Baadhi ya wa tz kwakutukana watumishi wa Mungu hamjambo wenzetu wazanzibar niwanyenyekevu sana hivi mama akisikia hii atamwita huyu nabii akamuombee nakumbuka mzee mwinyi wakati ni Rais wa tz nabii mmoja alitoka dodoma akaenda ikulu kwenda kuomba pamoja na mzee wabara kazi yenu kutukana
@barakaayubu61262 ай бұрын
Huna ROHO wa Kristo wewe sio nabii ni mnajimu.
@jaberalyafei2742 ай бұрын
Pole sana pole sana
@user-ix5jq9ks6q2 ай бұрын
😂😂
@BernadethaMweni-nt4kd13 күн бұрын
Utabiri myezi iliyopita kua Gwajima ndiyo Raisi ajaye iweje tena usema ni Mama Samiya kaaUkijua JEHOVA siyo kinyonga swali tuamini lipi?usituchanganye.
@Elijah-TheSeerTv13 күн бұрын
Ndugu hiyo post ya Samia Ni nyuma Sana Mungu alisema atubu akagoma kufanya ivo. Ndipo yalipokuja hayo ya gwajima
@franksabas6339Ай бұрын
Kumbuka ulishatoa unabii juu ya Askofu Fulani - Leo unajisafisha na ulichosema kabla,