KISHIMBA AIBUKA NA HOJA NA KUKODISHA WANAUME “KWETU KULE KUNA MABANGO YA KUKODI WANAUME"

  Рет қаралды 68,337

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 69
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 2 жыл бұрын
Genius man. Viva forever Royal brother Prince Kishimba
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
How? I only see madness in him from his points
@collinmhema5443
@collinmhema5443 2 жыл бұрын
Kwa bunge la sasa huyu ndo anaongelea maisha halisia na mh tabasam wengine wote waliobaki niwa namshukuru mh raisi kuliko hata Mungu
@peterpallangyo5744
@peterpallangyo5744 2 жыл бұрын
Ni kweli na hilo neno nali hukia hatari
@alexjackson5960
@alexjackson5960 2 жыл бұрын
Safi Sana kishimba kiboko ya wanafiki na wasanii wenye makaratasi badala ya elimu
@isayamaige7300
@isayamaige7300 2 жыл бұрын
Safi kabisa mh jumanne kishimba kwa hoja nzuri kabisa Safi kabisa
@emmanuelmarko8442
@emmanuelmarko8442 2 жыл бұрын
Kweli huyu kishimba yupo vizuri kwa hoja zake. Kama mm siwezi kwenda kabisa. Huu utaratibu ni waajabu kabisa kama mm naenda huko kufanya nini? Aliyepewa kazi ya kubeba mimba ni wanawake je! Wanaume wanaenda kuthibitisha wao ndio wamempatia mimba au ni nini jamani nilijiuliza sana lakini sijapata jibu kiukweli hii serikali inatuvua nguo. Hoja yako mh kishimba iko poa sana na hivyo ndio vitu vya muhimu katika maisha sio kupoteza dakika moja. Au hio ndio haki sawa?
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kama hujaenda na mume kwenye foleni utakuwa wa mwisho lakini ukienda na mwanaume unakuwa wa kwanza
@eliezamashimba4062
@eliezamashimba4062 2 жыл бұрын
Safi Sana mzee
@titus_maridhia
@titus_maridhia 2 жыл бұрын
Genious sana
@nassoribrahim5288
@nassoribrahim5288 2 жыл бұрын
💯💯💯💯
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Huu ndio ujinga nsiopenda...hivi wadhani kwenda na mwanaume wanasahau kuwa lengo ni afya ya mtoto..suppose Baba ni HIV positive..na mama ni negative huoni ni risk mtoto kuzaliwa positive kama hakuna intervention
@edwardpaulo3351
@edwardpaulo3351 2 жыл бұрын
Wewe ndokukuwale wakisasa muuluze mama yako amekwenda malanagpi na bb ako kilimik
@prosperjuma905
@prosperjuma905 2 жыл бұрын
Ndio shida ya kuwa na wabunge wasio na elimu ya kutosha.
@alexsimon5576
@alexsimon5576 2 жыл бұрын
Wanawake wengi huwa wanakonda wakifikri jinsi ya kwenda kliniki,mana baba hataki kabisa kusikia upuuzi kama huo!
@fimboezekiel9654
@fimboezekiel9654 2 жыл бұрын
Genius
@rezembuses5739
@rezembuses5739 2 жыл бұрын
@PhilopoDamiani
@PhilopoDamiani Жыл бұрын
Nakubali sana mh jumanne hoja zako
@emmanueleliya6225
@emmanueleliya6225 2 жыл бұрын
Huyu mbunge ni kichwa hakika. Tunataka wabunge kama huyu. Ametulia ana Mapoint tupu,anajielewa. Ana akili na macho ya kuona mbali na kwenda na wakati... Sio hawa mapoyoyo wa ndiyoooooo
@alexdukes5547
@alexdukes5547 2 жыл бұрын
Mzee kishimba unahoja nzuri sana lakini dawa hospital zetu hakuna unaandikiwa kwenda kununua maduka ya nje i
@peterhano8706
@peterhano8706 2 жыл бұрын
Hakika hakuna kama J4Kishimba kahama oyeeee
@lewisjovin
@lewisjovin Жыл бұрын
Kwa hoja hii duka la dawa zinalo
@errydeo8865
@errydeo8865 2 жыл бұрын
tunajaribu kuiga ulaya eti,kwani huku ni kitu cha kawaida ...'supporting each other' TUACHE KUIGA CULTURE ZISIZO ZETU
@ngwavi2886
@ngwavi2886 2 жыл бұрын
Huyu ndio MBUNGE
@e-mzambuli6647
@e-mzambuli6647 2 жыл бұрын
Nakubalii
@hamisisteven2018
@hamisisteven2018 2 жыл бұрын
Kishimba upo vozuli Sana hebu zungumuzia naswala la michango mashuleni imekuwa shida Hasa shule za mkoa wa mbeya
@jamesmasanja1963
@jamesmasanja1963 Жыл бұрын
🤣 🤣 Yani tungepata nafasi ya kumpa kero za huku mtaani
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 жыл бұрын
hii ya kwenda ukapate dawa hospital na umezee hosoital hii haiko sawa,wauguzi na dr wana majukumu mengi ya kufanya,muwaongezee nahili?mtu unaumwa ni wajibu wako kumeza dawa au kutokumeza
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Kwel kabisa MZee unaongea point
@christinakomba689
@christinakomba689 2 жыл бұрын
Upo sahihiii
@medlucas5686
@medlucas5686 2 жыл бұрын
Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj
@perfectmasawe5870
@perfectmasawe5870 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mh Kishimba
@zephaniahnestory2191
@zephaniahnestory2191 2 жыл бұрын
Kweli we profesa.
@paulojalango898
@paulojalango898 2 жыл бұрын
Daaaa huyu kichwa kweli kweli
@lilymsophe1475
@lilymsophe1475 2 жыл бұрын
Lakin kwenda kiliniki Na mume ni nzuri ni kwaajili ya Afya kwa baba ,mama,mtoto ,,wangap.wanakutwa positive ilhali mwenz wake ni negative ,we mbunge fikiria vizur
@michaelshija3601
@michaelshija3601 2 жыл бұрын
Mambo ya wazungu boss! Tunaiga ujinga
@barakamalanga4977
@barakamalanga4977 Жыл бұрын
Kashakwambia mimba sio ugonjwa
@nurudinmwakisale1509
@nurudinmwakisale1509 Жыл бұрын
Wa afyaaa
@macleanmwakasangula7639
@macleanmwakasangula7639 2 жыл бұрын
Kujifungua n elfu 70
@prosperjuma905
@prosperjuma905 2 жыл бұрын
Hapa inahitajika Elimu. Mbona ni jambo zuri kwenda na mke wako hosp. Lazima tutoke huko. Watu wajue kuwa suala la mimba ni la wote wawili.
@hammymohamed9233
@hammymohamed9233 2 жыл бұрын
Hyo tai inakudanganya
@abdallahmapila7939
@abdallahmapila7939 2 жыл бұрын
Kweli hatumalizi dozii aise ni kweli
@allanmapamba4765
@allanmapamba4765 2 жыл бұрын
Nilipoelewa zaidi amesema haiwezekani mimba zote ziwe na matatizo manàake Ka kuna ulazima wa kuhitajika mwanaume iwe ni Kwa issue special tu mimba ina matatizo
@marymfugwa847
@marymfugwa847 2 жыл бұрын
Siyo kijijini tu hata mjini yapo
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 2 жыл бұрын
Zee la hoja nyepesix2
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Hani we MZee unaakili ngingisana hujawahi kukosea
@hamisikidabadaba8938
@hamisikidabadaba8938 2 жыл бұрын
eti Tanga na Pwani 🤣🤣
@msafirindalu122
@msafirindalu122 2 жыл бұрын
Mbunge anaejielewa
@mshigilakarume4425
@mshigilakarume4425 Жыл бұрын
Muongeze wahudumu wa kugawa dawa maana follen itakuwa ni kubwa,
@abdallahmapila7939
@abdallahmapila7939 2 жыл бұрын
We mwamba
@dullahyunusu3072
@dullahyunusu3072 2 жыл бұрын
Huyu mh anastahili kuwa makamu wa rais ama waziri mkuu
@mejamiela7436
@mejamiela7436 2 жыл бұрын
Wanampa mda mdg huyu mwamba
@nurudinmwakisale1509
@nurudinmwakisale1509 Жыл бұрын
Uyu apewe uwaziri
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Tanga & Pwani😂😂😂
@onelovetz7935
@onelovetz7935 10 ай бұрын
Rais kishimba wape darasa maporfesa mbumbu nafulahi hoja zako
@albetoemmanuel93
@albetoemmanuel93 2 жыл бұрын
Unastahili kuwa raisi, baba unajicho la mbali snaaa
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 жыл бұрын
Kishimba ukigombea Urasi mwaka 2025 utashinda maana Una akili sana unaongea maisha Ali ya wanyonge
@deohaule8161
@deohaule8161 2 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kwenda na mke wake ambaye ni mjamzitu. Mwanaume kwenda hospitali mke mjamzito ina saidi familia kuwa imari (will improve relationship and bonding to unborn child)
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 2 жыл бұрын
Wewe mzungu , sisi waafrika.
@deohaule8161
@deohaule8161 2 жыл бұрын
@@abdirizakhtuke2882 ishu sio uzungu, itasaidia wanau kupunguza kusabibisha mimba zisizo na lazima kutokana na majukumu ya kulea
@johnngowi6619
@johnngowi6619 2 жыл бұрын
@@deohaule8161 wewe mzungu sisi waa frika broo
@deohaule8161
@deohaule8161 2 жыл бұрын
@@johnngowi6619 hamna uzungu au uafrika, watu wanazaa kama ng’ombe hawa wajali watoto wao. Serikali iendelea kufanya hivyo hivyo kupunguza watoto wa mitaani. Kwasababu malezi ya mtoto ni yawatu wawili mume na mke, na malezi haya yanaanza tangia mtoto yupo tumboni.
@boyfromtansania7788
@boyfromtansania7788 2 жыл бұрын
Sisi tunalengo la kuongezeka kuwa wengi ww unazungumzia kupunguza hizo ndo fikra za kisungu kisaikolojia waafrika tuzid kupungua
@medlucas5686
@medlucas5686 2 жыл бұрын
Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 206 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,5 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 259 М.
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 27 М.
Walimu waliokuwa na sifa za utoro wawafundishe wanafunzi watoro
10:16
Daily News Digital
Рет қаралды 82 М.