Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 34
@blackeagle4441Ай бұрын
Uyu dada s kwamba huwa ajielewi BIG NO n wa Tz tu tunashindwaga kumwelewa although hakuna aliyekamili kwenye hii Dunia sawah ana mabaya yake lkn pia mazuri yake Kwa upande wangu nayaona n makubwa mnooo kwangu mm namchukulia star na na wish kumwona mbali pia. #Gigy_money nakupenda God bless you baby girl ❤️🙌
@agnessntiburella8816Ай бұрын
Jamani nampenda sanaGigy yaani kachukua njia nzuri, huyu bint ni mzuri sana ana uzuri wa asili ata asipo jipamba ni mzuri
Nimejikuta nalia tu kwakwel always unanipaga nguvu Gigy
@chany9950Ай бұрын
Mbona sauti hamna jmn
@julianavicent4845Ай бұрын
Mungu akawe baraka kwako
@Kildokiza145Ай бұрын
Ukimwangalia Saleh anameza mata mara kwa Mara
@khadjamhozyaАй бұрын
Umeona😅😅😅😂😂😂
@fatmaallyabdul1732Ай бұрын
Umefanya jambo zuri ila tu hizo nguo ulizogawa angalia vichupi vyako usiwape watu
@user-uc6xe7ht4kАй бұрын
😂😂
@user-mf6vv1mf6xАй бұрын
Saleh anaqngqlia misosi😂
@DM.2200Ай бұрын
Mbona kama hakuna sauti au ni kwangu tu 😢
@ChameenahAhmadАй бұрын
Huyu dada mawenge tu kdg lkn anaonekana n mtu mwema sana🎉😂❤
@nancyg8664Ай бұрын
😂😂
@teddygabriel5662Ай бұрын
Umefanya jambo jema
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Mln 50 unanunua pombe kufurahisha watu mwenyewe unaishi nyumba ya kupanga hiyo pesa si ya kununua Nyumba hiyo kisha mukiumwa njooni mutulilie huku mitandaoni wenye hali za chini tutawachangia