Dr. Chris Mauki: Mbinu 4 za kupona haraka penzi linapo vunjika

  Рет қаралды 28,400

Chris Mauki

Chris Mauki

2 жыл бұрын

Je unahangaika sana kwa sababu tu penzi lako limevunjika? Unashindwa kulala au kula? Maisha hayaendi? Jibu ninalo hapa. Hizi hapa mbinu 4 za kupona penzi linapo vunjika.
#DrChrisMauki#Kupona#PenziKuvunjika

Пікірлер: 111
@irenekyando4429
@irenekyando4429 2 жыл бұрын
Kama ningeijua hii Chanel mapema nisingekua mtu wa kujihukumu but namshukuru Mungu niliijua katika wakati sahihi God bless you doctor Chris
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante Sana mungu akupe heri siku zote,nimepona na naendelea kuishi nae ingawa kila mtu anaishi Maisha yake,umenikomboa mauki🙏🙏
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Ай бұрын
Mpnz jamn ivo mnavosema tofauti kwakwel kama umeingia deep katika kupenda ila kilakitu kinawezekana watu wanapata uchiz kwakupenda dah noma sana
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
No 1,,,pekee ni jambo zur sana,,,,, jiambie mwenyewe, lazma maisha yaendeleee❤️
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Kikubwa kusamehe, na maisha yaendeleee
@joycemponda8486
@joycemponda8486 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi wa mungu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Shukran sanaa
@ummufeysal6353
@ummufeysal6353 Жыл бұрын
Thank you doctor Mungu Akuweke
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Ай бұрын
Safi kabisa samehe alafu achiliia kumbeba yaani nenda zako kajichanganye michenzoni huko pambana na kazi Toka nje watu wakuone utaipata mwingine usijifungie kaa vinzuri kuliko mwanzo
@janethshedrack1215
@janethshedrack1215 2 жыл бұрын
Ameni najifunza sana kwako Dr.
@priscamhina7550
@priscamhina7550 2 жыл бұрын
Thanks bro god bless u
@beatriceakinyi8084
@beatriceakinyi8084 2 жыл бұрын
Nafundisho zako inanisaidia sana,asente mungu akubariki sana.
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Aksante ndugu kwa ushaur
@twilumbageorge5426
@twilumbageorge5426 Жыл бұрын
Barikiwa sana!
@lydiaedwin6911
@lydiaedwin6911 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kaka angu
@judicalucas597
@judicalucas597 2 жыл бұрын
Mungu akubariki hakika umekuwa msaada kwangu
@bensontemu9356
@bensontemu9356 2 жыл бұрын
Shukrani
@neemamatto8749
@neemamatto8749 2 жыл бұрын
Asante sana Dr umenitia moyo...umenipa moyo wa kusonga mbele ..mungu akubariki sana
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother hakika umenitoa mbali
@shamumaabdallah-je3dh
@shamumaabdallah-je3dh Жыл бұрын
Asante Dr kwa ushauri wako nimeshasamehe
@merryrichard6211
@merryrichard6211 Жыл бұрын
Daah wewe baba uko vizuri ubarikiwe
@hadijahamisi3359
@hadijahamisi3359 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana
@MadlyneDaudi
@MadlyneDaudi 2 ай бұрын
Be blessed
@user-ov4ug8fl1f
@user-ov4ug8fl1f 9 ай бұрын
Mungu akubariki kak yangu
@user-iz7vh8vy2h
@user-iz7vh8vy2h 7 ай бұрын
Salute kwako Doctor 🙏🙏 nakukubali sana
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Yes,,,, uko sawa kabisa ushaur konk
@Patrickmcharo63
@Patrickmcharo63 6 ай бұрын
Mungu akubariki kaka umenisaidia mnoo
@centrinewereh-xd2qd
@centrinewereh-xd2qd Жыл бұрын
Napenda ushauri wako ni WA thamana sana,,nmekua nikikufuatilia sana,,mungu akubariki sana 💝💝
@rozinahedwin5811
@rozinahedwin5811 2 жыл бұрын
Amina mungu akufanye kuwa kichwa na si mkia kaka.
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Ushaur konk, 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️👍
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Hongera happynes hapa lazima upone
@amanially5834
@amanially5834 9 ай бұрын
Daaah Mauki umenisaidia sana kaka thanx
@user-ly1gj5uk6i
@user-ly1gj5uk6i 5 ай бұрын
Asante Sana mauki.
@MariamBilali-gu4ql
@MariamBilali-gu4ql 11 ай бұрын
Asante sana kaka mungu akujaalie kila la kher umenibadilisha sanaa
@arianashuma2768
@arianashuma2768 2 жыл бұрын
Dr nabarikiwa Sana na mafundisho yako mungu azidi kukuweka najifunza vitu vipya kila siku kutoka kwako🙌🙌🙌🙌
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana kaka Mauki
@zeynabahmed3578
@zeynabahmed3578 Ай бұрын
Shukran sana Ubarikiwe😢
@odiliagwivaha6326
@odiliagwivaha6326 Жыл бұрын
Thanks najifunza mengi kutoka kwako God bless you and your family
@janethmgeta4912
@janethmgeta4912 2 жыл бұрын
Asante sanaa kakaa
@alimkumba9459
@alimkumba9459 2 жыл бұрын
mungu akuweke kaka tunajifunza sana kupitia wewe
@user-ht7if3li8r
@user-ht7if3li8r 6 ай бұрын
Nakupenda
@mwanaidimshana7596
@mwanaidimshana7596 Жыл бұрын
Asante kaka yangu
@shakylahamad8326
@shakylahamad8326 2 жыл бұрын
Ahsante sana maana leo hii nimeshaachana na mpenz wang
@SylvieSalma
@SylvieSalma 2 ай бұрын
Asante
@user-no7fg8kh9y
@user-no7fg8kh9y 2 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu
@doreenjuma-fo4ql
@doreenjuma-fo4ql 8 ай бұрын
Mungu akubilki
@jackliinenjau2042
@jackliinenjau2042 2 жыл бұрын
Napt moy kwa mafunz yk niilikt tamaa san mung akubarik
@eliethjenifa
@eliethjenifa 8 ай бұрын
asantee
@monicampokwa441
@monicampokwa441 2 жыл бұрын
Yaan kk cjui nikushukuru vip.Unanipa faraja Sana ubarikiwe
@Busweluhardware
@Busweluhardware Жыл бұрын
Hii ya kukaa ndani inaumiza sana
@user-xf3zl3gq9o
@user-xf3zl3gq9o 3 ай бұрын
Asante baba MUNGU akubariki sana its me suzie
@marryurio8661
@marryurio8661 Жыл бұрын
Brooo ishi miaka mingi mungu akutunze🙏🙏🙏
@taucseif851
@taucseif851 Жыл бұрын
Chris nashindwa kusamehe sijui nifanye nn jmn
@saidothman4527
@saidothman4527 20 күн бұрын
Nimekuelewa kaka
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Hakuna mkamilifu, bora kusamehe
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Asntee
@salamasalama7140
@salamasalama7140 2 жыл бұрын
Nakupenda wewe kaka wallah kwa ushauri wako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
Swadakta
@happyfaniaikamika5695
@happyfaniaikamika5695 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kekekelly1299
@kekekelly1299 2 жыл бұрын
Asant san Dr Chris🙏
@sharonamina8968
@sharonamina8968 Жыл бұрын
Thanks
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Nimeachilia kutoka Moyon Mwangu....
@marthamtui8068
@marthamtui8068 2 жыл бұрын
Samehe
@beatricemabula4783
@beatricemabula4783 2 жыл бұрын
Ahsate dk mauki. Mm.sijawahi kujuta hata siku moja.kukusikiliza.
@catherinenasambu5366
@catherinenasambu5366 2 жыл бұрын
Point taken ...alot thxz boss
@user-np7xs3zm5d
@user-np7xs3zm5d 10 ай бұрын
😢
@doreenjuma-fo4ql
@doreenjuma-fo4ql 8 ай бұрын
Asntsa mmi nimeuzwasana
@sallyraidan6867
@sallyraidan6867 2 жыл бұрын
My best channel Ever... thank you chriss you tought me alot..😘
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki
@happyelibariki6013
@happyelibariki6013 Жыл бұрын
Dah 😭😭😭nmejifunz vit ving aisee npo kwny wakati mgum
@seifthani8468
@seifthani8468 2 жыл бұрын
Nashkur sana kwahili somo, kwasbb mm nimuhanga mana mahusiano yangu yamevunjika mwezi mmoja tu uliopita lkn kila nikifikiria bado moyo unaniuma sana mana sikutarajia kwakweli
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki
@user-dr6uw1yw1t
@user-dr6uw1yw1t 10 ай бұрын
Asante sana mpendwa nina changamoto kubwa sana katika mahusiano yangu ila nimejifunza kitu kutoka kwako
@forextanzania268
@forextanzania268 8 ай бұрын
Ni muda mrefu tangu moyo wangu uumie nime kuja hapa nikiwa nime umia tena 20-10-2023
@marthamtui8068
@marthamtui8068 2 жыл бұрын
Chris mauki
@abdulazizramadhan5119
@abdulazizramadhan5119 2 жыл бұрын
Dr.shukran kuna kitu ntakuomba unishauri ntakucheki inbox ngoja nitulie kidogo
@samkaskakongesaja-boy7837
@samkaskakongesaja-boy7837 2 жыл бұрын
On Point
@fetyalmas698
@fetyalmas698 Ай бұрын
Yaan km vile unaniambia mie
@nellas_de_drizzy4170
@nellas_de_drizzy4170 Жыл бұрын
Habari yako kaka Chris mauki naitwa Isack nimeachana na mpenzi wangu baada ya kugundua kuwa hanipendi tena mapenzi yamekufa hayapo tena kwangu mawasiliano amekata anitafuti tena wala kunijulia hali yangu hanijulii lakini bado nampenda sana nifanyaje kaka yangu
@bibiNayyirah-wm2hg
@bibiNayyirah-wm2hg Жыл бұрын
MH Acha Tu pole matatizo yetu yanafanana
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
Merci beaucoup
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki. Merci
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
D'accord mauki
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
Doctor Mimi nilikuwa na mwezangu sasa basi ani najikuta Sana Nina maumivu Sana katika moyo wangu kwakweli
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Ай бұрын
Mie mwanmme nilipenda kichizi ila nilichitiwa na kitu kilichonifanya niweze kuachana nae nilikua kila nikikumbuka daimond kachana na hamisa mobeto jins alivokua mzur basi najikuta na mm naweza kumuacha pengine ntapata mwemgine kama zuchu
@pendojoram6039
@pendojoram6039 18 күн бұрын
😂😂😂 umeanza vzr ila huku chin umenichekesha, samahan lkn kpenz
@asmaally9298
@asmaally9298 Жыл бұрын
Daah,mume wngu ameniacha cjamaliza eda bado juzi ijumaa kaoa kaniacha na mtoto naumia hana hata Salam wala huduma lakini nitajitahidi😔😔😔
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Pole Sana ndogo wangu,tupo wengi tumetelekezwa, jipe moyo muombee mungu atakutetea,
@dazuujuma-tm6fk
@dazuujuma-tm6fk Жыл бұрын
Pole bby😢
@AllyLobenzi-hw8cq
@AllyLobenzi-hw8cq 11 ай бұрын
ina uma kweli
@mwamvuamussa-pd4su
@mwamvuamussa-pd4su 10 ай бұрын
inaumiza sana pole sana ila ipo siku atakutafuta
@princesamberrose9024
@princesamberrose9024 10 ай бұрын
Pole mungu atupe ujasiri
@BUCHOSAONLINETV
@BUCHOSAONLINETV 2 жыл бұрын
Usikute bro Chris mwenyew ukiachwa reaction yako n balaa....but so thanks....
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Miriam akiniacha nahamia anakoenda.
@masulu
@masulu Жыл бұрын
Hahaha ety akiachwa
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
@@ChrisMauki1 🤣🤣🤣
@mohamedmageni12
@mohamedmageni12 Ай бұрын
​@@ChrisMauki1😂❤
@tarasila6148
@tarasila6148 Жыл бұрын
Doctor nisaidie niko kwa wakati mugumu Sana baada ya mpenzi wangu kuniaza kwa sababu ya rafiki yangu wa ndani na kuingia nae kwenye mausiano na kuniaza Mimi..naumia sana
@dirshittz9134
@dirshittz9134 11 ай бұрын
Pole jaman
@eutropiamansweth899
@eutropiamansweth899 2 жыл бұрын
Nimepona sehemu kubwa ubarikiwe mno Dr. Lakin npo karb nae lakn Kila nkimuona moyo wangu unaniuma sana
@esterswai9454
@esterswai9454 11 ай бұрын
Pole
@bensontemu9356
@bensontemu9356 2 жыл бұрын
Shukrani
@lilianiatieno1138
@lilianiatieno1138 2 жыл бұрын
Yaani doct nacheka mpaka basi japo inauma
@joycemponda8486
@joycemponda8486 2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu nimepona moyo wangu
@FatumaIsiyaka
@FatumaIsiyaka 2 ай бұрын
Ongera
Baada Ya Mahusiano Kuvunjika Kuna Hatua Tano (5) Lazima Upitie
6:42
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 37 МЛН
Dalili 4 Kwamba Maumivu Ya Moyo Bado Hayajapona - Joel Nanauka
4:51
Dr. Chris Mauki: Sababu 5 kwanini mnagombana hovyo
11:45
Chris Mauki
Рет қаралды 119 М.
Dr. Chris Mauki:  Usifanye makosa haya mara tu mnapo achana
8:21
Chris Mauki
Рет қаралды 10 М.
Namna ya kumsahau mtu aliyekuumiza moyo kwa haraka.
3:10
The XO
Рет қаралды 14 М.
Dr Chris Mauki - Utajuaje penzi la mpenzi wako limeisha?
12:39
Chris Mauki
Рет қаралды 346 М.
Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya Kutafakari kabla ya Kuamua Kuachana
7:20
Mfanye nini pale mpenzi mmoja anapochepuka?
10:07
Chris Mauki
Рет қаралды 62 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН