Kwa mara ya kwanza toka Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kutajwa kwenye sakata la dawa za kulevya kwenye orodha ya watu 65 ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, leo ameongea akiwa Dodoma.
Пікірлер: 567
@azizyben2817 жыл бұрын
mpk naskia raha mbowe anavyoiishi sheria upo vizuri sana mkuu na your there for the people!!
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Exactly as are really good leadership.
@dominacosmo81637 жыл бұрын
we need ten more people like you
@odoocool97557 жыл бұрын
Domina Cosmo watu hatujui sheria tunakurupuka, hta kama anhusika hajbisha ila sheria zifuatwe. Me nimemuelewa.
@danielromario51837 жыл бұрын
asanteh sana bwana mkubwa mbowe wajinga watakupinga wenye akili watakuunga mkono
Duh,ukijua sheria raha xaana,"nmeamin mwanaume htishiwi nyau" maana pamoja na misukosuko yoote bado Rais anatajwa kua...!!!?? Nmekuelewa Mbowe
@leoniladidas33437 жыл бұрын
CASTROL EZEKIEL k
@celitomclassic50857 жыл бұрын
CASTROL EZEKIEL unakumbuka Manji na Gwajima walivyojitamba ???? unadhan kuna mtu anajua sheria ka Tundu Lissu mbona anaenda na kurudi?? hayo ni maneno tu hata wanasheria wa Manji walibak central jana wameshangaa wakti wenzao wanapandishwa gari...
@pascaljulias60087 жыл бұрын
Thomas Malauri haijarishi mbowe sheria hanaijua na ndio ni raha kujua sheria za nchi so taratibu zikifuatwa za kumuita ndio hatakuja lakini sio kinyonge kama wengine walivyo jipeleka....hata kama wakija kumchukua kimabavu teyari kishaonyesha uwanaume....pia kafungua wengi kua serikali tawala haifuati sheria.....na hakuna asiye pinga madawa ya kulevya.
@pascaljulias60087 жыл бұрын
Absolutely
@selemanilisecamp33497 жыл бұрын
yani inauma sana kubebeshwa mzigo usiyo kuhusu makonda kabeba zigo la misumali kichwani
@brysonvicent82307 жыл бұрын
mh mbowe Mara nyingi huwa simuelew lakin kwa hili nimemwelewa sana. simama imara baba mbowe ✌✌✌✌✌✌✌👏👏👏👏
@mahelamnazaletimahela93174 жыл бұрын
Mbowe uwaga umuelewi kapimwe akili
@samwelmasoya33474 жыл бұрын
P1
@kapolesyaba31337 жыл бұрын
Tangu mwaka 2003 nilpokufahamu, nilkupendezwa na hoja na msimamo wako nikajikuta ninakufollow, mpaka mwaka 2007 nilpokufanya my role model officially, ndivo nitafanya katika maisha yangu yaliyobaki sababu hata ungebadilika vip bado mengi nilojifunza kutoka kwako yamenifanya kuwa hivi; mwananchi muwajibikaji, shujaa, mpenda haki na nchi yangu kwa ujumla. real appreciate u Mh. Mbowe! Hakika wewe ni hazina kwa taifa hili hususan katika kipindi hichi cha transformation into Industrialized country, wanaokubeza acha wafanye hivo ila haitopunguza trust za wengi kwako. Mungu akupe maisha marefu na ubunifu zaidi.
@andrewmlamba7 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa atamuulizaje maswali mbunge!?!Nakatiba yenyewe haimuruhusu.Ngoja jumatatu kibao kimgeukiye yeye atakapo funguliwa mastaka yakumchafuliya sifa Mbowe
@jacquelinemabula25197 жыл бұрын
Mullermba Chusa who is mbunge asiulizwe yeye nani basi nikweli wancho k8fanya na ndiyo shuhuri zao mbowe si yupo dar bado yupo chini ya makonda tu ubunge wake bungeni kila mtu anasehem yake ya kazi rc ndiye anae paswa kujuwa hali ya u salama ndani ya mkoa wake na mienendo ya watu wake ndani ya mkoa aende zake uko huyo mbowe aende police
@ummyissa46227 жыл бұрын
Mullermba Chusa patam haap0
@juliusbivannah98077 жыл бұрын
not
@queenmalikia41727 жыл бұрын
Mlash Chusa makonda Kanyea chupi ya Mtoto wazazi Waja just. ....kimeiva kwako makonda utajibeba kama sio kukimbia nchi
@tikaeddie72847 жыл бұрын
Mlash Chusa juzi manji alifoka jana akaja kulala Aya endeleeni kumsema Makonda ila huyo mbowe hizo sifa zake hazina faida 💃💃
@salmasalim60557 жыл бұрын
mbowe maashaallah nimeipenda spich wako wewe kiboko sulut mkuu
@happybraysoni73737 жыл бұрын
Kweli imechukuwa Muda mrefu kulichukulia hatua hili na waadhirika ni wengi
@Eddo_barbertz7 жыл бұрын
Happy Braysoni kweli
@raphaelraphael45577 жыл бұрын
Happy Braysoni kama dhana ni kuwa kiongozi basi wote wanaongoza watu wakiambiwa wanawachafua wanaowaongoza au
@kamaluhajj34467 жыл бұрын
Millard please ongea na TCRA mtu wetu wa nguvu wasikufungie huku ndo tunapata mambo mazuri
@heriethb.chanafi56447 жыл бұрын
Safi sana! At last sheria zinaanza kutumika huko ziliko andikwa! Ndugu waheshimiwa naomba kujua sheria inayolinda "REPUTATION" ya watoto wetu na vijana wetu ambao wamekuwa mateja! au mashoja au wana VVU kwa kutumia madawa ya kulevya aka mihadarati! na sisi wazazi wao ambao majina yetu yameharibiwa na heshima zetu kushuka katika jamii kwa kigezo cha kushindwa kulea watoto wetu hadi wamekuwa mateja! au mashoga au wana virusi vya ukimwi kwa kuchangia mabomba ya kujidunga madawa! Wakati sasa umefika nataka kufungua mashtaka ya "DEFORMATION" kwa wauza unga lakini sijui "PROCEDURE" nisije kosea katika kuitafuta haki!
@kebo21557 жыл бұрын
safi sana ...nchi hii imekosa adabu... muulize mjumbe wako wa shina ataweza kukusaidia kidogo kuhusu procedure...
@lulumariethk73857 жыл бұрын
Herieth B. Chanafi great point about kufungua mashitaka! I would advise uende kumuona mwanasheria binafsi au hata ustawi wa jamii kama una evidence kua kijana wako ni mwathirika. Kwanini nimesema ustawi wa jamii? It's because wanatakiwa kushughulikia social welfare (hili neno sijui ni nini kwa Kiswahili) ya wananchi!
@AnkoJJ7 жыл бұрын
Social welfare kwa kiswahili ni Ustawi wa jamii
@officialmologa7 жыл бұрын
Herieth B. Chanafi nguvu tutapata wapi na sisi ni vijana ambao status zetu ni poor unafikr tutafka mahali kudai haki au tutazimwa kama mshumaa
@jacquelinemabula25197 жыл бұрын
Herieth B. Chanafi 👏👏👏nice sister
@fundikiller78847 жыл бұрын
MBOWE YOUR GREAT MAN
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Safi sana Tanzania watu wanapelekwa pelekwa tu atleast u can stand for the rest
wazo la makonda ni zuri lakini approaching yake sio nzuri. unapoongelea madawa ya kulevya inaleta picha mmbaya kwenye fikra za mwanadamu ndani ya jamii, Kuna watu walikuwa na mapenzi na nchi yao lakini kuharibu jina la mtu anaeaminika na watu mia nyuma makonda lazima aelewe anakosea. mtu anayauza mkamate na kete zake mpeleke mahakamani sio kusikia maneno watu wanamtajia tuu majina anaandika hata spelling zenyewe anakosea. well said Mr mbowe I myself support you completely
@dvjtwentyfivedecember43987 жыл бұрын
unajisumbua tu cha msingi fika kituoni katoe maelezo, acha maneno mengi kiongozi itikia wito, ufanyiwe uchunguzi basi.
@hassanovajunior30067 жыл бұрын
Dvjtwentyfive December afike tu kujieleza ni kwa sirro sio hapa
@lyimoaikamber21597 жыл бұрын
Hassanova junior ww umefanyiwa uchuzi
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
#Dvjtwentyfive December 😂😂😂😂😂
@shuwehaomar66587 жыл бұрын
Dvjtwentyfive December hunaakili
@emariusrush77047 жыл бұрын
Dvjtwentyfive December kuma nyoko,aende police bili samasi????
@janenatales83507 жыл бұрын
. Safiiiiii kamanda.... Huyo kajipalia makaa ya moto na atajuta Sanaa
@atheistblood85687 жыл бұрын
mbowe oyeeeeee oyeeeeee
@meddyyassin47417 жыл бұрын
thank u mbowe,, that's why I love law,, cz it makes me aware of my rights
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
wallah laadhm nakuwa very interested ninapopata updates za nchi yangu niko mbal lkn millad unanifany kam niko tz hongera sana kak mwenyezmung azid kukulinda uzid kutuhabarisha kuhus nchi yetu shukran
@fatumafundi44107 жыл бұрын
Jaman mbn maneno meng
@hassanihussein44797 жыл бұрын
uxjl na mim itakuwa nakupa habar
@noxlosingida23697 жыл бұрын
+Hassani Hussein Ha ha ha acha ni cheke mie
@neemahussein49577 жыл бұрын
افلح السريرس umeonaee
@josephlugala20357 жыл бұрын
ONE DAY WE WILL UNDERSTAND THE TRUTH LETS BE PATIENT
@khalidkassim97827 жыл бұрын
Mbowe your the man mfunguliye mashtaka huyo makonda no one has to be above the law
@adenwarsame73577 жыл бұрын
Mbowe Umetisha Mkuu😂😂😂😂😂😂
@allangodbless15667 жыл бұрын
limekua jambo la busara mh Mbowe kutoa maelezo hayo maana nilisikitishwa na kauli ya bwana yule akituzalilisha wananchi wa jimbo la HAI kuwa kiongoz wetu ni muuza unga;Uongoz ni hekima siyo masifa na unafik
@jacksonkoligo81647 жыл бұрын
gombea urais 2020 utusaidie mh mbowe ...big up sana ni kiongozi ambaye una vision na siyoni mwingine wa kukukaribia,,,,hongera sana mbowe
@OmarAli-wr1ti7 жыл бұрын
Yani uyu Mbowe pekeake ndio amefanya maamuzi Bora kuliko wote
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Yeah.
@robathzingu16504 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana Mh. Mbowe. You are really a leader...
@kitonekantasha16877 жыл бұрын
vimba baba nimekuelewa kiundan sana.... MAKONDA kafanya kosa kubwa BINAF... hatakama tunataka liishe hili JANGA ila kiukweli kafanya makosa twendeni nyuma twende.mbele... kama utakuwa umemuelewa MBOWE kwenye mada za mwisho mwisho kabisa.... utakuwa wee sio waanchi hii yakibongo utakuwa umetembea tembea nje.
@juliusuronu88127 жыл бұрын
Mbowe leo umeongea kibaba.....Yan Makonda akiona haka kavideo lazima moyo umdunde kwanza maana hata aliyoongea Manji sio makali hivi...Shikamoo baba mbowe
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
Julius URONU hahaha haha mm ngoja nicheke
@gustaphmlyandi70457 жыл бұрын
@godmanbuchocho26085 жыл бұрын
Ww ni baba sisi wanao tuonyeshe njia salama ili hali tuwe na uhuru katika nchi yetu
@maxzitatu16177 жыл бұрын
Najivunia Kuwa Mwana Chadema, Tuna Viongozi Wana Akili Sana
@tikaeddie72847 жыл бұрын
kwani kasema unadeal na madawa ya kulevya??? hebu nenda central, hapo sio central 💃💃💃
@petersanga41677 жыл бұрын
Tika Nyalusi unaakili wewe
@mathewmselle73317 жыл бұрын
Tika Nyalusi sikiliza anachokiongea acha kushabikia ujinga
@tikaeddie72847 жыл бұрын
Nimesikia,nimeelewa ndo maana nime comment alafu reflect alichosema Makonda upo....
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
#Tika Nyalusi 😀😀😀😀
@anodnjenje90847 жыл бұрын
Tika ndo wale wale wasiolewaga mwalimu wako alipata shida kukufundisha
wacha sheria iongee R.I.P makonda you messed up big time 😎 madawa ya kulevya na sifa wap na wap?
@anodnjenje90847 жыл бұрын
Nellxo xoxo hahahaaa
@mwasitiomtima28187 жыл бұрын
tunapoangalia muvii kuona vitu flan huhu Leo yanatokea Tz yaan maisha yamekua kama muvi yaan, things are getting interesting wallah , hya let wait & see
@jacquelinemabula25197 жыл бұрын
mbowe iyo sio kificho kwani watanzania wanaelewa kuhusu wewe
@godlistenkimario89567 жыл бұрын
jacqueline mabula kuhusu ww wanaelewa nn
@cavoo4get6497 жыл бұрын
jacqueline mabula unaelewa nini kuhusu yeye? itabidi uisaidie jamuhuri kama unaelewa.
@johnfrancis18267 жыл бұрын
jacqueline mabula unaeza ukaitwa kuulizwa nn unakijua kuhusu yeye na huna ushaidi wowote pimbi ww
@juliusuronu88127 жыл бұрын
Haka ka jacqueline mkasamehe bure maana mimi naona kana ropoko kama kamekula pombe ya machicha nyie kaacheni Central sio mbali
Can't wait for next episode... need to get some popcorn too
@jumakhjuma53197 жыл бұрын
Hatutoi Kiki Kiboya boya tyu....Congrats Uncle #mbowe #freeman na jina lako lenyewe ni Freeman....alafu no Buddy is above the law...umeongea jambo
@sifacycy_bby88277 жыл бұрын
Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......👏👏👏
@kigambontv97487 жыл бұрын
Eti mjinga mmoja tu Mbowe bhana eti hivi Leo Makonda anaweza kunilipa leo hahahaaaa acha ISIDINGO iendelee
@odoocool97557 жыл бұрын
Nimekuelewa Sasa. siasa sio za kukurupukia. hahahahahhaah Mbowe kaza babaa we sio mtu waspotspot
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
jmn nilikuwa nina ham ya kukuckia mbowe kuhus hii inshu nimehuzunika kuckia umetajwa ktk orodha hiyo coz ww ni kiongoz wangu ninaependa kukufuatilia sana hasa ukiwa bungen
@leoniladidas33437 жыл бұрын
umesikitika kutajwa Mbowe...basi hata baba yako kama anahusika atatajwa tu... movie ndio kwanza mbichi....tetetetete!
@tikaeddie72847 жыл бұрын
unapenda vijana waangamie eh 💃💃💃
@zachariadidas93877 жыл бұрын
msenge leonila
@noxlosingida23697 жыл бұрын
+Leonila didas ha ha ha umemsahau mke wake atajwe tu
@judithlaizero3567 жыл бұрын
افلح السريرس mmm
@officialmbeyaone35727 жыл бұрын
mh mbowe umeongea hizulisaana
@daybrelimite70397 жыл бұрын
That's great facts, Mr Mbowe!
@allymapinda88047 жыл бұрын
Makonda alipokua mkuu wa wilaya nilikua namkubali sana hata baada ya kupewa ukuu wa mkoa siku zile za mwanzo mwanzo. Ila kwa hii ishu ya madawa ya kulevya hapo amechemsha sana, kama mkuu wa mkoa hana madaraka ya kuwaita watu kwa style hiyo kwa kuhisi tu au kusikia kwamba fulani anawezekana anatumia au anauza. hilo pekee ni kosa. Mbowe anaifahamu sana sheria na hata kwa wale vichwa maji watakua ameelewa ni jinsi gani Makonda amechemsha!
@sulaimsameer26687 жыл бұрын
Asante Baba....Who a you to point people wanauza madawa ya Kulevya ..... Waonea hao hawajui sheria
@isaacgwams80807 жыл бұрын
saafi sana mbowe huyo jamaa anyoshwee kinidhamu maana bado mchanga sana na anajikuta yupo juu ya sheria ili aonekane mwema
@deonisamedeus96957 жыл бұрын
Mheshimiwa upo sahihi kabisa jamaa anaharibu ushahidi.
@bernadisabas29427 жыл бұрын
kwakuongea point unatisha mzeee big up tusikubali kukaliwa kizembe 😁😁😁
@markgaitan60357 жыл бұрын
hahahah😂😂😂 kayakanyaga kw watoto wa mjin xaxa jasho lazma limtoke👊👊👊🙆🙆🙆
@ramadhanikazimoto30527 жыл бұрын
safi mbowe ndio maana huwa nakukubali sana unajielewa sana we mzee
@danfordmujaki25527 жыл бұрын
DAH IMENIUMA SANAA....!!!!!!!!!! POLE SANA MH MBOWE NAKUELEWA SANAAA
@noxlosingida23697 жыл бұрын
Asante kwa kufunguka vizuri sana mm nimekuekewa big up
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Safi sana kwa pamoja mpaka ikulu wenye kuuza madawa ya kulevya anajulikana ni yule aliyemsema kwamba yeye sio makonda ni (Bashite) yeye ndio anayefanya biashara ya madawa ya kulevya cocain hata taarifa hiyo aliwahi kupewa na kuisema Rais mstafu (kikwete).
@priscaabraham38337 жыл бұрын
kiukweli mbowe umeongea sahihi kabisa huyu konda amewakosea sana
@amadsabimbona25537 жыл бұрын
amewakosea sanaaaa manda uwe hatabu utasama tanzania imekuwa yake
@ellymaduhu86687 жыл бұрын
huyu jamaa anajua kujieleza balaa ukifanya yako hujajipanga anakuumbua. and he is smart na mwerevu
athanas elisha !! usijukuwe hilijambo lamadawa yakulevi ni jambo lamcheo, hata makonde anahatarisha maisha yake, utaratibu uko wakufanyiko kwa siri .from kenya
@shakourmwinyimvua72097 жыл бұрын
ukijua sheria hautaendeshwa big up mbowe
@babah55987 жыл бұрын
Ndo maana tukakupa jimbo la hai mh mbowe,busara zako ndo zimekufikisha hapa!!wewe ni jasiri sana na unasimamia unachokiamn daima!!sheria zifatwe!!siyo ukurupukaji tu #nodrugs
@abirack92457 жыл бұрын
Hayo kayaeleze panapohusika sio kutupotezea muda
@Lee748067 жыл бұрын
Your updates are really good young man. Do something about repeating the same advert.
@shakilamasoud89797 жыл бұрын
kumbe ushirikiano utatoa......safi sana. punguza hasira baba
@malkoashaali54307 жыл бұрын
LOVE IS MAN SO TRUE
@odoocool97557 жыл бұрын
jah bless Ayo, nakukubali kinomaaaa anii now najua movie inavyoenda
@Justin_Dickson7 жыл бұрын
Thanx for good logic
@athanaselisha16177 жыл бұрын
Mbowe kitaeleweka ukishahojiwa huko ndani!!!!we are watching the movie.
@masaithedon48187 жыл бұрын
Asante Kamanda Mbowe thx Kaka tena
@bahatidan47517 жыл бұрын
True said sir... MP Mbowe..The Rc needs leadership training...and to be impeached now n sue him for defamation standard...Magufuli needs another mkuu WA mkoa na Makonda awe ana deal na madawa ya kulevya with the police tu....Period.. And while at it ...he can go get a law degree ...CAPISH
@isayamerickiorywille68814 жыл бұрын
Mh mbowe hongera sana mungu akulinde
@seifmassoud26867 жыл бұрын
Tuombe kheir na lengo lilokusudiwa likiwa ni zuri lifanikiwe na watu wasigombane warekebishane tukae chini pamoja tujenge maadili yetu mana hayo madawa yameshaimaliza jamii..
@phyniacerungu53687 жыл бұрын
duuuuuu......picha limenoga
@queenlatiphamushi95547 жыл бұрын
no body is above the law.... tanzania is democratic country... mbowe nimekuelewa kabisa hata bila elimu ya darasani
@khalfanhamisi82157 жыл бұрын
Big up sana mp mwenye akili zakuona mbali
@jescajoseph21297 жыл бұрын
mbowe big up mkuu umeongea vizur sana
@vanscauz65137 жыл бұрын
mbowe baba wahambie hukweriii hao ccm natunawasubiri mwaka 2020 tuone uyo magufulii hatakuja na Sera ganiii yanii mwenyezi mungu hatuweke mpaka sikuiyooo yanii mbona wataipendaaa
@idreamfoto7 жыл бұрын
For The First Time, Nimekuelewa Sana Mheshimiwa, Umeongea FACTS ✌🏽
@franklawrence95127 жыл бұрын
kwa kuwa ni mtuhumiwa haimaanishi waweza kumdharilisha, take imagine mtuhumiwa akakosa hatia how will you apology to him? aisee namuunga mkono Makonda kwa vita hii ila c kwa style hii, inajulikana waTZ tunapenda kuckia zaidi kuliko vitendo we are failing
@mariamisuja62567 жыл бұрын
Hapo bado sijakubaliana na huyu Kiumbe.Makonda bado yuko sahihi. sisi binadamu hatuoni kama Mungu huko ni kutafuta kujiona mwema mbele yetu. Awadanganye hao hao waliosimama nyuma yake.Makonda yasikutishe haya mawatu yenye maumbo na maneno mengi. Nakuombea sana na nakupenda kwa kila ufanyalo. Fanya kazi kaka yangu.
@wilfredmmbando689 Жыл бұрын
Mmmmh akili za kimalaya malaya
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Yaan Makonda alikuwa mtu wa ajabu sana alitaka sifa tu si kingine
@lorrainegalado5167 жыл бұрын
I love him... yan uyu baba mungu akueke
@amankajuna50647 жыл бұрын
Mbowe sema yote kiongozi wangu lakini kumbuka kureport police
@graceopudo1397 жыл бұрын
safi sana, sheria ifuate mkondo wake.
@sifacycy_bby88277 жыл бұрын
Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......
@mohamedabdallah41017 жыл бұрын
Hii series si ya mchezo mchezo!!! Makonda he can stand he is strong
@georgebongi48442 жыл бұрын
Pumbavu.
@andrewasagwile71627 жыл бұрын
Kwa kweli mbowe mimi mwenyewe siamini km kweli unajihusisha na madawa ya kulevya lkn kwa sababu umetajwa jina basi subiri taratibu za kisheria ukaripoti kituo cha polisi
@azizfatawi20437 жыл бұрын
makonda kakalia msumari wa moto kwenye matko kuuchoma maumivu ukiendlea kuukalia maumivu m........nd unachanka kazi atajuta kujitia kiherehere.
@qwara78537 жыл бұрын
we need more leaders like you mbowe
@jacksonmodaha15907 жыл бұрын
mboye noma mungu atutoe kwenye uungu huo wa ccm
@omarysai29117 жыл бұрын
Mh.mbowe kula nae sahani moja uyo
@dominicwilliam347 жыл бұрын
pale unachokoza moto na unakuwakia sasa ni mfumo wa kisheria kutumiaka
@anodnjenje90847 жыл бұрын
dominic william hahahaaa nami naona
@ibrahimsaid11287 жыл бұрын
Ahsante kwa busara zao Freeman mbowe
@seebrizzy84597 жыл бұрын
huko aliko ingia sasa kamshika simba makalioo Ange wagusa wasanii tuu hawa wazee Wa kazi ange waacha analo hilo
@f.a60432 жыл бұрын
Mh Mbowe your really genuine
@adaherikweyunga95977 жыл бұрын
nmemuelewa sana huyu bwana mkubwa
@adismas6657 жыл бұрын
WELL SAID ..I'VE EVER HEAR ✔✔
@esterdaniel15744 жыл бұрын
mnampamba mbowe ataweza?au anataka Kes zake ziongezeke maana wakimpa mamlaka mbowe wamekaribisha matusi nchini dhidi ya viongozi wetu
@hechechacha40327 жыл бұрын
yaani ni uhasama tu WA kuchafua watu kwa hisia zisizo na tija Hakuna mwenye mkataba na mungu kuwa kesho atakuwepo kujitahidi kuchafua watu kwa kuegemea MATUKIO kumbe mna wana dhamira zao za ndani ni kumkasirisha hata Mungu wetu mh mbowe usitetereke songa mbele