MWALIMU WA NENO LA MUNGU USTADHI DANIEL AKIFUNDISHA UKWELI KUHUSU MIUJIZA WANAYOTUMIA WACHUNGAJI FEKI KUWARUBUNI WATU
Пікірлер: 59
@happnesskitumbo57132 ай бұрын
Ninakuelewa sana Yesu akubariki sana.
@samuelmwakasungula1782 ай бұрын
Hilo ndilo ukweli wa neno la Mungu, hongera sana mishenari kujitoa mwanga kwa ajili ya kazi ya Mungu,
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
Matendo ya mitume 36-10, 4:8 MIUJIZA YAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA.Maisha Yetu ni ya Vita na VITA VYAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA kwahiyo TUSIKOME KATIKA KUOMBA Maana yake ndipo tunashinda vita.
@user-dt7jp4rd5x2 ай бұрын
Soma 1korintho 14:2 Inasema Anenae kwa Lugha Hasemi na Watu bali Husema na Mungu. Na Hakuna Mwanadamu Awezae Kuelewa Kinachosemwa. Mpaka Roho Mtakatifu Atoe Tafasri. Na Hata Siku Ya Pentecoste Wale Wote Waliokuwepo Walipewa Tafasri na Roho mt. By Rev. Agape Yohana. Toka Tanzania.
@chrisshonga2 ай бұрын
Kuna sindano moja ya kutibu kifua inaitwa Christapen sasa mara nyingi ile sindano ina maumivu makali sana lakini ukiandikiwa na daktari na ukachomwa uponyaji wake ni mkubwa sana sasa hii ndio hali ambayo ninayoiona kwa ndugu zetu Waislamu katika hii program ya siku ya leo! MUNGU atusaidie wakati mwingine tukubali kupona kuliko kubisha hata kama sindano ni chungu
@ramadhanimandoa7162 ай бұрын
Uislamu haujaletw n Mtume Muhammad bal umeletw n Nabii Adams mwenyew
@charlesboniphace22492 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Unahitaji msaada wa mafundisho zaidi Adamu hakuwa nabii Wala mtume
@juliuskitaluka12062 ай бұрын
Anaeweza kukusaidia siyo mwanadam bali ROHO MTAKATIFU maana binadam hana kipimo tuchunge ndimi zetu
@user-xb5td1jl3u2 ай бұрын
Basi waislamu wangekuwa na miujiza mingi sana kwa sababu wao wanayakubali majini mazuri
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@samuelmwakasungula1782 ай бұрын
Amina
@aliabdallah84562 ай бұрын
Mitume wote wamefanya muujiza kwa uwezo wa Mungu kwa nini nyinyi makafri Mungu mnamkwepa
@abdullahkazungu40252 ай бұрын
Ushasema mitume sio sisi binadamu tusidanganyane
@albertvalentino1302 ай бұрын
Hakuna anayefundishwa kunena kwa lugha --- mwandishi acha kusikiliza ujinga wa watu wa asili wasio jua mambo ya rohoni " mambo ya rohoni yanatambulikana kwa jinsi ya rohoni" Suala la mtu anayenena kwa lugha,halafu akanyamaza baada ya kutakiwa kunyama,ni sawa,kwasababu mtu anaponena kwa lugha haimaanishi anapoteza kabisa ufahamu na kumbumbu zake,anakuwa na ufahamu,na anaweza kuwasiliana na mazingira yanayomzunguka.
@SIMULIZIZONE2 ай бұрын
Unaonekana una point, swali langu kwako, yale maneno yanayonenwa kwa lugha, yanatafsirika kwa lugha ya wanadamu, au ni Mungu tu ndio anaelewa?
@user-it7ih1it3m2 ай бұрын
@@SIMULIZIZONEmwandishi,, kunena kwa lugha sio kwamba unaongea kwa lugha ya mbinguni bali inatumika lugha ya mtu mwingine ambapo mtu yyte anaweza akatafsiri mwenye uelewa wa lugha hyo! Na ikitokea mtu amenena kwa lugha ya mbinguni basi hapo kuna mawasiliano ya siri Kati ya yeye anenaye na mwenyezi mungu
@rashidgona18082 ай бұрын
@@user-it7ih1it3m lugha ya mbinguni ni gani
@m.m.tvmbebamaono2 ай бұрын
Heri yako mwenye ufahamu tufundishe vya kwako
@RichardHenjewele-gs8rk2 ай бұрын
safi
@mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын
Vizuri hakusema
@user-wi8og3sv4j2 ай бұрын
Kwahio yesu nae ni tapeli?❤
@samxx4112 ай бұрын
Ikisha baadhi ya wakristo wanamuona bonge la mwalimu 😂😂😂
@nubianqueen67002 ай бұрын
@@samxx411 aiseee!!! Ila Hana lolote
@rukiakadzo80532 ай бұрын
@@samxx411 just imagine 😂😂
@ndimimaskati36412 ай бұрын
Wacha Uwongo.
@eliasramadhan14522 ай бұрын
we imekuuma nini ? kumkashifu ustadhi ! omba kipindi na ww uelezee unachoweza kusema au kuelezea kinyume ww ni mnafiki usiye na muda wa kutafakari,ustadhi Daniel Mungu akuzidishie neema ya ufunuo kwa ukombozi wa fikra kwa mwanadamu.
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
Unapotosha SANA.POLE SANA.Naomba soma Luka 24:45
@JofryDaud-kc2du2 ай бұрын
Mtu yoyo atampimwa na amri Za MUNGU hata wewe tutakupima Kwa amri)
@TAFAKARITVNewlife2 ай бұрын
Hiyo ilikuwa wakati wa torati
@user-ss6jm6jt3h2 ай бұрын
Dah jamanii jitahidini msome acheni ushabiki huyu mtu anaongea uongo kabisa. Mungu atusaidie sana juu ya wanafiki wa namna hii
@user-it7ih1it3m2 ай бұрын
Daniel ni kichwa ni kiboko ya waislamu pia ni zaidi ya ndacha anaongea yaliyo ya kweli
@nubianqueen67002 ай бұрын
Ukiwa na elimu utajua sio kiboko kwa lolote, ila kwenu tu kwa sababu hampendi kusoma .wachungaji ndo huwasomea.
@abasingaruka18722 ай бұрын
Huyu Ni mealimu, anayetaka kujifundisha aululize Swali sio kukimbilia kashifa
@mukhusinathuman65962 ай бұрын
Bonge la kafiri alafu bonge la muongo kama huna elimu ya dini ya uislamu naelimu ya tiba no right to speak..
@binseif22162 ай бұрын
Daniel ni kibaraka wa wayahudi kwahiyo kwake uislamu ni adui yupo tofaut na wakristo wengne
@user-ob2ik5gy1b2 ай бұрын
Huyu ni mwalimu wa waongo ila ni ngumu kumfaamu kwani anatekniki nyingi sana za kudanganya wale wasio na elimu.
@user-vv5hq9mc1k2 ай бұрын
Aki ya Mungu wewe daniel ni mjinga kabisa , kwani jina la Allah lina matatizo gani unachanganya watu.
@ramadhanimandoa7162 ай бұрын
Yaan huyu jamaa ni kafiri mkubw Majina ya Allah na majini wapii na wapii wakati kila jina lina maana yake iliyo wazi ,Laana tu llah Allah Akuvunje mgongo
@mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын
Uislamu ulikuwepo kabla Jesus alipokuja hapo Ustadhi Daniël eka maneno yako sahihi
@fredykiluka66062 ай бұрын
Kaseme vizur 😭😭
@paulurio52042 ай бұрын
History ulisoma?
@Khmediy32412 ай бұрын
Uwez mvuta mwislam kweny dini yako kwa kuongea uongo labda unafanya ivo kuwalizisha ao wa iman yako wabaki uongo mtuuupu
@aliabdallah84562 ай бұрын
Wewe ni kafiri mkubwa sana waambia makafri wenzio asitukuzwe Mungu bali atukuzwe Yesu hiyo kauli yako wewe ni sawa na shetani usirudie tena hiyo kauli ni mbaya sana kwa Mungu wakutukuzwa ni Mungu peke yake na wakuabudiwa ni Mungu peke yake
@ramadhanmahongole92932 ай бұрын
Uislamu ni ukafiri mana umekuja kupinga ukiristo ulio tangulia
@ramadhanmahongole92932 ай бұрын
Wewe ni kafiri na ni shetwani upo gizani ndomana huwezi elewa kinacho fundisha hapa kwa ustadi mwankemwa
@dullahfar77752 ай бұрын
Ndacha hakukosea kuwaita nyie wanafiki tena muongo mkubwa wewe Daniel
@filbertvictor61592 ай бұрын
Uko vzr ww nizaidi ya Mwalimu
@ramadhanimandoa7162 ай бұрын
Huna elimu wew hamna anacho jua huyo ni mjing tu
@8pistons1942 ай бұрын
Allah is not God it is gods full stop
@paulurio52042 ай бұрын
Sure
@charlesboniphace22492 ай бұрын
Strong true
@HajiAmbali-jq9dr2 ай бұрын
Hili kafiri liongo
@silvesterrichardhelenya13192 ай бұрын
Itaisha mdaharo akitoe makamasi
@user-vv5hq9mc1k2 ай бұрын
Wewe ni kafiri, na ukafiri wako umepita kiazi
@kaoretosha6668Ай бұрын
Usipotoshe watu, Uislamu haujaletwa karne ya 7. Ulikuwepo tangu wakati wa Nabii Adam.
@kaoretosha6668Ай бұрын
Wewe ni muongo uliekubuu toa ushahidi wa hayo unayoongea usilete chuki zako dhidi ya uislamu, maana usituchokoze sisi waislamu hutuwezi tukiamua kuku-deal.
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini