AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"

  Рет қаралды 14,740

Wasafi Media

Wasafi Media

13 күн бұрын

Пікірлер: 32
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 12 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
@2003hintay
@2003hintay 5 күн бұрын
Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana
@mvullamanase
@mvullamanase 11 күн бұрын
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib9146
@saidkhatib9146 11 күн бұрын
😂😂
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 9 күн бұрын
Wanyooshe
@josephatmathiasgalagalabuh786
@josephatmathiasgalagalabuh786 11 күн бұрын
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 11 күн бұрын
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 11 күн бұрын
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
@claverymayango8288
@claverymayango8288 7 күн бұрын
Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.
@RoydaspityKobero-jq9cm
@RoydaspityKobero-jq9cm 11 күн бұрын
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga3875
@perepetuasenga3875 11 күн бұрын
Duuh yaani ni aibu mno
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 9 күн бұрын
Safi waziri
@UdakuKingdom
@UdakuKingdom 12 күн бұрын
😢😢😢😢
@nujakaluhende9428
@nujakaluhende9428 12 күн бұрын
Umepiga kwenye
@naturelle1097
@naturelle1097 7 күн бұрын
Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 11 күн бұрын
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
@user-hm9ir7yz4z
@user-hm9ir7yz4z 11 күн бұрын
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
@germanasondoka9057
@germanasondoka9057 11 күн бұрын
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
@SalimAbdallah-mi1wc
@SalimAbdallah-mi1wc 11 күн бұрын
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
@user-jl5zh6qi2w
@user-jl5zh6qi2w 11 күн бұрын
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
@PeterZakaria-c7i
@PeterZakaria-c7i 7 күн бұрын
Njoo nakahama
@aminamwashambwa6846
@aminamwashambwa6846 11 күн бұрын
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
@careemissa2502
@careemissa2502 11 күн бұрын
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
@kwisa4899
@kwisa4899 11 күн бұрын
kosa sio lake kaonewa
@lanezboy7016
@lanezboy7016 8 күн бұрын
Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂
@Soudbako
@Soudbako 7 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-rh9bo3kh2g
@user-rh9bo3kh2g 11 күн бұрын
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 11 күн бұрын
Tumbua
@Zaburi-
@Zaburi- 12 күн бұрын
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution7166
@proisolution7166 11 күн бұрын
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.
@pastorygeorge3062
@pastorygeorge3062 11 күн бұрын
Huyo anaonekana hawezi kazi
@SamiriHassan-dp9kn
@SamiriHassan-dp9kn 6 күн бұрын
Huyu anaamishwa tu hii ni kampeni ya uchaguzi
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 124 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 98 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
NACHATI NA MWARABU
10:31
Joti TV
Рет қаралды 108 М.
Indian student's Reddit confession goes horribly wrong
5:00
Brut India
Рет қаралды 883 М.
Waziri Aweso amsimamisha mama yake mzazi mbele ya Rais Samia
2:56
EastAfricaTV
Рет қаралды 32 М.
Burger Boom 💥 #настольныеигры #boardgames #games #игры #настолки #настольные_игры
0:35
PUT CARDBOARD TOOTHPASTE ALL OVER ONE’S BODY!#asmr
0:40
HAYATAKU はやたく
Рет қаралды 21 МЛН