Huyu Mzee simkubali hata kidg lakn katika hili yuko sahihi 100% kabisaaaa
@ayoubmtumishi5022 күн бұрын
Ni kweli kabisa mke wa ujana ni uliyemtoa ubikra. Someni katika kisa cha Amnoni na Tamari.
@engineerjuma987622 күн бұрын
Umetoa bikira bint wa mtu kwa ridhaa ya nani? Ninyi wakilisto hamjui nini ZINAA
@blessingcharles-lc1rr21 күн бұрын
Kwahiy waliobakwa na baba zao waolewe nao
@AlexAward-gg6lu21 күн бұрын
Da a nimejikuta nipo kwenye wakati mgumu baada ya kusikilza habar za Nikita Yan nmevurugwa ngoja npambane mpaka npate Nikita wake Zang wore na wabwaga
@vicentmtiro692721 күн бұрын
Kwani unadhani walioana??
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
@blessingcharles-lc1rr 😂😂😂😂😂
@nelsonleonard676822 күн бұрын
Halafu kwenye hii post nimegundua akina dada ndo wamekuwa wakali sana sijui kwann😂😂😂😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t22 күн бұрын
😂😂😂😂
@abuum376020 күн бұрын
😂😂😂😂
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-id8ys3lg5d20 күн бұрын
Janga la wadada wengi 😂😂😂❤
@emmadora784819 күн бұрын
Sio wakali ila Kwa kuwa hizo bikra hawajitoi wenyewe ,basi pia jamii iwafundishe vijana wakiume kujiheshimu na kuwaheshimu dada zao
@MrTop-wj7no16 күн бұрын
Daah basi mimi sijapata mke wa ujana wangu maana wote ninaokutana nao ni ndoo😂😂😂😂
@user-eg1mz6vo1d22 күн бұрын
Kweli kabisaaa Mzee that's why I appreciate you 🙏 umeongea ukweli mtupu yaaahni umetishaaa sanaaaa
@user-wz3ne2kc3o21 күн бұрын
Kweli kabisa japo jamii ya sasa haitaki kusikia ukweli huu pongezi kwako na elimu hii irudishwe na iwekwe msimamo kabisa
@muksinimbaruku123322 күн бұрын
Wadangaji na walioa wasiokuwa bikra wamepanic sana, lakini ata ww unayefurahia kwakuwa bikra usijimalize sema tu Ahsante mungu alafu kausha, maana siku hizi znatengenezwa mtaani
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@JulianaMaimu22 күн бұрын
Mmmmh jamani pastor huyo kagusa mahali patam. Nimempenda Sana huyo pastor amenikumbusha jamani tukilelewa na Mama yetu alivyokuwa anatufundisha
@ngoyabaraka814321 күн бұрын
Ni sahihi Sasa unakuta mwanaume kaoa mke, bikra kaikosa pia mimba ya kwanza kaikosa, mtoto wa kwanza kamkosa, mechi inanza mbili bila au moja bila ndo wake wetu wa Sasa gen z😅
@DavidNdaha22 күн бұрын
Kiukweli alie towa Bikra nikweli ndo mme wake Ila changamoto
@djnizoh22 күн бұрын
For sure
@user-kq7mp8qz9e22 күн бұрын
Kwahiyo kunawajanja kutoa bikra ndio jazi yao nasisi wengine hatujawahi kktana nabikra basi shida
@HkidKapinga22 күн бұрын
Ndo maana hata yusuph alitaka kumuacha mariam kwa siri, baada yakugundua mariam mjamzito,akijua bikira imetolewa na mtu nwingine,hadi malaika alipompa go ahead
@danieljohn690420 күн бұрын
Kama ni hivyo sasa mbna alimuoa..?usidanganywe hayo ni mambo ya kale kabla ya Yesu mwenyewe mfalme wa ulimwengu soma 2Wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7
@user-ly2tv5og1n22 күн бұрын
Wasichana wajichunge Bikra zao, ni muhimu.
@emmadora784819 күн бұрын
Na wanaume pia ,kwani hao wadada wanajitoa wenyewe hizo bikra?
@dancemoves422 күн бұрын
😂😂😂😂Oscar anasema huwenda sisi wengine. Hatujawahi kukutana na watu wenye ujana mnaujua ujana nyie😂😂😂😂
@athumanimhanga205322 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumaradhomary859118 күн бұрын
Ila oscar😂😂😂😂
@ludovicshirima179317 күн бұрын
Kasem kwl lakn
@user-sj3wf5vz7l21 күн бұрын
Ni ukweli ubikira ni agano. Hilo ni kweli. Na kutairi mtoto ni agano moja hatari sana. Mungu tusaidie. Wazee wetu walitairi vijana. Sasa tunawapeleka kwa watu tusiowajua wanatairi watoto wanaingia nao maagano. Mungu tusaidie. Unashangaa mtoto anakuwa. Na tabia za ajabu.
@user-vb7vw2jr7d21 күн бұрын
Nisawa shida nikupita gari kubwa halafu wewe upite na bajaji au na pikpiki ndio migogoro inaanzia hapo
@Mahershalalhashbazi-kf6xi18 күн бұрын
Pwaku pwaku
@user-hj8sc7jv5m21 күн бұрын
Ni kweli mm nilitafuta mke mwenye bikira nilikuwa siamini kuoa mwanamke asiye na bikira atakuwa mke sahihi. Naamini mwanamke uliembikiri hawezi kukusahau maishani kamwe hata mfanyaje
@MeshackKamenya22 күн бұрын
Ni sahihi kabisa mzee wa upako
@neemajames513722 күн бұрын
Uko sahihi kabisa
@rauncesimwaka132019 күн бұрын
Mfalme daudi alioa mke wa hulia Kwa hiyo hakua mke
@user-sj3wf5vz7l21 күн бұрын
Yani hii kitu ya agano achana nayo. Haya issue yakutairi watoto ni agano. Yani watoto walitakiwa watairiwe na wazee wa kanisa. Tunapeleka watoto kutairiwa wanaingia maagano na watu wasiowajua. Haya mambo ni magumu sana .
@ismailsoud36344 күн бұрын
Ni kweli sana, Bikira ni dhamana, amepewa mwanamke, hivyo atakaye mpa akala huyo ndiyo mumewe. Utakapo muoa wewe siku ya kiama ujuwe atadai mke wake na hivyo utamlipa ndiyo uwe naye.
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur22 күн бұрын
Huyo mtangazaji wa kike imemuuma sana mpaka kaamua kubadilisha maada maana bikra alitolewa kitambo na jamaa hajamuoa maskini inauma mpaka kaamua kubadilisha maada kaenda kwenye idadi kubwa ya wanawake kwenye makanisa Aliyoyaongea Mzee wa Upako Yote kuhusu Bikra, dhambi, Agano la damu yote ni kweli
@kdloon203022 күн бұрын
Huyo dada mtangazaji alivyo dakia juu kwa juu na kuseama"Basi yabidi turudiane na ma X wetu"yaelekea bado unamfikiria X wake
@maclean77272 күн бұрын
Mzee umeongea hekima sana, lakini, umechelewa tumeshakosea, hatujui tufanyaje, maana hawa wanawake hawatuheshimu kabisa, nao ni vichwa vya familia.
@user-gv2un4jl3m22 күн бұрын
Oscar mbona kama kazuubaa hajawahi kukutana na kisiki nini? Kisiki ni BIKRA
@jumaradhomary859118 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Khadija-f7b22 күн бұрын
Kweli kabisa umeongea mie nashindwa kumsahau mume wangu wa agano keo miaka ishilini ,siko nae lkn namkumbuka mno nitafanya mpango nirusi kwa mume wangu inshallah
@AbisaiMwambene-fo9pt21 күн бұрын
Kama huyo aliye kuwa wa kwanza kwako na akaoa Alie bikra ndo anaeishi nae unarudije kwamfano?
@MagrethMhina22 күн бұрын
Upo sahihi baba sasa inabidi mch kabla hajafungisha ndoa mabint waulizwe na kuwa wakweli kua na bikra wapimwe kama wachumba wanapima hiv barikiwa mabinti wasiwe na vishawishi
@davidmangilile356821 күн бұрын
Upo sahihi sana %90 ya wanawake wanaolewa wanakuwa wanawake wa watu kwakuwa wanaolewa wakiwa tayali washatumika😅😅😅
@ArobogastMashamba22 күн бұрын
Ndo maana kwenye WOKOVU hakuna upenzi/ugirlfriend/uboyfriend...ni uchumba kisha ndoa
@husseinmassawa718621 күн бұрын
Oscar na baba levo hao wote mliowaowa sio wake zenu, nendeni mkatafute wake zenu😅
@shaddybmc834222 күн бұрын
Nakubali baba , iyo ni kwel kabisa🎉😂
@98Maktaba22 күн бұрын
Alafu mazee yasikuhuzi bila aibu yanatutoza mahali kuuuubwaa bila kuwaza kuwa yanatupatia chocolate kwenye gazeti shame on them and they are daughters
@aminitu376622 күн бұрын
Duh! fact sana hii.!! Umetisha sana Yan mafundusho yako yote haya nmeyaelewa
@TarimoMangi22 күн бұрын
Bro, Me ni MANGI na saiv a miaka 25,kwa sasa najiandaa kuoa lakini STAKI KABISA KUOA MWANAMKE ASIYE KUA NA BIKRA maana kwanza ntakua nachukua makombo, napia kwa sisi waktisto kuoa mwanamke ambae amesha ungana na wanaume wengine au mwingine kimwili inamadhara makubwa sana KIROHO,inakufanyA usiwe na nguvu kiroho na pia inaondoa baraka kwa watoto wako.
@TarimoMangi22 күн бұрын
Kwahiyo mzee ameongea ukweli 100%
@AwardHakimu22 күн бұрын
Upo sawa hizo takataka ambazo hazina bikra weka kushoto Mimi mwenyewe naoa bikra Bora nilipe mahali kubwa lakini nioe bikra
@emmadora784819 күн бұрын
Basi hakikisha na wewe hufanyi kabla ya ndoa ,Kwa sababu pia ukristo haujaruhusu mwanaume kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa
@TarimoMangi18 күн бұрын
Me ni mkweli kaka, maana ukristo hauturuhusu kusema uongo
@TarimoMangi18 күн бұрын
Amen kaka
@maxmiliangunze893122 күн бұрын
Mtumishi yupo sahih kabisa tunaingiliana tuu kaa wanyama..... Tuoe kihalari bikra
@paschalpaul386221 күн бұрын
Imeenda hiyo na wale madada waliojivuavua ndiyo maana ni wakali kwa comment maana mmepigwa na kitu kizito
@BeatriceBandio-qo6yp16 күн бұрын
Ndio baba uo ndio uungu na baraka na nuru ndani ya mwanamke kutoka kwa Mungu
@user-sj3wf5vz7l21 күн бұрын
Hii issue ya agano . Hasa kutairi. Siku namtairi mtoto nilizimia. Kutairi ni agano la damu. Sasa wakristo tunatakiwa kufanyaje. Haya mambo magumu
@robertsongola603422 күн бұрын
Leo umesema kweli
@vero5722 күн бұрын
Bwana aliye nitoa bikira sijui yuko wapi ??? Hata siku hiyo ni kama alinibaka maana nilikua sielewi kitu 😂😂😂
@muksinimbaruku123322 күн бұрын
Ndio mumeo ata kama amekufa
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂pole ❤
@someless19 күн бұрын
😊
@astonathanasio16319 күн бұрын
kamtafute ndo mme wako huyo
@user-wx9or8rw4n18 күн бұрын
Mkiolewa na bikra wanawake wawili mama Yako anapata Pepo takbiiiir! Allah Akbar.
@marcobulili434122 күн бұрын
Ila uko sahihi kabisa mchungaji!
@SylivesterKilunga22 күн бұрын
Kwahili nimekukubali sana
@thetrailerzone279122 күн бұрын
Ni ukwl anaosema
@user-qf9uj2oc1b21 күн бұрын
Walio wengi tunaukataa ukweli baada yakujikuta tumekosea ila mzee anaongea ukweli
@jafethleonard582122 күн бұрын
True
@shau7822 күн бұрын
ni kweli kabisa mchungaji anavyosema. lakini mimi kama mkristo naamini kwenye kutubu dhambi na kumuomba Mungu abadilishe pale palipokosewa. na Mungu hashindwi kitu. Mwanamke alietunza bikra mpaka akaolewa, kisha akazini baada ya kuolewa hana haki kuliko mwanamke aliekutwa hana bikra (hata kama alikuwa dada poa), lakini akatubu kwa dhati na kutulia na mume wake.
@peterrulagora740318 күн бұрын
Mungu akubariki
@jumapiliissa483522 күн бұрын
Mzee uko sawa kwaushahidi huu ndomana vitabu vya M/MUNGU vimekaza kuzini tabia ya kuzini ndoimeleta watu kuowa wasichana wasio bikra
@Elybwayz22 күн бұрын
Na alietoa bikira zaidi ya 1 wote wakezake😅
@robertsongola603422 күн бұрын
Hiyo itakuwa kweli
@robertvicent7822 күн бұрын
@@Elybwayz eee wote n wake zake
@gostiveradam392121 күн бұрын
😂
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
Yes wote
@MonicaCyprian19 күн бұрын
Ndiyo akawachukue
@iddylumbila739922 күн бұрын
Umeongea ukweliofichwa kwa muda mrefu na viongozi wa dini, na ukumbuke ukweli unauma kwahyo tegemea kupata comment za waliomia na waliojifunza, kama umeumia dislike na kama umejifunza hapa chini.
@vero5722 күн бұрын
NA NYIE WANAUME JEE??? BIKIRA?????? PANDE MBILI HAPO TUNAOGELEA?????😂😂
@mamawadudu4822 күн бұрын
The spirit of confusion is loading.
@femidayahaya488210 күн бұрын
Oscar amehuzunika sana..inaonyesha hajawahi kupata mke Bikra
@user-tu9zm1jh3n15 күн бұрын
Mmmh
@georgebataze662522 күн бұрын
Hii issue sounds very real. Ndio maana ndoa nyingi hazieleweki. 😅 men tunaishi na wake za watu😂. Nafikiri shetani kafanikiwa sana eneo hili ndio maana tunakubali sote kuwa ndoa za siku hizi miyeyusho. Ukimpata mwanamke wa ujana wako na ukadumu nae, inaheshima sana maana unaujasiri kuwa wewe ndie uliefungua njia hata hisia mbovu mbovu unakuwa huna. 😂😂😂. Leo hii unakuta wapenzi hawapati ladha yenyewe kabisa mara huyu anakibamia mara huyu pana sana, kumbe size tofauti zimepita😂. Sasa men wanaanza kuruka ruka ili kukidhi haja zao, hii sio kwamba shetani kashinda kwenye eneo hili?
@emmadora784819 күн бұрын
Ikiwa wewe ( men) sio bikra ,unataka upate mke bikra kutoka wapi?
@emmadora784819 күн бұрын
Nyie bikra zenu mnazitolea wapi ? Kama ni Kwa hao mabinti basi sahau kupata mke bikra
@georgebataze662519 күн бұрын
@@emmadora7848 niipate kwako
@georgebataze662519 күн бұрын
@@emmadora7848 fafanua vizuri bikra ya mwanaume iko vp wakati akibarehe tu na akiota ndoto nyevu anamaliza.!! Bikra inapatikana kwa jinsia ya kike
@georgebataze662519 күн бұрын
@@emmadora7848ikiwa baba yako alikuonya usifanye ujinga mpaka pale utakapo olewa harafu wewe ukapuuza na ukadanganywa kosa nilanani?
@iamdisciple_tz22 күн бұрын
Bora ata umeongea hii maada nilikua nawambia mmenipambanisha wenyewe wananambia mfungwa achagui gereza. Waludishe tu mahali zangu wachukue Toto rao
@BarakaProtas22 күн бұрын
😂😂 fata mahari umepigwa
@user-uj5wg9mm2t22 күн бұрын
Kuna ndoa imekufa😂😂😂😂😂
@jonasfrank175821 күн бұрын
Baba mchungaji kwa mafundisho unayotoa, hiki kituo inabd kifanye arrangement na wewe atleast kila week uwe na dk zako 15-20 kwa ajili ya mafundisho
@danieljohn690420 күн бұрын
#Hii ni saa ya kuambiana UKWELI kama Kuna mwenye Hekima mmoja Asome 2Wakorintho 5:17-19. Na Yohana 3:1-7. Mtu anadanganya UMA tena kwenye Media kweli waongo wapo na wengi wanawafata nitajie andiko bas hayo Yalimalizwa na Yesu mwenyewe....By Man of God (Taifa kubwa) na waandishi na nyie mnakubali jmn poleni sana#
@maclean77272 күн бұрын
Huu ni uongo YESU alitukomboa kwenye dhambi, hakuna kubadilisha agano la ndoa. Kama ingekuwa hivyo mabinti wasingekuwa wanazaliwa na bikra.
@maclean77272 күн бұрын
Hakuja kubadilili agano la ndoa, alikuja kutukomboa na dhambi.
@Mahershalalhashbazi-kf6xi18 күн бұрын
Chief Mwantebe leo kasema iliyo kweli
@gilbertbidimbuka910415 күн бұрын
Huyu mzee kuna kongamano liliandaliwa akakimbia harafu anasema ajibiwe hoja wakati kaalikwa ili aje natuhuma zake juu ya Ukristo akakimbia. Sasa ushauri wangu kwenu watangazaji waalikeni na wachungaji wengine waje wa mjibu hoja huyu mzee ambaye Ni mhuni tu asiyeijuwa Biblia
@HamadiMzee-ut9bq21 күн бұрын
Now days kunamatukio mengi wengine utolew bikla kwa kulazimishwa yan kubakwa achen kashifa nyinyi
@eminenceboy838618 күн бұрын
Mm huyu mzee waupako naanza kumuelewa kidog kidog😂
@vero5722 күн бұрын
Wanaume sasa leo wamepata kichwa, wasio na bikira sio mkeo khaaa hiii kali, kwahivyo wafanywe nini wasio na bikira watupwe ??? Tuta zindi kuzalauriwa 😮😮
@issamuhammedi22 күн бұрын
Utaenda kwa alie kutoa
@donaldmgunda497022 күн бұрын
Weweeeee mzeeer usituvurugee hapa bwanaa😮
@dioclesrweramila792622 күн бұрын
Malaki 2:14 [14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
@danieljohn690420 күн бұрын
Ukimgonga mwanamke bikra ndiyo amekuwa mke nakataa huko ni kuzin tena ni dhambi kama dhambi zingine unatakiwa kuelewa soma 2wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7
@edwinmbunda670919 күн бұрын
@@danieljohn6904Huwezi bishia biblia ndugu....
@reganpaul854217 күн бұрын
Mzee hapa hekima imajaaa chief
@allykk145919 күн бұрын
Mara nyingi anasema kweli nimependa sana
@user-zn7yp4cp1e18 күн бұрын
Oscar Oscar unapenda story kama izi
@Docantz18 күн бұрын
Mzee ametusha 🎉
@warakawayohana289621 күн бұрын
Wengi hawana wake kwa kweli😂😂😂😂
@user-wx9or8rw4n18 күн бұрын
Ndo mana tumeambiwa tuowane kabla ya kuingiliana.ndo mana dharau nyingi.
@user-oz8mc7mz7z20 күн бұрын
Zitatengenezwa sana
@deathrow80043 күн бұрын
Kimsingi akili ni moyo..
@gilbertbidimbuka910415 күн бұрын
Mimi nasema kuwa huyu mzee siyo Mkristo na haujui Ukristo kabisa niko tayari hata mniite hapo kwenye kipindi nimjibu huyu mzee na hata nisimame naye tujibiane mimi na yeye
@hajihassan543315 күн бұрын
Umepigwa nini? Kula kiporo hicho hukupata bikira. Mzee yuko vizuri 100%. Hapana cha kujibu hapo Mkristo ni mke mmoja ukiona ushatombwa au ushatomba na zaidi ya mtu mmoja wewe sio Mkristo!
@AwardHakimu22 күн бұрын
Walokole wanaongoza kwa uzinzi unakuta kwaya nzima ni wapenzi watupu hovyo sana
@jamesraphaelmdima47295 күн бұрын
Kwa mujibu wa Biblia alitakiwa kupigwa mawe hadi kufa.
@HalimaMaulidi-sv7le22 күн бұрын
Na ukikutana na mume co bikira pia ujue co mume wako ( Namaanisha mwanaume pia kuna mtu aliyeanza naye mapenzi wanawake mpoooo!)
@maclean77272 күн бұрын
Mwanaume mmoja anaweza kutoa bikra hata tano, hao wote ni wake zake kwa mujibu wa agano la damu.
@maclean77272 күн бұрын
Lakini mwanamke mmoja hawezi kutolewa bikra na wanaume wawili, ila mmoja tu.
@maclean77272 күн бұрын
Na hiyo ndo maana kwenye agano la kale wanaume walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja, lakini kwa mwanamke haikuwezekana.
@UfahamuwaKristo21 күн бұрын
Au ndo maana ndoa nyingi za leo zina migogoro sana
@edwinmbunda670919 күн бұрын
Yeah
@user-eu6ql9zl7n14 күн бұрын
Haswaaaaa
@bechubechuissa896522 күн бұрын
Kweli mzee wa upako
@user-ce2xg9wt4s12 күн бұрын
Kama umechanganyikiwa achana naye
@gilliansiara332417 күн бұрын
Huyo mwanaume yeye ni bikra,
@confredsangija16 күн бұрын
mzee wa punyeto leo yuko kwenye masuala ya dini,,,,basi si ungeuliza na kuhusu punyeto na chama cha wapiga pu kama kipo kihalali?>
@henrymjema168522 күн бұрын
Huu ni ukweli unaouma
@zuberikamote207821 күн бұрын
Kwhyo mimì frida kaniambia nyumba hii tufame nihame kweli maananyasije yakatokea makubwa
@abdulkilihindi772522 күн бұрын
Hhh,,hili zee kwel somi
@neemajames513722 күн бұрын
Jamani msitukane Masihi wa Bwana ndivyo biblia inavyosema.
@richardmakweta887515 күн бұрын
Hivi mzee waupako umepatwa nanini?
@reginaaloyce405516 күн бұрын
Nna swali hao wanaotoa hzo bikra ni kina Nan?
@aminitu376622 күн бұрын
MTU anangangana mke wangu mke wangu upuuz tu umemkuta nayo
@barakakevela24521 күн бұрын
KWA KWELI MI NISHAKUTANAGA NA BIKRA MMOJA TUU
@user-wx9or8rw4n18 күн бұрын
Njoo upose ....zipi nyingiiiiiii
@SilasNdaisabha-gx8jo22 күн бұрын
Faini naitakaaa
@Mahershalalhashbazi-kf6xi18 күн бұрын
😅😅
@SylivesterKilunga22 күн бұрын
Mtumishi umenena
@elizabethkweji730419 күн бұрын
Baba mwongo huyo😂😂😂😂😂
@kibosniper521922 күн бұрын
Hahahah mimi nimetoa bikira san watot wa watu afu ikawaga nikiwatoa wanapendan na wengin da dini hizi mungu aje tuokoa man tunadanganywa.hata mimi niliamin kumtoa bikr mwanamke ni wangu bt haijawah tokea kwanz akishatolew tu ndo wanakua malaya kisenge
@user-cp2do9pd5k21 күн бұрын
@@kibosniper5219 omba Toba sana ndugu maana utakufa mbaka uone watoto wako wakiumizwa
@ikulunimahalipatakatifu764220 күн бұрын
IMEEENDAAAA HIYO TAYARI!!!!, BONGE LA SOMO !!!
@user-vk4mv8vs7c22 күн бұрын
Hadisi za abunuasi Asome alama za nyakati
@RajabuSikabwe-rp1lj19 күн бұрын
Je nauliza wakwako ulimuowa akiwa bikira
@MobsFundisimu21 күн бұрын
Nikuelewa sana
@lightforafricatv312221 күн бұрын
Sasa mwanaume akiwatoa ubkira wanawake 10 , wote watakuwa wake zake kibiblia pia? Wakiseme wajitokeze kwake itakuwaj?
@pastadandan356922 күн бұрын
Kuna wengine tangia awe kijana mpaka amezeeka hajawahi kubahatika bikra hata Moja
@ELIZABETH-uz6dv20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@emmadora784819 күн бұрын
Sasa kosa la nani ? Anayetangatanga kuhatibu mabinti za watu au hao mabinti?😂😂😂😂