BUNGE ZIMA HOI KWA VICHEKO, MUSUKUMA AONGEA KINGEREZA KWA MARA YA KWANZA #bungeni
Пікірлер: 156
@stephenkioko43662 жыл бұрын
Musukuma is very honest with himself,I think we need leaders of this character even here in Kenya,Stephen kioko from Kenya.
@abdulkaleemmbarak66705 ай бұрын
Well done Msukuma umejaribu huyo aliye jibu swali pia ana kizungu cha kutetema hakija nyooka vizuri.
@mchanikamc12362 жыл бұрын
I proud to my mother tongue language, msukuma🙈
@WinfridaZakayo-mj7co11 ай бұрын
Alivojibiwa kaelewa hapo😂😂😂😂
@cmongoah18042 жыл бұрын
This country bwana, ndugu wananchi kajaribu big up Msukuma ,kwani si tunashuhudia wazungu wakiboronga na kukosea kiswahili mbona hatuwashangai na kuwacheka wala wao hawachekani kila kitu ni kujifunza tu?ila mtanzania mwenzetu huyu kapambana sana amejaribu.
@lawijosephezekieli10782 жыл бұрын
Msukuma anajuwa ila kawazinguwa kawaona kama wanareta ukoroni bungeni
Senkiu madam spika for giv me zis chance 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kiongozi nae Did you hear his Question...... Kuna tofauti ya Ku HEAR na ku UNDERSTAND ku HEAR ame HEAR coz masikio anayo..... Hili Bunge lisiwe live maana ni ujinga tu na kudhalilisha taifa.... East Africa nzima Bunge live ni la Tz
@amirimbago83252 жыл бұрын
hakuna Did you hear kwa wakati uliopo mtimilifu, present perfect tense...hapo alipaswa aseme Have you heard his question. kama jambo lingeulizwa kuanzia jana kurudi nyuma au masaa mengi yaliyopita ndo angetumia did bila kuweka past participle.
@mohamedkutwambi2 жыл бұрын
Kiingerezaa 🤣🤣🤣
@masakamgalla92732 жыл бұрын
@@amirimbago8325 hicho ndo kiingereza kizuri na ndo ukweli
Waachie wanaojua kuongea kizungu najua asilimia nyingi ya watanzania kiingereza hawawezi kuongea ila kuna wengine wanaongea utafikiri wametokea ulaya
@jacquilinenoah9492 жыл бұрын
ila mm nmempenda jaman😂😂😂😂
@SimeliMollel5 ай бұрын
Msukuma ni hatari sana 🤣🤣🤣🤣
@hidayamsomole87542 жыл бұрын
Harafu mnasema watoto wasome kiswahili tunaomba kingereza wasiache jamani
@magrethmbangama11992 жыл бұрын
Kingereza jmn ndo maana shishi anakomaaga
@salomerocky51962 жыл бұрын
Aloooh presentation chuoni ni za muhimu tusizikimbie jamani☺😁
@samariahardware37515 ай бұрын
ila msukuma nampenda sana
@danielimusa76012 жыл бұрын
ingekua ni kiswahili angeweka maswali mengi kweli na marefu.lkn kwakua ni ngeri hahahaha msukuma kauliza kaswali kafupi alafu kakimbia mwenyewe kukaa wakati hua akubarigi kukaa mpaka kakarishwe na spika.
@ramadhaniiddi69125 ай бұрын
safi msukuma
@piusdamian5942 жыл бұрын
Bora waongee kiswahili
@DeborahSichone-b9c8 ай бұрын
Nakupenda msukuma
@brianchitiavi89252 жыл бұрын
Tanzania Kuna maneno
@judithadhiambo5512 жыл бұрын
Mukuje kenya jameni aibu Tanzania jameni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@thedriver.michael.3975Ай бұрын
Forgive me this chance Bora ungeongea kisukuma ungeonekana Bora je wananchi wako wanaelewa hiyo kama wewe mwenyewe hujui
@MatindeMatinde-mn8dc5 ай бұрын
Jamani wabunge English
@rashidingole15882 жыл бұрын
Kam wawakilishi wa nchi kingereza Kam hiki wache watoto wafeli SoMo hili🤣🤣🤣🤣, ......
@allymuhamed72952 жыл бұрын
Mh mskuma uliniambia una phd ulipataje😄 halafu uligombea Uspika wa bunge halafu wewe msukuma nouma sana😃😃
@lusatomichael79732 жыл бұрын
Kuna mawaziri wakiongea masuala ya nchi unaona nchi inaenda nenda kweny Jimbo lake unaweza ukalia macho ya damu wananchi hawana maji safi Barbara tatizo yaani wasomi wengi ni wabinafsi sana Wabunge naowajua kishimba na musukuma nendeni kweny majimbo Yao mukaone
@saraenoshi26482 жыл бұрын
Raha sanaa😅😅
@joaneruvenge22752 жыл бұрын
Aliyeuliza na aliyejibu hamna tofauti!.
@EPALATA11 ай бұрын
Umeona
@joshuajackson38272 жыл бұрын
Bongo bana!!! 😂😂😂😂😂
@MollelSamuel7 ай бұрын
Kweli chara😂😂😂😂😂😂😂😂
@akimuwaziri40892 жыл бұрын
Five years sio faiv iyezi kumbe wabunge hamnaelimu
@daviechunga19292 жыл бұрын
Msukuma yupo sahihi
@saidimkoka88882 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe presentation vyuon tusizkmbie sometimes znakua applicable ktk maisha
@ellytech97572 жыл бұрын
Unlike logarithms 😃🚶
@VedastorNyakyemaАй бұрын
Wabunge mbn wote ni macomedian
@raystariqs99952 жыл бұрын
Tanzania lugha mama ni kiswahili sasa kwahizi broken English je watanzania wanaosikiliza bunge ambao hawakusoma wanaelewa nn mbona nchi za wenzetu wanatumia lugha zao .
@mwinjumaganga29952 жыл бұрын
Musukuma ungekua kwenye Jimbo langu ningekupigia kura hata folen ingekua kupigia kura bro
@anuarymyekakimolo47855 ай бұрын
😂😂😂😋😋jaman
@dominicmwendwa422 жыл бұрын
Kizungu achia wakenya🤣
@lewismpangala927 Жыл бұрын
Wakenya wanaosema headache akimaanisha akili
@anthonymgina2253 Жыл бұрын
Sikujua ni kwanini wanacheka sana hawa waeshimiwa hawapo serious, basi vikatuni tu vinaendelea.
@kilulumtunyungu93692 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo
@lawijosephezekieli10782 жыл бұрын
Nchi yetu runga ya taifa ni kiswahili
@amehassanrehanirehani27752 жыл бұрын
Ni sw tukijue na kingereza ila kiswahil kipew kipaumbel san hii nchi ni ya swahil
@ezekielmirambo87042 жыл бұрын
A big hand honourable Musukuma!
@MapendanoKAwake5 ай бұрын
Naamini huyu Musukuma hata kama Hana masomo ila ana ujuzi na hekima ya uongozi
@hassansuleiman41392 жыл бұрын
Unatisha kaka tunakukubali
@KISUKUMATV Жыл бұрын
😂😂😂Dhu...!?
@officialmaasai46022 жыл бұрын
Hawa wabunge wanajisahua Sana. Alafu huk duniani watatuchuliaje
@kwilasacharles17472 жыл бұрын
Halafu anatokea mtu anasema tuhamie Zambia tuache raha hizi 😂😂😂
@yusuphpaulwaryoba83162 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@SamsoniPetro6 ай бұрын
Jafari Chege
@errydeo88652 жыл бұрын
HUYO NDO MUSUKUMA
@simoncharles6832 жыл бұрын
We have do yaani nikwamba hatujui kiingereza cha kufanya tuendeleee na kiswazi chetu tuuuu
@johnfaceluhigilo71292 жыл бұрын
Musukuma english kozi inakuhusu mhe.
@lawijosephezekieli10782 жыл бұрын
Hacheni kuwazalilisha wabunge
@bobrona97652 жыл бұрын
sasa watu kama hao baadaye wakasaini mikataba ya watanzania milioni 64 kisa CCM jamani inabidi tuache UCCM maendeleo yatakuja kweli,kuna vijana wengi wanamaliza chuo hawana ajira kisa tu serikali ya CCM kupeana ajira kama hizo na sekta nyingine kwa kujuana..nomaaa aibu halafu mko live mnatutia aibu watanzania.....
@iddymvukuye25022 жыл бұрын
Nchi hii inashida saana
@shaalimalangu892 жыл бұрын
Mliommezesha Msukuma hiyo sentensi mmemuonea sana
@jacksonsamson62612 жыл бұрын
Did you hear or have you heard?
@muddymuzungu43572 жыл бұрын
Exactly brother! I second you
@lucaspaulo53712 жыл бұрын
Huku hela za watanzania zinaenda kweli tunachezewa lugha ya taifa ndio hii???????tayari ubaguzi nauona kwa macho yangu
@emmanuelchilimo2 жыл бұрын
Kiingereza shida sana
@byelamemba50452 жыл бұрын
Afrika mashariki kwanini tusitumie kiswahiri mnalazimisha vitu ambavyo havipo
@saadmbaraqa52722 жыл бұрын
Wengi hawajui kimombo duh tushapigwa za kichwa
@chucknose2 жыл бұрын
🤣🤣🤣rada safiii
@ndorondoro90192 жыл бұрын
Kizungu kizungumkuti tz
@mercypeter1622 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😅😅Mskuma hoyeeeeeeee la 7 hoyeeeeeee
@sdeshnjwetr67072 жыл бұрын
LUGHA YA TAIFA ITUKUZWE MUONGOZA BUNGE TUKUMBUKE HUKU USWAHILINI WENYE BUNGE LETU TUNAUMIA KUONA MNAONGEA LUGHA NGENI BUNGENI TENA BUNGE LA WASWAHILI. UZALENDO MNAUCHEZEA NINYI WAKUBWA. SISI HUKU KISARAWE ATUJUI KINGEREZA. KWA HIYO TUTAACHA KUFATILIA BUNGE KWA SABABU YA LUGHA NGENI. RIP JULIUS NYERERE TRUE SON OF AFRIKA 🖤💚
@karasuyazidi85472 жыл бұрын
We nawe acha ujinga we jisemee wewe usiseme eti huku kisarawe hatujui English
@MsAggie52 жыл бұрын
Even Magufuli alikuwa anapenda Kiswahili kikuzwe, nadhani hawa Wana joke au ni nini hiki 😂😂😂
@saidimkoka88882 жыл бұрын
Bunge linaendeshw kiswahili mbn sem iyo section ilibd itumke iyo lugha coz ni EA
@jeremia81722 жыл бұрын
Hongela sana baba yangu Muskuma me nakukubali sana Mungu akup myaka mingi bungeni
@brightonchedego81002 жыл бұрын
Katiba ndivyo ilivyo hata Kama angekuwepo Nyerere,kiingereza lazima kitumike
@davidlusakha12 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kenyans tupitie
@brucerashfordke51022 жыл бұрын
Mnajifanya na Kiswahili Kumbe king'eng'e ni shida hivo
@TM.Sullusi2 жыл бұрын
Kiswahili ndo chakwetu, sasa wewe unataka ujue kila lugha?🤣🤣🤣🤣. ( Huwezi kusema mtu anajifanya kujua kiswahili " ambayo ni lugha yake", halafu unataka usifie kujua lugha ya kigeni.)
@jumaally70212 жыл бұрын
Tuna lugha yetu wapendwa ha ha jaaa
@mejamiela74362 жыл бұрын
Ongea kiswahili manga'ti we
@teddyhenry25792 жыл бұрын
Lugha gongana😂😂
@michaelomondi79122 жыл бұрын
Which kind of English is this ,,,sounds funny 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MegaJonathan19692 жыл бұрын
At first I thought its drama but when I saw the Hon Speaker, I knew its for real.... I love Tanzania just being practical and real... Naipenda nchi yangu Tanzania
@endeshyamat67732 жыл бұрын
👏👏
@lusatomichael79732 жыл бұрын
Nendeni kweny Jimbo la musukuma muone alivyopga kaz Kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo hao wenye PHD hali mbaya siamini sana kweny lugha ya kigeni uhalisia R.I.P magufuli
@khadijanjama87212 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@saadmbaraqa52722 жыл бұрын
Alisoma mwaka gani duh mtoto wa maskini uyo azimio la arusha hakupata yy
@tedyokachu50132 жыл бұрын
Msukumaaaaaaaa😆😆😆😆😆😆😆
@dancun2172 жыл бұрын
Do for who?
@danielndoheАй бұрын
Mbona msukuma anaeleweka vzuri tu kwani maongezi yanahitaji kupimwa kwa grammar
@njiwapori87492 жыл бұрын
Mm.hua nasem kila cku shida ni kiswahili kiswahil dunia ya sasa haisaidii mtu kwa sbb hakuna mtambo unaendeshwa kwa kiswahili umeona hyo et kiswahil ndo maana inteview nying wqtu wanafel kwa sbb ya lugha ya kingereza shida mtu spoken language ya dakika tano au kumi matatatizo
@johnsonkibadeni50532 жыл бұрын
One member of the Kenya??
@MegaJonathan19692 жыл бұрын
Laughing my lungs out... Kucheka mapafu yangu nje
@mbakijonas67922 жыл бұрын
What you have done for the past 5 yrs?
@emilygoho89152 жыл бұрын
Kwisha mameno😅😅😅😅
@masakamgalla92732 жыл бұрын
Kaa kimya hiyo ni statement unailaźimisha question mark(?) Usikosoe wakati hujui kama mm.
@mbakijonas67922 жыл бұрын
@@masakamgalla9273 kuna sentence inaanzaga na "WHAT" na isimalizikie na question mar "?" We kumbe adi msukuma anakushinda afu unataka ujilinganishe na mimi😁😁😁😁😁😁
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
@@mbakijonas6792 Aisee bora msukuma.
@daviechunga19292 жыл бұрын
The correct question is what did you do for the last five year msukuma was correct not what did you do for the past five years, that is wrong grammar
@shaalimalangu892 жыл бұрын
Na hayo majibu anayopewa anayaelewa lakini?
@sophiahmedza9292 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mwanamisimtsumi25882 жыл бұрын
Better half loaf than none
@jacquilinenoah9492 жыл бұрын
last did you do for the past five years😂😂😂😂😂tupo sambamba mpaka ajue
@brianchitiavi89252 жыл бұрын
Wht did u speak,,yeye na wew mko sem
@raykaby91392 жыл бұрын
Uyu mzee iyo mikono kama mwl wa kwaya 😂😂
@abdulrasulissa5063 Жыл бұрын
Mashuleni wanahimiza kiswahili bungeni wanataka kuongea English hivi nyinyi wabunge mnatupeleka wapi mnaacha kuongea mambo muhimu kuhusu maisha ya wa TZ mnafanya comedy ndani ya bunge hivi mnauchungu na wanaoteska na maisha ya mlo mmoja jamani tuna hitaji viongizi wa kutuwakilisha matatizo yetu wewe msukuma umepelekwa bungeni kuigiza comedy acheni hizo
@abassimussa74732 жыл бұрын
Sasa huyu anafanya nn bunge😂😂😂😂 hi kizungu ni ya mtoto wa pp one Kenya
@jameskilasa7592 жыл бұрын
Hatuongoz nchi yetu kwa kiingereza bro huyo hata uend na inglish yako ya kenya kwenye hoja za msingi humuwez
@abassimussa74732 жыл бұрын
@@jameskilasa759 we hujui tu kingereza kitamu ikija huku Kenya utakuwa bubu