UONGOZI WA DKT. SAMIA KUTIKISWA NDANI YA CHAMA!! ROLINGA ATABIRI 2024 na 2025

  Рет қаралды 83,862

Haleluya Tv

Haleluya Tv

6 ай бұрын

#HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN
Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Haleluya APP : play.google.com/store/apps/de...
Facebook : / prophetrolinga
Instagram : / prophetrolinga
KZbin : / haleluyatv
Audiomack : audiomack.com/prophetrolinga

Пікірлер: 100
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤Mungu ni mwema anajibu kwa wakati wake
@raulianraphael6853
@raulianraphael6853 6 ай бұрын
Asante Prophet. Ila jitahidi kumtafuta mkarimani atakeweza kuendana na speed ya kuhubiri kwako Dada yupo vzr ila speed n ndogo ko kuna ujumbe mda mwingne haufiki sawasawa kwa wafuatiliaji wa Mitandaoni
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 6 ай бұрын
Kupitia ujumbe huu Eeh Mungu mpiganie mama yetu, aipatwe na majaribu haya shetani asipate nafasi katika jina la Yesu
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 6 ай бұрын
Najaribu kuwaza kuhusiana na comment hii ila kumbukumbu zinanirudisha nyuma kwenye mkataba wa bandari zetu na dp afu nabaki dilemma😢.
@martinndunguru6358
@martinndunguru6358 5 ай бұрын
Mama asipatwe na matatizo, kisha Mungu aweke MTU anaemtaka kwenye kiti. Mapenzi ya MUNGU yaendelee kutimizwa sawasawa na mapenzi yake 🤝
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 4 ай бұрын
Mungu tuondolee utawala huu dhalimu eee Mungu twakuomba
@gamc773
@gamc773 3 ай бұрын
Isue mama yeye alimsaliti magufuli ndio na yeye wana msaliti kwasababu apandae mahindi atavuna mahindi 😊
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 2 ай бұрын
Mama yenu wewe na nani?acha upumbavu wewe
@AyubuKikoti-gu5mb
@AyubuKikoti-gu5mb 6 ай бұрын
Nakuamini sana,nabiii
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 6 ай бұрын
Mh,huu unabii mtizamo!
@SamsonDaniel-vo4dj
@SamsonDaniel-vo4dj 4 ай бұрын
YESU tusaidie
@lilyjones3584
@lilyjones3584 5 ай бұрын
Jamani jamani mimi siyo mwanasiasa! Hii awamu ya sita imepewa namba kabla ya muda wake. Raisi aliyepo madarakani kwa sasa yupo kwenye nafasi hiyo kwa mujibu wa katiba yetu, yupo kumalizia awamu ya tano. Awamu hii ya kumalizia muda ikishapita, ndiyo tutaingia kwenye awamu ya sita. Rais aliyopo madarakani, anaweza kutangaza nia ya kugombea urais 2025 pamoja na wengine ndani ya chama chao ambao watakuwa wamekidhi vigezo. Mchakato huu ukifuatwa, hayo machafuko yatatoka wapi? LAKINI kwa kutaka kuingiza goli la mkono, tutahitaji maombi tupate msaada kutoka kwa Mungu. Kibinadamu na uroho wa madaraka kuna hiyo hatari ya kugeukana na kuchunana ngozi.
@user-ob4yx3zg4d
@user-ob4yx3zg4d 6 ай бұрын
Jesus
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 5 ай бұрын
God help Tanzania
@user-lk8ws3fz9x
@user-lk8ws3fz9x 6 ай бұрын
Rollinga ubarikiwe
@AgnesMgina-ud6ho
@AgnesMgina-ud6ho 5 ай бұрын
Tumwachie mungu
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
HIYO NDO TANZANIA. HAKUNAGA UAMINIFU KABISA.
@paulmichael6100
@paulmichael6100 6 ай бұрын
Nabii uko sahihi kabisa hata mimi niliona watu tunakimbia kimbia ovyo kutakuwa na vurugu sana uchaguzi utakuwa na vurugu watu watakufa wengi sana
@user-xb5td1jl3u
@user-xb5td1jl3u 22 күн бұрын
Isaya 7:7-10! Nyuma ya kuanguka kwa CCM yuko Mwenyezi Mungu wala sio vyama vya upinzani…
@Shalom803
@Shalom803 6 ай бұрын
Let it be in the name of Yeshua❤😂❤😂😅❤😂❤😂
@rosemkeleja7768
@rosemkeleja7768 4 ай бұрын
Kumwombea Raise ,siyo Mama
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 6 ай бұрын
Watumishi tufunge kumwombea mama haya majaribu yapitie mbali, na Malaika wa Mungu waingilie kati na kumfunika mama yetu kwa lolote baya lisimpate katika jina la Yesu
@luciamsabi1131
@luciamsabi1131 6 ай бұрын
Amina
@iqlizerisack217
@iqlizerisack217 6 ай бұрын
Usitusemee wengine
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 6 ай бұрын
Funga mwenyewe
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 4 ай бұрын
Ili aje auze na vingine vilivyobaki ?
@neemamwakasape1630
@neemamwakasape1630 6 ай бұрын
Mungu atusaidie😢
@brownmtofole
@brownmtofole 6 ай бұрын
Maovu na udhalimu yakizidi,Mungu anakosa uvumilivu
@lidyagallu5528
@lidyagallu5528 6 ай бұрын
Yupo Danieli ndaniya Taifa letu la Tanzania.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 ай бұрын
Wameshaanza kuumizana
@jaypmunyamaofficial3488
@jaypmunyamaofficial3488 6 ай бұрын
Huyu jamaa mkweli sana huwezi kumuelewa lakini utabili wa huyu jamaa ni mkubwa sana
@neemaolotu955
@neemaolotu955 6 ай бұрын
Huu waya I have iæ all
@chulelubella2819
@chulelubella2819 5 ай бұрын
Wewe umejuaje
@maswamills3161
@maswamills3161 6 ай бұрын
Acha iwe hivyo.Tumechoka.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 ай бұрын
Wavutane,washatuchosha kwakweli,waumizane Yesu aingilie kati
@user-nz9eb4ud6y
@user-nz9eb4ud6y 6 ай бұрын
Mapenzi ya Mungu yatimizwe
@kobylwaho3191
@kobylwaho3191 5 ай бұрын
wango'ane hata macho tushawachoka sis😊
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 5 ай бұрын
Always rushwa ipo kwenye uchaguzi Tanzania
@user-uf1ou9cl7j
@user-uf1ou9cl7j 4 ай бұрын
Baba unapatikana wap coz ww ni nmweli mno na umekuwa mwalimu wangu kiunabii !!
@rebeccabayo2988
@rebeccabayo2988 5 ай бұрын
Mungu tupe mtu sahihi maana sisi hatuelesi hii serikali na utuepushe na mabaya yaonekanayo ktk utabiri timiza mapenzi Yako tu mungu si yetu tupe mtu anayejali utu asiyeleta uonevu Kwa mtu wa chini Wala wa juu
@BravidaOslo
@BravidaOslo 5 ай бұрын
Rais Samia kibaraka cha wazungu hapo ndipo alipo haribu. Mali za tanzania anawapa wazungu kuliko wananchi wake. Wananchi wanapata tapu na makodi lakini wazungu wakula Mali zahabu madini,bila ya kuilipa tanzania kwa haki kwasababu ya rais wetu
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 5 ай бұрын
Ata mimi namuogopa sana kwa utabili wake
@msafiriomary893
@msafiriomary893 6 ай бұрын
Sound hzo
@SilasiPole-ll9yp
@SilasiPole-ll9yp 3 ай бұрын
Tuombe sana
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 ай бұрын
Hawa ni waongo sana . Anachokiongea kila mmoja anakiona . Mungu wa wapi anayekwambia wewe ? Haya yanaonekana sio mambo ya kuona
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d 5 ай бұрын
Atapita tu
@florencemeza6540
@florencemeza6540 6 ай бұрын
Atolewe tu masikini tunataabika
@saalim5401
@saalim5401 2 ай бұрын
Acheni kicks nyie nimizimu tu kila mtu nabii kila mtu mtabiri mmefeli waabudu shetani tulieni mtaona mama atapita kwa nguvu bila mwehu yoyote kumsumbua ss watu wote wa dua tupo nyuma ya mama hakuna tena nasema hakuna mbweha yoyote atamsumbua mama tutamrarua kwa dua kali mnoo
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 6 ай бұрын
Mama heshimu katiba unamalizia kipindi cha mtàngulizi wako.Tangazia.umma Kwa ufasaha uelewe,migogo ndani yachama isiwe ya Taifa,CCM ijitambue mchambue ilani/Katiba yenu kuwa sahihi.
@petronillamnyambi7607
@petronillamnyambi7607 5 ай бұрын
Kama alitabiri kuwa mangufuli atakufa sana wakifa wengine tumezoea CCM NIKUUA BASI TUCHANGUE VYEMA VINGINE NAO CCM WATAWAIBIA KURA SASA MTANZANIA HERI USICHANGUE YEYOTE TUONE WATAKULA WAPI NCHI ISIMAMIWE NA JESHI BASI
@josephlorri431
@josephlorri431 6 ай бұрын
Huyu mtu anatumika, kuna watu wamemwambia kinachoendelea huko ndani ya ccm.... ng'ombe mnene sana aliyevalishwa nguo!! ya kijani..
@eatlawe
@eatlawe 4 ай бұрын
Nguvu yao ni kuiba kwa kutumia mfumo kama 2019 na 2020!
@BakariCheo
@BakariCheo 4 күн бұрын
Ebu watu funguken EPUKA san ktk dunia kufuata mkumb mamb mng yanaendlea munawayesa akil wanaoelewa we umeot umeot wap ata ukiot ndo wanafsri n mitume naanabii waliop ss n wabashr kma achn Aziz za tumbo wasom duuuh
@tinershayo6191
@tinershayo6191 2 ай бұрын
Inatajiwa muombe rais mwema aingie
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
YAANI HILI KANISA NI SIASA TUU NA NDOTO.
@user-ss8iu3mx4q
@user-ss8iu3mx4q 4 ай бұрын
Hawa jamaa wanasema maono ifike Mahal wawe kisheria siyo kiimani
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 6 ай бұрын
Waombage wasilale ccm msipusie ss wengine hatuombei chama tunaombea taifa letu la tanzania kina wenyewe
@stanleymanya438
@stanleymanya438 6 ай бұрын
Kiufupi hayo ni necha ya taifa letu uliko ya sema, nisawa nakusema samaki havuliwi nchi kavu😂😂😂 hizo ni tabia zetu msimu WA uchaguzi
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 6 ай бұрын
Mbona utabiri wako umejikita kwa chama tawala tu? Au ni utabiri wa mlengo wa kimaslahi?.
@user-gs9ie2wx3k
@user-gs9ie2wx3k 6 ай бұрын
Acha tuzichape ili tueshimiane
@barakanatus5676
@barakanatus5676 5 ай бұрын
Anacho ongea kwel hata mimi hilo nmeona
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Vyama vya upinzani vimeshakufa iliyobaki wale ruzuku tu
@user-vs9jo8di4m
@user-vs9jo8di4m 5 ай бұрын
Huyu jamaa ni mtu wa ajabu sana anaasema mambo makubwa sana ambayo wewe mwenyewe huwezi kuyaelewa
@chulelubella2819
@chulelubella2819 5 ай бұрын
Mpuuzi mkubwa na unabii wako wa KUZIMU Mungu akulaani hakuna litakalofanikiwa ibilisi wewe
@getajo1153
@getajo1153 6 ай бұрын
Mh!Huu ni UTABIRI au UCHAMBUZI!!! Mbona ni vitu vya Kila siku tunaishi navyo tu Kila awamu ya Uchaguzi?? 😂😂😂
@saalim5401
@saalim5401 2 ай бұрын
Nyie wakristo wachochezi sana watu wabaya sana roho mbaya hamtakii mema nchi wala rais wetu ndio maana hata ibada zenu nikuombea majini tu kutoa uchawi mafuta mnayotumia wanayoyaanda niwaisilamu yanafanyiwa visomo kisha mnauziwa alafu mnajifanya manabii kwendeni zenu huyu mama samia mtamuona hivyohivyo akiendelea na urais chuki tu as kidini hamna lolote ufala tu
@omigrodrasnet7638
@omigrodrasnet7638 Ай бұрын
Wanaandaa maduta au uchawi
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 5 ай бұрын
Disaster Disaster
@elifrewjohn8723
@elifrewjohn8723 4 ай бұрын
Tangu lini mwanamke kuongoza maelfu ya watu ili hali dini yao tu yenyewe haimubariki kwa hilo??? Logically Mungu ataivurugu Tanzania kisiasa ili tuujue ukuu wake. Bikira Maria hakupewa mamlaka juu ya mitume ingawa alikuwa ni mzazi wa Kristo.........
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 3 ай бұрын
Ukisoma Biblia vizuri hasa tafsiri zote za Kingereza, hakuna sehemu Yesu amewahi kum address Mariam kama mother, instead alikua akitamka "woman" and not mother. Nenda kasome na wewe
@ShadrackKikoti
@ShadrackKikoti 6 ай бұрын
Huu si unabii ni maoni
@mosesdouglas7902
@mosesdouglas7902 6 ай бұрын
Umeonaa 😢 ndio tatizo kubwa la manabii wa Africa wanashindwa kuwa wanyenyekevu kuushinda ulevi wa fedha na umaarufuu waliopata kwa uweza wa Mungu ,Matokeo yake wanajikinai nakuanza kutabiri kwa uwezo wa akili zao badala ya uwezo wa Mungu nabi mkuu ,😢😢
@mosesdouglas7902
@mosesdouglas7902 6 ай бұрын
This is not prophecy from God ,This is Prophet presumptuously,Unaweza kuwa nabi wa Mungu wakweli lakini ukawa unaanza kujikinai ukajikuta hapa kuanza Kutoa unabi kwa akili zako , ‹› Most Relevant Verses 2 Peter 1:20 Verse Concepts But know this first of all, that no prophecy of Scripture is a matter of one’s own interpretation, 2 Peter 1:21 Verse Concepts for no prophecy was ever made by an act of human will, but men moved by the Holy Spirit spoke from God. 2 Peter 1:19 Verse Concepts So we have the prophetic word made more sure, to which you do well to pay attention as to a lamp shining in a dark place, until the day dawns and the morning star arises in your hearts. Deuteronomy 18:22 Verse Concepts When a prophet speaks in the name of the Lord, if the thing does not come about or come true, that is the thing which the Lord has not spoken. The prophet has spoken it presumptuously; you shall not be afraid of him. 1 John 4:1 Verse Concepts Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, because many false prophets have gone out into the world.
@user-tx7df1lk9k
@user-tx7df1lk9k 6 ай бұрын
Maoni
@DonatusNyamizi
@DonatusNyamizi 6 ай бұрын
Kwa Nini tukiombee chama tawala ? Wakati sisi tunatamani kusambarstik
@danielmwakilembe935
@danielmwakilembe935 6 ай бұрын
😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 6 ай бұрын
😂😂😂
@user-le2ep5nq8c
@user-le2ep5nq8c 6 ай бұрын
Ccm iondoke tumechoka zuluma 3:50
@aminakassim831
@aminakassim831 5 ай бұрын
Anakuja Gwajima
@BrunoMakweta-dm5sb
@BrunoMakweta-dm5sb 6 ай бұрын
Mngu atusaidie tanzania ya mama samia suru hasan watanzania tunampenda mno mama
@danielmwakilembe935
@danielmwakilembe935 6 ай бұрын
Wee mbona unatusemea tusiyo yasema
@augustinokahinda3939
@augustinokahinda3939 6 ай бұрын
​@@danielmwakilembe935😂😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 6 ай бұрын
Hakuna unabii ni mtazamo wa akili
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 6 ай бұрын
Jisemee mwenyewe
@florencemeza6540
@florencemeza6540 6 ай бұрын
Sema unampenda wewe
@malamlaaj9852
@malamlaaj9852 5 ай бұрын
Aah Manabii wanaangalia mabaya TU??! Mwacheni mama apige KAZI. Subirini 2030.
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 6 ай бұрын
Mama Samia Suluhu Hasan ndiye rais 2025-2030, tena atapita kirahisi sana kuliko marais wote waliopita
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 6 ай бұрын
Bila Maombi sio rahisi Kama unavyodhani
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 6 ай бұрын
Akipita anuza nn Ili aendeshe nchi
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 6 ай бұрын
@@sophiaommy8343 Ninayezungumza hapa pia ni mtumishi wa Mungu tunza haya maneno yangu uje uone yakitokea
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 5 ай бұрын
Kwa wizi au kihalali ebu tujulishe mtumishi tujue😅
@user-uv3oq1tv9z
@user-uv3oq1tv9z 6 ай бұрын
Ebu tupe utabiri wandugu yako siwengine tu
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 6 ай бұрын
Watumishi tufunge kumwombea mama haya majaribu yapitie mbali, na Malaika wa Mungu waingilie kati na kumfunika mama yetu kwa lolote baya lisimpate katika jina la Yesu
@hamismabula9934
@hamismabula9934 6 ай бұрын
Sawa! Ila yy anamwamini huyo YESU!?!?!?
@hezekiamhapa7395
@hezekiamhapa7395 5 ай бұрын
Hapo kwenye kumuombea mama Mimi bila unafiki mmmhhh. Naogopa tu kumalizia nisije kutekwa bure. Ila Mungu atukumbuke atupe magufuli mwingine mwenye kuwapenda watu wake au watanzanià huyu wa Sasa mmh hatupo pamoja naw ktk safari
@martinndunguru6358
@martinndunguru6358 5 ай бұрын
Acha Mungu atende sawasawa na mapenzi yake, na aweke MTU amtakae kwenye kiti kikubwa. MUNGU ndio mtendaji wa mwisho na wa uhakika
@asungushepatrick5414
@asungushepatrick5414 5 күн бұрын
Tuombe mama aondoke madarakani maana ameshindwa kabisa
KUNA SIRI GANI? HILI NI FUMBO
6:11
Haleluya Tv
Рет қаралды 180 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 57 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 23 МЛН
TUKIOMBEE CHAMA TAWALA  |  NABII SANGA
17:50
POG FAMILY TV
Рет қаралды 10 М.
ALICHOKIONGEA ROLINGA JUU YA MTOTO ALIYEUWAWA.
15:50
Haleluya Tv
Рет қаралды 16 М.
NABII ATOA UNABII PART TWO KUELEKEA UCHAGUZI 2025 || Prophetedmoundmystic
4:38
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 18 М.
TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA#MASANJATV
10:16
Masanja TV
Рет қаралды 51 М.
MZIMU KUIONGOZA KENYA!!! JE, RUTO NI RAIS…?
6:13
Haleluya Tv
Рет қаралды 214 М.
Alicho kisema Prophet edmound kuhusu UCHAGUZI 2025 | KUHUSU MAKUNDI MATATU
9:34
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 133 М.
NI HATARI SANA KUOTA NDOTO ZA AINA HII
53:12
Haleluya Tv
Рет қаралды 23 М.
5 Things Successful People Do Before 8AM [FULL MESSAGE] | Terri Savelle Foy
30:05
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 45 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН