Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli

  Рет қаралды 93,914

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi hii leo alikuwa mmoja wa waalikwa kwenye Ikulu ya Rais Magufuli wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje sambamba na kuapishwa kwa mkuu wa Skauti nchini.
Mlezi wa Skauti nchini Alhaj Ali Hassan Mwinyi akapewa nafasi ya kutoa neno kwa rais Magufuli.
Msikilize

Пікірлер: 49
@football-galaxy7210
@football-galaxy7210 5 жыл бұрын
ALLAH azidi kukubariki Mzee wetu Alhaji ALI HASSAN MWINYI
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 Жыл бұрын
Hapo mzee mwinyi kwa fasaha hiyo ndio kasahau maneno ya kiswahili.Mola aurefushe umri wako mzee wetu.
@rommyshabby3959
@rommyshabby3959 4 ай бұрын
Mashallah mashallah ulimpenda sn jpm kutoka moyoni, Allah akusamehe makosa yako
@hilalyhashim2194
@hilalyhashim2194 5 жыл бұрын
Asante mzee wetu kwa maneno ya busara
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 3 ай бұрын
❤Mungu akupumzishe mahali Pena peponi Amina
@takyatupu6839
@takyatupu6839 2 жыл бұрын
Mashallah mzee ruksa upo imara Allah akupe afya na furaha upo strong mashallah
@sahimharoun4321
@sahimharoun4321 5 жыл бұрын
#Maisha ni hadithi, basi kuwa hadithi nzuri kwa watakao simuliwa.
@thetreasure2230
@thetreasure2230 5 жыл бұрын
Hekima ya Mheshimiwa Alhaji Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni ya viwango vya juu sana. Ni kipaji.
@paulmagembe-nv9ro
@paulmagembe-nv9ro 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mzee mwinyi nakupenda sana Dad
@badmanno.1650
@badmanno.1650 3 жыл бұрын
Mzee Mwinyi kamzika Magufuli... Kesho ina siri kubwa
@nicholaskamencu7087
@nicholaskamencu7087 3 жыл бұрын
Nmpenda huyu mzee sana mola amwongeze maisha
@makeresiapawa7947
@makeresiapawa7947 5 жыл бұрын
Admire
@zuberibakari6685
@zuberibakari6685 5 жыл бұрын
Hakikq Mzee mwinyi mzee ruksa ni.baba mwema maneno yake niya.hekima na busara
@alvangidion9366
@alvangidion9366 5 жыл бұрын
Big up mr jpm
@michaelkinga821
@michaelkinga821 5 жыл бұрын
MUNGU aendelee kukulinda mzee mwinyi.
@michaeljames3480
@michaeljames3480 4 ай бұрын
Dahhhhh 😢 Rip
@michaelkigaraba5784
@michaelkigaraba5784 5 жыл бұрын
Mzee mwenye hekima zake
@sarshaelik8510
@sarshaelik8510 5 жыл бұрын
Mashallah MZEE wetu
@adamjutto5849
@adamjutto5849 3 жыл бұрын
Raisi huyu alikua neema kwa watanzania,siku wepo mie enzi zake lkn naambiwa ilikua neema enzi zake
@akidasimba745
@akidasimba745 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hijazhija316
@hijazhija316 Жыл бұрын
Sana
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
Mstafu mzee mwinyi na mhusudu sana yeye na matamshi yake ni hazina ya nch na wananch tunamkubali kiongozi mzalendo Ruksa
@sangeda
@sangeda 3 ай бұрын
"Maisha ni hadithi" 11:05 - 12:05
@dannymalopa9371
@dannymalopa9371 2 жыл бұрын
Hotuba ya raisi mwinyi
@harounclaude2263
@harounclaude2263 5 жыл бұрын
Wisdom
@sabrinaali6071
@sabrinaali6071 5 жыл бұрын
Tha great
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Mzee mwinyi tutakukumbuka daima ktk utendaji wako wa urais.
@avitmusic7318
@avitmusic7318 4 ай бұрын
Legends R.I.P
@hizzersamwel2838
@hizzersamwel2838 5 жыл бұрын
Rais mstaafu ALLI HASSAN MWINYI ni MDHAMINI wa SKAUTI na Si MLEZI wa SKAUTI, MLEZI wa SKAUTI ni Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI Sahihisheni nyie ni kituo kikubwa sana
@stephenkaranja6129
@stephenkaranja6129 4 жыл бұрын
Old and very wise
@hijazhija316
@hijazhija316 5 жыл бұрын
Hekima
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 3 жыл бұрын
Wazee ni tunu
@manmachomaasai1095
@manmachomaasai1095 4 жыл бұрын
maneno matam sana
@saidkanji9882
@saidkanji9882 4 ай бұрын
RIP
@HeriKhamis-ex8fn
@HeriKhamis-ex8fn 5 ай бұрын
XD NJ
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 3 жыл бұрын
Hahh,
@thobisastephano1988
@thobisastephano1988 2 жыл бұрын
P
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 5 жыл бұрын
Mpuuzi Mnafiki tu,
@elijahsaro8063
@elijahsaro8063 5 жыл бұрын
muombe mungu radhi....kumuita mja wake hilo neno kumbuka alipo fika yeye wala hutakaa ukafika hapo
@abdulraqeebfaiz9442
@abdulraqeebfaiz9442 5 жыл бұрын
Familia yako ndio wapuuziii mbwa Koko wewe
@saljam82
@saljam82 3 жыл бұрын
Jitathmini...... Ndugu..... Hapa si pa kujiachia na matusi.
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 2 жыл бұрын
Mashallah mzee mwinyi,nilikuimbia wimbo nikiwa mwanafunzi.ali hasani mwinyi tkampigiyee kulaa,zote za ndiooooo.
@radionuurfm
@radionuurfm 4 ай бұрын
siku ya Qiyama kuna kauli za kutisha sana huko
Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa
18:54
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 30 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 5 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
MWINYI AINGIA IKULU,NYERERE AAGA TAIFA 1985
8:20
Mwananchi Digital
Рет қаралды 90 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 582 М.
Donald Trump speaks for the 1st time on the assassination attempt
14:17
FOX 9 Minneapolis-St. Paul
Рет қаралды 10 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 30 МЛН