Genius man. Viva forever Royal brother Prince Kishimba
@flova70222 жыл бұрын
How? I only see madness in him from his points
@collinmhema54432 жыл бұрын
Kwa bunge la sasa huyu ndo anaongelea maisha halisia na mh tabasam wengine wote waliobaki niwa namshukuru mh raisi kuliko hata Mungu
@peterpallangyo57442 жыл бұрын
Ni kweli na hilo neno nali hukia hatari
@alexjackson59602 жыл бұрын
Safi Sana kishimba kiboko ya wanafiki na wasanii wenye makaratasi badala ya elimu
@isayamaige73002 жыл бұрын
Safi kabisa mh jumanne kishimba kwa hoja nzuri kabisa Safi kabisa
@emmanuelmarko84422 жыл бұрын
Kweli huyu kishimba yupo vizuri kwa hoja zake. Kama mm siwezi kwenda kabisa. Huu utaratibu ni waajabu kabisa kama mm naenda huko kufanya nini? Aliyepewa kazi ya kubeba mimba ni wanawake je! Wanaume wanaenda kuthibitisha wao ndio wamempatia mimba au ni nini jamani nilijiuliza sana lakini sijapata jibu kiukweli hii serikali inatuvua nguo. Hoja yako mh kishimba iko poa sana na hivyo ndio vitu vya muhimu katika maisha sio kupoteza dakika moja. Au hio ndio haki sawa?
@yasmeenaal41912 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kama hujaenda na mume kwenye foleni utakuwa wa mwisho lakini ukienda na mwanaume unakuwa wa kwanza
@eliezamashimba40622 жыл бұрын
Safi Sana mzee
@titus_maridhia2 жыл бұрын
Genious sana
@nassoribrahim52882 жыл бұрын
💯💯💯💯
@flova70222 жыл бұрын
Huu ndio ujinga nsiopenda...hivi wadhani kwenda na mwanaume wanasahau kuwa lengo ni afya ya mtoto..suppose Baba ni HIV positive..na mama ni negative huoni ni risk mtoto kuzaliwa positive kama hakuna intervention
@edwardpaulo33512 жыл бұрын
Wewe ndokukuwale wakisasa muuluze mama yako amekwenda malanagpi na bb ako kilimik
@prosperjuma9052 жыл бұрын
Ndio shida ya kuwa na wabunge wasio na elimu ya kutosha.
@alexsimon55762 жыл бұрын
Wanawake wengi huwa wanakonda wakifikri jinsi ya kwenda kliniki,mana baba hataki kabisa kusikia upuuzi kama huo!
@fimboezekiel96542 жыл бұрын
Genius
@rezembuses57392 жыл бұрын
❌
@PhilopoDamiani Жыл бұрын
Nakubali sana mh jumanne hoja zako
@emmanueleliya62252 жыл бұрын
Huyu mbunge ni kichwa hakika. Tunataka wabunge kama huyu. Ametulia ana Mapoint tupu,anajielewa. Ana akili na macho ya kuona mbali na kwenda na wakati... Sio hawa mapoyoyo wa ndiyoooooo
@alexdukes55472 жыл бұрын
Mzee kishimba unahoja nzuri sana lakini dawa hospital zetu hakuna unaandikiwa kwenda kununua maduka ya nje i
@peterhano87062 жыл бұрын
Hakika hakuna kama J4Kishimba kahama oyeeee
@lewisjovin Жыл бұрын
Kwa hoja hii duka la dawa zinalo
@errydeo88652 жыл бұрын
tunajaribu kuiga ulaya eti,kwani huku ni kitu cha kawaida ...'supporting each other' TUACHE KUIGA CULTURE ZISIZO ZETU
@ngwavi28862 жыл бұрын
Huyu ndio MBUNGE
@e-mzambuli66472 жыл бұрын
Nakubalii
@hamisisteven20182 жыл бұрын
Kishimba upo vozuli Sana hebu zungumuzia naswala la michango mashuleni imekuwa shida Hasa shule za mkoa wa mbeya
@jamesmasanja1963 Жыл бұрын
🤣 🤣 Yani tungepata nafasi ya kumpa kero za huku mtaani
@aairraahseif56482 жыл бұрын
hii ya kwenda ukapate dawa hospital na umezee hosoital hii haiko sawa,wauguzi na dr wana majukumu mengi ya kufanya,muwaongezee nahili?mtu unaumwa ni wajibu wako kumeza dawa au kutokumeza
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Kwel kabisa MZee unaongea point
@christinakomba6892 жыл бұрын
Upo sahihiii
@medlucas56862 жыл бұрын
Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj
@perfectmasawe58702 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mh Kishimba
@zephaniahnestory21912 жыл бұрын
Kweli we profesa.
@paulojalango8982 жыл бұрын
Daaaa huyu kichwa kweli kweli
@lilymsophe14752 жыл бұрын
Lakin kwenda kiliniki Na mume ni nzuri ni kwaajili ya Afya kwa baba ,mama,mtoto ,,wangap.wanakutwa positive ilhali mwenz wake ni negative ,we mbunge fikiria vizur
@michaelshija36012 жыл бұрын
Mambo ya wazungu boss! Tunaiga ujinga
@barakamalanga4977 Жыл бұрын
Kashakwambia mimba sio ugonjwa
@nurudinmwakisale1509 Жыл бұрын
Wa afyaaa
@macleanmwakasangula76392 жыл бұрын
Kujifungua n elfu 70
@prosperjuma9052 жыл бұрын
Hapa inahitajika Elimu. Mbona ni jambo zuri kwenda na mke wako hosp. Lazima tutoke huko. Watu wajue kuwa suala la mimba ni la wote wawili.
@hammymohamed92332 жыл бұрын
Hyo tai inakudanganya
@abdallahmapila79392 жыл бұрын
Kweli hatumalizi dozii aise ni kweli
@allanmapamba47652 жыл бұрын
Nilipoelewa zaidi amesema haiwezekani mimba zote ziwe na matatizo manàake Ka kuna ulazima wa kuhitajika mwanaume iwe ni Kwa issue special tu mimba ina matatizo
@marymfugwa8472 жыл бұрын
Siyo kijijini tu hata mjini yapo
@alfredcharles80292 жыл бұрын
Zee la hoja nyepesix2
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Hani we MZee unaakili ngingisana hujawahi kukosea
@hamisikidabadaba89382 жыл бұрын
eti Tanga na Pwani 🤣🤣
@msafirindalu1222 жыл бұрын
Mbunge anaejielewa
@mshigilakarume4425 Жыл бұрын
Muongeze wahudumu wa kugawa dawa maana follen itakuwa ni kubwa,
@abdallahmapila79392 жыл бұрын
We mwamba
@dullahyunusu30722 жыл бұрын
Huyu mh anastahili kuwa makamu wa rais ama waziri mkuu
@mejamiela74362 жыл бұрын
Wanampa mda mdg huyu mwamba
@nurudinmwakisale1509 Жыл бұрын
Uyu apewe uwaziri
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Tanga & Pwani😂😂😂
@onelovetz793510 ай бұрын
Rais kishimba wape darasa maporfesa mbumbu nafulahi hoja zako
@albetoemmanuel932 жыл бұрын
Unastahili kuwa raisi, baba unajicho la mbali snaaa
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Kishimba ukigombea Urasi mwaka 2025 utashinda maana Una akili sana unaongea maisha Ali ya wanyonge
@deohaule81612 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kwenda na mke wake ambaye ni mjamzitu. Mwanaume kwenda hospitali mke mjamzito ina saidi familia kuwa imari (will improve relationship and bonding to unborn child)
@abdirizakhtuke28822 жыл бұрын
Wewe mzungu , sisi waafrika.
@deohaule81612 жыл бұрын
@@abdirizakhtuke2882 ishu sio uzungu, itasaidia wanau kupunguza kusabibisha mimba zisizo na lazima kutokana na majukumu ya kulea
@johnngowi66192 жыл бұрын
@@deohaule8161 wewe mzungu sisi waa frika broo
@deohaule81612 жыл бұрын
@@johnngowi6619 hamna uzungu au uafrika, watu wanazaa kama ng’ombe hawa wajali watoto wao. Serikali iendelea kufanya hivyo hivyo kupunguza watoto wa mitaani. Kwasababu malezi ya mtoto ni yawatu wawili mume na mke, na malezi haya yanaanza tangia mtoto yupo tumboni.
@boyfromtansania77882 жыл бұрын
Sisi tunalengo la kuongezeka kuwa wengi ww unazungumzia kupunguza hizo ndo fikra za kisungu kisaikolojia waafrika tuzid kupungua
@medlucas56862 жыл бұрын
Mzee kunywa dawa hospital Hilo gumu kidogo labda tuwekewe ofc ya kitongoj