Maswali 7 yanayo wa kera Wanawake wengi - Joel Nanauka

  Рет қаралды 14,137

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 58
@isharakapapi
@isharakapapi 2 жыл бұрын
Kwa ufupi nikwamba kuuliza ayo maswali sio tatizo, ila tatizo ni hekima unayotumia kwenye kuuliza ayo maswali. Sasa mm pendekezo langu ni kwamba, heri kuto kuulizia swali ambalo linaweza kuhasiri akili ya mtu kama hauna hekima yakutumia katika uhulizaji wako🙏
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 жыл бұрын
Jambo la nane hawapendi Shikamoo
@aymanmaganga9315
@aymanmaganga9315 2 жыл бұрын
Hahaa😂😂😂kabisa yan
@Brighters-y
@Brighters-y 2 жыл бұрын
😂😂 kweli
@namsifuwadeya497
@namsifuwadeya497 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa hayo maswali hua yanakera sana tena sana,MUNGU akutunze Nanauka
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 2 жыл бұрын
Ni kwel uncle joel hayo maswali yanaumiza sana 😔😔😔 mara unaolewa lini mara lini na ww utakuwa na mtoto dah!! Kwel hawajui kiasi yanaumiza
@oscarj....5979
@oscarj....5979 2 жыл бұрын
Utaolewa lini😂
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 2 жыл бұрын
@@oscarj....5979 acha tu 😁
@ericamoshi775
@ericamoshi775 2 жыл бұрын
Haya maswali ya umeshapata mtoto? Hujaolewa bado? Yanakwaza sana
@raheemhamisi5370
@raheemhamisi5370 2 жыл бұрын
Yes,,,off course iyo ishanitokea mi nilimuulizaga demu wangu hakupenda baada ya kuwa wapenzi ndani ya miezi 6 ndo alkuja kunambia ivi ni kwanin mara ya kwanza nilimuuliza eti ana umri au nilimuona alkuwa amechoka kimaisha,,,,???? Swali jingine unapomuuliza kwanin ulizaa na uyo boya (boyfriend)ambaye walkuja kuachana mwanamke huwa anajiona hakufanya maamuzi sahih ivo huwa anajiona km alipotea njia sahihi. Thanks Brooo Joel,,,,nakufatilia sana tuu kila video ukitoa huwa napata notification by then it's to watch.
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 жыл бұрын
Mimi nachukiaga sana maswal kama hayo, sipendi
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 6 ай бұрын
Kazi.. nzuri sana coach Joel barkiw
@omarmahirizi
@omarmahirizi 2 жыл бұрын
Kwa upande wangu hata sijui hayo maswali utaanzajeanzaje kuyauliza kwakweli ni maswali ambayo hayauliziki Ila kwa hekima ya juu sana
@ramygichero1016
@ramygichero1016 Жыл бұрын
Hi ni nzuri
@evalineedwardsuzanne9862
@evalineedwardsuzanne9862 2 жыл бұрын
Mm nachukiaga sana hili mbona umekonda sana
@alidhjdv5047
@alidhjdv5047 2 жыл бұрын
Mim n mmojawapo amabe nachukia sana maswali hayo
@neemaryan9947
@neemaryan9947 2 жыл бұрын
Kweli kaka haya maswali hua yanakera sana eti mtu anakuuliza wewe utaolewa lini.
@Roym97
@Roym97 2 жыл бұрын
Maybe amevulugea huyo
@aash4145
@aash4145 2 жыл бұрын
Nanaukaaa😂😂Et kwa nini uliachwa,, kwakwel watu wana maswal ya ajabuu
@charityfarm1226
@charityfarm1226 2 жыл бұрын
Noma sana
@lukasjoel9105
@lukasjoel9105 2 жыл бұрын
Ni shawahi kuuliza swali la bikra kwa mpenz wangu lkn hakukasirika
@shaomymusic4510
@shaomymusic4510 2 жыл бұрын
Sipendi mtu aniulze kuhusu mwili wangu Wakt me mwenyewe unanipa stress nachukia ukitaka uadui na mm ukiniona jaji mwili wangu nakuchukia mazima sipendi tu
@abuuharuna2214
@abuuharuna2214 2 жыл бұрын
Nashukuru mungu sipendagi kujua taarifa ambazo hazinisaidii kitu siulizagi maswari kama hayo
@witnessshija7717
@witnessshija7717 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na Mimi nitaacha kuuliza hayo maswali
@naturalherbsandlife610
@naturalherbsandlife610 2 жыл бұрын
Yaani karibu yote nilishawahi kuulizwa mweeeeh yanakeraaa mno
@mahmoud1852
@mahmoud1852 2 жыл бұрын
Duh... Kaka Joel mie sijawah kuwa hata na mahusiano na mwanamke
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 2 жыл бұрын
Kabisa hilo swali huwa linanikera sana hasa nikiendaga nyumban kwa baba yangu jmn kuna mama huyo unaweza sema ndio mchawi wangu maana yy tukionana tu ananiuliza kwann huolewi na utakaa bila kuolewa mpaka lini hajuagi tu ni kiasi gani ananiudhi ila kwakua namuheshim sana ndio maana hiwa namstahi tu au ananiambia hibi 8takaa na mtoto mmoja mpaka lini
@salvinamakindi473
@salvinamakindi473 2 жыл бұрын
Apo lala ume patia maswali yote Yana nikera sana
@jacksonbonifhace5694
@jacksonbonifhace5694 2 жыл бұрын
Mm niliuliza girl kama ni bikra
@halimaanab8393
@halimaanab8393 2 жыл бұрын
Hayo yamenipata 😄😄😄
@abdultandala6576
@abdultandala6576 2 жыл бұрын
Nakubali ✅✅✅
@modestaspandila1280
@modestaspandila1280 2 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka kazi yako ninjema
@azizakwileka1641
@azizakwileka1641 2 жыл бұрын
Mimi napenda nikiambiwa nimepungua kuliko kunenepa, na kumuuliza mtu kuhusu kupungua au kunenepa basi huyo mtu nimemzoea yaan mpaka basi
@shakirally3899
@shakirally3899 2 жыл бұрын
My mentor
@ladslauspius4845
@ladslauspius4845 2 жыл бұрын
Nimeacha kwanzia sas kuulza maswali hayo🤨
@omarjuma1794
@omarjuma1794 2 жыл бұрын
#JoelNanauka Jenius By Discovery
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Asante
@fadhilinkobongo2643
@fadhilinkobongo2643 2 жыл бұрын
Samahani mwalimu yapi maswali yanayowakera wanaume
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Alishawahi kutoa video. Mfano mwanamke kumuuliza mumewe upo wapi? baada ya kuchelewa kurudi nyumbani.
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Kesho itatoka video ya hayo maswali
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 2 жыл бұрын
Je unahela ? hilo ndilo swali kero kwa wanaume
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Angalia video inayofuata
@batulii1248
@batulii1248 2 жыл бұрын
Apo kwenye swali la mwisho kuna mtu Ali niuliza eti we nibikra nilikasilika tena ni mtu mzima kweli nilimfikisha had kwa wazazi wangu alijuta kwakweli linakera kuuliza swali nyeti kama hilo😏😏
@loiceomwola7451
@loiceomwola7451 2 жыл бұрын
Mtalamu mwalimu mkuu..asante sana kwa kutukumbusha za zingine tuzoee maswali kama haya tu
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 2 жыл бұрын
I'm the one
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 2 жыл бұрын
Et ana ma hormone inbalance😎
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
🤣👌🏽🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Baby
@joshuamaro9604
@joshuamaro9604 2 жыл бұрын
1: unaumri gani ?
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Hata juzi kuna mpuuzi nilimtusi sana eti mbona umepungua yaani nilijisikia hasira kali mno nahisi akirudia ntamchemshia maji moto nimmwagie
@lydiamauya9151
@lydiamauya9151 2 жыл бұрын
Thank you Coach. Serious these are irritating Qs
@Brighters-y
@Brighters-y 2 жыл бұрын
😂😂 how old are you
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Ila wanaume bhn 🤣🤣 izo bikra uwa wana peleke wapi 😪🤦‍♀️nA WAPO SERIOUSLY WANA ULIZA SWALI KMA ILO,! LOH?
@mandejumanne6429
@mandejumanne6429 2 жыл бұрын
Haaaahaaahaahaaahaahaahaah
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 2 жыл бұрын
Kuna mpuuzi nime stop mawasiliano na yeye kwa sababu ana ujinga wa hayo maswali yoooote kama vile umemsema yeye. Na huwa najiuliza hivyo hivyo kama unavyosema, akiuliza ujinga huo.
@Cyper255
@Cyper255 2 жыл бұрын
Unamiaka mingapi Dada?
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
@@Cyper255 🤣
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 2 жыл бұрын
@@Cyper255 Ntakublock 😁😁😁 si bora hata hili la miaka, mm miaka yangu 28 afu jitu liniulize lini naolewa 😁😁mara lini utapata nawe mtoto!!! Yaani sipendi kupewa majukum ya Mungu wakati mm binadamu 😁😁😁Mara unanenepa kidogo mtu anakushangaa eti khaaa umekua hivi lini umekua kama mmama 😆😆😅Linakeraaaa afu halijishtukii
@evakirumbi9502
@evakirumbi9502 Жыл бұрын
@@khadijajuma7142 hahaaaa😄😄😄
Aina 9 Za Wanawake Watata
13:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 107 М.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 115 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
A 91 Year Old Prime Minister Shares His Best Life Lessons
16:03
Sprouht
Рет қаралды 1,6 МЛН
Maswali 7 wasiyopenda kuulizwa Wanaume - Joel Nanauka
9:21
Joel Nanauka
Рет қаралды 27 М.
Unataka Kufanikiwa? Hizi Ndizo Sifa za Watu Wenye Mafanikio Makubwa.
6:24
LIFE WISDOM : FANYA MABADILIKO HAYA UFANIKIWE - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 30 М.
Dr. Chris Mauki: Mwanaume Mwenye Tabia hizi 7 kamwe usimuache
7:44
Chris Mauki
Рет қаралды 1,1 МЛН
MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOFANYA KAZI - JOEL NANAUKA
6:11
Joel Nanauka
Рет қаралды 37 М.
Siri ya Utajiri ni Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Mapato - Eric Shigongo
9:01
Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka
10:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 75 М.
HAKUNA ULAZIMA WA KUNG'ANG'ANIA WATU  - JOEL NANAUKA
8:03
Joel Nanauka
Рет қаралды 120 М.