Hongera snaRc ninauhakika jembe letu Rais hakukosea nakuombea kwa miaka ya baadaye Rais akuachie ikulu ninauhakika utaienfesha nchi yetu vizur wallah nakuombea dua
@numbeshabani99814 жыл бұрын
Mzee wa Toronto full respect
@user-ze6lx9ng6s5 ай бұрын
Hawa ndiyo viongozi walikuwa wanatakiwa awamu ya sita, mama wanatuiibia sana hawa ulio wachagua
@robertsangawe46074 жыл бұрын
Sukuma ndanii ..... Mzee nakukubali snaa
@shabanmohamed15454 жыл бұрын
Huyu jamaa ,ni mchapa kazi sana ,mungu ampe maisha marefu .
@zakayokambainei59634 жыл бұрын
Nakupenda sana RC MWENRI WE NI JEMBE HAKIKA MH RAIS HAJAKOSOSEA KUTEUWA ROLE MODE YA UONGOZI UNAOTAKIWA KWA HUDUMA YA WANANCHI
@wazirially84734 жыл бұрын
Safi sana
@fnnyanda59934 жыл бұрын
Yes. Uongozi ndo huu. Sauti ya zege, hukomesha wezi. Rais hakukosea hapa, namba ya kazi. Mzee wa Toronto, "keep it up".Unanikoshaga saaana. Hadi rahaaa.
@badmanno.16504 жыл бұрын
Baada ya magu hiki chuma cha pua kizame ikulu...
@user-uw4pu9nm1uАй бұрын
Kuna huyu na makonda na ally happi haaa jamaa ni kiboko 👍👍
@michaelndahani12184 жыл бұрын
We need leaders like this mzee baba chapa kazii
@dastansimpanzye55584 жыл бұрын
Agrey Mwanri Hapendi mizaha kwenye mambo ya kijamii
Huu ndio uongozi wa magufuli ni mzuri,Sana tunatakiwa kuongozwa hivii
@athanacnicholauc76134 жыл бұрын
Hehehe!!.. nikikuta mlango haupo na wew haupo!!..
@msirikalecharles81034 жыл бұрын
Hahahahahahah. ....hayo yote ni ili maendeleo yapatikane
@hemedimahenya6934 жыл бұрын
Mama mwenyewe mawani uko vizur
@peteradeteacher13804 жыл бұрын
Kabisaa. Anaweza uyo
@yonakisarangata77004 жыл бұрын
Mambo ni 🔥 🔥
@bugybuster57882 жыл бұрын
Daaah viongoz km hawa Adim sanaa
@Splkevin80264 жыл бұрын
Mzee wa sukuma ndani fanya kazi
@missmoona44974 жыл бұрын
Shikamoo muheshimiwa hahahahaha et weeeeeee....! Nisubirin mm niondoke ndio mkajifungie humo ndan umande kurumbana nas mbele yangu 😂😂😂😂😂wallah inauzi hatar pesa iko kaz haiend yote hiyo wanataka kujibabaisha waibe ama wagawane gawane mambo yaishe zamu hii mtachemka aisee
@hamisilitatilohunamaajabu73664 жыл бұрын
Njoo Moro kunavlaza wengi
@harunilibangite72054 жыл бұрын
Heeee... against what AM say. .full stop. Nitakugongaa 😂😂😂😂
@wistonmlomo6314 жыл бұрын
Nakukubali weee wacha iyo
@ambwenemwakaleli59804 жыл бұрын
Nakukubali sana mwanli
@michaelnzunda73474 жыл бұрын
ivi uyu mzee anakula kadansee?? Lkn ii gvt inatak watu ka hawa
@kijangapeter51354 жыл бұрын
Anakula ulaka huyu mzee mwenzangu
@salimmohamed6944 жыл бұрын
Uyu mama wa miwani ana mume kweli? Anaongea sana sijui kama anamsikiza mumewe
@leymanleyman74264 жыл бұрын
Hahahahahaha miye hoooooiii
@gabriel875674 жыл бұрын
Njoo dar tukupokee kwa mikono miwiliiiii!!;;
@jamesluciano51993 жыл бұрын
Noma sanaaaaaaa💪💪💪
@EmmanuelTemba-c7q2 күн бұрын
Kaka gombea ata uraisi
@Nyanda5063 жыл бұрын
😀😀😀😀
@dianaamon98444 жыл бұрын
Nikija nikikuta mlango haupo na we haupo..😂😂😂😂
@zaitunimikidadi53282 жыл бұрын
Nimekukubali mkuu
@radhiasalum71564 жыл бұрын
Asee we baba mapeleke Hao wajue kazi zao
@rjkadelo63154 жыл бұрын
Kamata sukuma ndani
@elisantemolly93654 жыл бұрын
Nzuri
@bugybuster57882 жыл бұрын
Hawa ndy akina ally hapi wazalendo
@masoudmullah13294 жыл бұрын
Huyu afaa aje kua mkuu wa mkoa hapa dar
@tundalusamla Жыл бұрын
Kuna mtu ana sema no
@praisesamson82984 жыл бұрын
Kama naicheki muvi ya idiamini vile ivi mzee ambaye anaambiwa aache ngonjela na kufokewa kwenye camera anaitwa umri gani vile?
@KamsiniAizack16 күн бұрын
4:52 😮😮😮
@patricksebastian35933 жыл бұрын
Watanzania ili waende ndio wanahitaji mwendo Kama huu🤣🤣🤣
@HappynessJaphethАй бұрын
Kabisa
@babukongwee71863 жыл бұрын
Toronto...
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
...LEO MMEIKANYAGA....KAZI MNAYO....!
@jamessilwamba28623 жыл бұрын
Katoa majibu mazuri huyu mzee kuhusu vifaa vilivyobaki peleka kwenye miradi mingine si almashauri hiyo hiyo nataka kazi iishe hapa angekuwa mwingine angehamisha mjadala kwenda kwenye kwanini vilibaki na hapo mnunuzi hawezi kuitwa mzembe sio sahihi, yeye ananunua kufuatana na mahitaji ya mtumiaji mwenyewe hatakiwi kuongeza wala hapunguzi ni jukumu la mtumiaji kuagiza kufuatana na mahitaji yake