Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.
@section8ight174Ай бұрын
*wanaNchi
@section8ight174Ай бұрын
Inchi ndio kitu gani fala wewe
@AlphonsinaMkongomaАй бұрын
Hekima hi yo muheshimiwa sio wewe ime toka kwa Mungu .Mungu aliyekuita akuogezee hekima na maalifa kutoka kwake ili uzindi kuwatetea wa Tanzania wanyoge
@africatoeuropechurchtv885614 күн бұрын
Amina
@user-ku1wf2pw2wАй бұрын
Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.
@aishaomaryyousefomaryloiru1990Ай бұрын
Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲
@user-bx1fp9tk2pАй бұрын
Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️
@user-yf2ro1wb4yАй бұрын
Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God
@khadjamhozyaАй бұрын
MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
@RoseMollel-wo3lsАй бұрын
Makonda kiongoz mzur sana 🥰
@Idd-i6l12 күн бұрын
Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa
@mungholomakalanga8958Ай бұрын
Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤
@AlphonsinaMkongomaАй бұрын
Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike
@magrethelipokea7694Ай бұрын
Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji
@raphaelmchilo-kx4ttАй бұрын
Makonda safisana
@CleopaMwakapisoАй бұрын
pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya
@sarahdeograthias9097Ай бұрын
Viva Makonda vivaaaa
@user-ug5cm7uq4m28 күн бұрын
Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji
@chujimustafa720922 күн бұрын
Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍
@revocatusphilmon178018 күн бұрын
Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...
@veronicamokiwa4315Ай бұрын
Zaidi sana tuombe Mungu ampe ulinzi wa Malaika
@SelemaniBiafra21 күн бұрын
Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge
@kimchi-91Ай бұрын
Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.
@DorikasiMwakabelaАй бұрын
Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli
@neemamasimba2981Ай бұрын
Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.
@IssaMbaru-qw6ug24 күн бұрын
Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw
@Fredykapande-vh6cvАй бұрын
Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏
@suzycollins233115 күн бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge
@janethmmari3514Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde uendelee kusaidia wanao onewa.
@user-ug5cm7uq4m28 күн бұрын
Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako
@JerryMosiАй бұрын
Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA
@user-wq2xy5mw1zАй бұрын
Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu
@user-tg7vq3ty8pАй бұрын
Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".
@user-yf2ro1wb4yАй бұрын
Makonda chumaaaa
@SebaLucas-j4l4 күн бұрын
Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi
@AbdilahiMririАй бұрын
Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.
@AronJoseph-h8b24 күн бұрын
Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏
@sugashTvАй бұрын
Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.
@naseebkassian924021 күн бұрын
Mkuu was mkow mungu akulindeeeeeee
@BJMKANGALA1Ай бұрын
Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde. Arusha mmelamba dume!
@dastansimpanzye401916 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda
@Debora-zp4wx28 күн бұрын
Mungu akulinde sana kaka yangu makonda
@neemamasimba2981Ай бұрын
Makonda, si uje na morogoro jamani . Maana kuanzia huku chini kwenye vijiji , kata na vitongoji kumeharibika. Mpaka tunaichukia serikali maana sisi tunaamini wanawekwa na mamasasa wanapotukandamiza tunamchukia sana mama, tunaona kafika na hatujali tena, tunateseka kweli
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..
Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu
@KitindiMatawa-uk4qk21 күн бұрын
Makonda pigakazi mungu atakulida
@AmaniLukumay-wk6zm14 күн бұрын
Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤
@AbrahamMikael-wk4chАй бұрын
Makonda mwenyewe huyu chaguo la mungu hata wasemeje hata nchi atashika
@alexletayolaizer8515Ай бұрын
Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.
@DionizLubango-of2wkАй бұрын
Makonda oyeeeee❤❤
@NeemaMrengera14 күн бұрын
Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera
@mbondelotv8380Ай бұрын
Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni
@AbdilahiMririАй бұрын
Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.
@EstermollelEster2 күн бұрын
Mungu akulinde baba
@user-zd5hk4ms5oАй бұрын
MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu
@japhetmasunga8889Ай бұрын
mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka
@raphaelkiungulia4366Ай бұрын
Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma
@neemamasimba2981Ай бұрын
Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro
@StanleyMollaАй бұрын
Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu
@user-ri1qn3xs4qАй бұрын
Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge
@israelmwakatika834214 күн бұрын
Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋
@NabwikeKanyamaleАй бұрын
Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu
@songezaАй бұрын
RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania
@songezaАй бұрын
Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde
@NicomedMartineАй бұрын
Jamn Mungu Amlinde Viongozi Kama Hawa Wakiongozwa Na Mama Yetu Dr. Samia Suluhu Hasa Tais Wetu Jamhuri ya Tanzania Mungu Awalinde Maana Wafisad Na Wala Rusha Hawataki Maendelea Ya Taifa Mungu Awalinde Hasa Pol Makonda Kwa Kutetea Wanyonge
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Asiwe Mungu tu Bali na Serikali ihuske kumlinda.
@hassankilengah478624 күн бұрын
Mh Raisi mlete huyu jamaa mkoa wa lindi.
@DorisMroso-tx9mbАй бұрын
Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu
@JohnMungwana-te4rm26 күн бұрын
Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari
@user-tm3ui6iv7hАй бұрын
Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha
@MirajiIssa-sl2liАй бұрын
Safii mwamba
@neemaelia3436Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@deusdedithjoseph7588Ай бұрын
Makonda piga kazi mkuu uko vizuri muno.
@user-tu2ne7so3bАй бұрын
Nyota kali sana
@DM_15Ай бұрын
Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali
@chido_wa_south2171Ай бұрын
Wahuni Sio Watu🤣🤣🤣🤣
@evajosephmtandika5015Ай бұрын
Jamani wamemlia fidia Yake
@songezaАй бұрын
Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo
@user-jj1sx1ow4hАй бұрын
Duu spana ya hatari asee
@user-iv5fk8uc5nАй бұрын
No sana
@zidatv1122Ай бұрын
Majizi matupu
@NaumMwamengo7 күн бұрын
Wew nijembe baba mungu akulinde
@user-oo1vz3zi1tАй бұрын
Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara
@user-gp5wx1ev9fАй бұрын
Huyu mtendaji ni baadhi ya wale wanaoharibia Chama Cha CCM na wananchi kukichukia na makosa niya watu kama hawa wenye mamlaka ya kutumikia wananchi na wanafanya vyao
@user-ex9sd8wm4lАй бұрын
Safi kiongozi makonda
@KalutasMtayoba25 күн бұрын
Albino kagera
@MwanaishaShattryАй бұрын
Kweli yu janja janja
@AlanusGerodi-mo3dmАй бұрын
Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du
@aishaomaryyousefomaryloiru1990Ай бұрын
Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,
@user-mm1ml1tu5b12 күн бұрын
Mungia akupe maisha marefu haina baya
@hajrasaid19247 күн бұрын
Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni
@Fredykapande-vh6cvАй бұрын
Mheshimiwa.makonda.wewe umeitwa namungu katika mkoa wa arusha.nambingu utaiona.umekua mtetezi wa wanyonge.hasa kwa maskini.namungu akakupe miaka mingi.wewe na familya Yako.
@jumamustapha8254Ай бұрын
Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.
@daudimlamka1239Ай бұрын
Hekima sanaaa
@user-ku1wf2pw2wАй бұрын
Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi
@moseslaizar843Ай бұрын
hapa ni spana tu hamna ujacha😂
@OdongoOwino-hm3opАй бұрын
Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu
@stevenvictor43724 күн бұрын
Nyoosha wahuni hao.
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.
@khadija5761Ай бұрын
Viaaa makonda viaaa
@CleopaMwakapisoАй бұрын
MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro
@nathanaeledward5613Ай бұрын
Pga supana wanyooke mkuu
@IgnacioAndrew-rj8pd16 күн бұрын
Hahahahaha meliwaaaa
@martintemu9123Ай бұрын
Kiongozi mahiri makonda.ubarikiwe
@user-rs6uf9oo5sАй бұрын
Makonda baba lao
@Lutenganomwenzegule5 күн бұрын
njoo na iringa kamanda
@josephminja7953Ай бұрын
🙌🙌
@user-cn2fd7wp1nАй бұрын
Magufuli alisema hata kama umefika darasa la unahaki yakuongoza haya ndio matokeo yake
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤
@eleonorashirima1604Ай бұрын
Hongera kaka
@JUU-lw2jeАй бұрын
Makonda amesoma chuo cha ushirika moshi sidhani kama kuna course ya sheria
@Abdallah_mussaАй бұрын
Sio SHELIA ni SHERIA Sio ubalikiwe ni UBARIKIWE
@JuliusHatariАй бұрын
@@Abdallah_mussaDah watanzania Kwa ukosoaji mko vizuri,, Mimi Niko Mexico huku nawaona mbashara
@section8ight174Ай бұрын
Hili tobwe hata kiswahili hukiwezi, aibu tupu ndio manaake Wakenya wanatucheka, hovyooo