SAMATTA ANA KILA KITU, UTAJIRI WAKE KIASI GANI? “UNAWEZA KUMFANYA AWE NA KINYONGO”

  Рет қаралды 553,688

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер
@BeatriceKitembe-gs9si
@BeatriceKitembe-gs9si 2 ай бұрын
Mungu akujaalie Afya samatta... MUNGU atazidi kukuinua.. Daaa uko vzr snaaaaa
@johnluyego9353
@johnluyego9353 2 ай бұрын
Interview Safi, hongera Kwa muulizaji, hongera Kwa Samata namna anavyokibu maswali
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 Жыл бұрын
Very humble Guy. Hongera sana Mbwana Ally Samatta.Mungu aendelee kukulinda na kukubariki.
@Driverrapper
@Driverrapper 2 ай бұрын
Way brother
@aaronswai3092
@aaronswai3092 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Samatta! Una hekima kwa kuwa u mnyenyekevu! Mungu akuzidishie
@AbdallaMsangi
@AbdallaMsangi 2 ай бұрын
Well Allah azidi kukujalia brother
@abdulmrisho21
@abdulmrisho21 Жыл бұрын
Very interesting interview kwa sisi wapambanaji be humble kwa kile kidogo unachokipata
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 Жыл бұрын
Mbwana Samatta, hongera sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza, wewe huna makuu!
@JulieMbeko-jw6iq
@JulieMbeko-jw6iq Ай бұрын
Kijana mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu sana,akutunze pamoja na familia yko,unahekima sana na umenibariki,Mungu akusimamie kwa kila jambo
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 4 ай бұрын
Mungu Akubariki sn Samatta, Kwa kuwa na Hofu ya Mungu, Mungu ndio Kila kitu Hongera sn.
@protaspeter5371
@protaspeter5371 Жыл бұрын
Mungu kweli fundi, hamjalii mtu kizembe, this is a right one, samata we ni genius
@sarahsalum2325
@sarahsalum2325 Жыл бұрын
Samatta na ally kiba walitakiwa kuwa ndugu jamn 😊vitu ving wanaendana hasa life style ALLAH AWAHIFADHI
@hadijamsati8813
@hadijamsati8813 11 ай бұрын
Acha kumfananisha samatta na vitu vya kijinga
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 10 ай бұрын
Ameen
@michaelgideon5373
@michaelgideon5373 2 ай бұрын
true
@ashaanab-sy4cq
@ashaanab-sy4cq Жыл бұрын
Nawapenda Saana Samata Na Alikiba Big Up💪💪💪
@AymanNasoro
@AymanNasoro Жыл бұрын
Kivipi yaani😅😅😮
@albertkamala6843
@albertkamala6843 Жыл бұрын
Samaboy! Brilliant, very smart and humble!
@FILIMINIGWASMAY
@FILIMINIGWASMAY 11 ай бұрын
Samatta you are the legendary uzidishiwe
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Жыл бұрын
Hakuna kitu kizur kama kumshukuru Mungu God bless you 🙌mbwana samatta
@agnesmweya4064
@agnesmweya4064 2 ай бұрын
kweli kabisa,kuanza ku cross😩😩😩 dua za watu ni kutokuridhika.una roho ya kitajiri sana na ndio sababu hutopungukiwa.hongera.
@MarijanLooserboy-hw6gs
@MarijanLooserboy-hw6gs Жыл бұрын
Huwez mfananisha smata na Ali kiba wala daimond samata himfananisha na staa wowote Tanzania anajielewa na Juan nini kitakiwa katika mfumo wa dunia na akhera yake big up samata
@Mfirimassawe-m3o
@Mfirimassawe-m3o Ай бұрын
Bwana samata mungu akujaalie hatakile ambacho hukuomba ilimlad kitafurahisha na kitakuIdishia kuishi maisha ya kumpenda mungu maana unaheshima sana na hekima ,napenda zaid unavyomtaja mungu kitu ambacho hakipo kwa waliofanikiwa wengi
@Juma-kb3mg
@Juma-kb3mg 10 ай бұрын
Dah brother allah akufanye uwe na hyo roho
@BakariBamvua
@BakariBamvua 4 ай бұрын
Apo umesema bro,kuna cc tunaomba tupate 2 chakula kama unavyosema.hongera sna bro...
@swaumuugata4166
@swaumuugata4166 11 ай бұрын
Nawapenda sana wewe na mbwana samata na ally kiba mko na moyo Wangu walah💋🙏
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 Жыл бұрын
In fact, you have said something that the fear of God here has made me think too far. Thank you, brother. May God protect you and guide you in happiness.
@JamalJamal-bx2cd
@JamalJamal-bx2cd 11 ай бұрын
😅😅y4x ģ❤
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Жыл бұрын
Mtangazaji unajua, unajua, unajua saana kuuliza, Big up Samata !
@MachuguChacha-q1r
@MachuguChacha-q1r 2 ай бұрын
Haina kufeli one day yes captain mbwana mungu alkujaeli miaka mingi
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 2 ай бұрын
Samata nimekupenda kijana wangu tofauti na wakina Good lucky (Kijana mdogo tajiri) anavyoonyesha hela zake
@shukranmsukwa
@shukranmsukwa 2 ай бұрын
Si mshabiki wa mpira lakn nmekukubali Sanaa broo😂😂
@samuelkiama975
@samuelkiama975 Жыл бұрын
Mtangazaji smart sana🎤
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Жыл бұрын
Maashaallah ushaahijiii kaka baarakallah fiikum
@KisileAbdallah
@KisileAbdallah 2 ай бұрын
Unaakili sanaaaa kaka allah azidi kukuweka 🙏
@emmanuelkisusu2465
@emmanuelkisusu2465 Жыл бұрын
Hofu ya Mungu kui control pesa, daah safi Sana, kijana yuko humble
@tumahamza8972
@tumahamza8972 Жыл бұрын
Baarik Allahumma feekum. You're very smart and humble. Even the way you are answering the questions. May Allah protect you.
@mwinyisuleiman2931
@mwinyisuleiman2931 2 ай бұрын
Smart =to samata
@Juma-kb3mg
@Juma-kb3mg 10 ай бұрын
Brother allah akufanye uwe na hyo roho dah
@daudimungi1327
@daudimungi1327 10 ай бұрын
So humble guy.. Mengi ya kujifunza.
@AmosSungaleli-t2f
@AmosSungaleli-t2f 2 ай бұрын
Ata mimi naami kua kila wanafanana❤❤❤❤
@abdulmiyugi
@abdulmiyugi Жыл бұрын
Samata one❤ MY brother mtoto anabidi aoneshe mfano mzuri wa kutafuta pesa.nimeipenda iyo
@amanimangalila-pj8ik
@amanimangalila-pj8ik 11 ай бұрын
Ukitaka Pesa Idumu Nawewe, Jifanye Huna Hata Kama Unazo. Na Ukijifanya Unazo Kabla Hujazipata Sahau Kuhusu Kukutana Nazo. (Pesa Ina Nidhamu Yake).
@ibrahjoseph4239
@ibrahjoseph4239 Жыл бұрын
Naombeni jina la huyu mtangazaji anajua sana maswali hayakeri ni tofauti na watangazaji wengine
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie uko vizuri simtu sifa
@FauzaAbeid
@FauzaAbeid Жыл бұрын
Mashaallah kijana mungu akuzidishia usiwe na majivuno
@tatually1366
@tatually1366 Жыл бұрын
Masha Allah 🍀🍂. Mwenyezi mungu amejali 🙏👏❤️
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Point naomba Mungu utusaidie
@KassimAlly-w4y
@KassimAlly-w4y Жыл бұрын
Uko vzr sn mbwana kwl kuna watu wanauhitaji wa kitu kdg tu wanakosa we unaomba kununua ndege mungu akufanyie wepes mzee
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 Жыл бұрын
Well done dogo samata ,stay blessed
@LUKIUSJOSEPHATI
@LUKIUSJOSEPHATI 5 ай бұрын
Uyu jamaaa kumroga nikazi sana😂😂😂😂
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 2 ай бұрын
Chief Good love
@Allybuturo
@Allybuturo Жыл бұрын
Hongera sanaaa mwamba mungu akupe wepesi❤❤❤❤
@muhidinponda1498
@muhidinponda1498 Жыл бұрын
Safi sana kwa muuliza maswali👏
@nathaniazori3697
@nathaniazori3697 Жыл бұрын
Big point bro ur bright umeongea vitu ambavyo ni sahihi🙏
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 Жыл бұрын
Kuna tofauti kubwa kati ya samata na diamond ,Diamond kutw Kuonesh hela zake mtandaoni
@JummaSammata-ny5xf
@JummaSammata-ny5xf Жыл бұрын
ALLAH akufanyie WEPESI
@Syliveliodeogratias
@Syliveliodeogratias Жыл бұрын
Kwer mungu hamtupi mjawake samatta ww ni mtu wa pekee ambae kwenye interview nimekuerewa sana
@francismepukori9840
@francismepukori9840 Жыл бұрын
U know brother. Contented🔥✅
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Жыл бұрын
Wanaopata mali za maagano ndio wanaosumbua watu kama hao wasanii wenu, ila mali halali unakuaga poa sana coz una jua kwamba only God
@hajjiabdurahman6859
@hajjiabdurahman6859 2 ай бұрын
Tafuta hela acha nongwa
@digoMastar-zf4ji
@digoMastar-zf4ji Жыл бұрын
Namkubali sana Samata na king kiba Huwa wapendi kuweka maisha Yao hazarani ila Kuna mtu anajiita Simba uyo anapenda kiki sana😂😂
@WilliamKadasa
@WilliamKadasa Ай бұрын
Verry nice
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 Жыл бұрын
If humble was a person 🙌🙌
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 Жыл бұрын
The truth has been spoken! Kudos sana,home boy. ✊💪🤝
@khamissons1206
@khamissons1206 Жыл бұрын
Mm n
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 Жыл бұрын
Ayo maneno dawa sio mtoto aseme baba ana mali apambane kwa jasho lake nayeye big up
@paschaledward8670
@paschaledward8670 Жыл бұрын
Sammata akili 🧠 kubwa. Big up bro.
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Hongera sana Mbwana Samatta kwa majibu mazuri na mayo wako wa kutokuwa na tamaa ya vitu
@maselejonathan8452
@maselejonathan8452 10 ай бұрын
Hii video atumiwe chief godlove
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 Жыл бұрын
Busara na nidhamu msingi wa maisha bora Big up
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 Жыл бұрын
Bwana samatta kaongea vizuri sana hongeraa
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Жыл бұрын
MashaAllah ALLAH akuzidishie
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Жыл бұрын
Hongera kwa hekima zako.
@ramasmall8462
@ramasmall8462 Жыл бұрын
Acha mungu hampe zaidi ya hapo kajenga misikiti kwetu hata 6 na hukute hanajipromoti kama washamaba daimond au konde
@venasmlega6727
@venasmlega6727 Жыл бұрын
Konde alishawah kupromt msikit gan au kitu gan acha ushamba ww
@husnapeter3650
@husnapeter3650 Жыл бұрын
Atleast leo umeiongelea vizuri simba 👏👏👏👏👏
@cmfacademy
@cmfacademy Жыл бұрын
Safi sana ubarikiwe
@_CyprianBC
@_CyprianBC Жыл бұрын
Good and clean Brother
@StanleyJacob-s3t
@StanleyJacob-s3t Ай бұрын
Samata mungu akubariki unasemaukwel
@evanestharold5079
@evanestharold5079 9 ай бұрын
Mungu akubariki sanaaaa
@kingfuture7147
@kingfuture7147 Жыл бұрын
Angekuwa GOODLOVE 🤣🤣🤣🤣
@gumbagumbalaulent4797
@gumbagumbalaulent4797 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@blaizerballer4248
@blaizerballer4248 Жыл бұрын
Dah yule jamaa hana kityu kabisa na anajisifia sana yule chief godlove 😂
@mpajibinaisa7238
@mpajibinaisa7238 Жыл бұрын
Hahahaaaaa umetisha kaka
@liannsambu7264
@liannsambu7264 10 ай бұрын
Safi sana ,FICHA ZAIDI KAKA SAMATA WABONGO WENGI NI WATU WA AJABU ,WANAKUPENDA MDOMONI NA SI MIOYONI ,SO UKIONESHA VITU WENGI UTENGENEZA CHUKI ZA KUONDOA ATA UHAI , SO WEKA PASS WORD HIVYO HIVYO
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 Жыл бұрын
Alikiba na samatta tabia zao zinaendana sanaa
@MohammedAlly-op1yj
@MohammedAlly-op1yj Жыл бұрын
Daah yaani katika watu hasa vijana wa Leo ambao hawana makuu na wanacho huyu mwamba na respect Sana na namuombea Kwa mwenyeezi MUNGU ampe maisha marefu yenye maraka tele! Tujifunze Sana katika hili✍️
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Yaaan samata Ni star mkbwa sna lakin hata ndoa yake tu aliifnya kimyakinya Ila ningekuwa mm duhhh
@happinessogisto2918
@happinessogisto2918 Жыл бұрын
Hongera sana Mungu awe na wewe ❤
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Ata kuongea anaongea kama King Kiba huyu jamaa!
@dechardavid2555
@dechardavid2555 Жыл бұрын
Sindioo
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 10 ай бұрын
Mnyarukolo kamwene 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@KiwosooMnama
@KiwosooMnama Жыл бұрын
Man Of The Peoplezzz
@ibrahimnyanga8971
@ibrahimnyanga8971 Жыл бұрын
Hahhh nimefurah saana sentensi aliyomalizia tunaambiwaga wengi saana maashaallah
@geraldalfred1781
@geraldalfred1781 Жыл бұрын
Smart indeed
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 Жыл бұрын
Saluti bro viva sana kaka
@mwl.elishafredrickmwambeng8921
@mwl.elishafredrickmwambeng8921 Жыл бұрын
If humble was a person then His name will be Samatta
@sebastianmathew8475
@sebastianmathew8475 Жыл бұрын
Je salama tz nahodha nakuomba umiliki wa hospital kubwa kama muhimbili urudishe kwa jamii. Ubarikiwe
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Nawakubali saana Alikiba na Samata maisha yao yana full password
@lusakobaraka9854
@lusakobaraka9854 Жыл бұрын
Mtangazaji ningekua natuzo ningekupa umetisha hatar Yan 🔥
@RahimMatambala-w7r
@RahimMatambala-w7r 11 ай бұрын
Ndege wafananao huruka pamoja hapa namuona samatta na Ali kiba wakiwa na mawazo yanayoendana Hawa jamaa wanajua walipotokea na Wana hofia kesho Yao na ndio mana Wana nidham na fedha na wanajua jinsi ya kuzuia matamanio Yao hivyo si watu wa starehe kwa sana. Ukitaka kujua mtu ana akili kwa kias gan ni pale anaposhika fedha yake nyingi kwa mara ya kwanza na kuweza kui-control. Bigup samagoal.
@LUCASCHOBIKEKA
@LUCASCHOBIKEKA Жыл бұрын
Uko vizuri kijana ubarikiwe
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Жыл бұрын
SAMAKIBA FOUNDATION WAMEFANANA
@brunobalama6046
@brunobalama6046 Жыл бұрын
wa kwanza nipen like zangu..
@lutatuzo7395
@lutatuzo7395 Жыл бұрын
Soo good 👍👍
@papamukulu1045
@papamukulu1045 Жыл бұрын
Humble man
@JackaIssa-s6u
@JackaIssa-s6u 4 ай бұрын
Namuomba ALLAH anijaalie siku moja nifanikiwe kununua Bajaj ntaweka picture ya samata kila konaaa 😢😢inshaalllah mana me toyo lakinii natamaniii sanaa sanaa siku moja niwe na Bajaj niipambe kwa picture ya samata wallah😢😢
@JACKSONBUXAY
@JACKSONBUXAY 10 ай бұрын
Waiting for samakiba
@RamadhanMsomali-y7k
@RamadhanMsomali-y7k 3 ай бұрын
jamaa anakili nyingi sana wangekuw wachezaj wote wapo hiv tanzania tungekuw na mabilionea weng san
@MsuyaDaudi
@MsuyaDaudi 10 ай бұрын
Nakukubali kaka maixha
@constantinochalle856
@constantinochalle856 Жыл бұрын
Huyu jamaa anatabia kama za ali kiba,,,,life zao ni password
@abedomar5183
@abedomar5183 Жыл бұрын
Yeah kweli kabisa yani same system with Ali Kiba
@omyjy4819
@omyjy4819 Жыл бұрын
Kama kiba
@ibrahimuselemani4076
@ibrahimuselemani4076 Жыл бұрын
Sure kama Alikiba exactly
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ally kiba ana nini labda sehemu zake za s.......... Ndio anazo show off kwa wanawake.
@princekarani7836
@princekarani7836 Жыл бұрын
@@ahmedysaidy9874eheee kumbe,yani unahisi hana kitu🤣🤣🤣
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Kuonesha malizako kwa watu ni ria halafu ni ujinga na usuwahili wasuwahili wanapenda kujionesha
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI KINGWENDU NYUMBANI KWAKE
18:31
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН