Paschal Cassian mungu aendelee kukupigania kwamafundisho yako
@faridashabanifaridashabani59508 күн бұрын
Hakika Mungu ndo anae sitahili cheo hicho make duuuuu wanamchafuwa Sana MUNGU 😭😭 paschal paza sauti Mungu yupo na wewe na wenye kuokoka tutaokoka ❤❤❤❤🙏💖
@LizongaSaid6 күн бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananigusa kwakwelii
@Saidi15818 күн бұрын
Mahubiri yako Paschal Cassian uwaga niya ukweli usikate tamaa endelea na kazi mtumishi wa bwana ubarikiwe sana Amen 🇨🇩🙏
@AmaniYosia3 күн бұрын
Kaaa mungu atusaidie Sana,asa nawewe unahalibu acha tutume sadaka ,asa unafanya kudai Tena aaaah
@jovettedenise25918 күн бұрын
Mutumishi kazi yako injili unayoyitowa ninyundo kwa wasiyo mujuwa Mungu vumiliya na uwendeleye kusonga mbere tunakuombeya na Mungu akupe nguvu zingine❤❤❤
@mdendamono33113 күн бұрын
Nabii namba 1.kiboko ya wachawi
@user-ii1qk9xn9z8 күн бұрын
Amen Amen Mtumishi 🙏 ubarikiwe sana kwa kusimama kusema kweli na kujulisha wengi waliofumbwa macho na shetani... Mungu akutie nguvu na kutembea nawe nyakati zote. Walio na maskio watafunguliwa na kufuata njia ya kweli. Mungu akuepushe na kila ubaya Mtumishi na akujengee ukuta usioweza kuvunjwa na adui. Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; Nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. Na wakati ndio huu kweli sio wachungaji, sio waumini awasikii wala hawaoni washapatana na mwanamke kahaba wote wamekataa kweli ya kristo. Kanisa liko topeni Endelea kupasa sauti Mtumishi watakaosikia wataokolewa nyakati hizi.
@charlesstephen33062 күн бұрын
Utapata tabu sana kupambana kuwashusha ambao wameshapandishwa !!!
@Shalom20185 күн бұрын
Mungu awafungue ufahamu hao waumini
@ryobanchagwa24997 күн бұрын
❤hii ndio injili ninayoipenda kabisa
@monicasimpilu62577 күн бұрын
Kweli hizi ni siku za mwisho na tunaangamia kwa kukosa maarifa. Mtu anawaambia ukweli wake bado wamenga'nga'nia humo kaisani. Mungu atusaidie.
@Esteriajoseph-yk8bq8 күн бұрын
Biblia Ina sema watu wangu wanapotea kwa kukosa marifa .mungu nipe hekima na marifa nisije nukajutenda 😢😢😢😢
@georgekyando8853 күн бұрын
Hivi wachanga wa imani tuelimishwe je hivi ni kweli Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu kweli?
@user-cr6fc7nt8k8 күн бұрын
M2 akitaka kutuma pesa naweza kutuma vipi..niko kenya naweza kutuma vipi kitazania ama mpaka ifike Tanzania 🇹🇿
@bulengedimathias67563 күн бұрын
Tulaga milimo ya Ng'waseba ong'wise, tulihamo nang'ho abaja ng'wigulu.
@DezChaz7 күн бұрын
Amein ubarikiwe
@Pendopasilika6 күн бұрын
Haaah kumbe hao washirika Ni kina chuma ulete yeye anataka pesa jamani!!! mmmh MUNGU wangu MUNGU wangu Paschal MUNGU akutunze sana uishi mpaka mwisho wa hadari
@bulengedimathias67563 күн бұрын
Halafu anajua kabisa mpaka njia ovu za upatikanaji wa sadaka hizo. Mungu anakataa sadaka chafu ndugu. Anaisoma Bibilia lakini haielewi. Kumbukumbu la Torati 23:18 Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya Bwana, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yo yote; kwani haya ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako, yote mawili.
@Madina-u5g3 күн бұрын
Mbon ameva kanzu ya kislam😅
@sandrangoma-jn9qw22 сағат бұрын
ongelea pia mazuri wake mbona ameshasaidia watu sana tu Ebu acha ww
@vladimirputn18098 күн бұрын
Nahaya mapumbavu yake yanasema ame
@justinamis86758 күн бұрын
Amn San a
@tagcdcchurch60317 күн бұрын
Pepo mchafu kabisa huyu, Mungu atusaidie.
@UpendoChurch-u6c8 күн бұрын
Truth kabisa Na wasikuzuie
@emmanuelmmbaga52098 күн бұрын
Udanganyifu wa nyakat za mwisho ni mkubwa kuliko wa kwanza kwa maana shetani anajua mda wake ni mchache, haachi hata mabaki, yaani nikusagwa tiktik, BALI SISI TUEJENGWA JUU YA MISINGI YA MITUME NA MANABII WALA MALANGO YA KUZIMU HAYATATUSHINDA, NENO ni UPANGA... ktk ulimwengu wa sasa usimwamini mtu bali neno la Mungu.
@Saidmathayo-uv4gj8 күн бұрын
Freemason wamekutoa akil
@GislaMushi8 күн бұрын
🎉
@ameenaameena4228 күн бұрын
😂😂kazi ipo
@Saidmathayo-uv4gj8 күн бұрын
Hubir habar ya yesu sio habar za watu ww Pasco unavuta bangi injul gan una hubir unawapa umaarufu San
@user-zo1ct5xr7i2 күн бұрын
onya baba onya we umethubutu wambie watu km nyinyi jasiri wanaosimamia kweli Ujira wako uko mbinguni,mi nakupongeza mnooooo waoga wataoneana uoga,SEMA uokeoe roho zinazopotea maana si akili zso wameshakamatika kutoka huko ni kazi kubwa
Tafsiri yako inaeleweka kisawa sawa. Mienendo ya kikristo haipo tena, ni machafuko ya kila namna. Kwa mapenzi yako Mungu, kupitia kwa mwanao Yesu kristo, niokoe na kanisa kahaba ili niweze kukutumikia wewe kikamilifu na kulijua neno lako zaidi.
@roselyimo36768 күн бұрын
Lakini vazi la mwanaume unalielewa?? Mwanaume ni Mungu pekee wengine ni bi harusi Sasa maana ushajua. Suruali hazikuwepo enzi biblia inaandikwa
@anethachengula12588 күн бұрын
Wewe una matatizo makubwa. Kwa nini unashambulia kila kanisa.
@LizongaSaid6 күн бұрын
Kuliko kiboko ya wachawi ????
@EsterNgasa-vq5zx8 күн бұрын
Duuh EEE MUNGU aturehemu mafuta maji vyote Ni shetani tu yaani kwenye mavazi hasa suluali kanisan Ni dhambi lakn wanavaa kwa kukosa mafundisho sahihi
@renatus56878 күн бұрын
Utaacha umbea wa kiusema wengine lin huku ukituomba sadaka si ufanye kazi
@enockgeorge83367 күн бұрын
Kama huna cha kucoment bora ukae kimya sio kucoment ujinga kutoa sadaka ni moyo na sio kulazimishwa hata usipotoa ww kuna wengine Mungu atawatumia
@renatus56877 күн бұрын
@@enockgeorge8336 hata wew ni Yale Yale tu ya kushinda yanaongea ya wengine yakwao yanawashinda
@essaumwampamba33308 күн бұрын
Hii inaweza kufundishwa na wachache waliotayari kwenda mbinguni, barikiwa sana mtu wa Mungu, Naongeza pointi kuu: ni kanisa kahaba lililobadili ibada ya jumamosi kwenda jumapili mnamo tarehe 07/03/321. Nia kanisa linaloabudu watu badala ya Mungu. Ev. Mungu akubariki.
@essaumwampamba33308 күн бұрын
Karibu sana SDA church Ev. Utakuwa na nafasi kubwa sana ya kuufunua ukweli wote bila kuacha kitu.
@paschalcassianoriginal94118 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤barikiwa
@paschalcassianoriginal94118 күн бұрын
Aaaamen amen❤❤❤
@ndayikezaoscar34678 күн бұрын
Sasa na wewe kubana shati kwenye mikono, unataka watu waone kuwa una misuli mikubwa MNYANYUA VYUMA??? Afu unaomba michango kiivyo, eti vyombo, kwani hapo watu hawaoni??? Sema wewe umeona njia ya kukosoa ndio unapatia chochote kitu. Nasi acha tukukosoe, maana wewe kila siku ni kukosoa watu tuuuuu. SEMA HAINA SHIDA BHANA. Mnisamehe sana, kama nimekosea 🙏🙏🙏🙏🙏
@yusufubin-akilimali74788 күн бұрын
Hata wewe kuvaa kwako mwalimu ni mbaya kiuchungani, maana hiyo T-shirt yako mbaya kusimama nayo mbele ya watu tafazali.
@user-ku8js6um3k8 күн бұрын
Hiyo sharti ni bidhaa ya shetani
@LizongaSaid6 күн бұрын
Mbna hajavaa t-shirt au huifaham t-shirt wewe
@AdamJonas-sx4mi8 күн бұрын
Wewe Pasco mbona unapotosha watu kiasi hicho kwani nyie munasoma Biblia gani ambayo YESU KRISTO alikataa miujiza? Nawakati alikuwa anaifanya? Na akasema sisi tunao mwamini tutaifanya tena zaidi yake yeye Casiano wewe una amini nini? Tunasoma Biblia takatifu hatukuelewi nawafuasi wako unaowadanganya nyie munasoma Biblia gani inawaruhusu kupiga vita watumishi wa MUNGU nakuwahukumu ? Hata kama wangekuwa siyo wa MUNGU wewe huna haki ya kuwahukumu isipokuwa unatakiwa kujiangalia usianguke siyo kuwahukumu kwamba hawafai eti wewe ndo unafaa nawakati huna nguvu yakuponya mafua. Acha kuwa wakala wa shetani jifunzeni kwa Mwakasege na Mosses korola hawajawahi piga vita huduma ya mtu wewe unani wakutukana watu wa MUNGU et ni Mamalaya? Ko wewe Roho mtakatifu ndo amekuagiza uwatukane et ni Mamalaya he!! danganya haohao siyo mimi hukuna kitu hapoo. Ni roho mtaka fujo.
@sadickmagesa8 күн бұрын
wew ni mpumbavu kabisa dah unatia hasira hivi unajua wew ni wakala wa shetani......Tunaijua biblia huyu kijana yuko sahihi kabisa na kazi yake ni kubwa maana anaponya wengi sio kuamini hao wajinga kiboko ya wachawi.....kumbuka amekuwepo free mason anazijua hizi siri......kwa neema aliyonipa Mungu naungana na wengi kusapoti hiki anachozungumza
@barikimaluli61077 күн бұрын
Hivi mtu anakwambia sikemei dhambi alafu wewe unaungana nae huyoo neno la bwana limesimama lenye muhuri ii Bwana awajua walio wake na kila alitajae jina la bwana shart auache uovu