Mbunge wa Kigoma mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo ni miongoni mwa wabunge waliopata nafasi ya kutoa neno katika tukio la kuaga mwili wa aliyekuwa spika wa bunge Samuel Sitta aliyefariki nchini ujerumani.
Пікірлер: 109
@sifacycy_bby88277 жыл бұрын
poleni san familia yamarehem Mungu amlaze mahari pema peponi.Asant nakwako @Millard Ayo kwakutufikishia ........
@mwinyimvuanzukwi19217 жыл бұрын
Umeongea ukweli na kumtendea haki mzee Samwel John Sitta. Tuendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu amuweke Mahali panapomstahikia, AAAMIN.
@jumamganga51362 жыл бұрын
Ni speech inayoniliza mno,
@anzurunimakala84165 жыл бұрын
Zitto kabwe unahutuba nzuri Sana mungu akuongoze inshallah
@stellahassanali82707 жыл бұрын
this speech so touching,you did zitto,May his soul rest in peace our Speaker
@dotoe.a78697 жыл бұрын
Tangulia Baba Samuel Sita. Mungu akupe pumziko nzuri Mbinguni.
@lydiathadeous66447 жыл бұрын
Daaah imeniumaaa sanaaa RIP SITTA SIJAWAHI PENDA SPEAKER ZAIDI YAKO LABDA HUKO MBELENI ATOKEE MWENYE MISINGI KAMA YA SAMWEL SITTA BABA S SITTA TULIKUPENDA ILA MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI PUMZIKA KWA AMANI BABA YETU 😭😭
Ee-Mungu uliye mweza wayote ilaze roho ya malehem Samwel Sitta mahali pema pepon amina
@afrankayamba51937 жыл бұрын
zito kabwe speech yako nimeipenda
@mangupaul80157 жыл бұрын
Zitto speach yako imentoa machoz..!! Mungu akupokee na akuepushe na moto wa milele Samwel Sitta.
@swaburyrwamlaza14797 жыл бұрын
hinaumaa Sana but sote ni wa mungu na kwake tutalejeaa
@riscaoscar5217 жыл бұрын
mungu akulaze mahali pema peponi amen S,Sita
@sara22shakra587 жыл бұрын
R.i.p BABU tutakukumbuka daima kwa mengi uliyoyafanya tulikuwa tunakupenda sana tena sana ila yupo mwenye ila yupo mwenye alikupenda zaid na zaidi .MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAYALI PEMA PEPONI.Ila speech yako ZITO imenitoa machoz mengi.
@christowelugyimbi72727 жыл бұрын
Apumzike kwa amani .
@lucasmallando39967 жыл бұрын
tulikupenda babu ila mungu kakupenda zaidi bwana alitoa na bwana ametwaa mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen
@hamissadat39637 жыл бұрын
What a speech from Zitto Kabwe Speech inasisimua sana
@mwaulambo7 жыл бұрын
sana. Art in IT
@joellemsanya50947 жыл бұрын
mungu aiweke roho yake pema peponi.
@martinegeofrey36667 жыл бұрын
rip sitta...Hii speech ya zito inaweza kukuliza
@paschaljoh57297 жыл бұрын
zitto mungu akuzidishie, r i p Sita
@catherinevalence75107 жыл бұрын
Samweli Sita was a fair leader and he will be remembered for that.
@leonardpeterhayamambonimag74137 жыл бұрын
apumzike kwa aman Mzee wetu
@gastordominic4106 жыл бұрын
Zitto upo vzr RIP 6
@idrisaathumani30767 жыл бұрын
kiukweli msiba wa sitta ni msiba wa taifa tangulia ss vyuma kwani ss wote tuwasafili
@eliudmbuya81377 жыл бұрын
Tutakukumbuka mzee wetu......RIP
@belinajames76487 жыл бұрын
kweli kabisa zitto kabwe hakujali itikadi yake ya chama
@margaretwambete12285 жыл бұрын
Zitto poa,kiboko yao👍👏
@makamemjaka68867 жыл бұрын
alale Salama.
@papafikiri7 жыл бұрын
nice hotuba
@ezekiangabo70404 жыл бұрын
RIP
@zubedazubeda20417 жыл бұрын
innalilah wain Lilah rajun
@fatmayunus77347 жыл бұрын
R.I.P Hope we will rule out the negatives and learn the positivity that he has left behind.
@legerabarugize60947 жыл бұрын
zitto uko vzr sana nakukubali sana
@fareskachungaissa80817 жыл бұрын
R.I.P.,ww mbele cc nyuma
@gloriacharles34507 жыл бұрын
jamani, kila nikisikiliza hotuba hii ya zitto huwa natokwa machozi. RIP baba
@jumamganga51362 жыл бұрын
Uko sawa na mimi, nalia hivyohivyo
@chachamashauri52207 жыл бұрын
hakika hatutaweza kumsahau
@fredymwissa54637 жыл бұрын
R.I.P Mh. Sammy.the speaker of people!!!!!
@sebastianngimba48505 жыл бұрын
ivi kwa hotuba hii hawa jamaa wanasema sio mzalendo,dooooo! wabongo vichwa maji kweli kwa usahaulifu
@ellinokallajhe41927 жыл бұрын
all time speech kabwe zitto
@erickhaule86807 жыл бұрын
safari ni moja wote tutafika huko pumzika baba tuandalie makazi huko nasi tuko njiani
@devihiza94417 жыл бұрын
Erick Haule
@johnkisongo68857 жыл бұрын
r.i.p samweli sita..tutakukumbuka milele
@winnfridaaalan81127 жыл бұрын
Duh this speech it's so touchable, rip
@eventelias2787 жыл бұрын
dah I can't stop my tears asee very touching.
@majmbaziajiusmccanoel67717 жыл бұрын
majambazi
@aishahamisi23246 жыл бұрын
Pole
@mwangokaasumwisye10544 жыл бұрын
Zitto umeongea sawa
@emilydavidmdoe35525 жыл бұрын
aah Sitta ilikuwa makini wewe tunakukumbuka
@obadiajulius53846 жыл бұрын
Rip
@binsaalimalhemeidy81117 жыл бұрын
most sadness speech by zitto. r.I.p the people speaker
@samwellaizer697 жыл бұрын
Rest in peace Samwel sitta, Rest in peace Speaker wa watu.
@jedidiahmathias77677 жыл бұрын
RIP Samwel Sitta
@mriammamadalu88877 жыл бұрын
R,I,P
@mgaaramadhan98407 жыл бұрын
Mungu aiweke roho ya marehem mahalipema aamin
@shirahmgenzi61787 жыл бұрын
R. I. P
@jacoblaiser76346 жыл бұрын
Hotuba yako mh zito inaliza
@jumajoseph93534 жыл бұрын
R.I.P Sitta
@mathiaslazaro15057 жыл бұрын
R.I.P.mzee samwel ssita
@lutufyokyomo40807 жыл бұрын
R.I.P Samwel Sitta
@amiduhilally71685 жыл бұрын
Diomond
@slimsan38597 жыл бұрын
R.I.P COMRED SITTA
@axa297 жыл бұрын
So emotional🌷🌷🌷🌷
@gregorypungwe61997 жыл бұрын
R.I.p babu
@majmbaziajiusmccanoel67717 жыл бұрын
majambazi arusha
@herbertshayo19667 жыл бұрын
R.I.P baba samwel sitta.
@khaisijunior39597 жыл бұрын
rip sitta
@peterqorrocscqorro93417 жыл бұрын
I have never found such speaker, well integrated man, your deep voice leading our Parliament always be remembered. May you rest in God's peace.
@masalutv43532 жыл бұрын
Zitt0
@ngalisoilaizer54387 жыл бұрын
R.I.P BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIBARIKIWE
@robertnjavike39337 жыл бұрын
R.I.P the people's speaker
@RoseMary-hp5bz7 жыл бұрын
😥😥😥R.I.p
@francisnyamhanga35307 жыл бұрын
hakika Zitto speech yako itabaki pia kuwa historia.inagusa sana mioyo ya watu.RIP the Great Speaker Samwel Sitta.your legacy will always linger and lives in people's hearts.Amen.
@adilimwadilifu43017 жыл бұрын
RIP father Samwel Sita, Inna lillah wainna ilaih rajiuun
@jacoblaiser76344 жыл бұрын
Zitto umetoa hotuba nzito na ya kizalendo mno.
@hassanrwitita25034 жыл бұрын
Spika aliopo ni nani sio makinda au ni brother ndugai
@rashidnassorojalala42277 жыл бұрын
r.i.p
@mtangwaajuma67487 жыл бұрын
hotuba nzuli
@jerrywilhelm7 жыл бұрын
pumzika baba pumzika.... ulifanya mema kati ya watu. tutakukumbuka
@chokaaloyce45996 жыл бұрын
Mubona magu hayupo hapo ama.....
@rsmadhanisala44667 жыл бұрын
6 nikafiri
@nemyalauwolauwo38267 жыл бұрын
r I p
@luchiombifile66224 жыл бұрын
Wewe ndio mbunge
@mbarikiwalazarowatisa20867 жыл бұрын
Samuel sitta ,umeondoka poke lewa vema hko ahera
@mwandumsendo83647 жыл бұрын
R.i.p
@janjarovicent20557 жыл бұрын
Mwandu Msendo nin maana ya R. I. P nijue
@flomrembowakenya55247 жыл бұрын
alifanya nini.my he rest in peace
@francisnyamhanga35307 жыл бұрын
Rest In Peace Speaker Samwel Sitta. You fought a good fight, your legacy will live forever in our lives.
@mwajumamchuma56476 жыл бұрын
R.I.P
@saulimwakyusa1497 жыл бұрын
zitto kabwe umeongea vingi vya point ila maswala ya simba na yanga yanafata nn kwenye msiba kama huu ?
@kihanda25547 жыл бұрын
Sauli Mwakyusa Ile si nikama Chombezo la Speech Dada
@severinamwidunda64467 жыл бұрын
sasa si historia jamani
@severinamwidunda64467 жыл бұрын
+Roger Mwinyi bora umwambieb
@HASASON6 жыл бұрын
Speech ilikua nzuri ila uwasilishwaji wake upo boring and annoying sasa anavyojilambalamba na kuvuta lips kila seconds maana yake nini? Utafikiri nyau, usomaji wa kishamba
@ernestlaiza33064 жыл бұрын
Takataka ww chuki za nn utaenda jehanam ww
@rebecakauthar64824 жыл бұрын
Alikuwa ana lia ndan kwa ndan ndo maana alikuwa anateseka sanaaa kusoma
@sara22shakra587 жыл бұрын
R.i.p BABU tutakukumbuka daima kwa mengi uliyoyafanya tulikuwa tunakupenda sana tena sana ila yupo mwenye ila yupo mwenye alikupenda zaid na zaidi .MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAYALI PEMA PEPONI.Ila speech yako ZITO imenitoa machoz mengi.