Utu wema ni hazina kubwa mbele za mungu. Ee Mungu tusaidie kuenenda kwa kadiri ya mapenzi yako. Zaidi sana kutenda haki na kuwajali wanyonge ambao ndiyo mfano wa sura yako. Tunapokuabudu tukuabudu kwa moyo na kweli bila unafiki. Mungu utuhurumie
@Meiruzibwe9 күн бұрын
Mungu amekuweka kwa wakati muhimu sana 🙏 Mch. Mbarikiwa wewe umebarikiwa songa mbele ulipo nipo🙏✍️
@DaudLucas-qj3mpКүн бұрын
Sauti ya mungu hawezi kunyamazishwa na mwanadamu asieijua kesho yake.
@msafiriomary8939 күн бұрын
Mm naombea sana sana tena sana ire ndege iriopita kure irani na malawi ingepita na huku tanzania ipunguze wezi