi bado ni Kubwa sana😭😭😢😥
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 7 күн бұрын
Ubaguzi uko kila sehemu ndugu.sasa usipoenda kuomba misaada au kukopa utakwenda kwa nani.Wenzetu weupe Mungu kawaumba na maarifa mengi sana kulilo sisi weusi.sasa najiuliza sijui ni kwa nini Mungu kawapendelea sana hao watu weupe.
@user-rw4xt8lf3v
@user-rw4xt8lf3v 6 күн бұрын
Hawatupi mikopo tujikomboe na wanapenda tukiwa masikini Ili wafanye wanavyotaka na kutudhoofisha
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 6 күн бұрын
​@@MathewNathan-yb2bzww choko mzungu hana akili angekuwa na akili wasinge tetea ushoga
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 6 күн бұрын
@@omarymwaluko9765 ww mwenyewe shoga
@user-cj2kl7cd9k
@user-cj2kl7cd9k 6 күн бұрын
​@@omarymwaluko9765wacha domo ushoga ni tabia ya mtu tunazungumzia akili jua kutofautisha wacha kelele kijana
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 7 күн бұрын
Natamani marais wa africa waione hii hemu niambieni kuwa tag marais wabonyeza wapi niwa tag wote,marais viziwi vipofu mabubu wasio ina wala kujitambua put in asinge fanya upuuzi huu.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 7 күн бұрын
Ubaguzi upo kila mahali. Hata warusi wanawabagua watu weusi
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 7 күн бұрын
Hata mimi binafsi imeniumiza sana. Hata mdada mwenyewe anaonesha hadharani kabaguliwa. Waafrica kwann hatubadiliki???? Hawa nyang'au hawajawahi kutupenda. Tunajipendekezea nn!?????? Tubadirike. Nimeumizwa sana na Crip hii . Tukome
@SalehSonda-bz3hl
@SalehSonda-bz3hl 39 минут бұрын
Africa amka Rudi kwenu kwenu kuzuri,
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 4 күн бұрын
Hao Ndio Wazungu Tunaowafaham Kamwe hawatofungamana nawatu wausi labda kunajambo lao wakiwa wanalitaka
@hassankilengah4786
@hassankilengah4786 6 күн бұрын
Hakuna kiumbe mbora mbele ya mwenyezi mungu ispokuwa awe mchamungu.
@ghhj-ij7xs
@ghhj-ij7xs 6 күн бұрын
Weusi tunabaguliwa sana aise yote tisa kumi tupambanee yoooh😢😢😮😅
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 7 күн бұрын
Ndo akome kujipendekeza😢
@computerjoshua96
@computerjoshua96 6 күн бұрын
Kila siku harufu ya maiti kwa wafiwa ni uzuni lakini kwa asiye usika na msiba ni harufu mbaya 😢
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 6 күн бұрын
🎉🎉🎉​@@computerjoshua96
@starjay3052
@starjay3052 7 күн бұрын
dah 😢
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 6 күн бұрын
Yani Mimi miaka yote nilikuwa shabiki wa malekani niliipendasana sikujua kwamba malekani inafadhili ushoga ,inachonganisha watu wacongo, wapalestina wanauwawa,naislaeli kwasababu yamalekani, somalia nivita ,Burundi,Rwanda , kote nishida nayote haya nimalekani Yani tangu nijue hayo natamani malekani isambalatike Leo mana kumbe ndio inayo leta ubaguzi na uchafu wote mungu tusaidie sisi watu weusi tuwe juuzaidi ya Hawa wazungu
@user-in4kg3kj8x
@user-in4kg3kj8x 6 күн бұрын
Daaaah maskin na bango lake kubwa lkn wapiiii wengne hawana hta mabango lkn hug za kutosha
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 күн бұрын
Pole dada najuwa unajiskiyq vibaya hata sisi website wenzio tumeumiya mno hicho kitendo 😢😢😢😢😢
@shenimohammed
@shenimohammed 6 күн бұрын
Wazungu wote wabaguzi kaka sie tupo uhaibuni na tunajuwa km tunabaguliwa nimejiskia vibaya sn 😢😢😢😢
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 94 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 12 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 109 МЛН
FBI wathibitisha tukio la kupigwa risasi TRUMP ni Jaribio la Mauaji
5:12
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 2,2 М.
Всегда проверяйте зеркала
0:21
Up Your Brains
Рет қаралды 6 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
УСТРОЙСТВО ДЛЯ ВЕЛОСИПЕДИСТОВ (@heumoedernlift)
0:18
Wait for 2024 😮‍💨🚴 #bike #bikelover #cycling #exhaust #fy
0:23