MBUNGE KISHIMBA ASIMULIA KISA KIZITO ALICHOKUTANANACHO ISRAEL “NILIAMBIWA WEWE MPUMBAVU”

  Рет қаралды 111,168

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 76
@sarunioleksaitoty2141
@sarunioleksaitoty2141 2 жыл бұрын
This is a charissmatic leader! He is always opened minded!
@ayoubmugeta4537
@ayoubmugeta4537 2 жыл бұрын
Wewe ndiye MAGUFULI wangu Mzee Kishimba nakupenda sana
@SAM_163
@SAM_163 2 жыл бұрын
Why the comments don't hits 3M?? Very Genius man 🌹
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 Жыл бұрын
The Swahili people ignore the important matters
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 Жыл бұрын
Hazifiki COMMENTS 3m kwa SABABU anaongea VITU VYA MAANA ila INGEKUWA anaongelea upuuzi zingezidi ZAIDI ya 4m
@Shalom803
@Shalom803 Жыл бұрын
Bravo mbunge Kishimba✌✌✌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. I wish ungekuwa mbunge wangu. Limebarikiwa jimbo lako😎
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 жыл бұрын
Wazee kama ww ndio Ninawapenda Saaaaana Umeongea vzr Sana na nimekuelewa vzr Sana 🙏🏼 Safiiii Sana Mzee 👍
@isackdittu8506
@isackdittu8506 2 жыл бұрын
Kishimba na msukuma uwa nawaelewa sana kwa hoja zao Big up sana kwa viongozi kama hawa
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 Жыл бұрын
Darasa la saba lakini akili kama profesa; tukiweka kumbukumbu sawa ni kwamba huyu ndio mwanzikishi wa biashara ya supermarket Tanzania. Kabla yake hakukuwahi kua na supermarket nchi hi. Long live brother J4; mzee wa Imalaseco supermarket pamba house
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 Жыл бұрын
Nilishangaa kuna kipindi niko Nairobi, nilikuta IMALASEKO walikuwa na tawi kule.Ilikuwa kwenye mtaa wa Haile Selasie.
@hajingaa8835
@hajingaa8835 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Ni genius Sana na bara la afrika linatakiwa lijitafakari namna ipi wamtumie
@princemajinge2206
@princemajinge2206 2 жыл бұрын
Mzee wangu kishimba unaakili sana,zaman nilikua naziruka clips zako,lakn nmekuja kukujua unaakili sana baba yangu.
@bapesampendwa671
@bapesampendwa671 2 жыл бұрын
Hahahahaha kama naona wanavyoonaa siee hatujielewiii
@HashimuHashboy-bo2wl
@HashimuHashboy-bo2wl 2 ай бұрын
Ww kishimba ni smart kweli kweli mungu akupe maisha marefu
@BernadethaCharles-sv3oy
@BernadethaCharles-sv3oy Ай бұрын
Very useful mind!
@isaacvtv547
@isaacvtv547 2 жыл бұрын
Na mu admire sana
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 2 жыл бұрын
Kishimba huwa anafanya sana critical analysis. Hongera zake sana !
@allanmapamba4765
@allanmapamba4765 2 жыл бұрын
Mzee kishimba shikamoo
@nekiboychannel678
@nekiboychannel678 2 жыл бұрын
Mze kishimba wew unastahili hata kuongoza nchii
@andrewmsunga9425
@andrewmsunga9425 2 жыл бұрын
😀😀😀😀 Nimejikuta nacheka tu, kiukweli Mzee Kishimba unaelimu ya mtaani ya uhalisia
@YusufKhan-gm8re
@YusufKhan-gm8re 2 жыл бұрын
Genius
@chedielimrutu6955
@chedielimrutu6955 2 жыл бұрын
Wewe ndio unastahili kupewa udaktari wa heshima
@KALIKAWE
@KALIKAWE 2 жыл бұрын
Ukiwa na kitunguu na nyanya ni mboga tayari
@godfreymrosso2051
@godfreymrosso2051 2 жыл бұрын
He is very smart in his head
@josephjohn2114
@josephjohn2114 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana
@saadathassan4434
@saadathassan4434 2 жыл бұрын
Heshima xna mzee kishimba
@mosesmbeke6137
@mosesmbeke6137 Жыл бұрын
Very powerful ideas
@muhsiniissa8151
@muhsiniissa8151 8 ай бұрын
Uyu mzee genius
@simonmisri7824
@simonmisri7824 2 жыл бұрын
Profeser kishimba huyo safi iseee!mawazo mapana
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 2 жыл бұрын
Huyu mzee bwana huwa ananifurahisha sana huwa anapiga NONDO balaaaa
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 2 жыл бұрын
Huyu baba ni balaaa
@anethchua4041
@anethchua4041 2 жыл бұрын
Asante sn baba yetu ubarkiwe san.
@husseinmgaya1805
@husseinmgaya1805 2 жыл бұрын
Huyu mzee anafaa kua rais kabisa jamani
@davidbahati3748
@davidbahati3748 Жыл бұрын
Bright mind, we sio mbishi mzee wng Bali Ni mdadis usieona haya kuuliza usichokijua
@albertjames6845
@albertjames6845 2 жыл бұрын
👏
@peterdoisso2414
@peterdoisso2414 Жыл бұрын
Huyu mzee ana akili sana namwomba mama ampe nafasi serikalini
@barnaba3037
@barnaba3037 2 жыл бұрын
genius
@captainramadhan8674
@captainramadhan8674 Жыл бұрын
Kwa kweli MH kishimba angefaa KUWA muhadhiri wa kubadilaha mawazo dunibna KUWA bora ingawa njia ambayo Tunis ni ya mziba zaidi
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 Жыл бұрын
Shikamooo Mzee wangu
@georgebalele4978
@georgebalele4978 Жыл бұрын
Nakubali sana
@munirahmed7753
@munirahmed7753 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃
@husnahassan2124
@husnahassan2124 2 жыл бұрын
Nakupenda sana baba angu 🙏🙏🙏💖💖🇹🇿🇹🇿
@Hananja.r
@Hananja.r Жыл бұрын
Hujambo mwanangu mpendwa?.
@dismasstanslaus5985
@dismasstanslaus5985 2 жыл бұрын
Jamaa anaakili vibaya mnooo
@isikesamike
@isikesamike 2 жыл бұрын
Huwa siruki post za professor Kishimba 😂😂
@elishuaisaya4176
@elishuaisaya4176 2 жыл бұрын
Duuh huyu jamaa hatari sana
@mussafilipatali503
@mussafilipatali503 2 жыл бұрын
Qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq
@danielsamwel4432
@danielsamwel4432 2 жыл бұрын
Sijawahi acha kukuelewa Baba
@rahmajaffar794
@rahmajaffar794 Жыл бұрын
Inafuranisha wafugaji wana mkakati hadi wanawakodisha nyumba wabunge wavaa suti
@HildaBayyo-mp5by
@HildaBayyo-mp5by Жыл бұрын
Naomba anzisha shule ya mfano Kila mkoa uwakomboe wa Tanzania
@simonkasato7617
@simonkasato7617 2 жыл бұрын
Kwann hawajamtunuku phd
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm Жыл бұрын
Hii ndio maana ya Kuitwa Profesa. Sio maporojo na ulaghai wa lundo la Vyeti. Huyu ni Waziri Mkuu au Waziri wa Elimu. Ajabu haonekani, sijui anaogopwa!
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@macjode3789
@macjode3789 2 жыл бұрын
Huyu mtu ana Uwezo Mkubwa sana
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Жыл бұрын
Akili kubwa
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 жыл бұрын
Mupeni hata huyu uraisi ana tosha
@samwelipima3795
@samwelipima3795 Жыл бұрын
Kishimba we jinias kwa Tanzania
@abineryantonykilulu954
@abineryantonykilulu954 Жыл бұрын
Huyu ndo anapaswa kupewa udaktari wa heshima
@ferdinandemmanuel4167
@ferdinandemmanuel4167 2 жыл бұрын
Nyanya na kitunguu ni mboga tayar hahaha 😂🤣
@munirahmed7753
@munirahmed7753 2 жыл бұрын
Mmmhh genius ?????
@thomasmolel3711
@thomasmolel3711 2 жыл бұрын
Kishimba Mungu akubariki mimi nimekukubali natamani nipate namba yako ya simu
@cascanicolnicol2008
@cascanicolnicol2008 2 жыл бұрын
dr mwingine huyu hapa
@thechosenone.9169
@thechosenone.9169 Жыл бұрын
Kishimba yupo sahihi kununua hiyo saa ila muisraeli ndiye mpuuzi ila hajijui.Anadhani kila mwafrika amechoka.Anamjua Kishimba kuwa ana miliki supermarket na biashara zingine?
@simonkasato7617
@simonkasato7617 2 жыл бұрын
Kongole
@pontiancharles3228
@pontiancharles3228 2 жыл бұрын
Mzee huyu anastahili uwaziri
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Mtu kama huyu hawampi mana wataona atafanya maendeleo wanawachagua mawazir vilaza
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
HIVI HAKUNA NAMNA YA KUMPA NAFASI YA UONGOZI MKUBWA HUYU MZEE? BINAFSI NINAMKUBALI SANA , YAANI ANATOA ELIMU SAHIHI KULIKO MIJITU MIFURANI. TUMIA PESA ILI IONGEZEKE SIYO IPUNGUE.
@mekumeku2484
@mekumeku2484 2 жыл бұрын
Biashara ni ajira sio utajiri hahahaha
@geraldenos5416
@geraldenos5416 2 жыл бұрын
Kwanini ng'ombe asifugwe kwa laptop
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
nafikiri anachomaanisha pamoja na kutumia laptop inabidi ufanye vitendo na ujifunze kwa wafugaji ambao wan uzoefu wa kufuga sio nadharia tu.
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@carlosMoses
@carlosMoses Жыл бұрын
Munapoteza muda na komedi. Huyu mbona hasemi alivyopata pesa kupitia dhuluma za dhahabu kwa wasukuma wa kahama? Alikuwa muuzaji Mwanza akiaminiwa na nduguze, kabila yake, na akawapiga! Leo anasimulia bishara, ipi?
@samwelmashamba8922
@samwelmashamba8922 Жыл бұрын
Kununua vitu feki,hapana...vitu feki vinaumiza watu wengi sana,tukemee kupromote vitu feki
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 Жыл бұрын
Wasukuma wana akili sana inabidi nioe msukuma
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Жыл бұрын
Akili kubwa
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 259 М.
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 25 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 27 М.
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 25 МЛН