KISHIMBA avunja wabunge mbavu kwa hoja zake: Trafiki wahamishiwe hospitalini mtu akikosa dawa aende

  Рет қаралды 231,731

Gilly Bonny Tv

Gilly Bonny Tv

3 жыл бұрын

Пікірлер: 404
@GaudenceRaphael
@GaudenceRaphael 3 жыл бұрын
Pale Mbunge anapoongea kama Raisi wa Nchi au Waziri Mkuu....Gonga like twende mbele
@dayanimwamwimbe7966
@dayanimwamwimbe7966 3 жыл бұрын
Mzeee kamanda sana
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Iyu mzee jamani mungu amuweke atutetee
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Tunaomba titibiwe bure jaman
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 жыл бұрын
Kweli doo mana aliazia UDP
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf Ай бұрын
Kishimba yuko sahihi japo Kuna wanaomcheka
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 3 жыл бұрын
Wasukuma wana akili sana haijalishi wamesoma au hawajaenda darasani wanaokubaliana na Mimi wagonge like
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 Жыл бұрын
100%
@raymondjimmy2712
@raymondjimmy2712 3 жыл бұрын
Huyu Mzee ni wa kuangalia vizuri Point zake zipo strong
@jaliabahat1520
@jaliabahat1520 2 жыл бұрын
Sana nawe umeona
@nassoroabdallah3670
@nassoroabdallah3670 3 жыл бұрын
Mh Rais wangu huyu mbunge anaweza kuwa mshauri nzuri Sana mpe nafasi ktk ofisi yako Kama itakupendeza inshaallah.
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 жыл бұрын
Kishimba tajiri hana ndio maana hana shida ya uwaziri.
@saimonbundala6096
@saimonbundala6096 3 жыл бұрын
Umeona mbali sana mtu wangu👊
@hadijasaid9463
@hadijasaid9463 3 жыл бұрын
Nakupenda mbunge wetu kishimba unatuhurjmia sana wspiga kura wako natamani uendelee kutoa mada
@hadijasaid9463
@hadijasaid9463 3 жыл бұрын
Mama SAMIA mpe nafasi awe mshauri wako
@leonardemmanuel9249
@leonardemmanuel9249 2 жыл бұрын
CHF bima ya afya ya jamii kwa mwaka wanalipa 30000 watu 6 ,inaamaana kuwa ni 5000 kwa mtu mmoja kwa mwaka ,na mtu mmoja anaweza kuhudumiwa zaidi ya mara 4 kwa mwaka ,na kila awamu anaweza kuhudumiwa kwa shilingi 8000 kwa awamu zidisha mara 4 sawa na 32000 zidisha mara 6 sawa na 192000 kwa hali hii serikali mtaionea sana ,huu ni mfano tu ,janga la dawa hospital za serikali bado litakuwa ni tatizo
@manenoibrahim980
@manenoibrahim980 3 жыл бұрын
Yani unaweza kufikiri huyu mzee ni mwananchi wa kawaida toka kijijini kaja bungeni kuwakilisha wanyonge wenzie, big up sana kisimba
@robertchuma6408
@robertchuma6408 3 жыл бұрын
Aisee Kishimba ni Kichwa cha Ukweli maana anatoa hoja na mbadala wake. He is Real Genius Professor thanks so much Professor Kishimba
@fadhiliswidhun9779
@fadhiliswidhun9779 3 жыл бұрын
Kwa utaratbu umeongea vzur sana mh mb kishimbaa afya ndyo usalamaa wetu
@andrewvedastus6958
@andrewvedastus6958 3 жыл бұрын
You are a genius mr Kishimba, and i think you should be granted an honour to be a professor, according to your big iq! congrats.
@jericomgaya8282
@jericomgaya8282 3 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba namkubali kitambo sana na hajawahi kuniangusha kwa kweli! Tangu aseme mtoto umemsomesha halafu baada ya kupata kazi anaanza kukukwepa kwepa anafaa ashitakiwe! Na ikiwezekana tubadilishe utaratibu tukiwalipia ada wasaini mikataba ya kulipa madeni ya ada baada ya kumaliza chuo!! Hongera sana Mhe. Kishimba kwa strong points unazozitoa Bungeni
@emmanueldutuleo3992
@emmanueldutuleo3992 3 жыл бұрын
Du nakuunga mkono professer kishimba uko vizuri kabisa penda sana wewe
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni super genius,
@robertnicodemas5853
@robertnicodemas5853 3 жыл бұрын
Tukipata wabunge 50 tu.kama kishimbi,Hakika matatizo madogomadogo inayotukabili sisi wananchi wakipato cha chini yatapungua.asante sana mh
@issamohammed8298
@issamohammed8298 3 жыл бұрын
Mh,Kishimba huo niukweli kabisa tunaenda Hospital unaambiwa Hakuna Netwek Mara unaambiwa Kifurushi hichi hakiwezi Kukupa Huduma Hongera sana Mh,Kishimba
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 3 жыл бұрын
Kishimba upo vizuri sana, ninakukumbuka sana kuhusu swala la Elimu ya Taifa letu inavyowachelewesha vijana wetu. Haswa elimu ya juu.
@nzellahhamis1504
@nzellahhamis1504 3 жыл бұрын
Lamadar Hotel hujazijenga kwa bahati mbaya. Genious sanaaaaaa. Nahisi mtu smart sana aliye karibu na wewe ni KATIBU WAKO WA MBUNGE.
@ndalahwadigijaga84
@ndalahwadigijaga84 3 жыл бұрын
Mashimba oyeeee , inteligent person ,
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
moja ya wabunge makini sana, ni swala ambalo hata mie huku uswazi nililiongelea sana masikini tunakufa kwa kukosa 50 elfu tu dah
@officialsteeve2384
@officialsteeve2384 3 жыл бұрын
Kweli elimu sio kuingia darasani tu, we mzee ni genius🙏🙏
@mayasasaid7743
@mayasasaid7743 3 жыл бұрын
wake
@gracekasambala4712
@gracekasambala4712 Жыл бұрын
Kweli professor Kishimba anawakilisha wananchi
@benatusrupili9521
@benatusrupili9521 3 жыл бұрын
Umetisha sana mbunge 2025 tunakuhitaji ugombee urais👍👍👍👍👍👍👍
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 3 жыл бұрын
MZEE UMEONGE KITAIFA SISI WA
@upendoj
@upendoj 3 жыл бұрын
Asante Kishimba Mh.
@mursalsaid3327
@mursalsaid3327 3 жыл бұрын
Umeongea point , miaka iliyopita matibabu yalikua bure ,ukiandikiwa doze zote ulikuwa unapata ,hata upasuaji ulikuwa bure , lakini Sasa hivi imekuwa shida Sana ,
@leonardemmanuel9249
@leonardemmanuel9249 2 жыл бұрын
Nimelike comment yako japo miaka ya nyuma sikuwepo wala uhakika sina
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Na hapo zamani sisi tunakua ukienda hospitali unapewa dawa lkn sasa ivi msiba mkubwa afya afya ni muhimu sana
@melasdekas825
@melasdekas825 3 жыл бұрын
Hongera sana Msukuma mwenye busara. Wewe ndiye mbunge wetu mwenye kutoa taswira nzuri.
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 3 жыл бұрын
Genius kama hawa wachache umefikiria parefu sana.... 🤗🤗 Serikali iangalie kwa macho mawili kabisa
@princejosephat8316
@princejosephat8316 3 жыл бұрын
Hakika wewe ni mbuge wa pekee unayejua maisha ya watanzania na adha tunayoipata sisi wananchi wenu,hawa ndo wabunge wazalendo wanaofuatilia maisha ya kila siku ya wananchi wao...safii sanaaa...naktakia maisha marefu ili ufundishe wengi ktk kujenga hoja hapo mjengoni.
@happynesskimt6249
@happynesskimt6249 3 жыл бұрын
Asante sana kwa kuliona Hilo mana huku yako mengi nyuma ya pazia, traffic waamishiwe hospital 🤝🤝japo😅😅😅 ila ni kweli kabisa ndio maana wengine hatuoni manufaa ya bima😢😭😭
@deusijohn3863
@deusijohn3863 3 жыл бұрын
Asante sana hapo kwenye matibabu umegusa sanaaaaa, serikali ichukue hatua
@lyimohilda7880
@lyimohilda7880 3 жыл бұрын
Umewatetea vizuri mno wanyonge kwa busara na hisia, hata Mungu amefurahi.
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 3 жыл бұрын
MZEE ANAJIAMINI SANA😊😊🙏🙏
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 3 жыл бұрын
Kahama oyeeee inapendeza sana
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 3 жыл бұрын
Ni kweli bima haileweki hasa tunaolipa binafsi mara usiende hosp fulani mpaka rufaa mara kifuru hiki hakina haya matibabu na umelipa laki 6 serikali iliangalie hili ni shida
@ashamaneno6639
@ashamaneno6639 3 жыл бұрын
I wish akuna mbunge shupavu kama uyu mungu akulinde ndugu yangu kila oja zako zipo vizuri saaaaaana napenda sana kusikiliza kaka.
@mariachombo7316
@mariachombo7316 3 жыл бұрын
Yani wewe ni mbunge mmoja, katika wote, nakukubali sana , nitakuombea aisee uishi milele tutetee baba
@dorisjulius4951
@dorisjulius4951 2 жыл бұрын
L
@khalidtv6200
@khalidtv6200 3 жыл бұрын
"WANAIPITA NYAMA HAPO WANAFUATA MCHICHA PALE TENA BILA MALALAMISHI"(mwisho wa kunukuu)
@naturelle1097
@naturelle1097 2 жыл бұрын
😆 kwa hiari
@babayao3791
@babayao3791 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius
@benderamateso8244
@benderamateso8244 2 жыл бұрын
My best Member of Parliament ever, so genius - hoja za msingi zinazogusa, kahama mnaye mbunge
@shabanfelix4273
@shabanfelix4273 3 жыл бұрын
Yani wakati mwingine ccm kuna wambunge wenye akili timamu nauzalendo toka nianze kusikiliza bunge uyu mzee niwakwanza kusema maisha halisi yamtanzania
@ezrashukuru7511
@ezrashukuru7511 3 жыл бұрын
Hallelujah.namtukuza Yesu Kristo kwaajili yako Mbunge wa Taifa
@johnleonard4835
@johnleonard4835 3 жыл бұрын
Mzee big up kwa mawazo yako maana daaah sio kwa kuwaza parefu na nimeamini utu uzima dawa
@babayao3791
@babayao3791 3 жыл бұрын
Una akili kubwa sana @ mh kishimba........✍
@hilarykawa1880
@hilarykawa1880 3 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ya uwakilishi ... yani kishimba ndio man of the match kwenye bunge la Tanzania tangu kuzaliwa kwake
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 3 жыл бұрын
Nchi Duniani zinafilisika kwa vitu viwili; 1. Vita 2. Ujenzi NOTED
@julianasanga9548
@julianasanga9548 3 жыл бұрын
Mbunge wewe upo vizuri sana unajuwa tabu zetu huku chini tunateseka sana Mungu akutunze hakika wananchi wako wanajivunia wewe
@matindembaratani6221
@matindembaratani6221 3 жыл бұрын
Huyo mbunge akili nyingi Sanaa namfatilia Sana uko vnzr
@bidayo1058
@bidayo1058 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius,💯💯💯
@jumasaid7471
@jumasaid7471 3 жыл бұрын
Mzee nakukubali sana
@yusufaaramadhan7316
@yusufaaramadhan7316 3 жыл бұрын
Umeona
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 3 жыл бұрын
Kweli uhai ni kitu muhimu kuliko yote
@doiabel3793
@doiabel3793 3 жыл бұрын
Wakati ninaishi kijijin na babu yangu tulikua tukiumwa anasema mkamnunulie mgonjwa sukari akorogewe uji, kweli maisha yanabadirika sana,, kishimba ngosha wane wawiza sana ngosha.
@mariammassawe3274
@mariammassawe3274 3 жыл бұрын
Mungu hakujalie baba kweli ww magu wapili
@jaykimoga1888
@jaykimoga1888 3 жыл бұрын
Đâh! Tunawataka hawa darasa la saba wenye busara na akili kama zote
@petrokisasi4935
@petrokisasi4935 3 жыл бұрын
Aisee ww Mzee n level nyingine kabisa,hoja zako zinaonyesha elimu ulonayo ya ustaarabu halisi w maisha na mazingira na sio vyeti vya mashulen,mawazo yako n mapana mno
@shabaniamadi4138
@shabaniamadi4138 3 жыл бұрын
Yan Mungu amempa vyote
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni mzalendo sana anastaili kuitwa Professor hoja zake siku zote ni kutetea masikini MUNGU akubariki sana kuwakumbuka masikini tuliowengi,🙏🙏🙏👩‍🍳👩‍✈️
@ngoiedward4176
@ngoiedward4176 3 жыл бұрын
Akili nyingi sanaa
@pascarmwatosya6815
@pascarmwatosya6815 3 жыл бұрын
Safi Sana kiulahisi utaona hajaongea pointi,Ila huyu mbunge Nimekuelewa Sana Hongera sana mbunge kwa kuwa umetambua umetumwa nini na Mbos wako wabunge Kama awa ndio wanaotakiwa bungen huyu atakuwa hakupita bila kupingwa,Hongera Tena mbunge
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 3 жыл бұрын
Umewalecture mpaka Basi hongera mweshimiwa JK
@edwardmaumau9455
@edwardmaumau9455 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mheshimiwa kishimba kwa suala la matibabu bure
@Youngkassaby
@Youngkassaby 2 жыл бұрын
Mashallah allah akuweke mzee wetu
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 3 жыл бұрын
Mzee namuona kwenye uwaziri🙏🙏
@rahmarahma920
@rahmarahma920 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 3 жыл бұрын
@@rahmarahma920 🙏🙏
@felisilohay9138
@felisilohay9138 3 жыл бұрын
Wabunge wetu wakibaki kuwa wabunge huwa wanakuwa na point sana, ila wakianza kuwaza uwaziri ndipo wanapotusahau na kila mara wabunge wa namna hiyo hoja zao bungeni ni kukejeli wapinzani na kumsifu rais na serikali. Ila huyu mzee Prof Jay ni wa tofauti sana. Excellent prof
@danielbalele7093
@danielbalele7093 2 жыл бұрын
Huyu mh anastahili kuwa mbunge ni mshauri mzuri wa Serkali hoja za msingi zikimlenga mwananchi wa kawaida.
@johnlikoo5973
@johnlikoo5973 3 жыл бұрын
Daaaah Mzeee mashimba 🔥🔥🔥
@khalfanabasi695
@khalfanabasi695 3 жыл бұрын
Unawza mbali sana mzee kishimba nakuelewa sana sema tu hawakuelewi hao nataman raisi akuone walau uwe mshauri wake
@petrokisasi4935
@petrokisasi4935 3 жыл бұрын
Hili n wazo kubwa Sana,"Awe mshauri wa Raisi"
@eliejenjakihoko8597
@eliejenjakihoko8597 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ninamuunga mkono mheshimiwa Kishimba alichokisema mimi binafsi kimenikuta.Nilikuwa Mwalimu katika shule za serikali katika elimu ya msingi,nilifanya kazi hadi nilipostaafu.Na wakati wote huo nilikuwa nikikatwa bima ya afya,nikihakikishiwa kuwa wakati wa kuoga bima itanilipia.Na kwa muda mbegu kwa kuwa wakati huo nilikuwa bado kijana hata kuuguaugua sikuwa naugua.Sasa nimekuwa mzee maradhi mengi ndio yanabisha hodi. Ni hivi majuzi nimekwenda hospitality naugua macho.nikaandikiwa dawa pamoja
@devothalasway7717
@devothalasway7717 Жыл бұрын
Uyu ni Rais mtarajiwaa,,🙏
@masanjasweya703
@masanjasweya703 3 жыл бұрын
Wasomi wengi ni mafisadi darasa la saba wapewe uwazili wanajua shida zetu wamesoma bure kwa nyerere wanatutesa leo. JPM lala salama ulijitoa kwaajili yetu.
@amosyohana5351
@amosyohana5351 3 жыл бұрын
Kabisa kabisa kabisa
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
Jpm endelea kupumzika
@ikulutv622
@ikulutv622 3 жыл бұрын
Shida nayo haya masheria yetu yamekaa hovyo ynamlazimisha Rais ktk kuteua Waziri angalau awe na digrii na Sana siku hizi wanajali Sana masters na kuendelea!
@collinndabi2007
@collinndabi2007 3 жыл бұрын
Kasome na wewe
@Winstonfying
@Winstonfying 3 жыл бұрын
Sasa huyo JPM si ndiyo aliwajaza hao wasomi serikalini, mpk vyuo vikakosa walimu?
@francisrukeisa6299
@francisrukeisa6299 3 жыл бұрын
Huyo mbunge Kishimba ameongea points za muhimu,wabunge wote inabidi mnakili kwakwe kwa kuzungumzia matatizo yanayotuhusu wananchi na sio kuongelea vitu visivyoleta manufaa hata kwa taifa. Kwa kweli kawapasha ukweli ulivyo.
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Mh: Juma Kishimba
@eliyahubi1887
@eliyahubi1887 3 жыл бұрын
Uko vizuri.sana kishimba. Wabunge mwengine. Ni maslahi yao tu. Afya tu ndo. Mtaji wa Maskini.
@hadijasaid9463
@hadijasaid9463 3 жыл бұрын
Kweli mbunge wetu mwema. Wazee wanakufa kila saa hasa tinde hakuna dawa kabisa
@fintanmkesha1077
@fintanmkesha1077 3 жыл бұрын
Mm nakuelewa Sana mzee
@yasinmtangi5140
@yasinmtangi5140 Жыл бұрын
Mama kwanini uyu mtu haupi uazili
@mohamedally1594
@mohamedally1594 3 жыл бұрын
Hiyo Tsh 30 ya mafuta ikipanda bado ni mwananchi wa kawaida ndiye atayeilipa. Labda tufikirie watu wachache watolewe 30,000 directly kutoka kwenye posho/mshahara
@shangwehalisi7659
@shangwehalisi7659 3 жыл бұрын
Prof katika ubora wake
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 3 жыл бұрын
Uko vizuri
@zengomunguatuepushenajanga7416
@zengomunguatuepushenajanga7416 3 жыл бұрын
Nakubari sana wa daraja 7 tunafaida
@mpongomwenda1599
@mpongomwenda1599 3 жыл бұрын
Nimetokea kukupenda sana lillaah kiongozi wetu.
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 3 жыл бұрын
Wabunge kama hawa ndo tunawataka...Wakutusemea Wananchi.Mungu Akutie Nguvu.
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Mhe, kishimba unaongea pont zaidi ya rais nakupenda sana
@Micpaul.o
@Micpaul.o 19 күн бұрын
Wewe mzee ni hazina ya Taifa, ni vile tu mifumo ya nchi bado ...
@stevenleonce9416
@stevenleonce9416 3 жыл бұрын
Ukifika kwwny kilimo naomba uzungumze kwa uwazi kwa mapana zaidi naona unauelewa mkubwa na matatizo y wananchi weka namb mtandaon tuwe tunakupigia mheshimiwe. Mungu akulinde
@shalomizrael667
@shalomizrael667 3 жыл бұрын
Ahsante sana mzee KISHIMBA MUNGU AKULINDE KWA UKIGO WA MOTO, MANA MTETEA WANYONGE HAACHWI AKASTAWI.
@naturelle1097
@naturelle1097 2 жыл бұрын
Safii sana !
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 3 жыл бұрын
Kwa nini hakuna regulatory kwenye Dawa? NOTED
@elizawamainge8623
@elizawamainge8623 3 жыл бұрын
Umenikosha sana.wa vijijini tupo na wewe kwa swala hilo
@eddydauson7525
@eddydauson7525 3 жыл бұрын
Unapokutana na la saba kama huyu na digrii zako lazima ujikaushe
@salmamgeta1599
@salmamgeta1599 3 жыл бұрын
Nakupenda sana sichoki kuku sikiliza baba
@mariammassawe3274
@mariammassawe3274 3 жыл бұрын
Dah kweli umeongea point baba mungu hakujalie uwe kiongozi mkubwa
@kelluadam5790
@kelluadam5790 3 жыл бұрын
Safi sana kishimba kwa kuwa mzalendo
@alphoncejuma9652
@alphoncejuma9652 3 жыл бұрын
Mheshimiwa mbunge hongera sana kwa hoja zako msingi
@mariethamkulo1983
@mariethamkulo1983 3 жыл бұрын
Kweli mbunge wangu safiii sanaaa
@wilfridaezekiel375
@wilfridaezekiel375 3 жыл бұрын
Jamani huyo mbunge nampenda
@mariammpangalala8423
@mariammpangalala8423 3 жыл бұрын
Uko sawa Mzee wetu, watanzania wengi tunakufa kwa umasikini, uwezo wa matibabu hatuna, watu wanafia nyumbani kwa uwezo mdogo, mlitizame hilo wakubwa, watu wa hali ya chini tunadhalilika sana
@ellymlay9266
@ellymlay9266 3 жыл бұрын
Huyu mzee yupo vizuri na Mungu atambariki mno.
@abdallahhamis6532
@abdallahhamis6532 3 жыл бұрын
Mbunge huyu amezungumza jambo la msingi sana hospital kweli zinajengwa lkn gharama zake sio rafiki kabisa kwa mwananchi mwenye kipato cha chini
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 3 жыл бұрын
Natamani kuundwe kambi rasmi ya darasa la saba bungeni Ii tuwe tunapambanisha hoja pande mbili Yaani darasa lasaba na wasomi
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa.
@edgarlinus2720
@edgarlinus2720 3 жыл бұрын
Masomi ni maninja atari yataanza vingereza viiiiiingi mwisho wa point umeliwa kama kamali vile
@lewisshemboko2106
@lewisshemboko2106 2 жыл бұрын
Asanteeee
@errydeo8865
@errydeo8865 3 жыл бұрын
Masuala ka haya,wabunge kimyaaaa..
@stevenleonce9416
@stevenleonce9416 3 жыл бұрын
Yaan we mbuge mungu akulinde kishimba kweli ww ni kati y wabunge bora sana ubarikiwe sana
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Tatizo sio dawa tatizo dawa zinabinaifishwa na haohao na kuyauza ktk pharmacy zao ! Unaambiwa dawa Hakuna Ila nenda hapo nje utapata kwenye pharmacy fulani
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 3 жыл бұрын
Huyu ndie Alie tumwa na wananchi.
@ameniameni617
@ameniameni617 3 жыл бұрын
Uji kijijini chumvi na ndimu basi Mambo poa
@denisosward7464
@denisosward7464 3 жыл бұрын
Daa nimekukubali Sana,lingine mzee wangu mashaliti ya uongezaji wa wategemezi haliko sawa (Nina mtoto jina lake moja likotofauti na langu la ukoo nimekataliwa manake Nini?)
@firdausfofofirdausfirdaus4040
@firdausfofofirdausfirdaus4040 3 жыл бұрын
Hapo umesema kweli nakukubali
@richmwaigombe1615
@richmwaigombe1615 3 жыл бұрын
Akil kubwa mno
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 3 жыл бұрын
Kweli watani nzangu wasukuma mnaakilisana
@johnpeterbariyeparesso6471
@johnpeterbariyeparesso6471 3 жыл бұрын
Wew mh mbunge umebarikiwa na mungu. Bima ya afya ya NHIF ni tatizo kwenye huduma hospitalini. Unaambiwa dawa ya zaidi ya sh 4000/= hupewi. Sasa nini maana ya ku
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 3 жыл бұрын
Wewe mbuge safi sana kishimba hakuna kama wewe hakika
@samueljohn2210
@samueljohn2210 3 жыл бұрын
Akili kubwa mno hii!
@titojeremia8365
@titojeremia8365 3 жыл бұрын
Kweli ni kiongozi anaye Jenga hoja .Ni kweli kabisa yafanyiwe kazi siyo anasumbuka kuongea then linaachwa Kama likivo
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 153 М.
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 17 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 56 МЛН
Zuchu - Nyumba Ndogo (Official Dance Video)
2:09
Zuchu
Рет қаралды 5 МЛН
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 206 М.
Walimu waliokuwa na sifa za utoro wawafundishe wanafunzi watoro
10:16
Daily News Digital
Рет қаралды 82 М.
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 17 МЛН