Kiba kaubalance mzan vzr Sana asinge fungua midia baadhi ya watu wange endelea kumbeza kw kiasi kikubwa now you now king is powerful ✊😍:
@salumabdallah299012 күн бұрын
Kipindi hana media walimzihaki sana wachafuni😂
@noahmbaru911712 күн бұрын
Point
@KhamisAli-fx6wk11 күн бұрын
Sw
@KhamisAli-fx6wk11 күн бұрын
Noma
@DuniaKalenga-hr2lz12 күн бұрын
Huyu Jamaa anamajina mengi sana ,yeye ni kiba,kipusa,yebaba,king,crown,salute bro
@idrisashelimo30711 күн бұрын
Hongera sn my brother King kiba wakati wa mungu ndio sahihi snaaaaaaaa mkuuu wa kazi
@sonnyr189912 күн бұрын
King sasa kheri zinamiminika ndugu funga buti kabisa brother. Ongera sana kaka.
@candy996911 күн бұрын
MashaAllah Allah Azidi kukufungulia milango ya kheer InshaAllah
@FredrickMatiku-xf2uk12 күн бұрын
Huyu jamaaaa slow slow but sure wakati wa mungu ndio sahihi tumsubiri na harmonize
@user-eu3xx5kn1w12 күн бұрын
Ally kiba anajiheshim sana na nimsikivu pia ❤❤❤❤king kiba👑
@benedictomb12 күн бұрын
Tufanye kazi zaidi king❤❤❤
@stevenckanumba712 күн бұрын
Congratulations to King kiba ❤️❤️💪💪
@JayJay-js6yx12 күн бұрын
hii ending tune umeipatia sana sky......I believe the sky is truly the limit for u brother, keep it up.
@HidayaKarim-wy9yc11 күн бұрын
King kiba 💯👑👌🙏
@Sidrasidra63612 күн бұрын
Kidogo niseme alikuwa ana subiri nini 😂nika kumbuka kama kila kitu kina wakati wacho ama awake😊
@yusufulimo573712 күн бұрын
Now you know king is powerful
@WahuBoth12 күн бұрын
Asikatae na makampun ya bia biashara n biashara tu My King KIBA you can you know❤❤❤❤❤
@jasmineeomary204112 күн бұрын
Try bia lazima unywe sasa yy hanywi
@alexissaya938512 күн бұрын
Hivi wenzqngu mnawezaje kujua kama anakunywa au hanyw
@albertkatuga243411 күн бұрын
Kwa hapo hawezi kila mtu ana matakwa yake, haimaanishi kwamba pombe, sigara, na beating ndio vitu muhimu sio kila zambi uifanye shika ilo
@Aaaliyahh10512 күн бұрын
Hongera kiba 🎉
@omaryluambano349510 күн бұрын
Kingkiba salute
@HusseninMoreirajr12 күн бұрын
King 👑👑👑👑👑🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@tuikezeezra131512 күн бұрын
Mwijaku Sasa yeye anavaibu mda wote,!!! Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@RehemaJustine-co2kp12 күн бұрын
Naomba mwenye kujua jina la wimbo,unaimbwa mwishoni mwa habari hii,naupenda sana tafadhali! 🙏
@YusuphOsman12 күн бұрын
Wimbo wa sns unaitw It's the buzz you need
@surusuru199412 күн бұрын
Masha Allah❤🇹🇿🤗
@l.m.a.757012 күн бұрын
Hongera kiba
@allymtunge553012 күн бұрын
Mfalume ni mmoja adi afe
@kwisa489912 күн бұрын
Hii Radio na TV itakua Tishio
@rajimuashirafa826511 күн бұрын
Kiba ni billionaire kwasasa
@sergebaleke69512 күн бұрын
Mwijaku bhana 😂 anyway congratulations Ali Kiba 👏
@LidiaArmiya12 күн бұрын
Wow I am love ❤️ ❤️ Ali
@Mariam-fm8vq12 күн бұрын
Alhamdhulillah Allah kareem anafungua zaidi King kiba ❤❤❤😊
@Sampovoice808812 күн бұрын
Kiba hana pupa anajielewa sana
@baysadam23512 күн бұрын
Mashallah 🙏🙏🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@Dottomagarii12 күн бұрын
Sawa king kiba
@sophyali884012 күн бұрын
Mabroook ❤❤❤❤❤
@trendz_254811 күн бұрын
Congratulations from Kenya
@MuniraShughuli-kc7vj12 күн бұрын
Alhamdhulillah 🤲
@EdwinAugustine-up5kd12 күн бұрын
Mwijaku noma sana
@lisawilliam249112 күн бұрын
Go kiba 👍
@ninjaisma798312 күн бұрын
Mashaallah
@user-kh7bc4js1m12 күн бұрын
Bba keyan
@chancelebishopofficial278512 күн бұрын
Ila mwijaku apewe mauwa yake kama chawa 😂😂😂
@user-rd3nh3ho8q12 күн бұрын
😂
@seifmohamed33039 күн бұрын
thanks stanbic is the bank
@saumumsomali4859 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤pongezi kwake
@khadija576112 күн бұрын
Mashaalla
@ModextaModexta-on7mi11 күн бұрын
😊❤❤❤❤💪💪🤲🤲🤲
@muharamimwalie975312 күн бұрын
King
@Legends_Interviews12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤
@neemayatosha161811 күн бұрын
Ila Ally is handsome jamani ,alafu yaani hana yale mauchafu uchafu sijui hereni,tattoo,mirasta kichwani. Weee,yaani akifika ukweni hawatoamini ni mbongo fleva😂,sema anaonekana jeuri hatari.........
@vivy254912 күн бұрын
Sns there is this trending story about Mercy johnson an actress from Nigeria, kindly why don't you highlight it
@SimuliziNaSauti12 күн бұрын
What is it about Vivy?
@vivy254912 күн бұрын
@@SimuliziNaSauti it's about her being criticizing by her fellow actresses
@thethengomba35512 күн бұрын
LOL 🤣😂🤣this comment explains why Africa still has problems
@bachirncadebachir709912 күн бұрын
its not a big contet,thus, there is no need . we're busy with our internal issues 1st.
@neemapaul325712 күн бұрын
nyie Ally🎉🥰
@muharamimwalie975312 күн бұрын
Fact
@emilioadremaneadremane270612 күн бұрын
King king
@kennedymatiko683012 күн бұрын
#kingkiba
@mdbosco164012 күн бұрын
❤❤
@neemachacha12012 күн бұрын
Harmonize kazi yake ni Bangi na Hakuna Brand inaweza kukupa Deal kama Inakuona umekaa kama Dishi, imagine alipewa deal na Kampuni ya Sigara ikamshinda.
@MajutoElliasi11 күн бұрын
Si harmo kahanza juzi husani iwe mara hii yuko porepore
@muksinimbaruku123311 күн бұрын
Watu mnachuki sana na Harmonize, sasa kila mtu afungue media na ukizngatia katoka juzi tu kimzki. Mpka una anza ku-compare with, its means ameupga mwingi na Bhangi zake
@hassanplan.b781512 күн бұрын
Iyo midia nia salim kikeke nakupa iyo ishi nayo
@maryamudunga109412 күн бұрын
Kwahiyo unatakaje 😅mtoto wakiume embu fungua naww kama rahisi
@user-tm6gv9kp7v12 күн бұрын
Ata km ni Yako lakini ishazdi kumtengenezea jina na keshalamba karata ww endlea kulala 😂😂😂😂😂😂
@isayamsisika625512 күн бұрын
Tupe evidence kwamba ni ya kikeke, kama huna evidence just shut up ua fucken mouth. Cc tunajua ni ya Kiba na kikeke mfanyakazi kama kina Pablo na dulla
@MtuSafi12 күн бұрын
Kwa akili yako kikeke angeamua kutumia jina lake unafikiri isingetrend?..Ok kwahyo kafungua radio kwa jina la Ally halafu akasaini kama mtangazaji?..Haya tufanye ya kikeke hivi huoni kama mwanaume mwenzio anapiga pesa hapo point yako ni nini labda?..
@user-ts6fh4si3m12 күн бұрын
Ina maana KIKEKE hana jina nani asiyemfahaum mpaka amtumie KIBA...? ok, nisema hivi all in all ya baba levo, tukate mzizi wa fitina radio sio ya KIBA ni ya KIKEKE .. Unakoelekea utaliwa wewe kodi ya nyumba imeisha Lazaro.