Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
@2003hintay5 күн бұрын
Waziri afanya maamuzi ya kuwatumbua, lakini isiwe ni kwenye mtandao tu kinyume chake wanabadilishiwa vituo. Katika Hali ya kulindana
@mvullamanase11 күн бұрын
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib914611 күн бұрын
😂😂
@AugustKisaka-qy7kl9 күн бұрын
Wanyooshe
@josephatmathiasgalagalabuh78611 күн бұрын
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
@GibsonNtamamilo11 күн бұрын
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma123211 күн бұрын
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
@claverymayango82887 күн бұрын
Leo ni kwahao watumishi wadogo lkn for future is for the whole gvt.
@RoydaspityKobero-jq9cm11 күн бұрын
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga387511 күн бұрын
Duuh yaani ni aibu mno
@user-wh7gj9ug9s9 күн бұрын
Safi waziri
@UdakuKingdom12 күн бұрын
😢😢😢😢
@nujakaluhende942812 күн бұрын
Umepiga kwenye
@naturelle10977 күн бұрын
Watendaji hawa hawanaga aibu mmesimama hapo mnazomewa hata hamtishiki
@JechaMakameIssa-gs2bl11 күн бұрын
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
@user-hm9ir7yz4z11 күн бұрын
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
@germanasondoka905711 күн бұрын
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
@SalimAbdallah-mi1wc11 күн бұрын
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
@user-jl5zh6qi2w11 күн бұрын
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
@PeterZakaria-c7i7 күн бұрын
Njoo nakahama
@aminamwashambwa684611 күн бұрын
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
@careemissa250211 күн бұрын
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
@kwisa489911 күн бұрын
kosa sio lake kaonewa
@lanezboy70168 күн бұрын
Hv wasaf huwa mnarecodia simu ya tecno au 😂😂😂😂
@Soudbako7 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-rh9bo3kh2g11 күн бұрын
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
@mr.yahzadochuno791411 күн бұрын
Tumbua
@Zaburi-12 күн бұрын
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution716611 күн бұрын
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.