Mjadala wa masuala ya siasa na utawala bora uliofanyika kwenye Kongamano la Kumuenzi Maalim Serif Zanzibar.
Пікірлер: 50
@mohdkhatib2237 ай бұрын
Wanasifiwa watawala wakati nchi imejaa dhiki na njaa
@solomonadams63377 ай бұрын
Jeneral Ulimwengu good English come out through your mouth 💯👌,I am proud ov you.thankx
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Thanks for watching
@desiderihugo57047 ай бұрын
Kweli kabisa General .Hizo sifa na shukrani kwa rais kupeleka mahali fulani kana kwamba hela anatoa mfukoni kwake inachefua sana . I'ts too much inaudhi sana
@hajihassan54337 ай бұрын
Na utachefuka sana, mbona mambo yakienda tofauti anatukanwa Rais.
@kaslali20397 ай бұрын
Maraisi wetu sio viongozi ni kikundi cha majangili kilichowekwa na wakoloni ili kulinda maslahi ya ukoloni mamboleo hatuwezi kuendelea kama hatujajikomboa
@1961nungwi7 ай бұрын
The unthinking to think a little!😊
@namsifubwana21527 ай бұрын
Gwanda la kijani ni kama kaongea hewa
@adambairu83627 ай бұрын
Kuna Watu Nchi hii wanadhani wao Wana HATI miliki ya kujua zaidi ya wengine. Unfortunately they have been there from time in memorial. Bado wanajifanya wanajua. Ujuaji wao tangu enzi hizo umesaidia Nini. Hawapoi kwasababu wanadhani wao TU ndio wanajua Kila kitu. Huo ni ubinafsi. Wawachie vijani wachomoze mawazo Yao. Tumewachoka wapumzike.
@deven.oauditx75476 ай бұрын
Wataje ni akina nani hao. Vinginevyo unapiga majungu tu.
@namsifubwana21527 ай бұрын
Yamejaa vitambi tuu vya hela za kodi za watu😢😢😢😢
@albertkamala68437 ай бұрын
Jenerali>Brilliant as always Courage In Adversity (CIA). >Speak truth to power (STP) ni mabadiliko (CHANGES) yanayochelewa/yaliyochelewa kutokea..matokeo mambo hayaendi! >Kukiri tunafanya makosa...kunaonekana! >John Maynard Kanes...words need to be a little wild..
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Hongera kaka kwa umakini wako👍
@mohdkhatib2237 ай бұрын
Wanasifiwa watawala wakati nchi imejaa dhiki na njaa
@ibugharib3897 ай бұрын
Mjadala mzur lakini hayo yote yaliyoongelewa Ndio yanaishia hapohapo tu hamna utekelezaji wowote ule hususani maneno maxur ya Salim Saïd na General Ulimwengu
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Changamoto
@adambairu83627 ай бұрын
The reward in life is determined by the quality of the product or services The young generation want to enumerate what the seniors have done and achieved. Tabia haifundishwi inaigwa. Kukosoa TU day in,day out, hakujengi. Criticism a lone is a wrong route to success.
@bennymochiwa48007 ай бұрын
Tatzo pamoja na kukosoa hakuna kinachafanyika, inakua km kumpigia mbuzi gita
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Tuambie wafanye nini kingine?
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Kwakweli ni shida
@bennymochiwa48007 ай бұрын
@@WeyaniTvonlinetuache maneno na uwoga tuonyeshe vitendo
@desiderihugo57047 ай бұрын
Ulimwengu wewe ni kichwa 💅💅
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Sana
@AdamSaffi2117 ай бұрын
These oldies should shut up, they said nothing under Nyerere, tulikuwa na watu kizuizini, wengine walifia humo. Hamukusema lolote, acheni kutudanganya. Jenerali was a youth Ambassador overseas for many years then DC, acheni kutudanganya nyinyi. Walofungua midomo waliswagws kizuizini. Security forces were everywhere including in offices. Was horrible. Even Hon Babu aliswagwa ndani. It was more than idi amin. Leo, hakuna mtu kizuizini, watu wanaoelekwa polisi. Kaeni kimya nyinyi.
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Dooh🙆
@athumanmapunda7 ай бұрын
Twaha ulimwengu uwe na adabu ya kuongea kwanza weeesio raia wa Tanzania
@namsifubwana21527 ай бұрын
Watu wametoa point nzuriii. Anakuja wa kijani anatoa pointless
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Yaani😃
@mbwanamungia99217 ай бұрын
Wakoloni watatokea humuhumu kati yetu sisi wenyewe aliwahi kusema hivyo KwameNkuruma
@zuwenahamoud66907 ай бұрын
uko Tanzania sema kiswahili.au wewe si mtanzania
@moxasaidi33987 ай бұрын
General ulimwengu anafaa kuwa msaidiza wa Raisi kwa hekima ya maneno yake
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Maneno yenye manufaa. Shukrani kwa kujiunga nasi
@malkavoice25707 ай бұрын
Generali anawachana live bila kupepesa macho na ndio haki na usawa unaotakiwa hatakama mtampuuza ila haya maneno mtafukiwa nayo watawala yatawachoma moto vzr sana kama mnaamini dini zenu
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Asante kwa maoni yako
@humoudali5307 ай бұрын
Kwan lazma muongee kizungu wakati nyinyi ni watu weusi wa Tanzania
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Jamani wanakijua ndo maana wanaongea😃
@deven.oauditx75476 ай бұрын
Wewe ongea kiswahili chako waache wao waongee kiingereza.
@namsifubwana21527 ай бұрын
Hapa wenzetu wa magwanda ya kijani wajisikie aibu na wabadilike
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Naam, somo wamelipata
@NeemaLieda-qz3kd7 ай бұрын
ili upate chakula huko ccm sifia hiyo rais
@abdalahgunda13197 ай бұрын
Nchi yetu ni ya kidictoter mnataka hamtaki ndivyo ilivyo Mfumo wa uchaguzi ni wakidicteta Under ccm leadership system of election is for dictatorship why because police control ballot box and ccm gavment election official pointed by exelence president Samia sluu Hasan under ccm lntanol ground force can any politician got saporter win election easy forget about that election anless Tanzania and religious leader opposition odinary people rengforce unity to get new costuetion and free team organization of election can Tanzania population choose leader wich Tanzania population want without been force by police let ccm member got lnto gavment by police backing
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Asante sana kwa maoni yako
@nkondokubini76187 ай бұрын
Hivi Sisi watanzania ni na katika Mazingira gani tunaweza kufanya kitu kitu kwa akini kwa mfano angalia hao washiriki wanapiga Soga hapo mbele wakati Generali anaeleza Mbo mhimu yenye Elimu ndani yake wao wanazungumuza yako tu.Angalienni huyo mzungu anavyosikiliza kwa Makini na kufatilia kwa makini
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Kwa kweli ni kero. Yaani watu hawasikilizi mambo ya maana wanapiga soga tu🙄
@festokemibala58327 ай бұрын
Unashangaa baadhi ya washiriki kupiga soga kama vile hufuatiliagi bungeni kuona wakati hoja inajadiliwa lakini baadhi ya wabunge wao wako busy na story hata wengine wanchat!! This is Tanzania ambapo twatenda tusiyoyaamini na kuamini tusiyoyatenda (zilingwa mbali....)! Subiiri uone hiyo dira 2050 uone kitakachowaziwa na namna tutakavyosimamia utekelezaji wake, no correlation!
@desiderihugo57047 ай бұрын
Mjadala mtamu saaana
@WeyaniTvonline7 ай бұрын
Kabisa
@adambairu83627 ай бұрын
Urais ni Taasisi. Hapo Jenerali amebugi. Urais sio one man show. Yeye ana concept ya kudhani kuwa Rais Hana wasaidizi. This is wrong.