Do not Quit - Misana Manyama
3:38
Пікірлер
@becamrindoko
@becamrindoko 42 минут бұрын
✅✅✅💥💥
@EvansNicklaus
@EvansNicklaus 7 сағат бұрын
Shukrani sana kwa madini Mazuri🙏 Tunaomba na somo Kuhusu mikopo (mikopo sahihi na isiyo sahihi,namna ya kutumia mikopo,namna ya kutengeneza uwezo wa kukopeshika)
@misanamanyama24
@misanamanyama24 7 сағат бұрын
@@EvansNicklaus asante kwa maoni kaa tayari kwa somo hilo
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 9 сағат бұрын
Asante sana brother
@reencndila
@reencndila 9 сағат бұрын
Mindset ya kuongeza mapato kuliko kutumia 👏🏼,
@gwakisafred2061
@gwakisafred2061 10 сағат бұрын
asante sana kaka, nimegundua kitu hapo
@josephmigila
@josephmigila 11 сағат бұрын
Asante sana 🙏
@HassanNasibu-q6m
@HassanNasibu-q6m 13 сағат бұрын
Asante. Pia. Tunaomba somo. Je. Ni namna. Gani. Unaeza kuongoza bias hara ukiwa. Mbali. Ama. Kusimamia. Mradi. Ukiw mbali
@misanamanyama24
@misanamanyama24 13 сағат бұрын
@@HassanNasibu-q6m week ijayo somo hili utalipata
@JoramTseko
@JoramTseko 14 сағат бұрын
Nimeona tu title ya SoMo nikagundua Kuna madini mengi ntayapata kwa sababu nilikuwa nasubiri kwa hamu SoMo hili
@MedsonStarlon
@MedsonStarlon Күн бұрын
Hakuna kitakachobadilika mpaka pale utakapochagua na kuchukua hatua ya kubadilika,,, Ahsante sana mwalimu
@MedsonStarlon
@MedsonStarlon Күн бұрын
Shukrani sana
@MedsonStarlon
@MedsonStarlon Күн бұрын
Shukrani sana Kaka Misana manyama
@MedsonStarlon
@MedsonStarlon Күн бұрын
Ahsante kiongozi wangu,,, 🤝
@MedsonStarlon
@MedsonStarlon Күн бұрын
Ahsante sana mwalimu,,, shukrani sana
@KassimLunya
@KassimLunya 2 күн бұрын
❤Napenda sana msemo brain ya mua africa ibadilike sasa❤
@KassimLunya
@KassimLunya 2 күн бұрын
❤ Asante mungu akupe afya ili tuzidi kujifunza zaidi na tubadilike ❤🎉
@misanamanyama24
@misanamanyama24 2 күн бұрын
@@KassimLunya Ameen
@user-uj3ld6ni1s
@user-uj3ld6ni1s 3 күн бұрын
Somo zuri🎉,Instrument sound hiko juu sana,ipungue sauti kidogo
@misanamanyama24
@misanamanyama24 3 күн бұрын
@@user-uj3ld6ni1s Sawa mkuu na Pole sana sana tunafanyia kazi
@mosesfrancis8495
@mosesfrancis8495 4 күн бұрын
Kweli Baba
@claudjohn
@claudjohn 4 күн бұрын
Asante sana
@domcityfarmingcenter7754
@domcityfarmingcenter7754 5 күн бұрын
Tunashukuru kwa video zako zinajenga sana kuliko kawaida Niliweka ahadi ya kutazama video zako zote kisha nitoe Shukrani...🙏 Elimu unayotoa ni kubwa sana na pia unazungumza vitu kwa uharisia wake 💯... Mola akujaalie Afya njema ili tuendelee kunufaika na masomo yako UBARIKIWE SANA 🙏🙏🙏
@misanamanyama24
@misanamanyama24 5 күн бұрын
@@domcityfarmingcenter7754 Asante sana kwa kuchukua muda wako kuandika maoni yako na hii inasaidia sana kuboresha mafundisho yetu.
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 5 күн бұрын
SAUTI KIDOGO
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 6 күн бұрын
❤❤❤Namba yako mkuu
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 6 күн бұрын
Namba ya Simu ya Mwalimu qate wewe🙄
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 6 күн бұрын
Best One🔎 Sasa Namba yako
@Kashushu_IT_Services
@Kashushu_IT_Services 6 күн бұрын
Mkuu punguza background music sound, hata ile inayoanza sauti ni kubwa sana. LAKINI SHOO ZIKO POW SANA. ILA NAOMBA ZINGATIENI HILO
@misanamanyama24
@misanamanyama24 6 күн бұрын
@@Kashushu_IT_Services naamini technical team yetu inalifanyia kazi next Video itakuwa poa saana
@misanamanyama24
@misanamanyama24 6 күн бұрын
@@Kashushu_IT_Services Samahani sana kwa usumbufu wa sound track kubwa
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 6 күн бұрын
Asante brother
@costantinedraxler3629
@costantinedraxler3629 7 күн бұрын
Back sound next time ipunguzwe kaka
@misanamanyama24
@misanamanyama24 7 күн бұрын
@@costantinedraxler3629 well noted mkuu
@user-kp5dv5gd8k
@user-kp5dv5gd8k 7 күн бұрын
Great teachings
@shafiimpilika3574
@shafiimpilika3574 7 күн бұрын
Akili kubwa bro, hongera sana
@becamrindoko
@becamrindoko 7 күн бұрын
Background music iko juu sana. Ila ujumbe nimeupata vizuri Shukrani
@misanamanyama24
@misanamanyama24 7 күн бұрын
@@becamrindoko Tunalifanyia kazi
@misanamanyama24
@misanamanyama24 7 күн бұрын
Samahani sana kwa usumbufu
@justinechuwa1388
@justinechuwa1388 7 күн бұрын
Hakika umeongea vyema ,
@OliverAnsibert
@OliverAnsibert 7 күн бұрын
Boss wangu,, Asante sanaa
@EmanuelMakoye-kf1dx
@EmanuelMakoye-kf1dx 7 күн бұрын
Daah!!🙏🙏
@emmanuelkayavugwa8049
@emmanuelkayavugwa8049 7 күн бұрын
Shukran kwa mafundisho mazuri, ila tunaomba sauti iongezwe kidogo!!
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 7 күн бұрын
Thanks
@gabrielmasakwi1796
@gabrielmasakwi1796 7 күн бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Shule nimeipokea
@yessemartin6164
@yessemartin6164 8 күн бұрын
Somo zuri sana nimejifunza
@NgelejaCharles-ng7bh
@NgelejaCharles-ng7bh 8 күн бұрын
Anafanana sura na kuongea kama Luge.madini pia
@shafiimpilika3574
@shafiimpilika3574 9 күн бұрын
Akili kubwa bro, hongera sana
@hajjiabdurahman6859
@hajjiabdurahman6859 9 күн бұрын
Asante san mkuu
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 9 күн бұрын
Big up Nakuelewa
@daudkanyelele4862
@daudkanyelele4862 10 күн бұрын
Asante kwa somo la leo nimepata taarifa nitatumia iwe maarifa Usugu naondoka nao
@maxmilianphilipo791
@maxmilianphilipo791 11 күн бұрын
Ahsante sana
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 12 күн бұрын
Misana ukiongea kila mtazamaji anajihisi unamkusudia yye na marhem maalim seif znz alikuwa na falsafa hizi kila mtu alihisi anampambania yye binafsi hongera sna
@misanamanyama24
@misanamanyama24 12 күн бұрын
@@HafidhOmar-rs4ty nimefurahi kupata huu mrejesho kiongozi. Ngoja niongeze bidiii
@shafiimpilika3574
@shafiimpilika3574 12 күн бұрын
Nakuambia bro we akili kubwa sana kichwani, tumegee madini hayo mzee na tunayafanyia kazi hatukuangushi
@misanamanyama24
@misanamanyama24 12 күн бұрын
@@shafiimpilika3574 Glory to God
@misanamanyama24
@misanamanyama24 12 күн бұрын
Glory to God
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
@AbdulRahmanAliy-sr7gw 12 күн бұрын
Mm lazima nikuelewe kwasababu unacho fundisha ndicho ninacho kiwaza Sijuw unaisoma akili yngu ? Wtu wengi wengi wanazarau vidogo wanasahau kdgo cha sasa ndy kikubwa cha baadae Asnte sana kwa kuelimisha jamii ni juu ytu wasikilizaji kusambaza ili wtu wengi wapate elimu hii
@misanamanyama24
@misanamanyama24 12 күн бұрын
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw Tusaidiane kusambaza kwa wengi zaidi ili jamii yetu ikue kwa pamoja
@SamweliMwashilindi-fq1me
@SamweliMwashilindi-fq1me 12 күн бұрын
Kwa kweri mkufunzi nimekukubali Sana na ninakutakia maisha marefu na mungu akupe maarifa na nakuerewa Sana hayo uyasemayo🎉❤
@mwl.zabronbatega6717
@mwl.zabronbatega6717 13 күн бұрын
Asante mwalimu kwa masomo yako mazuri kiukweli yananijenga sana
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 13 күн бұрын
Asante brother nazidi kujifunza,
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 13 күн бұрын
Thanks
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 13 күн бұрын
Misna unaongea kwahisia haswa hutuigizii
@misanamanyama24
@misanamanyama24 13 күн бұрын
@@HafidhOmar-rs4ty Ni ngumu kuficha hisia kwa Maisha magumu uliyopitia