Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.
@majutojackson57186 күн бұрын
kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?
@florakweyunga44905 күн бұрын
Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!
@irakozejclaude78693 жыл бұрын
Hakika uhuru sio amani walio panga kuharibu kwa kimvuri cha uhuru uli wanyoosha kweli kweli Rip umeacha nuru
@mohammedhimba1647 Жыл бұрын
Kweli itabaki kweli haki za watu hazipotei
@ElvisTabula8 күн бұрын
Kiburi cha uzima
@wosiakyunga99955 күн бұрын
Tutakukumbuka daima
@musasalim70423 жыл бұрын
maisha ni kitendawili
@seemanishekiao6 күн бұрын
Rais
@adamdaudi61912 күн бұрын
Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.
@goodlackriwa67285 күн бұрын
Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,
@benswai80993 жыл бұрын
Wewe mzee uliminya sana Uhuru wa watu kujieleza au kuonesha hisia zao. Hakika uliumiza sana wengi. Watu walikuunga mkono si kwa usahihi wako bali kwa kuhofia usalama wao
@yahyamassala14543 жыл бұрын
Hakika
@andreabulugu14307 күн бұрын
hakika ukipitia tena hii tweet unajuta kwanini uliandika
@MrA24G5 күн бұрын
Upo sahihi alikuwa ha tolerate upuuzi.Sawa sawa.
@emmanuellyatuu41035 күн бұрын
Mpumbavu wewe!
@romanamassawe814 Жыл бұрын
Umeenda kuzimu na roho mbaya yako, Sasa hivi unakula Moto
@mohammedkhimji7505 Жыл бұрын
Mungu akusamehe kwa huu porojo ulichotapika hapo....
@mtzhalisi22328 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mtzhalisi22328 күн бұрын
Ni wazi wako walio umia na wako waliofaidi utawala wake
@denismasele413011 сағат бұрын
We umeleta ukanda roho mbaya,,,,si haki yako kutoa hukumu