Shukrani sana kwa madini Mazuri🙏 Tunaomba na somo Kuhusu mikopo (mikopo sahihi na isiyo sahihi,namna ya kutumia mikopo,namna ya kutengeneza uwezo wa kukopeshika)
@misanamanyama247 сағат бұрын
@@EvansNicklaus asante kwa maoni kaa tayari kwa somo hilo
@stephanosospeter17099 сағат бұрын
Asante sana brother
@reencndila9 сағат бұрын
Mindset ya kuongeza mapato kuliko kutumia 👏🏼,
@gwakisafred206110 сағат бұрын
asante sana kaka, nimegundua kitu hapo
@josephmigila11 сағат бұрын
Asante sana 🙏
@HassanNasibu-q6m13 сағат бұрын
Asante. Pia. Tunaomba somo. Je. Ni namna. Gani. Unaeza kuongoza bias hara ukiwa. Mbali. Ama. Kusimamia. Mradi. Ukiw mbali
@misanamanyama2413 сағат бұрын
@@HassanNasibu-q6m week ijayo somo hili utalipata
@JoramTseko14 сағат бұрын
Nimeona tu title ya SoMo nikagundua Kuna madini mengi ntayapata kwa sababu nilikuwa nasubiri kwa hamu SoMo hili
@MedsonStarlonКүн бұрын
Hakuna kitakachobadilika mpaka pale utakapochagua na kuchukua hatua ya kubadilika,,, Ahsante sana mwalimu
@MedsonStarlonКүн бұрын
Shukrani sana
@MedsonStarlonКүн бұрын
Shukrani sana Kaka Misana manyama
@MedsonStarlonКүн бұрын
Ahsante kiongozi wangu,,, 🤝
@MedsonStarlonКүн бұрын
Ahsante sana mwalimu,,, shukrani sana
@KassimLunya2 күн бұрын
❤Napenda sana msemo brain ya mua africa ibadilike sasa❤
@KassimLunya2 күн бұрын
❤ Asante mungu akupe afya ili tuzidi kujifunza zaidi na tubadilike ❤🎉
@misanamanyama242 күн бұрын
@@KassimLunya Ameen
@user-uj3ld6ni1s3 күн бұрын
Somo zuri🎉,Instrument sound hiko juu sana,ipungue sauti kidogo
@misanamanyama243 күн бұрын
@@user-uj3ld6ni1s Sawa mkuu na Pole sana sana tunafanyia kazi
@mosesfrancis84954 күн бұрын
Kweli Baba
@claudjohn4 күн бұрын
Asante sana
@domcityfarmingcenter77545 күн бұрын
Tunashukuru kwa video zako zinajenga sana kuliko kawaida Niliweka ahadi ya kutazama video zako zote kisha nitoe Shukrani...🙏 Elimu unayotoa ni kubwa sana na pia unazungumza vitu kwa uharisia wake 💯... Mola akujaalie Afya njema ili tuendelee kunufaika na masomo yako UBARIKIWE SANA 🙏🙏🙏
@misanamanyama245 күн бұрын
@@domcityfarmingcenter7754 Asante sana kwa kuchukua muda wako kuandika maoni yako na hii inasaidia sana kuboresha mafundisho yetu.
@khadijamohamed30435 күн бұрын
SAUTI KIDOGO
@khadijamohamed30436 күн бұрын
❤❤❤Namba yako mkuu
@khadijamohamed30436 күн бұрын
Namba ya Simu ya Mwalimu qate wewe🙄
@khadijamohamed30436 күн бұрын
Best One🔎 Sasa Namba yako
@Kashushu_IT_Services6 күн бұрын
Mkuu punguza background music sound, hata ile inayoanza sauti ni kubwa sana. LAKINI SHOO ZIKO POW SANA. ILA NAOMBA ZINGATIENI HILO
@misanamanyama246 күн бұрын
@@Kashushu_IT_Services naamini technical team yetu inalifanyia kazi next Video itakuwa poa saana
@misanamanyama246 күн бұрын
@@Kashushu_IT_Services Samahani sana kwa usumbufu wa sound track kubwa
@stephanosospeter17096 күн бұрын
Asante brother
@costantinedraxler36297 күн бұрын
Back sound next time ipunguzwe kaka
@misanamanyama247 күн бұрын
@@costantinedraxler3629 well noted mkuu
@user-kp5dv5gd8k7 күн бұрын
Great teachings
@shafiimpilika35747 күн бұрын
Akili kubwa bro, hongera sana
@becamrindoko7 күн бұрын
Background music iko juu sana. Ila ujumbe nimeupata vizuri Shukrani
@misanamanyama247 күн бұрын
@@becamrindoko Tunalifanyia kazi
@misanamanyama247 күн бұрын
Samahani sana kwa usumbufu
@justinechuwa13887 күн бұрын
Hakika umeongea vyema ,
@OliverAnsibert7 күн бұрын
Boss wangu,, Asante sanaa
@EmanuelMakoye-kf1dx7 күн бұрын
Daah!!🙏🙏
@emmanuelkayavugwa80497 күн бұрын
Shukran kwa mafundisho mazuri, ila tunaomba sauti iongezwe kidogo!!
@saidkhalfan82077 күн бұрын
Thanks
@gabrielmasakwi17967 күн бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Shule nimeipokea
@yessemartin61648 күн бұрын
Somo zuri sana nimejifunza
@NgelejaCharles-ng7bh8 күн бұрын
Anafanana sura na kuongea kama Luge.madini pia
@shafiimpilika35749 күн бұрын
Akili kubwa bro, hongera sana
@hajjiabdurahman68599 күн бұрын
Asante san mkuu
@khadijamohamed30439 күн бұрын
Big up Nakuelewa
@daudkanyelele486210 күн бұрын
Asante kwa somo la leo nimepata taarifa nitatumia iwe maarifa Usugu naondoka nao
@maxmilianphilipo79111 күн бұрын
Ahsante sana
@HafidhOmar-rs4ty12 күн бұрын
Misana ukiongea kila mtazamaji anajihisi unamkusudia yye na marhem maalim seif znz alikuwa na falsafa hizi kila mtu alihisi anampambania yye binafsi hongera sna
@misanamanyama2412 күн бұрын
@@HafidhOmar-rs4ty nimefurahi kupata huu mrejesho kiongozi. Ngoja niongeze bidiii
@shafiimpilika357412 күн бұрын
Nakuambia bro we akili kubwa sana kichwani, tumegee madini hayo mzee na tunayafanyia kazi hatukuangushi
@misanamanyama2412 күн бұрын
@@shafiimpilika3574 Glory to God
@misanamanyama2412 күн бұрын
Glory to God
@AbdulRahmanAliy-sr7gw12 күн бұрын
Mm lazima nikuelewe kwasababu unacho fundisha ndicho ninacho kiwaza Sijuw unaisoma akili yngu ? Wtu wengi wengi wanazarau vidogo wanasahau kdgo cha sasa ndy kikubwa cha baadae Asnte sana kwa kuelimisha jamii ni juu ytu wasikilizaji kusambaza ili wtu wengi wapate elimu hii
@misanamanyama2412 күн бұрын
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw Tusaidiane kusambaza kwa wengi zaidi ili jamii yetu ikue kwa pamoja
@SamweliMwashilindi-fq1me12 күн бұрын
Kwa kweri mkufunzi nimekukubali Sana na ninakutakia maisha marefu na mungu akupe maarifa na nakuerewa Sana hayo uyasemayo🎉❤
@mwl.zabronbatega671713 күн бұрын
Asante mwalimu kwa masomo yako mazuri kiukweli yananijenga sana
@stephanosospeter170913 күн бұрын
Asante brother nazidi kujifunza,
@saidkhalfan820713 күн бұрын
Thanks
@HafidhOmar-rs4ty13 күн бұрын
Misna unaongea kwahisia haswa hutuigizii
@misanamanyama2413 күн бұрын
@@HafidhOmar-rs4ty Ni ngumu kuficha hisia kwa Maisha magumu uliyopitia