Je unahangaika sana kwa sababu tu penzi lako limevunjika? Unashindwa kulala au kula? Maisha hayaendi? Jibu ninalo hapa. Hizi hapa mbinu 4 za kupona penzi linapo vunjika. #DrChrisMauki#Kupona#PenziKuvunjika
Пікірлер: 111
@irenekyando44292 жыл бұрын
Kama ningeijua hii Chanel mapema nisingekua mtu wa kujihukumu but namshukuru Mungu niliijua katika wakati sahihi God bless you doctor Chris
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante Sana mungu akupe heri siku zote,nimepona na naendelea kuishi nae ingawa kila mtu anaishi Maisha yake,umenikomboa mauki🙏🙏
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Mpnz jamn ivo mnavosema tofauti kwakwel kama umeingia deep katika kupenda ila kilakitu kinawezekana watu wanapata uchiz kwakupenda dah noma sana
@aash4145 Жыл бұрын
No 1,,,pekee ni jambo zur sana,,,,, jiambie mwenyewe, lazma maisha yaendeleee❤️
@aash4145 Жыл бұрын
Kikubwa kusamehe, na maisha yaendeleee
@joycemponda84862 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi wa mungu
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Shukran sanaa
@ummufeysal6353 Жыл бұрын
Thank you doctor Mungu Akuweke
@asteriashios1852Ай бұрын
Safi kabisa samehe alafu achiliia kumbeba yaani nenda zako kajichanganye michenzoni huko pambana na kazi Toka nje watu wakuone utaipata mwingine usijifungie kaa vinzuri kuliko mwanzo
@janethshedrack12152 жыл бұрын
Ameni najifunza sana kwako Dr.
@priscamhina75502 жыл бұрын
Thanks bro god bless u
@beatriceakinyi80842 жыл бұрын
Nafundisho zako inanisaidia sana,asente mungu akubariki sana.
@aash4145 Жыл бұрын
Aksante ndugu kwa ushaur
@twilumbageorge5426 Жыл бұрын
Barikiwa sana!
@lydiaedwin69112 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kaka angu
@judicalucas5972 жыл бұрын
Mungu akubariki hakika umekuwa msaada kwangu
@bensontemu93562 жыл бұрын
Shukrani
@neemamatto87492 жыл бұрын
Asante sana Dr umenitia moyo...umenipa moyo wa kusonga mbele ..mungu akubariki sana
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother hakika umenitoa mbali
@shamumaabdallah-je3dh Жыл бұрын
Asante Dr kwa ushauri wako nimeshasamehe
@merryrichard6211 Жыл бұрын
Daah wewe baba uko vizuri ubarikiwe
@hadijahamisi3359 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana
@MadlyneDaudi2 ай бұрын
Be blessed
@user-ov4ug8fl1f9 ай бұрын
Mungu akubariki kak yangu
@user-iz7vh8vy2h7 ай бұрын
Salute kwako Doctor 🙏🙏 nakukubali sana
@aash4145 Жыл бұрын
Yes,,,, uko sawa kabisa ushaur konk
@Patrickmcharo636 ай бұрын
Mungu akubariki kaka umenisaidia mnoo
@centrinewereh-xd2qd Жыл бұрын
Napenda ushauri wako ni WA thamana sana,,nmekua nikikufuatilia sana,,mungu akubariki sana 💝💝
@rozinahedwin58112 жыл бұрын
Amina mungu akufanye kuwa kichwa na si mkia kaka.
@aash4145 Жыл бұрын
Ushaur konk, 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️👍
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Hongera happynes hapa lazima upone
@amanially58349 ай бұрын
Daaah Mauki umenisaidia sana kaka thanx
@user-ly1gj5uk6i5 ай бұрын
Asante Sana mauki.
@MariamBilali-gu4ql11 ай бұрын
Asante sana kaka mungu akujaalie kila la kher umenibadilisha sanaa
@arianashuma27682 жыл бұрын
Dr nabarikiwa Sana na mafundisho yako mungu azidi kukuweka najifunza vitu vipya kila siku kutoka kwako🙌🙌🙌🙌
@sophiajackson50012 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana kaka Mauki
@zeynabahmed3578Ай бұрын
Shukran sana Ubarikiwe😢
@odiliagwivaha6326 Жыл бұрын
Thanks najifunza mengi kutoka kwako God bless you and your family
@janethmgeta49122 жыл бұрын
Asante sanaa kakaa
@alimkumba94592 жыл бұрын
mungu akuweke kaka tunajifunza sana kupitia wewe
@user-ht7if3li8r6 ай бұрын
Nakupenda
@mwanaidimshana7596 Жыл бұрын
Asante kaka yangu
@shakylahamad83262 жыл бұрын
Ahsante sana maana leo hii nimeshaachana na mpenz wang
@SylvieSalma2 ай бұрын
Asante
@user-no7fg8kh9y2 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu
@doreenjuma-fo4ql8 ай бұрын
Mungu akubilki
@jackliinenjau20422 жыл бұрын
Napt moy kwa mafunz yk niilikt tamaa san mung akubarik
@eliethjenifa8 ай бұрын
asantee
@monicampokwa4412 жыл бұрын
Yaan kk cjui nikushukuru vip.Unanipa faraja Sana ubarikiwe
@Busweluhardware Жыл бұрын
Hii ya kukaa ndani inaumiza sana
@user-xf3zl3gq9o3 ай бұрын
Asante baba MUNGU akubariki sana its me suzie
@marryurio8661 Жыл бұрын
Brooo ishi miaka mingi mungu akutunze🙏🙏🙏
@taucseif851 Жыл бұрын
Chris nashindwa kusamehe sijui nifanye nn jmn
@saidothman452720 күн бұрын
Nimekuelewa kaka
@aash4145 Жыл бұрын
Hakuna mkamilifu, bora kusamehe
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Asntee
@salamasalama71402 жыл бұрын
Nakupenda wewe kaka wallah kwa ushauri wako
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@fatumahengo68492 жыл бұрын
Swadakta
@happyfaniaikamika5695 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kekekelly12992 жыл бұрын
Asant san Dr Chris🙏
@sharonamina8968 Жыл бұрын
Thanks
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Nimeachilia kutoka Moyon Mwangu....
@marthamtui80682 жыл бұрын
Samehe
@beatricemabula47832 жыл бұрын
Ahsate dk mauki. Mm.sijawahi kujuta hata siku moja.kukusikiliza.
@catherinenasambu53662 жыл бұрын
Point taken ...alot thxz boss
@user-np7xs3zm5d10 ай бұрын
😢
@doreenjuma-fo4ql8 ай бұрын
Asntsa mmi nimeuzwasana
@sallyraidan68672 жыл бұрын
My best channel Ever... thank you chriss you tought me alot..😘
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki
@happyelibariki6013 Жыл бұрын
Dah 😭😭😭nmejifunz vit ving aisee npo kwny wakati mgum
@seifthani84682 жыл бұрын
Nashkur sana kwahili somo, kwasbb mm nimuhanga mana mahusiano yangu yamevunjika mwezi mmoja tu uliopita lkn kila nikifikiria bado moyo unaniuma sana mana sikutarajia kwakweli
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki
@user-dr6uw1yw1t10 ай бұрын
Asante sana mpendwa nina changamoto kubwa sana katika mahusiano yangu ila nimejifunza kitu kutoka kwako
@forextanzania2688 ай бұрын
Ni muda mrefu tangu moyo wangu uumie nime kuja hapa nikiwa nime umia tena 20-10-2023
@marthamtui80682 жыл бұрын
Chris mauki
@abdulazizramadhan51192 жыл бұрын
Dr.shukran kuna kitu ntakuomba unishauri ntakucheki inbox ngoja nitulie kidogo
@samkaskakongesaja-boy78372 жыл бұрын
On Point
@fetyalmas698Ай бұрын
Yaan km vile unaniambia mie
@nellas_de_drizzy4170 Жыл бұрын
Habari yako kaka Chris mauki naitwa Isack nimeachana na mpenzi wangu baada ya kugundua kuwa hanipendi tena mapenzi yamekufa hayapo tena kwangu mawasiliano amekata anitafuti tena wala kunijulia hali yangu hanijulii lakini bado nampenda sana nifanyaje kaka yangu
@bibiNayyirah-wm2hg Жыл бұрын
MH Acha Tu pole matatizo yetu yanafanana
@nahishakiyeassuman55412 жыл бұрын
Merci beaucoup
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki. Merci
@nahishakiyeassuman55412 жыл бұрын
D'accord mauki
@nahishakiyeassuman55412 жыл бұрын
Doctor Mimi nilikuwa na mwezangu sasa basi ani najikuta Sana Nina maumivu Sana katika moyo wangu kwakweli
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Mie mwanmme nilipenda kichizi ila nilichitiwa na kitu kilichonifanya niweze kuachana nae nilikua kila nikikumbuka daimond kachana na hamisa mobeto jins alivokua mzur basi najikuta na mm naweza kumuacha pengine ntapata mwemgine kama zuchu
@pendojoram603918 күн бұрын
😂😂😂 umeanza vzr ila huku chin umenichekesha, samahan lkn kpenz
@asmaally9298 Жыл бұрын
Daah,mume wngu ameniacha cjamaliza eda bado juzi ijumaa kaoa kaniacha na mtoto naumia hana hata Salam wala huduma lakini nitajitahidi😔😔😔
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Pole Sana ndogo wangu,tupo wengi tumetelekezwa, jipe moyo muombee mungu atakutetea,
@dazuujuma-tm6fk Жыл бұрын
Pole bby😢
@AllyLobenzi-hw8cq11 ай бұрын
ina uma kweli
@mwamvuamussa-pd4su10 ай бұрын
inaumiza sana pole sana ila ipo siku atakutafuta
@princesamberrose902410 ай бұрын
Pole mungu atupe ujasiri
@BUCHOSAONLINETV2 жыл бұрын
Usikute bro Chris mwenyew ukiachwa reaction yako n balaa....but so thanks....
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Miriam akiniacha nahamia anakoenda.
@masulu Жыл бұрын
Hahaha ety akiachwa
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
@@ChrisMauki1 🤣🤣🤣
@mohamedmageni12Ай бұрын
@@ChrisMauki1😂❤
@tarasila6148 Жыл бұрын
Doctor nisaidie niko kwa wakati mugumu Sana baada ya mpenzi wangu kuniaza kwa sababu ya rafiki yangu wa ndani na kuingia nae kwenye mausiano na kuniaza Mimi..naumia sana
@dirshittz913411 ай бұрын
Pole jaman
@eutropiamansweth8992 жыл бұрын
Nimepona sehemu kubwa ubarikiwe mno Dr. Lakin npo karb nae lakn Kila nkimuona moyo wangu unaniuma sana