Kavumilia mengi sana huyu dada Acha tu..wazeeke kwa neema
@user-dx6dm6lh1i14 күн бұрын
Wanawake wamekosa hya na kujishusha thamani subhanallah Allah awaongoze.
@ummymuya.20605 күн бұрын
Ameen!
@ndukulusudikucho_14 күн бұрын
Ibilis akitaka kuangamiza mji au familia hupitia kwa Mwanamke, waeza kataza jambo kwa Mkeo lakini akawa analirudia kila mara masikioni mwako mwisho unamkubalia, huwezi acha kuimba taarafu alafu Mkeo bado mwimbaji ngumu
@sadikjuma551912 күн бұрын
Much love from 254🇰🇪❤️✨... Ila mwaka wa 2004 hadi sasa ni miaka 20 not 24.
Mhhh mzee yusuf hata kucha umechonga bado nn kwako ushanga na kipini tu
@faridapandu757913 күн бұрын
😂😂😂😂❤❤❤ asant dazai nakuona kijiwenongwa
@user-sj3wf5vz7l2 күн бұрын
Mie huyu mwimbaji yusuph kaniudhi kumkataa mtoto wake ambaye anafanana naye. Sitaki hata kumwona
@user-lt1bi5nr1x14 күн бұрын
Nampenda sana raila hana mambo mengi maashaallah
@salimsoyo811814 күн бұрын
Raila tena ??ilo jina la mwanasiasa kenya
@salimsoyo811814 күн бұрын
Ni leila
@Fondo010 күн бұрын
Raila ni mtu wetu wa maana uku Kenya
@AllyhHassani8 күн бұрын
Mmechoka sana hamna jipya tena bora muurudie muumba wenu tu
@user-bc3lh5ss6c8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂@@salimsoyo8118
@ZainaFatma11 күн бұрын
Mmesaulika sana bora mungee kaa kimyaa tu watu wazima hovyo😂😂😂
@GreysonMdee-wm8tn14 күн бұрын
Yaani ndo wamekuja kuangalia hiki nilichokiona mwisho wa interview au, kesho utasikia wanawake wanalia hawathaminiwi
@aaa64sa1314 күн бұрын
😂😂😂😂❤🎉
@pesaspy_tv14 күн бұрын
Inaonekana mzee Yusuphu anapenda nazi sana 😂😂😂😂 kila kitu nazi
@zehrahaji156612 күн бұрын
😁😁😁😁😁
@wemaMichael-fr4th14 күн бұрын
huyu nae kuhoji hajui
@paulmushi242813 күн бұрын
Hawa wote Wanawake wa Kiislamu, Masheikh hapo kimyaa!
@mussamgonola398312 күн бұрын
Masheikh unawaonea hawana pepo ya kumpa wala Moto hivo hayo ni maisha yao , mwenyezi Mungu mwenyewe ndo anaehukumu ! Dunia tamu ndugu yangu we Acha Tu hasa ukiifuata sema tuombe mwisho mwema
@josephlorri4316 күн бұрын
Wakati wa ule mwezi wa Ramadan panakuwa kimya,bar zimetulia,kumbi za starehe kama makanisa..hata kitimoto haina wateja
@AsdDsa-fi5qk14 күн бұрын
Mapete ya nn mwnamme
@muhammadjuma84578 күн бұрын
Mwanamme kuvaa pete sio kosa ila kwa ayo mengine siyaungi mkono
@user-qe3fs1xc3b11 күн бұрын
Eeh !wee mzee ayo mapete mapaka madole gumba..umejua km C muislam !? Duh!?
@babajay344514 күн бұрын
Karudi mjini
@marselinarweyemamu403414 күн бұрын
Mbona umemkimbiza mwandishi jamni swali zr tu
@muhammadjuma84578 күн бұрын
MZEE KAMPA CHATI ZAIDI MKEWE NDO AKAKATISHA MAHOJIANO