This is a charissmatic leader! He is always opened minded!
@ayoubmugeta45372 жыл бұрын
Wewe ndiye MAGUFULI wangu Mzee Kishimba nakupenda sana
@SAM_1632 жыл бұрын
Why the comments don't hits 3M?? Very Genius man 🌹
@luganomunuwavanu9369 Жыл бұрын
The Swahili people ignore the important matters
@habibnjowele7751 Жыл бұрын
Hazifiki COMMENTS 3m kwa SABABU anaongea VITU VYA MAANA ila INGEKUWA anaongelea upuuzi zingezidi ZAIDI ya 4m
@Shalom803 Жыл бұрын
Bravo mbunge Kishimba✌✌✌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. I wish ungekuwa mbunge wangu. Limebarikiwa jimbo lako😎
@mkambamaulid4472 жыл бұрын
Wazee kama ww ndio Ninawapenda Saaaaana Umeongea vzr Sana na nimekuelewa vzr Sana 🙏🏼 Safiiii Sana Mzee 👍
@isackdittu85062 жыл бұрын
Kishimba na msukuma uwa nawaelewa sana kwa hoja zao Big up sana kwa viongozi kama hawa
@fadhililihinda6491 Жыл бұрын
Darasa la saba lakini akili kama profesa; tukiweka kumbukumbu sawa ni kwamba huyu ndio mwanzikishi wa biashara ya supermarket Tanzania. Kabla yake hakukuwahi kua na supermarket nchi hi. Long live brother J4; mzee wa Imalaseco supermarket pamba house
@heraldloshi1864 Жыл бұрын
Nilishangaa kuna kipindi niko Nairobi, nilikuta IMALASEKO walikuwa na tawi kule.Ilikuwa kwenye mtaa wa Haile Selasie.
@hajingaa88352 жыл бұрын
Huyu jamaa Ni genius Sana na bara la afrika linatakiwa lijitafakari namna ipi wamtumie
@princemajinge22062 жыл бұрын
Mzee wangu kishimba unaakili sana,zaman nilikua naziruka clips zako,lakn nmekuja kukujua unaakili sana baba yangu.
@bapesampendwa6712 жыл бұрын
Hahahahaha kama naona wanavyoonaa siee hatujielewiii
@HashimuHashboy-bo2wl2 ай бұрын
Ww kishimba ni smart kweli kweli mungu akupe maisha marefu
@BernadethaCharles-sv3oyАй бұрын
Very useful mind!
@isaacvtv5472 жыл бұрын
Na mu admire sana
@zengomikomangwa92642 жыл бұрын
Kishimba huwa anafanya sana critical analysis. Hongera zake sana !
@allanmapamba47652 жыл бұрын
Mzee kishimba shikamoo
@nekiboychannel6782 жыл бұрын
Mze kishimba wew unastahili hata kuongoza nchii
@andrewmsunga94252 жыл бұрын
😀😀😀😀 Nimejikuta nacheka tu, kiukweli Mzee Kishimba unaelimu ya mtaani ya uhalisia
@YusufKhan-gm8re2 жыл бұрын
Genius
@chedielimrutu69552 жыл бұрын
Wewe ndio unastahili kupewa udaktari wa heshima
@KALIKAWE2 жыл бұрын
Ukiwa na kitunguu na nyanya ni mboga tayari
@godfreymrosso20512 жыл бұрын
He is very smart in his head
@josephjohn21142 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana
@saadathassan44342 жыл бұрын
Heshima xna mzee kishimba
@mosesmbeke6137 Жыл бұрын
Very powerful ideas
@muhsiniissa81518 ай бұрын
Uyu mzee genius
@simonmisri78242 жыл бұрын
Profeser kishimba huyo safi iseee!mawazo mapana
@khaliduhadi23362 жыл бұрын
Huyu mzee bwana huwa ananifurahisha sana huwa anapiga NONDO balaaaa
@blandinamwarabu50252 жыл бұрын
Huyu baba ni balaaa
@anethchua40412 жыл бұрын
Asante sn baba yetu ubarkiwe san.
@husseinmgaya18052 жыл бұрын
Huyu mzee anafaa kua rais kabisa jamani
@davidbahati3748 Жыл бұрын
Bright mind, we sio mbishi mzee wng Bali Ni mdadis usieona haya kuuliza usichokijua
@albertjames68452 жыл бұрын
👏
@peterdoisso2414 Жыл бұрын
Huyu mzee ana akili sana namwomba mama ampe nafasi serikalini
@barnaba30372 жыл бұрын
genius
@captainramadhan8674 Жыл бұрын
Kwa kweli MH kishimba angefaa KUWA muhadhiri wa kubadilaha mawazo dunibna KUWA bora ingawa njia ambayo Tunis ni ya mziba zaidi
Inafuranisha wafugaji wana mkakati hadi wanawakodisha nyumba wabunge wavaa suti
@HildaBayyo-mp5by Жыл бұрын
Naomba anzisha shule ya mfano Kila mkoa uwakomboe wa Tanzania
@simonkasato76172 жыл бұрын
Kwann hawajamtunuku phd
@EmanuelyMbagalla-rt2vm Жыл бұрын
Hii ndio maana ya Kuitwa Profesa. Sio maporojo na ulaghai wa lundo la Vyeti. Huyu ni Waziri Mkuu au Waziri wa Elimu. Ajabu haonekani, sijui anaogopwa!
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@macjode37892 жыл бұрын
Huyu mtu ana Uwezo Mkubwa sana
@yassinhamza1969 Жыл бұрын
Akili kubwa
@faustinejemsi14882 жыл бұрын
Mupeni hata huyu uraisi ana tosha
@samwelipima3795 Жыл бұрын
Kishimba we jinias kwa Tanzania
@abineryantonykilulu954 Жыл бұрын
Huyu ndo anapaswa kupewa udaktari wa heshima
@ferdinandemmanuel41672 жыл бұрын
Nyanya na kitunguu ni mboga tayar hahaha 😂🤣
@munirahmed77532 жыл бұрын
Mmmhh genius ?????
@thomasmolel37112 жыл бұрын
Kishimba Mungu akubariki mimi nimekukubali natamani nipate namba yako ya simu
@cascanicolnicol20082 жыл бұрын
dr mwingine huyu hapa
@thechosenone.9169 Жыл бұрын
Kishimba yupo sahihi kununua hiyo saa ila muisraeli ndiye mpuuzi ila hajijui.Anadhani kila mwafrika amechoka.Anamjua Kishimba kuwa ana miliki supermarket na biashara zingine?
@simonkasato76172 жыл бұрын
Kongole
@pontiancharles32282 жыл бұрын
Mzee huyu anastahili uwaziri
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Mtu kama huyu hawampi mana wataona atafanya maendeleo wanawachagua mawazir vilaza
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
HIVI HAKUNA NAMNA YA KUMPA NAFASI YA UONGOZI MKUBWA HUYU MZEE? BINAFSI NINAMKUBALI SANA , YAANI ANATOA ELIMU SAHIHI KULIKO MIJITU MIFURANI. TUMIA PESA ILI IONGEZEKE SIYO IPUNGUE.
@mekumeku24842 жыл бұрын
Biashara ni ajira sio utajiri hahahaha
@geraldenos54162 жыл бұрын
Kwanini ng'ombe asifugwe kwa laptop
@ahz69072 жыл бұрын
nafikiri anachomaanisha pamoja na kutumia laptop inabidi ufanye vitendo na ujifunze kwa wafugaji ambao wan uzoefu wa kufuga sio nadharia tu.
@mwankenjatv9330 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@carlosMoses Жыл бұрын
Munapoteza muda na komedi. Huyu mbona hasemi alivyopata pesa kupitia dhuluma za dhahabu kwa wasukuma wa kahama? Alikuwa muuzaji Mwanza akiaminiwa na nduguze, kabila yake, na akawapiga! Leo anasimulia bishara, ipi?
@samwelmashamba8922 Жыл бұрын
Kununua vitu feki,hapana...vitu feki vinaumiza watu wengi sana,tukemee kupromote vitu feki