USTADHI DANIEL AWACHARUKIA WACHUNGAJI WA MIUJIZA KAMA MACKENZIE, ZUMARIDI, EZEKIEL NA GEOR DAVIE

  Рет қаралды 7,081

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

Күн бұрын

MWALIMU WA NENO LA MUNGU USTADHI DANIEL AKIFUNDISHA UKWELI KUHUSU MIUJIZA WANAYOTUMIA WACHUNGAJI FEKI KUWARUBUNI WATU

Пікірлер: 59
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 2 ай бұрын
Ninakuelewa sana Yesu akubariki sana.
@samuelmwakasungula178
@samuelmwakasungula178 2 ай бұрын
Hilo ndilo ukweli wa neno la Mungu, hongera sana mishenari kujitoa mwanga kwa ajili ya kazi ya Mungu,
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
Matendo ya mitume 36-10, 4:8 MIUJIZA YAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA.Maisha Yetu ni ya Vita na VITA VYAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA kwahiyo TUSIKOME KATIKA KUOMBA Maana yake ndipo tunashinda vita.
@user-dt7jp4rd5x
@user-dt7jp4rd5x 2 ай бұрын
Soma 1korintho 14:2 Inasema Anenae kwa Lugha Hasemi na Watu bali Husema na Mungu. Na Hakuna Mwanadamu Awezae Kuelewa Kinachosemwa. Mpaka Roho Mtakatifu Atoe Tafasri. Na Hata Siku Ya Pentecoste Wale Wote Waliokuwepo Walipewa Tafasri na Roho mt. By Rev. Agape Yohana. Toka Tanzania.
@chrisshonga
@chrisshonga 2 ай бұрын
Kuna sindano moja ya kutibu kifua inaitwa Christapen sasa mara nyingi ile sindano ina maumivu makali sana lakini ukiandikiwa na daktari na ukachomwa uponyaji wake ni mkubwa sana sasa hii ndio hali ambayo ninayoiona kwa ndugu zetu Waislamu katika hii program ya siku ya leo! MUNGU atusaidie wakati mwingine tukubali kupona kuliko kubisha hata kama sindano ni chungu
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 2 ай бұрын
Uislamu haujaletw n Mtume Muhammad bal umeletw n Nabii Adams mwenyew
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Unahitaji msaada wa mafundisho zaidi Adamu hakuwa nabii Wala mtume
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 2 ай бұрын
Anaeweza kukusaidia siyo mwanadam bali ROHO MTAKATIFU maana binadam hana kipimo tuchunge ndimi zetu
@user-xb5td1jl3u
@user-xb5td1jl3u 2 ай бұрын
Basi waislamu wangekuwa na miujiza mingi sana kwa sababu wao wanayakubali majini mazuri
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@samuelmwakasungula178
@samuelmwakasungula178 2 ай бұрын
Amina
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 2 ай бұрын
Mitume wote wamefanya muujiza kwa uwezo wa Mungu kwa nini nyinyi makafri Mungu mnamkwepa
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 2 ай бұрын
Ushasema mitume sio sisi binadamu tusidanganyane
@albertvalentino130
@albertvalentino130 2 ай бұрын
Hakuna anayefundishwa kunena kwa lugha --- mwandishi acha kusikiliza ujinga wa watu wa asili wasio jua mambo ya rohoni " mambo ya rohoni yanatambulikana kwa jinsi ya rohoni" Suala la mtu anayenena kwa lugha,halafu akanyamaza baada ya kutakiwa kunyama,ni sawa,kwasababu mtu anaponena kwa lugha haimaanishi anapoteza kabisa ufahamu na kumbumbu zake,anakuwa na ufahamu,na anaweza kuwasiliana na mazingira yanayomzunguka.
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE 2 ай бұрын
Unaonekana una point, swali langu kwako, yale maneno yanayonenwa kwa lugha, yanatafsirika kwa lugha ya wanadamu, au ni Mungu tu ndio anaelewa?
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 ай бұрын
​@@SIMULIZIZONEmwandishi,, kunena kwa lugha sio kwamba unaongea kwa lugha ya mbinguni bali inatumika lugha ya mtu mwingine ambapo mtu yyte anaweza akatafsiri mwenye uelewa wa lugha hyo! Na ikitokea mtu amenena kwa lugha ya mbinguni basi hapo kuna mawasiliano ya siri Kati ya yeye anenaye na mwenyezi mungu
@rashidgona1808
@rashidgona1808 2 ай бұрын
@@user-it7ih1it3m lugha ya mbinguni ni gani
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 2 ай бұрын
Heri yako mwenye ufahamu tufundishe vya kwako
@RichardHenjewele-gs8rk
@RichardHenjewele-gs8rk 2 ай бұрын
safi
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 2 ай бұрын
Vizuri hakusema
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 2 ай бұрын
Kwahio yesu nae ni tapeli?❤
@samxx411
@samxx411 2 ай бұрын
Ikisha baadhi ya wakristo wanamuona bonge la mwalimu 😂😂😂
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 2 ай бұрын
@@samxx411 aiseee!!! Ila Hana lolote
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 ай бұрын
@@samxx411 just imagine 😂😂
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 2 ай бұрын
Wacha Uwongo.
@eliasramadhan1452
@eliasramadhan1452 2 ай бұрын
we imekuuma nini ? kumkashifu ustadhi ! omba kipindi na ww uelezee unachoweza kusema au kuelezea kinyume ww ni mnafiki usiye na muda wa kutafakari,ustadhi Daniel Mungu akuzidishie neema ya ufunuo kwa ukombozi wa fikra kwa mwanadamu.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
Unapotosha SANA.POLE SANA.Naomba soma Luka 24:45
@JofryDaud-kc2du
@JofryDaud-kc2du 2 ай бұрын
Mtu yoyo atampimwa na amri Za MUNGU hata wewe tutakupima Kwa amri)
@TAFAKARITVNewlife
@TAFAKARITVNewlife 2 ай бұрын
Hiyo ilikuwa wakati wa torati
@user-ss6jm6jt3h
@user-ss6jm6jt3h 2 ай бұрын
Dah jamanii jitahidini msome acheni ushabiki huyu mtu anaongea uongo kabisa. Mungu atusaidie sana juu ya wanafiki wa namna hii
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 ай бұрын
Daniel ni kichwa ni kiboko ya waislamu pia ni zaidi ya ndacha anaongea yaliyo ya kweli
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 2 ай бұрын
Ukiwa na elimu utajua sio kiboko kwa lolote, ila kwenu tu kwa sababu hampendi kusoma .wachungaji ndo huwasomea.
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 2 ай бұрын
Huyu Ni mealimu, anayetaka kujifundisha aululize Swali sio kukimbilia kashifa
@mukhusinathuman6596
@mukhusinathuman6596 2 ай бұрын
Bonge la kafiri alafu bonge la muongo kama huna elimu ya dini ya uislamu naelimu ya tiba no right to speak..
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Daniel ni kibaraka wa wayahudi kwahiyo kwake uislamu ni adui yupo tofaut na wakristo wengne
@user-ob2ik5gy1b
@user-ob2ik5gy1b 2 ай бұрын
Huyu ni mwalimu wa waongo ila ni ngumu kumfaamu kwani anatekniki nyingi sana za kudanganya wale wasio na elimu.
@user-vv5hq9mc1k
@user-vv5hq9mc1k 2 ай бұрын
Aki ya Mungu wewe daniel ni mjinga kabisa , kwani jina la Allah lina matatizo gani unachanganya watu.
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 2 ай бұрын
Yaan huyu jamaa ni kafiri mkubw Majina ya Allah na majini wapii na wapii wakati kila jina lina maana yake iliyo wazi ,Laana tu llah Allah Akuvunje mgongo
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 2 ай бұрын
Uislamu ulikuwepo kabla Jesus alipokuja hapo Ustadhi Daniël eka maneno yako sahihi
@fredykiluka6606
@fredykiluka6606 2 ай бұрын
Kaseme vizur 😭😭
@paulurio5204
@paulurio5204 2 ай бұрын
History ulisoma?
@Khmediy3241
@Khmediy3241 2 ай бұрын
Uwez mvuta mwislam kweny dini yako kwa kuongea uongo labda unafanya ivo kuwalizisha ao wa iman yako wabaki uongo mtuuupu
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 2 ай бұрын
Wewe ni kafiri mkubwa sana waambia makafri wenzio asitukuzwe Mungu bali atukuzwe Yesu hiyo kauli yako wewe ni sawa na shetani usirudie tena hiyo kauli ni mbaya sana kwa Mungu wakutukuzwa ni Mungu peke yake na wakuabudiwa ni Mungu peke yake
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Uislamu ni ukafiri mana umekuja kupinga ukiristo ulio tangulia
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Wewe ni kafiri na ni shetwani upo gizani ndomana huwezi elewa kinacho fundisha hapa kwa ustadi mwankemwa
@dullahfar7775
@dullahfar7775 2 ай бұрын
Ndacha hakukosea kuwaita nyie wanafiki tena muongo mkubwa wewe Daniel
@filbertvictor6159
@filbertvictor6159 2 ай бұрын
Uko vzr ww nizaidi ya Mwalimu
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 2 ай бұрын
Huna elimu wew hamna anacho jua huyo ni mjing tu
@8pistons194
@8pistons194 2 ай бұрын
Allah is not God it is gods full stop
@paulurio5204
@paulurio5204 2 ай бұрын
Sure
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 2 ай бұрын
Strong true
@HajiAmbali-jq9dr
@HajiAmbali-jq9dr 2 ай бұрын
Hili kafiri liongo
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 2 ай бұрын
Itaisha mdaharo akitoe makamasi
@user-vv5hq9mc1k
@user-vv5hq9mc1k 2 ай бұрын
Wewe ni kafiri, na ukafiri wako umepita kiazi
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 Ай бұрын
Usipotoshe watu, Uislamu haujaletwa karne ya 7. Ulikuwepo tangu wakati wa Nabii Adam.
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 Ай бұрын
Wewe ni muongo uliekubuu toa ushahidi wa hayo unayoongea usilete chuki zako dhidi ya uislamu, maana usituchokoze sisi waislamu hutuwezi tukiamua kuku-deal.
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 ай бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 94 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 42 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 53 МЛН
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 38 М.
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 94 МЛН