ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA . . . . . . . . #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo
Пікірлер: 268
@tikitvog3 ай бұрын
Kutazama Pat 02 bofya link hii 👇👇 kzbin.info/www/bejne/jmmqlX-uiKeLhac
@user-wb8xg4st1w2 ай бұрын
Ba0
@user-ii6gs2jg4g3 ай бұрын
Makonda una kazi ngumu sana kiongozi watu. Mungu akujaalie na akuepushe na majanga
@janethpallangyo38553 ай бұрын
NIKUPE NINI MHESHIMIWA MAKONDA NINAKUOMBEA SANA KAKA YANGU MOYO WAKO NI WAKIPEKEE SANA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@juliethmziray3 ай бұрын
Daaa walimu ipoh kazi Hongera eana Makonda❤❤❤
@joliapantaleo3493 ай бұрын
Hii nchi inamengi makonda nakuombea kwa Mungu akulinde sana umetumwa na Mungu nahakuna atakaekutoa kwenye nafasi yako utakua Rais wa Tanzania cku moja Mungu akuinue nakukulinda sana
@jacklineminja20223 ай бұрын
Makonda ofs zina madudu hatari Yesu akakufunike kwa damu yake . Amina asante baba kwa upendo wako kwa wananchi
@rashidmsuya57213 ай бұрын
Magufuli kaacha spirit yake thanks god usimchukue na huyu mapema
@basilisamsaka84693 ай бұрын
Amina tumwombeee sana
@kharidynassoro31183 ай бұрын
Mh Makonda rudi dar utuokoe kuna Madudu huku
@mch.emmanuelpallangyo99672 ай бұрын
Makonda Mungu akupe maisha marefu akutunze siku zote
@MageMollel-wb7ms3 ай бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa mkuu wa mkoa wetu makonda
@malakisilas65233 ай бұрын
Uko vizuri mkuu wa mkoa ,Yan unaacha Alama kubwa.kufichua madudu ya wakadamizaji,Makonda oye,Samia oye.
@user-sp3tm7tv4x3 ай бұрын
Makonda hata ukingombea uraisi utapata🎉🎉
@jumanesaidi76353 ай бұрын
Mambo ni mengi, (yanatisha), Makonda ni mmoja, nchi ni kubwa, dhuluma, wizi, uyang'anyanyi, na ufisadi vinazidi kila kona ! Peke yake ataviweza ? Bora uwepo mfumo wa kuikabili hali hii, isingoje utashi wa mtu, au karibu na uchaguzi mkuu. MASIKINI MAMA TZ !
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
MAKONDA UTACHOKA SANA. BUT KEEP GOING
@juliusndiyaine66013 ай бұрын
Umeigusa Moyo wangu na ya wanyonge wengi wanaopitia fadhila kama huyo Mwalimu. Hongera sana kiongozi. Mungu akupe maisha marefu akupe afya, nguvu na spirit hiyo hiyo ya kusaidia wanaonewa kupata haki yao. Nakuona ukiwa sauti ya Mungu iko ndani yako nimekupenda sana kiongozi wangu.
@user-gn2gb5ve2b3 ай бұрын
Asante Mama Samia kwa kumuona Makonda anafaa kutumikia wananchi. Mwenyenzi Mungu awabariki sana.
@kingleorpad1173 ай бұрын
Makonda tunakuombea,ww ndio kiongozi tunaekuhitaji,hakika upo vizuri
@souksoukeventsandmarketing6533 ай бұрын
Beatrice beautiful soul she was ahead of me couple of years very bright
@godwinbenedict41463 ай бұрын
Mwalimu Beatrice Mungu ampiganie, alinifundisha Geography Njiro Secondary
@ProductionWinderBulyanhulu3 ай бұрын
Piga kazi. Makonda. Watanzania tunakufuatilia kwa karibu sana.
@OmanOman-dn6dj3 ай бұрын
Arusha imeoza kwa madudu mengi ndio maana Samia akampeleka Makonda komandoo
@user-ud1hn9gt3j3 ай бұрын
Bado Makonda Wanambeza Fanya kazi Paul
@LucyNyeura-op6mg2 ай бұрын
Namuona mpendwa wetu Magufuli, kupitia ww Paul Makonda, Mungu akulinde na kkubariki
@user-jc1do5gf3w3 ай бұрын
Duuuuuu pole sana mama,sasa haki yako utapata
@AnnaMinja-zp7ti2 ай бұрын
Mungu asikuache. Sijawahi kukuangalia nikaacha kulia. Upendo wako unagusa maisha ya wengi. Big up
@user-dq1lm2be2u3 ай бұрын
Yaani makonda umekuwa kama Magufuli Mungu akulinde baba wasije wakakuzima tunakuomba sana
@user-hn8wo7fw6d3 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki sana
@ombeniulime27682 ай бұрын
Makonda kazi unayoifanya na Mungu akushindie na akulinde Mungu akung’arishe na kukupigania Mungu amekuweka kwa wakati wake
@FadhiliMboyi3 ай бұрын
Katika watumishi wa hii nchi Kwa muda wote Kwa kipindi cha magufuli na huyu mama..hakika makonda n mtu na nusu...kaka makonda wewe n magufuli wa pili hii nchi,hongera bro
@edwinlyimo56113 ай бұрын
Daa makonda kiboko,kazi nzuri hata ukipewa uenyekiti wa Kijiji kazi unafanya tu
@AllyMustapha-kq8fs3 ай бұрын
Makonda wewe noma sana bigup
@aishamaulidi74253 ай бұрын
Mungu akulinde makonda. Naakupe umri mrefu kila mwenye shari nawewe na asifanikiwe
@KADALAtv2553 ай бұрын
Mkuu yaani walimu huku chini tunaonewa sana sana tusaidiwe duh asante Mungu kutuletea Makonda
@ngusacharles4752 ай бұрын
Makonda your future presindent of our country 😮😮😮
@CatherineKimoso2 ай бұрын
Makona mungu akulinde.kweli unaponya nafsi za watu walioumizwa.na Kwa hili unaponya nchi. Barikiwa sana uishi miaka 200
@ZurehaMasoud2 ай бұрын
Wampe stahiki zake dada Yuko smart❤❤❤❤❤❤❤
@nzowemahenge12813 ай бұрын
Ingekuwa ni maamuzi yangu,,mh.makonda angepewa ukuu wa mikoa yote kwa awamu Tanzania nzima apelekwe
@gracekagoma32313 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde❤🎉
@AlfredMaingi-mb3ch3 ай бұрын
Muheshimiwa RC unatisha unahitaji pongezi sana MUNGU AKULINDE UNATETEA HAKI ZA WANYONGE
@user-oo1vz3zi1t3 ай бұрын
Yaani kila Ofisi kuna uvundo wakutisha Makonda simamia M/Mungu yuko nawe
@mussasaidhamad18912 ай бұрын
Mungu akujalie uingoze Tanzania siku Moja aaaamiin
@eliasmalila2 ай бұрын
Mwamba nakuelewa sana Fanya kazi Mungu atakulinda
@tsumiduwe14063 ай бұрын
pole sana mama makonda unafanya kazi wew ni mfano wa kuigwa
@ramadhanihabibuZuberi13 күн бұрын
Mweshimiwa makonda mungu akupe nnguvu zakuwatetea wanyonge wasiokuwanauwezo
Uyo mama atawaumbua mpe haki yake mtumbuka uyo mama jasiri sana
@israelkisaila84013 ай бұрын
Jasiri,msimi,anajuwa kujieleza,anajuwa kufuata taratibu yani yupo contented,wataenda nae mbali sana.
@mshigilakarume44252 ай бұрын
Mungu akulinde ndg p makonda na familia yako pia
@winiemajengo16793 ай бұрын
Kama hayo mambo ni ya kweli Mkuu wa mkoa anahitaji ulinzi wa kiroho...
@user-bt1en5fi8g2 ай бұрын
Mi makonda wewe nakukubari saana 🙏🙏🙏🙏🙏
@lyidiakapapa76793 ай бұрын
Mungu awe pamoja nawe Makonda , mtetezi wa wanyonge.
@thedon84673 ай бұрын
AMEEN
@georgemwapela16543 ай бұрын
Haya Mambo yanayolingana nami.Nchi hii Ina watendaji wanaotumia nafasi kunyanyasa watumishi wa umma.Nilitolewa kwenye Payroll na wenye madaraka mpaka Sasa Mimi na familia yangu hatupo sawa kimaisha.
@GodfreyMeshack-gy2yt2 ай бұрын
Pole sana kiongozi
@user-ou9up7kr9n2 ай бұрын
Pole sana mama ang Mungu atakulipa ty
@mohamedimiraji54952 ай бұрын
Very intelligent woman. Excellent
@barakavalencendola11172 ай бұрын
God bless you Mr Makonda
@stellaselli62873 ай бұрын
Mungu akubariki tupo wengi huku
@kigogosmart41212 ай бұрын
tunaomba makonda awe mkuu wa wa wakuu wa mikoa Tanzania
@stevedossa49662 ай бұрын
Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya kazi gani??,Makonda your the voice of the voiceless!
@davidkamando96302 ай бұрын
Huyu mh Mungu amtangulie kwa kila jambo..... Halmashauri kuna uonevu sana
@swaiagnes66962 ай бұрын
Mungu akulinde makonda
@joffmateru9682Ай бұрын
Mh. Makonda 🎉
@beatricesamwel61363 ай бұрын
Watu wanaonewa jamani dah!😢😢😢
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
Dhuluma dhuluma. Utafikiri hizo pesa ni zao
@barakamunis39832 ай бұрын
Niko Kilimanjaro lkn hata jina la mkuu wa mkoa wangu silijui Mungu akulinde makonda
@denismsanzya3 ай бұрын
mung akubariki Sana Lea Kari nzuri
@epimackjohn4613 ай бұрын
Hapa RC wa ARUSHA MAKONDA Anaonyesha KUSUDIO lake la kutetea haki za wanyonge ! Utendaji huu ungeagizwa ufanyike kote nchini na WAKUU wote husika uonevu uishe haki itawale watu wawajibike kuchapa kazi kwa furaha na AMANI .
@user-gt3dl5ib1y2 ай бұрын
Makonda Kila Hatua yako mungu ailinde
@matridawilium99452 ай бұрын
Hiv wakuu wengine mnajickiaje mwenzenu anapotenda haki hivi
@dorahy15793 ай бұрын
Kazi ya Maghufuli ni kubwa sana.
@rehemamkude67662 ай бұрын
Mh. Makonda! Baadhi ya Wanawake watumishi wa Umma Wazuri, wanaojipenda, au Ni wafanyaji kazi ki ukweli, wengi wao wanapitia haya kwa namna tofauti. kesi za kupandikiziwa za Rushwa,Uzembe n.k Mafaili yao ya siri ni Makubwa kuliko mwonekano wao. Ndio maana tunaomba Viongozi wengine watenge Muda wao Kwa Mungu awaongoze kusikiliza watu. Narudia tena, baadhi ya maafisa utumishi wanatesa sn wenzao, Wanachukua nafasi ya Mungu kiaina ya kwamba bila yeye "hautoki" au "hautoboi" Wanaumiza sn Familia za wenzao, hakuna maendeleo,hata kama ulijiendeleza kwa kunyima familia mkate wao ukitegemea mchumiajuani lkn wapi wanakushikiria shingoni unaendelea kua chini na miaka inaenda.
@AleckMilinga2 ай бұрын
Makonda yupo vzuli kufatilia changamoto za wananchi ongela sana mzee
@missarepafra39732 ай бұрын
Mungu tupatie kina Makonda wengi Tanzania ili haki kuanzia inspotokea ifike inakoenda. Wanyonge wengi wanalia kimyakimya miungu watu wanacheka na kuwacheka. Tukiomba Mungu atatupa kina Makonda kila Kona na nchi itafunguka. Kuna majitu yanakula watu kupitis nyadhifa yalizonazo. Yasagwe tikitiki hadi yaishe
@bahatevagre9333 ай бұрын
No comments mama apewe hakim yake,yaani tunaiabisha Tanzania sasa kama mtumishi anafanyiwa hivyo na ameajiriwa na serikali sisi part time siukilalama utafungwa
@user-eg2nb1ml7w3 ай бұрын
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! HAKIKA UNASTAHILI KUWA RAIS WA TANZANIA! TAFADHALI CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS TANZANIA 2025! TUTAKUPA KURA ZOOOOTE!! TUNAKUOMBEA SANA MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKULINDE!
@rabsonmichael97203 ай бұрын
Mama yupo makinu sana.hii nchi ina watu wa hovyo sana,manyanyaso ni mengi mno.kama hayajakukuta huwezi elewa.
@DamariMkindi2 ай бұрын
Makonda Big up
@neemanziku54033 ай бұрын
Makonda wetu Mungu akutunze kuna watu wanavilio vikubwa hawajui wakashitak wapi
@alfrediaugustino10262 ай бұрын
Hapo makonda nimekukubali
@gloryshayo99663 ай бұрын
Pole sana mwalimu daah
@lilianmungure83742 ай бұрын
Wakati wa Bwana ukifika,adui lazima aaibike,haki ya MTU haipotei,za mwizi Ni 40,Mungu akutunze Mh.Makonda
@esthermwikali54032 ай бұрын
Aki sijaona kiongozi kama makonda
@joshuabryson80443 ай бұрын
Wangekupa uwaziri mkuu nchi ingetulia wanyonge wangepona
@PriscaBarnabas-qg7ex2 ай бұрын
makonda mama samia huyu jamaa atembee mikoa yote,akitoka hapo arusha aende mkoa mwngne
@ChristinaFlorian2 ай бұрын
Magufuli umeacha jembe ongela makonda mungu akulinde
@lusajomwakalinga58133 ай бұрын
Hro upo vizuri sana
@YohanaClement-sd9vx3 ай бұрын
Hakika makonda wewe nimridhi WA magufuli mungu akutangulie popote pale unapopita
@barakafanuel50153 ай бұрын
Jiji la Arusha lilikuwa ni shida sana
@josephatdionisii3 ай бұрын
Viongozi ni waajabu hadi shetani anashangaa 😢😢😢😢
@TitoRufizi-xb2ub3 ай бұрын
Serikalini kuna watu wanatakiwa kunyongwa
@elizabethnaih54553 ай бұрын
Waaaa eemungu naomba akili yahali ya juuu kama huyu mama amen
@elinemakundi50113 ай бұрын
RC makonda hoyeeee kwa jina la YESU pokea URAIS
@RichardlohayDagharo2 ай бұрын
Yesu ni mzima
@marthajoseph49283 ай бұрын
Waaaaoooo mkuu wa mkoa uko vizuri
@kivuyolalashe47443 ай бұрын
Huyu mkuu wa mkoa ndio mkombozi wa taifa
@OmanOman-dd5qk3 ай бұрын
Mji huo wawatani zangu sijui nani Ali towa jina lahuo mji mambo yao ya kurusha rusha tu pole sana mkuu
@peninabernardo25042 ай бұрын
Makonda ni mtu na nusu🙌
@laurentraphael54703 ай бұрын
Madudu ni mengi sana CCM. Watanzania waende wapi kupata msaada?. Upuuzi mtupu
@user-oy2gp3nq4j3 ай бұрын
Nchi hii haki akuna ata wajane wanazulumiwa na maafisa utumishi .
@ahmadifataha66773 ай бұрын
Huyu mama anajua kujieleza vizuri sana na anajielewa
@israelkisaila84013 ай бұрын
Yupo vizuri na ndo maana hawataki asome masters yake,wanaona atawanyanganya vyeo.
@josephatdionisii3 ай бұрын
Mheshimiwa tunaomba ukagombee urais iwe kwa chama gan kura utazoa zote
@marykimario54833 ай бұрын
Makonda umekuja kwa wakati baba arusha imeozaaaaaaa
@LoseSanga2 ай бұрын
Jamani hivi mkuu wangu wa Mkoa wa Mbeya anaitwa na nani maana nikishtukizwa ni kujibu tu Makonda kumbe hanihusu
@neemangowi68392 ай бұрын
Kafanyiwa vibaya adi nimetetemeka
@easternyerembe72713 ай бұрын
Nawaonea wivu Arusha, chauma hichooo!
@vickgrace44873 ай бұрын
MUNGU mzuri AKULINDE MTU WA MUNGU.... KWA KILA ENEO