Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like
@user-es4uf6gj7u6 күн бұрын
Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
@vincentcharles43855 күн бұрын
Huyo Allah ana ubora gani?
@KHAMIS_SHILINGI5 күн бұрын
Utakuja kujua inshaallaah 😢
@officialsalim39555 күн бұрын
@@vincentcharles4385Chunga maneno yako...
@AliamryBakar7 күн бұрын
Kama unaamini sote ni wa Mungu mmoja gonga like
@francejuya12487 күн бұрын
Sisi na wazungu ni tofauti kabisa sisi ndio Wana wa Muumba wa kweli SEMA tumepoteza asili kupitia dini
@cryptoboy-57 күн бұрын
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
@Awatee7 күн бұрын
@@cryptoboy-5jidanganye siku ukifa utajua vzr
@Awatee7 күн бұрын
@@francejuya1248hakuna mzungu wala china sie sote ni wa Mwenyezi Mungu lkn wazungu wanajiona wao wajuzi
@zuricakes68177 күн бұрын
@@cryptoboy-5 sasa hapa dini imeingiaje? Watu waliozoea kwenda kwa waganga utawajua tu!😅
@carolmuchiri99217 күн бұрын
Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡
@kassimabussa65837 күн бұрын
Nikweli kabisa wazungu hawawezi kutupenda kamwe inatia uchungu huyo binti
@jeanpierrekwizera64007 күн бұрын
Nikweli haujakosea
@minazsaid24707 күн бұрын
Never happen
@abuusufian65067 күн бұрын
Siyo wote
@salumchande27027 күн бұрын
Kwaiyo jaymondi anabaguliwa kumbe😂
@user-ly9lp2ed4m7 күн бұрын
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
@user-nb2jw4km6f6 күн бұрын
Yaani nilikua nasikiaga ubaguzi leo nimeuona live
@Chettymlambalipsi-lb9km7 күн бұрын
Aki nimeumia roho 😢😢😢
@user-es7jn7cp5d7 күн бұрын
Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane
@moseskulola69137 күн бұрын
Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi
@user-dx6dm6lh1i6 күн бұрын
Wazungu hawawapendi hata waarabu sio muafrika tu
@auntiemylee31575 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@auntiemylee31575 күн бұрын
@@user-dx6dm6lh1i🎉🎉🎉🎉kabisaaa
@fahadhassan17147 күн бұрын
Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome
@DaudiHamisi-un2uu6 күн бұрын
Kweli huwa wanajishauwa sana
@andrewokbazil10187 күн бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.
@vanessalaizer43636 күн бұрын
Sasa eti ata Biden mwenye upungufu wa kumbukumbu analeta ubaguzi duuh. Mbona rais mwenyewe mgonjwa jmn
@HamadKhamis-l9e7 күн бұрын
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
@frocoissango89737 күн бұрын
Acha kwenda kwenye makanisa na misikiti yaho kwaza
@sylvestercameo62636 күн бұрын
@@frocoissango8973Makanisa yao yako wapi?
@KASSIMMHILU-oh5ch6 күн бұрын
Kinachotakiwa ni kujikomboa kifikra Kwanza...Ukipenda kusaidiwa ujiandae na kibaguliwa
@jumashedafa7 күн бұрын
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
@user-el6mm4lh4m7 күн бұрын
Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala
@rajah93287 күн бұрын
Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi
@Brunotarimo107 күн бұрын
Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns
@allahisone63867 күн бұрын
VIPI GEN-Z KESHO WATAKIWASH🔥?
@Brunotarimo107 күн бұрын
@@allahisone6386 hapana Kesho ni sikuku ya sabasaba
Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana
@wallaceexpert40817 күн бұрын
Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.
@salhawaziri16686 күн бұрын
Yani i feel her pain mim peke nimeumia utadhan ni mim kampa mfadhaiko mbele za watu…. Ila na wao wakome
@user-cw8zn2dn6m6 күн бұрын
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
@andrewokbazil10187 күн бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,, una historia yake
@GiftAbduly6 күн бұрын
Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾
@hanifa91536 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@AmusedCatfish-hd8wo5 күн бұрын
Nipo Dubai mwaka 7 sijaona Hilo
@abdulrazackabbas26345 күн бұрын
Tembea kweny matamasha sio upo dubai unalal kwenye kochi siku nzima
@GiftAbduly5 күн бұрын
@@AmusedCatfish-hd8wo hayajakukuta tulia
@GiftAbduly5 күн бұрын
@@abdulrazackabbas2634 mwambie huyo haya mamb yapo ukisikia mwenzio unaona n uzishi likikukuta sasa
@AbumishAbu-cz9su5 күн бұрын
Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad
@paulinewangila-cs6ys5 күн бұрын
Kabisa tuna roho ya upendo❤
@user-kx5oc7nt5p3 күн бұрын
Daah, kweli bhana hawa watu hawatupend. Imenihuzunisha
@pauldotto78687 күн бұрын
Kwa kweli imeniuma hadi machozi
@nassormessi-zk5cz7 күн бұрын
Hata Trum mbaguz na hata huku kwetu pia kuna ubaguz wabongo hujifanya wako juu na wapemba na wao usiseme waunguja tuko kimya tunawatizama tu
@worldhappiness11816 күн бұрын
Yaah ,its not their home, Africa is, Africa is the paradise, Black is beauty always.
@mohammedkombo97985 күн бұрын
Very Sad 😢, Namkumbuka Jk Nyerere alisema… wazungu ni….ma….bwa! Kwa kweli
@user-sn4iq6cu1f7 күн бұрын
Ndo mjioneee uko waaafrika mnaojipendekeza na wazungu eakati wala hawawapendi
@MathewNathan-yb2bz7 күн бұрын
Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.
@user-sn4iq6cu1f7 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
@raissafabien42854 күн бұрын
😢😢😢😢Be strong my girl✊✊and be courage. We will win as the black😍
@christophermsekena6167 күн бұрын
Baguzi halitoboi this time
@aliyageorge67946 күн бұрын
Hata huyo trump mbaguzi waamerika their in trouble 😂
@digital21.134 күн бұрын
Nyoooo. Kutwa kuzungumzia uchaguz wa Marekan.. Wa Tanzania aaah
@AbdulraufSalum7 күн бұрын
Na yy kafat nn apo
@hopechidera7 күн бұрын
🤣🤣🤣hapo sasa,hata nami najiuliza hivo...
@star_wizard27927 күн бұрын
😂😂😂 kapata alichokifuata
@mancholotrasco83507 күн бұрын
Is not a first time from him
@crisndembwele40165 күн бұрын
Ilibidi sisi tuwachukie wazungu na tuwabague ila kuna mahali wametuwahi ila katika kuumbwa sisi tumebarikiwa sana trust
@WazirBoy-fe5ew7 күн бұрын
Hapo nuksi kaanza hicho kibibi kichawi , kushoto mwa huyu msichana, innalillah wainna illaihu raajiun" msiba mkubwa kwa joe
@frankvianey24387 күн бұрын
Aisee sns mpo vizur sana
@user-yk8em1bh8g6 күн бұрын
Mimi hata nkiambwa jckie kama upo nyumban lakn cjsahau mimi n Nan 😂😂😂😂
@fetychina39696 күн бұрын
Dah!nimejisikia vibaya sana
@mtzhalisi22327 күн бұрын
Kababu kasenge haka!
@hanifa91536 күн бұрын
Ucjali kana kufa tu kesho kakaktane na adhabu za mungu kibri chote kitaisha😢😢😢
@abuukajembe-to6sd7 күн бұрын
Mungu anawaumbua 2
@MahdouMomba6 күн бұрын
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao. "If one day the Europeans praise me, know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
@santinoplacid75716 күн бұрын
tutafanyaje sasa wakati ndio wametufanya tuwategemee kwa kila kitu😢😢
@MahdouMomba6 күн бұрын
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
@RamaMikidad-vm3we7 күн бұрын
Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha
@ziggysamson59566 күн бұрын
Takwambia Nini Kaka Sky mbona uku Capetown na sisi uzuni namadjozi vimetujaa,Allah Amchukue na Hamlaze mahali pema motoni
@MzeeNdaloo7 күн бұрын
Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa R.i.p magufuli
@nickalreadyknows7 күн бұрын
Shenzi huyu mzee 🚮
@hellennehemia92697 күн бұрын
Yaan ingekua ni Mimi,huyo mbibi kwanza ningemtia ngumi ya uso ..
@hajjiomary23836 күн бұрын
Ndomana uwislam umenyosha tutasimama kwenye swala hija aijalishi we mzungu au mweusi .na mbora katika cc anaefanya mazuri kwa Allah
@omarymwaluko97656 күн бұрын
Uislam ndo haki
@josephkiwale3746 күн бұрын
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
@omarymwaluko97656 күн бұрын
@@josephkiwale374 hao mashoga wazungu wamezid ubaguz mashetani hayo
@mariamfritsi49436 күн бұрын
Kweli mschana kajisikia vibaya sana, inasikitisha sana amemdhalilisha kiukweli, mwanzoni nilimpenda Biden, ila kwa hili simpendi tena.
@hkaniugu5 күн бұрын
Waafrika wenyewe hawapendani
@alexmahenge38176 күн бұрын
4:16 Hafai kua Rais tena Hana Maana kwa kizazi Cha sasa. Nimemfuta Kuanzia sasa. Aibu imrudie Biden mara 100
@ramadhaninyangasa72756 күн бұрын
Anayempenda Allah tu ndio kafaulu, Allah hambagui mtu ila kwa madhabi yake usipotubu
@AliyyAli-ii1uz7 күн бұрын
Skay kaka nafurahi sana unavo tupa vitu va kudunia nikuambietu hawa wazungu sio watu kabisa
@mamy82206 күн бұрын
Kuna kaka aisema ivi vitu walimutukana kaka wawatu nimelia sana 😢😢 ubaguzi upo 😢
@eestermos99337 күн бұрын
Dah inauma sana
@user-zp6kv3ir3v4 күн бұрын
Too bad for us as Africans and our race of people in USA
@bakarikaoneka10805 күн бұрын
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo: 1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi. 2. Wasome kwenye disciplines tofauti 3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti 4. Watengeneze wanasiasa wengi 5. Waongeze idadi yao nk
@Divinelinna7 күн бұрын
😂😂ndo sawa si afazali trump anaye sema kweli nakuonyesha hazarani lakini uyo Biden munafkiiii ohooo
@Ryannkae7 күн бұрын
Mimi uwa nawaambia aleyefanya wanzi na kuhonyesha uma au ajipendekezi huyo ndo mtu mzuri ata ukiwa job sisi weusi tukihona wanatushekea first day juwa aukai apo bro wanahesabu weeks tu na wakufukunze ila ukimkuta anafunga sura juwa unakaa pakanzi kama hakufukuza siku hile ya kwanza kunja kutafuta kanzi juwa umedumu apo atokutowa kame kabda mwenyewe ukatoke
@Divinelinna5 күн бұрын
@@RyannkaeKabisaa
@aboudasilver65417 күн бұрын
Si warudi kwao Africa
@sonnyr18997 күн бұрын
Wapi?
@abelimwakijungu12267 күн бұрын
Jielimishe!
@hopechidera7 күн бұрын
Kufanya nini...
@mohamedaley56327 күн бұрын
Hao wazungu wenyewe sio asili yao huko
@user-sc5gt6gs3s6 күн бұрын
Inauma ila mm nikizani mtu akiwa na umri uyo sasa anajuwa kama akuna tofauti wa mtu na ungine kumbe ukubwa njinga 😢😢
@user-nb2jw4km6f6 күн бұрын
Du!nimemuonea huruma huyu dada Jamani 😮😮 bora nilizaliwa Africa kwenye asili yetu.
@shijandobehe49537 күн бұрын
aisee kaka wewe ni mbunifu Sana kwenye Sanaa umeiwasilisha vizur Sana
@ebengapierre88264 күн бұрын
Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢
@nobleafrika7 күн бұрын
Ni muda sasa watu weusi warudi AFRIKA ✍️✍️✍️✍️
@zuricakes68177 күн бұрын
Kufanya nini? huku huku tutabanana nao tu. Mpaka kieleweke
@hopechidera7 күн бұрын
@@zuricakes6817 🤣🤣🤣
@nobleafrika7 күн бұрын
@@zuricakes6817 😁 ila wewe
@furahamwangosi38967 күн бұрын
@@zuricakes6817😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yirgayemyirgah78207 күн бұрын
Wabaki ukouko wakija uku watatuharibia nchi zetu na mambo yao ya ajabu #Gun violence
@hermanKajiru6 күн бұрын
I think the black American people should think twice of how to support the politician. It is so sad.
@mohdmohd84286 күн бұрын
Ila Luto ni mweusi zaidi kuliko huyu dada, be care African 😢
@ramadhankhatwib85613 күн бұрын
Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu
@user-pj7ng8il4t6 күн бұрын
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
@Awaasha-cn6bx10 сағат бұрын
Ndio mana sijawahi jipendekeza kwa hawa watu huwa nawabagua kabla ya hata hawajanibagua😊
@noelkaale59526 күн бұрын
Yaani hawa watu weupe bado sana wanatuona Sisi sio watu lkin chaajabu kabisa hawa viongozi wetu wa afrika ni kama mbwa wakitupiwa tu mifupa ni kutingisha mikia big up sana magufuli,Gaddafi,Mandela na wengine pumzikeni kwa Aman nyie ndio viongozi mlikuwa mnajielewa
@wtnyambizi98766 күн бұрын
OMG I feel Her huu ni ubaguzi sema kama kajaribu kuuficha flani hivi
@cheiknamouna20586 күн бұрын
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
@hustlerchembes7866 күн бұрын
Vizee vimezeeka vinaenda kufa ndomana havijali watu sey no to rashizim lachesism
@tumaininalaila28656 күн бұрын
Asife moyo hii ndo dunia na dunia always haina usawa usawa upo kwa Mungu pekeyake
@abaabelard96687 күн бұрын
Inaumiza sana😢
@tensotv6 күн бұрын
Daah so sad.. nimelia sana
@user-nz8ly5sr3o7 күн бұрын
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
@user-vi7ly9zh1q7 күн бұрын
Wazungu toka lini wakawàpenda watu weusi 😢😢
@pauldotto78687 күн бұрын
BINTI HUYO NI MZALIWA WA USA HANA HATIA...
@shijamohamed3697 күн бұрын
@@pauldotto7868 maji na mafuta hayachanganyiki atafute asili yake na akaishi
@star_wizard27927 күн бұрын
😂😂😂 apunguze shobo kwani lazma aende kubeba Bango la biden angeendelea na shughuli zake
@user-zc1hq7dz6t7 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@star_wizard2792
@kimodomusic97607 күн бұрын
Ngoja niendelee kuishi kwenye nchi yang nifanye sanaa Zang has hizi habari za kwenda nje ya nchi ni hatali 😢😢😢😢
@zuricakes68177 күн бұрын
Uko nchini kwako hubaguliwi? Tena afadhai ubaguliwe na mgeni kuliko kubaguliwa nchini kwako. Nchini kwako ukiwa huna pesa ndefu unaonekana muhuni tu.
@rumdeesonsoa18117 күн бұрын
Ata nchini kwako ni wabaguzi sema ninyi mmezoea ubaguzi wa rangi tu. Wewe mtanzania ukienda dukani kwa mtanzania mwenzako, halafu muda huo huo akaja mzungu kwenye duka hilo, mzungu atasikilizwa na kuhudumiwa wa kwanza hata kama wewe umemtangulia kufika. Mkienda nyumbani kwenu ndugu zako wenye hela ndio wanaonekana wa maana zaidi, wewe usie na hela wanakubagua na kukuona huna umuhimu au una umuhimu mdogo sana. Hata baba yako unakuta anabagua watoto, anapendelea watoto wenye mafanikio halafu wale wasio na kitu anawaona takataka
@superhemed75907 күн бұрын
Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake
@user-pj7ng8il4t6 күн бұрын
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
@omarmohammed51576 күн бұрын
Waafrica acheni kujipendkeza kwa wazungu mwisho wake ndio kama hayo yanayowakuta
@MdNasr-jm8pj6 күн бұрын
Ubaguz Kwa watu weus hawishi 😢kote mataifa ya watu weupe SS tupo huku tunaona thamani zetu lkn hatuondoki ngo'oo watubague mpk
poleni wamarekani maana mnaongozwa na mwehu,,mara akili zinakuja mara zinapotea,, ndio maana anakuwa anaganda Ganda hovyo km lisanamu la nguzo za mitumba
@lastkinglastking33267 күн бұрын
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye Kwa mtazamo huu Mimi naamini Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
@Omarimsimbazi7 күн бұрын
Alafu bado viongoz wa kiafrica wanaenda kuchukua misaada na kujikomba komba kwa wazungu , watu wao tu japo ni weus wanabaguliwa je sisi ambao hawatuhusu wanatusaidiaje? Daah amakweli kazi bado ni Kubwa sana😭😭😢😥
@MathewNathan-yb2bz7 күн бұрын
Ubaguzi uko kila sehemu ndugu.sasa usipoenda kuomba misaada au kukopa utakwenda kwa nani.Wenzetu weupe Mungu kawaumba na maarifa mengi sana kulilo sisi weusi.sasa najiuliza sijui ni kwa nini Mungu kawapendelea sana hao watu weupe.
@user-rw4xt8lf3v6 күн бұрын
Hawatupi mikopo tujikomboe na wanapenda tukiwa masikini Ili wafanye wanavyotaka na kutudhoofisha
@omarymwaluko97656 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bzww choko mzungu hana akili angekuwa na akili wasinge tetea ushoga
@MathewNathan-yb2bz6 күн бұрын
@@omarymwaluko9765 ww mwenyewe shoga
@user-cj2kl7cd9k6 күн бұрын
@@omarymwaluko9765wacha domo ushoga ni tabia ya mtu tunazungumzia akili jua kutofautisha wacha kelele kijana
@suleimanrashid39187 күн бұрын
Natamani marais wa africa waione hii hemu niambieni kuwa tag marais wabonyeza wapi niwa tag wote,marais viziwi vipofu mabubu wasio ina wala kujitambua put in asinge fanya upuuzi huu.
@rumdeesonsoa18117 күн бұрын
Ubaguzi upo kila mahali. Hata warusi wanawabagua watu weusi
@renatuswilson15777 күн бұрын
Hata mimi binafsi imeniumiza sana. Hata mdada mwenyewe anaonesha hadharani kabaguliwa. Waafrica kwann hatubadiliki???? Hawa nyang'au hawajawahi kutupenda. Tunajipendekezea nn!?????? Tubadirike. Nimeumizwa sana na Crip hii . Tukome
Hakuna kiumbe mbora mbele ya mwenyezi mungu ispokuwa awe mchamungu.
@ghhj-ij7xs6 күн бұрын
Weusi tunabaguliwa sana aise yote tisa kumi tupambanee yoooh😢😢😮😅
@aminmohammed42497 күн бұрын
Ndo akome kujipendekeza😢
@computerjoshua966 күн бұрын
Kila siku harufu ya maiti kwa wafiwa ni uzuni lakini kwa asiye usika na msiba ni harufu mbaya 😢
@user-ur7pw9ek6s6 күн бұрын
🎉🎉🎉@@computerjoshua96
@starjay30527 күн бұрын
dah 😢
@davidmalogo71006 күн бұрын
Yani Mimi miaka yote nilikuwa shabiki wa malekani niliipendasana sikujua kwamba malekani inafadhili ushoga ,inachonganisha watu wacongo, wapalestina wanauwawa,naislaeli kwasababu yamalekani, somalia nivita ,Burundi,Rwanda , kote nishida nayote haya nimalekani Yani tangu nijue hayo natamani malekani isambalatike Leo mana kumbe ndio inayo leta ubaguzi na uchafu wote mungu tusaidie sisi watu weusi tuwe juuzaidi ya Hawa wazungu
@user-in4kg3kj8x6 күн бұрын
Daaaah maskin na bango lake kubwa lkn wapiiii wengne hawana hta mabango lkn hug za kutosha
@roudhamahmoud7636 күн бұрын
Pole dada najuwa unajiskiyq vibaya hata sisi website wenzio tumeumiya mno hicho kitendo 😢😢😢😢😢
@shenimohammed6 күн бұрын
Wazungu wote wabaguzi kaka sie tupo uhaibuni na tunajuwa km tunabaguliwa nimejiskia vibaya sn 😢😢😢😢