MTENDAJI ARUSHA AINGIA KWENYE 18 ZA MAKONDA/MAKONDA AMFUKUZA KAZI/NAOMBA ULINZI WASIJE WAKANIPA SUMU

  Рет қаралды 61,515

JAMBO TV

JAMBO TV

Ай бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 182
@NSCCLORUVANI-TAG
@NSCCLORUVANI-TAG Ай бұрын
Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.
@section8ight174
@section8ight174 Ай бұрын
*wanaNchi
@section8ight174
@section8ight174 Ай бұрын
Inchi ndio kitu gani fala wewe
@AlphonsinaMkongoma
@AlphonsinaMkongoma Ай бұрын
Hekima hi yo muheshimiwa sio wewe ime toka kwa Mungu .Mungu aliyekuita akuogezee hekima na maalifa kutoka kwake ili uzindi kuwatetea wa Tanzania wanyoge
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 14 күн бұрын
Amina
@user-ku1wf2pw2w
@user-ku1wf2pw2w Ай бұрын
Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.
@aishaomaryyousefomaryloiru1990
@aishaomaryyousefomaryloiru1990 Ай бұрын
Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲
@user-bx1fp9tk2p
@user-bx1fp9tk2p Ай бұрын
Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️
@user-yf2ro1wb4y
@user-yf2ro1wb4y Ай бұрын
Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
@RoseMollel-wo3ls
@RoseMollel-wo3ls Ай бұрын
Makonda kiongoz mzur sana 🥰
@Idd-i6l
@Idd-i6l 12 күн бұрын
Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 Ай бұрын
Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤
@AlphonsinaMkongoma
@AlphonsinaMkongoma Ай бұрын
Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike
@magrethelipokea7694
@magrethelipokea7694 Ай бұрын
Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji
@raphaelmchilo-kx4tt
@raphaelmchilo-kx4tt Ай бұрын
Makonda safisana
@CleopaMwakapiso
@CleopaMwakapiso Ай бұрын
pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 Ай бұрын
Viva Makonda vivaaaa
@user-ug5cm7uq4m
@user-ug5cm7uq4m 28 күн бұрын
Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji
@chujimustafa7209
@chujimustafa7209 22 күн бұрын
Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍
@revocatusphilmon1780
@revocatusphilmon1780 18 күн бұрын
Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 Ай бұрын
Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...
@veronicamokiwa4315
@veronicamokiwa4315 Ай бұрын
Zaidi sana tuombe Mungu ampe ulinzi wa Malaika
@SelemaniBiafra
@SelemaniBiafra 21 күн бұрын
Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge
@kimchi-91
@kimchi-91 Ай бұрын
Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.
@DorikasiMwakabela
@DorikasiMwakabela Ай бұрын
Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 24 күн бұрын
Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw
@Fredykapande-vh6cv
@Fredykapande-vh6cv Ай бұрын
Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏
@suzycollins2331
@suzycollins2331 15 күн бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge
@janethmmari3514
@janethmmari3514 Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde uendelee kusaidia wanao onewa.
@user-ug5cm7uq4m
@user-ug5cm7uq4m 28 күн бұрын
Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako
@JerryMosi
@JerryMosi Ай бұрын
Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA
@user-wq2xy5mw1z
@user-wq2xy5mw1z Ай бұрын
Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p Ай бұрын
Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".
@user-yf2ro1wb4y
@user-yf2ro1wb4y Ай бұрын
Makonda chumaaaa
@SebaLucas-j4l
@SebaLucas-j4l 4 күн бұрын
Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri Ай бұрын
Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.
@AronJoseph-h8b
@AronJoseph-h8b 24 күн бұрын
Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏
@sugashTv
@sugashTv Ай бұрын
Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.
@naseebkassian9240
@naseebkassian9240 21 күн бұрын
Mkuu was mkow mungu akulindeeeeeee
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 Ай бұрын
Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde. Arusha mmelamba dume!
@dastansimpanzye4019
@dastansimpanzye4019 16 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda
@Debora-zp4wx
@Debora-zp4wx 28 күн бұрын
Mungu akulinde sana kaka yangu makonda
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Makonda, si uje na morogoro jamani . Maana kuanzia huku chini kwenye vijiji , kata na vitongoji kumeharibika. Mpaka tunaichukia serikali maana sisi tunaamini wanawekwa na mamasasa wanapotukandamiza tunamchukia sana mama, tunaona kafika na hatujali tena, tunateseka kweli
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 Ай бұрын
Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..
@neemaelia3436
@neemaelia3436 Ай бұрын
Vivaaaaaaaaaaa, makonda Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@user-ug5cm7uq4m
@user-ug5cm7uq4m 28 күн бұрын
Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu
@KitindiMatawa-uk4qk
@KitindiMatawa-uk4qk 21 күн бұрын
Makonda pigakazi mungu atakulida
@AmaniLukumay-wk6zm
@AmaniLukumay-wk6zm 14 күн бұрын
Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤
@AbrahamMikael-wk4ch
@AbrahamMikael-wk4ch Ай бұрын
Makonda mwenyewe huyu chaguo la mungu hata wasemeje hata nchi atashika
@alexletayolaizer8515
@alexletayolaizer8515 Ай бұрын
Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.
@DionizLubango-of2wk
@DionizLubango-of2wk Ай бұрын
Makonda oyeeeee❤❤
@NeemaMrengera
@NeemaMrengera 14 күн бұрын
Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 Ай бұрын
Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri Ай бұрын
Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.
@EstermollelEster
@EstermollelEster 2 күн бұрын
Mungu akulinde baba
@user-zd5hk4ms5o
@user-zd5hk4ms5o Ай бұрын
MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu
@japhetmasunga8889
@japhetmasunga8889 Ай бұрын
mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka
@raphaelkiungulia4366
@raphaelkiungulia4366 Ай бұрын
Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro
@StanleyMolla
@StanleyMolla Ай бұрын
Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu
@user-ri1qn3xs4q
@user-ri1qn3xs4q Ай бұрын
Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge
@israelmwakatika8342
@israelmwakatika8342 14 күн бұрын
Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋
@NabwikeKanyamale
@NabwikeKanyamale Ай бұрын
Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu
@songeza
@songeza Ай бұрын
RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania
@songeza
@songeza Ай бұрын
Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde
@NicomedMartine
@NicomedMartine Ай бұрын
Jamn Mungu Amlinde Viongozi Kama Hawa Wakiongozwa Na Mama Yetu Dr. Samia Suluhu Hasa Tais Wetu Jamhuri ya Tanzania Mungu Awalinde Maana Wafisad Na Wala Rusha Hawataki Maendelea Ya Taifa Mungu Awalinde Hasa Pol Makonda Kwa Kutetea Wanyonge
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 Ай бұрын
Asiwe Mungu tu Bali na Serikali ihuske kumlinda.
@hassankilengah4786
@hassankilengah4786 24 күн бұрын
Mh Raisi mlete huyu jamaa mkoa wa lindi.
@DorisMroso-tx9mb
@DorisMroso-tx9mb Ай бұрын
Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu
@JohnMungwana-te4rm
@JohnMungwana-te4rm 26 күн бұрын
Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari
@user-tm3ui6iv7h
@user-tm3ui6iv7h Ай бұрын
Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha
@MirajiIssa-sl2li
@MirajiIssa-sl2li Ай бұрын
Safii mwamba
@neemaelia3436
@neemaelia3436 Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 Ай бұрын
Makonda piga kazi mkuu uko vizuri muno.
@user-tu2ne7so3b
@user-tu2ne7so3b Ай бұрын
Nyota kali sana
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali
@chido_wa_south2171
@chido_wa_south2171 Ай бұрын
Wahuni Sio Watu🤣🤣🤣🤣
@evajosephmtandika5015
@evajosephmtandika5015 Ай бұрын
Jamani wamemlia fidia Yake
@songeza
@songeza Ай бұрын
Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo
@user-jj1sx1ow4h
@user-jj1sx1ow4h Ай бұрын
Duu spana ya hatari asee
@user-iv5fk8uc5n
@user-iv5fk8uc5n Ай бұрын
No sana
@zidatv1122
@zidatv1122 Ай бұрын
Majizi matupu
@NaumMwamengo
@NaumMwamengo 7 күн бұрын
Wew nijembe baba mungu akulinde
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Ай бұрын
Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara
@user-gp5wx1ev9f
@user-gp5wx1ev9f Ай бұрын
Huyu mtendaji ni baadhi ya wale wanaoharibia Chama Cha CCM na wananchi kukichukia na makosa niya watu kama hawa wenye mamlaka ya kutumikia wananchi na wanafanya vyao
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l Ай бұрын
Safi kiongozi makonda
@KalutasMtayoba
@KalutasMtayoba 25 күн бұрын
Albino kagera
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry Ай бұрын
Kweli yu janja janja
@AlanusGerodi-mo3dm
@AlanusGerodi-mo3dm Ай бұрын
Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du
@aishaomaryyousefomaryloiru1990
@aishaomaryyousefomaryloiru1990 Ай бұрын
Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,
@user-mm1ml1tu5b
@user-mm1ml1tu5b 12 күн бұрын
Mungia akupe maisha marefu haina baya
@hajrasaid1924
@hajrasaid1924 7 күн бұрын
Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni
@Fredykapande-vh6cv
@Fredykapande-vh6cv Ай бұрын
Mheshimiwa.makonda.wewe umeitwa namungu katika mkoa wa arusha.nambingu utaiona.umekua mtetezi wa wanyonge.hasa kwa maskini.namungu akakupe miaka mingi.wewe na familya Yako.
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Ай бұрын
Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 Ай бұрын
Hekima sanaaa
@user-ku1wf2pw2w
@user-ku1wf2pw2w Ай бұрын
Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi
@moseslaizar843
@moseslaizar843 Ай бұрын
hapa ni spana tu hamna ujacha😂
@OdongoOwino-hm3op
@OdongoOwino-hm3op Ай бұрын
Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu
@stevenvictor437
@stevenvictor437 24 күн бұрын
Nyoosha wahuni hao.
@africatoeuropechurchtv8856
@africatoeuropechurchtv8856 Ай бұрын
Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.
@khadija5761
@khadija5761 Ай бұрын
Viaaa makonda viaaa
@CleopaMwakapiso
@CleopaMwakapiso Ай бұрын
MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro
@nathanaeledward5613
@nathanaeledward5613 Ай бұрын
Pga supana wanyooke mkuu
@IgnacioAndrew-rj8pd
@IgnacioAndrew-rj8pd 16 күн бұрын
Hahahahaha meliwaaaa
@martintemu9123
@martintemu9123 Ай бұрын
Kiongozi mahiri makonda.ubarikiwe
@user-rs6uf9oo5s
@user-rs6uf9oo5s Ай бұрын
Makonda baba lao
@Lutenganomwenzegule
@Lutenganomwenzegule 5 күн бұрын
njoo na iringa kamanda
@josephminja7953
@josephminja7953 Ай бұрын
🙌🙌
@user-cn2fd7wp1n
@user-cn2fd7wp1n Ай бұрын
Magufuli alisema hata kama umefika darasa la unahaki yakuongoza haya ndio matokeo yake
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Ай бұрын
KIONGOZI MAKONDA SAMAHANI HULISOMEA SHULE YA SHELIA NDANI AU NJEE YA NCHI????MIMI NIPO NJEE YA NCHI MIAKA MINGI ULISOMIA SHELIA MWAMBA WANGU MAKONDA UBALIKIWE KIONGOZI MAKONDA ❤❤❤😂❤❤❤❤
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Hongera kaka
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je Ай бұрын
Makonda amesoma chuo cha ushirika moshi sidhani kama kuna course ya sheria
@Abdallah_mussa
@Abdallah_mussa Ай бұрын
Sio SHELIA ni SHERIA Sio ubalikiwe ni UBARIKIWE
@JuliusHatari
@JuliusHatari Ай бұрын
​@@Abdallah_mussaDah watanzania Kwa ukosoaji mko vizuri,, Mimi Niko Mexico huku nawaona mbashara
@section8ight174
@section8ight174 Ай бұрын
Hili tobwe hata kiswahili hukiwezi, aibu tupu ndio manaake Wakenya wanatucheka, hovyooo
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 70 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 77 М.
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3 МЛН