Рет қаралды 85,745
Mbunge wa Kahama Mjini Jumanne Kishimba akizungumza masuala ya ujasiriamali na wananfunzi wa mwaka wa tatu wa ndakki ya Sayansi asilia na Hisabati kutoka chuo kikuu cha Dodoma UDOM.
Kishimba alikuwa akizungumza nao wakati wa Semina ya Ujasiriamali, Ajira na Kujiajiri iliyofanyika kwa wanafunzi hao ili kuwajengea uwezo wanavyokwenda mtaani wanapomaliza masomo yao.