Kishimba ashusha nondo NZITO kwenye elimu Bungeni; ataka uanzishwe mtaala wa wafanyakazi wa ndani

  Рет қаралды 20,636

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2023/24.

Пікірлер: 32
@ed3ezekiel388
@ed3ezekiel388 Жыл бұрын
Intelligent man..... ndiye mbunge pekee mwenye point zenye maana ya kiwango cha juu ktk nchii yenye wabunge waongo
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
Mawaziri ndo waongo bora wabunge wakaida ila mawaziri wakuteuliwa niwaongo cheupe chanjano nawabunge baadhi yawanawake niwaongo saana
@petrusmakupe2093
@petrusmakupe2093 Жыл бұрын
Sanji alifungwa mtoto wangu ukoo wangu.kabila langu..kwamwe ...ya.gete
@henericomasanja
@henericomasanja Жыл бұрын
Kishimba a Big Brain Man 💯💯✍️🙏🙏
@BarakaJuma-sk4xx
@BarakaJuma-sk4xx 8 ай бұрын
Akili kubwa sana mam Samia ampatie unaibu waziri waviwanda atatuvusha
@renataraymond1545
@renataraymond1545 Жыл бұрын
Safi point kubwa
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Huyu mzeee anajua Sana kuweka point za maaana pongezi sna
@DenisNyerere-gm4mt
@DenisNyerere-gm4mt Жыл бұрын
Hahahaaaaa😂😂😂😂namkubali sana uyu mzeee kishimba
@hassanjongo6265
@hassanjongo6265 Жыл бұрын
Hahahaaa huyu mzee anafikiria njebya box sana 😂😂😂
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Kichwa sana huyu mzee
@ElishaMcharo-u5m
@ElishaMcharo-u5m 9 ай бұрын
Mh kishimba na kuwelewa sana
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын
Big thinkers Mr. Kishimba, naunga mkono hoja unazozitoa una akili kubwa Sana, hao wanaotunga sheria ni vipofu wa sheria na ni wavivu wa kufikiri, hebu fikiria mtoto wa sekondari ambaye tayari amevunja ungo au kubalehe, huyu kanuni ya maumbile aliyoumbiwa nayo inaanza kumfosi ili apate dudu akiwa ni wa kike na wa kiume anaanza kuwa forced kupata nyugunyu, hivi kweli Kuna mtu anaweza kupambana na maumbile? Mi naungana na kishimba wakifikia balehe waruhusiwe kupeana dudu na nyugunyu na ikibidi wafungishwe ndoa kwa sharti la kutopeana mimba mpaka hapo watakapomaliza masomo lakini pia wazazi wa watoto wachukue dhamana ya kuendelea kuwalea watoto wao. Hata ukiwazuia wasiolewe bado wanaoana ndoa zisizo rasmi na wanapeana nyugunyu kkama kawaida. Tutafakari na tuchukue hatua
@perfectmassawe4758
@perfectmassawe4758 Жыл бұрын
Mzee wetu una mawazo ya viwango sana
@shafiimwehemba4549
@shafiimwehemba4549 Жыл бұрын
Point zenye kueleweka zisizohitaji akili nyingi.
@elvismtai84
@elvismtai84 Жыл бұрын
Du wewe mzee unajua Sana,kwanza hao hao waliopeana mimba wangezalisha Sana pia watoto wao wangetunzwa,istoshe wote wawili hawakuwa na nia ya kusoma,Ni Bora waachwe wakazaliane
@mh9251
@mh9251 Жыл бұрын
Mh. Kishimba nakuheshimu sana. Unafikiria jambo kwa chanzo kabisa kisha unaiangalia kwa undani na mapana. Hiyo ndio elimu. Wewe ni Daktari J.K.
@johnluis35
@johnluis35 10 ай бұрын
Tunahitaji mitaala na elimu inayoendana na mazingira na Dunia ya Sasa sio elimu ya mkoloni kuandaa watumwa
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Ni kweli Mhe.Mtoto wa kiume unapofunga miaka 30 huku nyuma mtoto yule baba yake kufungwa ahudumiwe na nani?wazazi wanapata shida nyuma huku ya kulea bint yao na mtoto.Kijana anakwenda jera kumaliza Dona la Serikali bure.Waowane tu walee mtoto.
@tanzania2559
@tanzania2559 Жыл бұрын
Facts
@alexwailod5589
@alexwailod5589 Жыл бұрын
Huyu mzee nondo , utasikia tunakata boom
@BenjaminMnyasa-ks4qt
@BenjaminMnyasa-ks4qt Жыл бұрын
Upo vizur
@magongwematinde5773
@magongwematinde5773 Жыл бұрын
tutamuelewa zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Hivi mnamuelewa Mh.kishimba?
@japhethlugwisha7921
@japhethlugwisha7921 Жыл бұрын
Hv mbunge kishimba mbona jimbo lako la Kahama limechoka? hujawahi kufanya chochote kuhusu maendeleo, bas tu.
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
😂😅😂kishimba bn eti kutenga ugali kunaitaji elimu uyo jamaa namkubali na mbunge shabibu wakiongea ujui nipoint tupo nawakubali mno hawana pinda pinda
@bahatisaimon6019
@bahatisaimon6019 Жыл бұрын
Leo Mwanaume Hana mtetezi kabisa Bora Wewe umeliona hilo la Hawa wa shule maana nao wanamitego sana yaan
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Kishimba ni mbunge wa kuchaguliwaaaa kwwl kwa uhallai
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
😂😂😂 kosa lao kubwa nn adi yupo magelezani mawaziri wajibu maswali mepesi afu magumu kujibu
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Hahaahaha mbuzi wa mizimu
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Mbunge wa pembeni Hana mbavu
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
Haelew 😂uyo kazi yake nikupiga meza tu apo ukimuliza kishimba kasema nn hajui
@FrankMalocha
@FrankMalocha Жыл бұрын
Ud
Mbunge Kishimba awavun ja mbavu wabunge "Kwani akili ni Bando?"
10:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 43 М.
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 265 М.
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 31 М.
MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
14:02
Millard Ayo
Рет қаралды 211 М.
HAMAS YAWAACHIA MATEKA WATATU WA ISRAEL, WAPALESTINA 183 KUWA HURU LEO
5:00
ALIYEMSHTAKI RAIS SAMIA, DK MPANGO AANGUKIA PUA MAHAKAMANI
7:44
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,7 М.
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН