MPINA AINGIA KWENYE 18 | TAZAMA WABUNGE WALIVYOMSULUBISHA HADI AKATOKA BUNGENI

  Рет қаралды 37,218

TBConline

TBConline

Ай бұрын

Пікірлер: 300
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n Ай бұрын
Wabunge mungu anawaona mnasema mnalidhalilisha bunge mbn huko Dubai walipokea mlungula
@VcentPaul
@VcentPaul Ай бұрын
Mpina oyee.Tukopamoja na wananchi !!!
@AllyRamadhani-wl3um
@AllyRamadhani-wl3um Ай бұрын
Mpina uko vizuri mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
@NuruMbilinyi-oe1nr
@NuruMbilinyi-oe1nr Ай бұрын
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
@Dominaevance
@Dominaevance Ай бұрын
Yaan Bunge Zima linashindwa kujadili wizi na ubadilifu uliozungumzwa then wanajadili namna taarifa ilivyowasilisha, Bunge linashangaza sana hili
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n Ай бұрын
Hili bunge linaubaguzi sana mtu anatetea wanyonge halafu wabunge wanamdhihaki mtetea wanyonge bunge hili la hovyo sana
@abrahamsamweli-wg8ck
@abrahamsamweli-wg8ck Ай бұрын
Nilikuwa nakupenda Bunge ila kwasasa hapana,
@jafarieliyakim6
@jafarieliyakim6 Ай бұрын
Mimi naona alichosema mpina nikingine kinacho zengumziwa nikingine mbina hawasemi kampuni zilizopeŵa vibari
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Ай бұрын
Hongera sana Mh. Mpina, sisi wananchi tumekuelewa vizuri sana. Hata wakikutoa sisi wananchi tuko nawe.
@tungarazalucas1478
@tungarazalucas1478 Ай бұрын
Acheni uongo mtafanya nn
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Ай бұрын
Mpina kazingua
@DeusLukonje
@DeusLukonje 19 күн бұрын
Nyie wabunge mungu anawaona tunawasubiri kwa hamu 2025 big up mpina .
@petrosukums2510
@petrosukums2510 Ай бұрын
Ukijielewa watakusumbua sanah
@abdallahkiliaki3744
@abdallahkiliaki3744 Ай бұрын
Hili Bunge halijielewi. Kila Mbunge anajipendekeza. Ni kw maslahi ya matumbo yao, siyo kw ajili ya wananchi.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Ай бұрын
Mpina Mungu yuko nawe mtetea wanyonge mnatete a matumbo yenu
@loycep7785
@loycep7785 Ай бұрын
Nyie wabunge wote mnaochangia maneno yasiyokuwa na msingi mnatetea wizi na ubadilifu wataratibu za kweli tubuni Mungu anawaona ipo siku yaja Mungu hatanyamaza mwogopeni sana aliyewaumba pamoja na sheria zenu
@AllyKipanga-sg4qb
@AllyKipanga-sg4qb Ай бұрын
Mpina usife moyo endelea kupambania wanjonge mungu yupo pamoja nawe awo wanafiki tuu kama tabasamu
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 Ай бұрын
Mnyonge mama yako
@ramadhanyassin4396
@ramadhanyassin4396 29 күн бұрын
Nyie wabunge munaomtukana mpina mungu awape adhabu
@mwajemwafula5777
@mwajemwafula5777 Ай бұрын
Mpina kawatupa mbari sana 🎉🎉🎉 Mwamba
@kingmichael1234
@kingmichael1234 Ай бұрын
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
@rugemalilalucas4533
@rugemalilalucas4533 Ай бұрын
Mpina oyee watanganyika wako na wewe.
@mohamedkashindi7689
@mohamedkashindi7689 Ай бұрын
Siku zote msemaukweli hapendagwi hata yesu alinyongwa msalabani kwa ukweli wake.
@mikwendemakala3933
@mikwendemakala3933 Ай бұрын
Mpina ni shujaa wa wanyonge
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Ай бұрын
Wabunge wa ccm kwa hoja hiyo ya mpina wanavyo changia kwa machachali rakni maswala yanayo wagusa wananchi na kuhusu upatianaji wa katiba mpya wako kimya nyie wabunge maccm Mungu anawaona mnamuhukumu mtu anae sema ukweli wengne wengi 2025 amtorudi tena shenz zenu
@andreauisso3225
@andreauisso3225 Ай бұрын
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
@CristinLyanga
@CristinLyanga 26 күн бұрын
Mpina juuuuuu ,
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 Ай бұрын
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j 29 күн бұрын
Ss na mpina tuko mstar mmoja tunakpenda mh mpina
@GivenMgani
@GivenMgani Ай бұрын
Mpina juu
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f Ай бұрын
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Ай бұрын
Mpina mmeshaanza kumpa jina kubwa kwa wananchi wa jimbo lake!
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Ай бұрын
Msukuma kwa elimu gani wewe ndio sehemu inayokustahili kuchangia huna unachokijua tunampenda mpina
@ngusamagambo9115
@ngusamagambo9115 Ай бұрын
mh mpinga uko sawa piga kaz
@BernardMwakipesile-nq5ze
@BernardMwakipesile-nq5ze Ай бұрын
Msitaje haraka laana kwa sababu nchi hii imejaaa laana kila kona dhuluma kudhalauliana kama mungu angelaani basi hakuna mtu angepona tushinyosheane sana vidole ambaye hajatenda dhambi awe wa kwanza kumpiga mwenzake
@ZionEmanuel-ne8ob
@ZionEmanuel-ne8ob Ай бұрын
Bunge la Tanzania wakiwa busy na kazi daaah Mungu atusaidie sana.
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 Ай бұрын
Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Ай бұрын
Kwenye jimbo lake hawampendi
@oblemongi4195
@oblemongi4195 Ай бұрын
Oooh kwani hapa ni wapi 😂
@rwezimulastephen3713
@rwezimulastephen3713 Ай бұрын
Ndivyo alivyoanguka Job Ndugai. Hakuna sababu za msingi zaidi ya ushabiki na kujipendekeza kwa aliye juu
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Ай бұрын
Huku bungeni wote ni wanafki, mnamnafkia Rais samia, na hapo mnajaribu kufunga wabunge wengine midomo ili wasiseme ukweli uliopo.
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Ай бұрын
sisi wananchi tupo na mpina 🇹🇿
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Ай бұрын
Hawa wanaochangia naona kama wameandaliwa na pia kama wana chuki binafsi ndani yao,lkn God is Great always..I stand with Mpina forever with no disrespect for the parliament..
@user-fr3yx7ot9v
@user-fr3yx7ot9v Ай бұрын
Nilijua mapema Mpina hawezi kupewa ushindi kwani tangu mwanzoni Spika alionyesha Nia mbaya ya kumumiza. Mpina yuko sahihi hata mkijitetea ukweli na mkimwazibu.
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u Ай бұрын
Mnatishana au mnajenga nchi mnatuchanganya sanaa
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 Ай бұрын
Bunge ili jamani Mungu Awasaidie.
@josephngassa7073
@josephngassa7073 Ай бұрын
Inatakiwa katiba mpya ili bunge liwe na tija
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 Ай бұрын
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 Ай бұрын
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina... Wote hakuna atakayerudi hapo
@mwakapalamwakapala8317
@mwakapalamwakapala8317 Ай бұрын
Heko mpina, Wote waliokuhukumu mwakani awatarudi bungeni, wapo bungeni Kwa maslahi binafsi.
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Ай бұрын
Mm mpaka nime mlilia mpina
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 Ай бұрын
Mimi Nataka kujuwa Alichokisema Mpima juu sukari ni kweli au sio kweli
@Ellyosborn-fo2zk
@Ellyosborn-fo2zk Ай бұрын
si kweli maana walimpa mda alete vidhibitisho/ushaidi ukawa ni wa uongo
@magangajumanne8053
@magangajumanne8053 Ай бұрын
​@@Ellyosborn-fo2zkwewe unaona Mpina ana toa ujinga au ukweli na Kwa niaba ya watu,,,,,,shinda niiii.......
@Godfreymlila
@Godfreymlila Ай бұрын
Baraza la maadili halijamtendea haki wanaki wanahusika na aliyoyasema mpina
@coolsinare8824
@coolsinare8824 Ай бұрын
sikubaliani na wabunge.. ila wacha yaendelee hayo ili Mungu ajitukuze
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 20 күн бұрын
Sidhani if my lovely Mp mpina atarudi bungeni
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Ай бұрын
Wabunge wengi ni wanafiki sana
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Ай бұрын
furahieni majanga ya wenzenu, tusubiri nyie msiokosea, yaani malaika wasaka tonge, waoga, wanafki muendelee kula nchi. Kuku kwa mrija. Hongereni.
@six12tv77
@six12tv77 Ай бұрын
Hawa wabunge unaweza kuwatukana kwa hasira ukapata matatizo tu!... Yaani ni wa hovyo mno!
@tabithamoroni1639
@tabithamoroni1639 28 күн бұрын
Sanaaa
@edwinkajuna7207
@edwinkajuna7207 Ай бұрын
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
@michaelsairamagafu
@michaelsairamagafu Ай бұрын
kama yesu alipigwa na kusulubiwa na ndugu zake hatuwezi kushangaa ya Mpina
@paulowilly7864
@paulowilly7864 Ай бұрын
Na ninyi wabunge mmetudharau sisi wananchi oneni Kenya mpina usife moyo kutetea kutetea watnzania hao wanaomtetea Bashe wote ni wezi
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Ай бұрын
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 26 күн бұрын
Dah....kama nije niwang'ateng'ate hapo😢😢na hasira yani😢😢😢😢
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Ай бұрын
Jamani ya kwamba kama usiposifia ww sio CCM kuweni na huruma MH mpina usirudi nyuma pambana mungu yupo pamoja na ww
@user-vc8cc2pt7n
@user-vc8cc2pt7n Ай бұрын
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
@AmaniSulle
@AmaniSulle Ай бұрын
BUNGE GANI HILI ? PAMBANENI NA MAFISADI KINA BASHE' HAKUNA LOLOTE HAPO KWANZA HAMPATI KURA ACHENI KELELE
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 Ай бұрын
Shida yenu ma fisi em huwa hamtaki kuelezwa ukweli
@davidmziray2048
@davidmziray2048 Ай бұрын
Wewe msukuma ni Moja wapi wa wanufaika na biashara ya sukari
@josephngassa7073
@josephngassa7073 Ай бұрын
Musukuma hauko sawa una bifu tu mungu anakuona
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Ай бұрын
Bifu lao ni toka enzi la Magufuli
@filbertdamiani101
@filbertdamiani101 Ай бұрын
Mpina amekosea kutoa Yale aliyowasilisha kwa spika, lakini je mjadala uendelee kuhusu Hilo la Bashe Kama kweli alifata taratibu
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y Ай бұрын
Lissu alikimbia lema jonh heche, wengi tu walishindwa, mpina Njoo nje
@williampaulmashoke7402
@williampaulmashoke7402 Ай бұрын
Vipi kuhusu kesi ya Bashe ndo mmeipotezea ? Mpina ana point, hawa kuna kitu wanaitetea.
@emanueljames6798
@emanueljames6798 Ай бұрын
Yaan mmh sisemi lkn Mh Mpina piga kazi
@dominickrukokelwa1284
@dominickrukokelwa1284 Ай бұрын
MUNGU ana kawaida ya kusubiri watu wanaoumia kumlilia ili afanye jambo. Na inachukua muda mrefu wanyonge kupata fahamu sahihi kuwa MUNGU anasubiri tu sauti ya vilio vyao kwa pamoja ndipo mtu mmoja utumwa kuja akiwa na fimbo mkononi. Hapo ndipo bahari hugawanyika pakavu pakaonekana na wanyonge huvuka.
@agreykayombo6119
@agreykayombo6119 Ай бұрын
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y Ай бұрын
Wanaona sisi ni mazuzu, ila one day yes
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 29 күн бұрын
Ila nadhani mnajua uvumilivu unamwisho kule kenya mmeona vizuri kilichotokea cheo ni dhamana
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Mbaki na jengo lenu Mpina ndo mkweli kazi kulindana
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf Ай бұрын
Anacho kifannya Bashe kuhusiana na maendeleo ya kilimo, wakulima, na wananchi ni tija na msaada mkubwa kwa maendeleo ya wananchi na Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Azabu kubwa anastahiki (Mpina) ili iwe fundisho kwa utomvu mkubwa wa adabu kwa spika na Bunge la Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Ай бұрын
Upo vizuri
@tabithamoroni1639
@tabithamoroni1639 28 күн бұрын
Huna unachokijua, fanya utafiti wa mambo kwanza kabla hujaongea hayo unayoongea
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 Ай бұрын
Mtatoka wote hapo bungeni wengine wataingia ... kama ndugai alitoka itakuwa nyie
@CristinLyanga
@CristinLyanga 26 күн бұрын
Yaan,sitamani hata kusikiliza hili bunge,yaani mnaita mwenzenu mnafiki nafiki kwa kusema ukweli ,duuu kweli,
@LuganoMwakalo
@LuganoMwakalo Ай бұрын
Bunge la ovyo sana hili msema ukweli huunguzwa
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
Wewe ndiye mtu wa hovyo sana usiyefikiria unayepelekwapelekwa tu kama bwege
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 Ай бұрын
Yani wabunge wa hiki chama ni ovyo kweli😢😢😢😢😢😢
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Ай бұрын
Hy tuliyategemea ktk bunge hili la wala nchi
@user-vy5kn6nz4l
@user-vy5kn6nz4l 19 күн бұрын
Daaaaaa mnachefua
@kassimumandeleko9704
@kassimumandeleko9704 Ай бұрын
Acheni ukuma angejibiwa hoja sake mpina hana kosa ata kidogo tulia unamuonea mpina
@EmmanuelKitulla
@EmmanuelKitulla Ай бұрын
Kwani wachangiaji hao ni watanzania au?
@tabithamoroni1639
@tabithamoroni1639 28 күн бұрын
Yaani kama wametoka nje ya nchi hwawana uchungu hata kidogo
@wennceslausmushi2356
@wennceslausmushi2356 Ай бұрын
Kigezo cha kuchaguliwa mbuge kirekebishwe kujua kusoma na kuandika pekee hakutoshi kuwa mwakilishi unaona kabisa tofauti ya mbunge msomi na darasa la saba .
@methodrweyendera6814
@methodrweyendera6814 Ай бұрын
Mbumbu ndiyo wanasubirigi kwenye vijembe
@tungarazalucas1478
@tungarazalucas1478 Ай бұрын
Leo wachangiaji wengi ndo mjue tuna bunge la aina gani
@AlexMkwama
@AlexMkwama Ай бұрын
Ukitaka kufanikiwa ,uwe na uchawa, ila ukiwa mkweli hutapendwa. Sheria ni ngumu sana.
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Ай бұрын
Nani alikuambia mpina anapendwa kwenye jimbo lake tuulize sisi
@AlexMkwama
@AlexMkwama 29 күн бұрын
@@mzalendomzalendo2567 Hoja Yake ni KITAIFA na sio kijimbo
@Sostere98
@Sostere98 Ай бұрын
Yaani hii nchi ya ajabu sana, TBC hyo caption yenu imeiwekaje
@user-vy5kn6nz4l
@user-vy5kn6nz4l 19 күн бұрын
Mnalidhallilisha bunge na kutoliheshimisha bunge tutaonana uchaguzi ujao,Mlio msulubisha mpina tumewaona
@ThomasiMatoke-hm3dr
@ThomasiMatoke-hm3dr Ай бұрын
Nyie wabunge waking sana mko hp kwa ajiri ya wtz au mko kwa masilai yenu
@josephkalwani
@josephkalwani 28 күн бұрын
Ila watz bwana huwa ni wanafiki sana😅😅😅😅
@MichaelMnkande-zc9it
@MichaelMnkande-zc9it Ай бұрын
Mh kwel chama kimoja cmchezo
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Ай бұрын
Mafisadi mbona hamyashambuliiiii!?!?!?!?
@user-kx5dt5ih2i
@user-kx5dt5ih2i Ай бұрын
Wizi oyee
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Ай бұрын
Musukuma oyeeee, DP World oyeeee, mjinga sana huyo, atuambie alihongwa ngapi kupiga dene hao DP
@grelightmushi6106
@grelightmushi6106 Ай бұрын
Sukari bei gani? Au mnamionea mpina
@kingmichael1234
@kingmichael1234 Ай бұрын
Bunge la Tanzania ni la mafisadi watupu. Haliko hapo kwa kuwawakilisha wananchi. Liko hapo kwa kuwanufaisha wabunge na mawaziri wezi
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 23 күн бұрын
Waache waamue wanavyotaka,ila wanatakiwa kukumbuka Kenya kitaendelea nini?maana wabunge WA Kenya kwa sasa vikao ni vya moto.Haki itendeke nyakati zote
@babukije268
@babukije268 Ай бұрын
Kweli wabunge hamnazo
@mahamudabiibmohamed6494
@mahamudabiibmohamed6494 Ай бұрын
Well done
@ZionEmanuel-ne8ob
@ZionEmanuel-ne8ob Ай бұрын
Sifuatilii bunge tenaaa na nitakua mtu wa masumbwi movie na miziki tu sitaki tena mimi kama ndio wabunge wako hivi aseee.
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 Ай бұрын
Bunge limefanya kazi yake ya kuilinda serikali vizuri sana. Kwani wamewekwa na nani?
@josephngassa7073
@josephngassa7073 Ай бұрын
Wako ki ccm zaidi kuliko wananchi wapiga kura mtatukuta uchaguzi ukifika
@LivinusMwinuka
@LivinusMwinuka Ай бұрын
Hili ni bunge?
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 6 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
🔴#TBCLIVE: MKUTANO WA 15 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA
1:08:23
ALLY KAMWE ALIVYOTOA RATIBA NZIMA WIKI YA MWANANCHI
11:13
Yanga TV
Рет қаралды 6 М.